HII YA AJABU KABISA...mnamo katikati mwa Karne ya 20 mgonjwa mmoja uko uturuki , alipewa Biblia ,na alipokua anarudi nyumban ,alikutana namarafik akawaonyesha, Mmoja akaichukua ile Biblia ,akaitoa karatasi zake aitupa ,, mgonjwa aliogopa kuiokota, akapita mzee mwenye ki Cafe chake, akaziokota zile karatasi,,Akaanza kufungia vitafunio kwa wateja wake.... Maajabu kila mteja alikua akirudi kuomba karatasi nyingine za aina iyoooo..... Mwishooo Siku muuza biblia alivyorudi eneo lile,MAELFU YA WATU WAKAGOMBANIA KUNUNUA BIBLIA.
kanisa lenyewe la kirumi lilijaribu kuitoa Biblia mikonon mwa watu, likisingizia kua "Masikin hatakiwi kua na biblia bali matajiri nawatu wajuuu tu"..... Hiii ikafanyaaa
Padre Jerome alotafasiri Biblia toka Kigreek na Kihebrania na kua Kilatin , ashutumiwr na maskofu wakimtuhumu Kuchezea Neni la Mungu.... Lkn maajabu tafasir yake ya Kilatin ndio ikaja kutumia ulaya nzima.
1320 Mtumishi John Wycliff huko Uingereza aliamua kuhakikisha anagawa biblia kwa Waingereza , biblia hii ilotafasiriwa kingereza Ilipingwa na Ma askofu na kumtuhum jamaaa Kuingilia mikakati ya kanisa.. Alikamatwa na Kuchomwa moto akiwa hai. Nawote walokua nabiblia hii ilotafasiriwa kingereza, walikamatwa na kuchomwa motoooo...LKN BIBLIA ILIISHI.
mwaka wa 1500 bwana William Tyndale Muingereza alitafasiri biblia kutoka ktk kingereza mpaka ktk lugha ya jamii yake , watu wengi wakaielewa sana.. Akakamatwa na ALICHOMWA MOTO AKIWA HAI ,na biblia zake nyingi zilichomwa moto.
Siku anachomwa moto alisema ""MUNGU MFUNGUR MACHO MFALME WA UINGEREZA" .....ndio Miaka mitatu Baadar Mfalme HENRY WA V11 Akaamuri Kuchapishwa kwa BIBLIA KWA LUGHA ZOTE ....
1700 Voltaire ,huyu mfaransa Tajiri alinunua mashine ya kuprintia akasema " Miaka mia moja tangu sasa HAPATAKUA NA BIBLIA TENA" maajabu mzungu mmoja alinunua Biblia agano lakale kwa dola 500000 ... Wakati huo Biblia ya uongo ya Voltaire wakainunua watu nane tu na kwa sent senti ... Miaka 50 baada ya kufa kwa huyu jamaa ,NYUMBA YAKE NA MASHINE YAKE VIKAGEUZWA KUA KIWANDA CHA KUZALISHIA BIBLIA
1229 baraza la Rumi liloongoza na Pontiff Gregory wa 1X , lilitangaza Rasimi kua Asipatikane mtu wa kumiliki Biblia kwa maagano yote yaaan Zaman na Jipya ...... LAKIN WAKASHINDWA
1910 baraza la Torragona likarudi tena na Madhimio kua anayemiliki biblia basi aisalimishe ili Ichomwe moto...LKN WAPIIII.
mmesahau nahuyu alosemaga " Socialism, communism, clandestine society, BIBLE SOCIETY, .......PESTS OF THIS SORTS MUST BE DESTROYED BY ALL MEANS?? 8/12/1886......
Hizo ni baadhi ya Majaribio ya kuifuta kabisa BIBLIA ...... LKN MUNGU ANASEMA,.. YADUNIA YOTE YATAPITA LKN HAMNA NENO LA BIBLIA LITAKALOPITA.
Ndio kwasasa Vita hii inaendelea ndio maana kila kukicha kunaibuka Biblia za kila aina .
The TransporterJF-Expert Member
Mods mtulie tuli !! Nyuzi nying zinaandikwa kuiponda/kuikosoa hata kusema Biblia ni Ya Uongo na visa vyake ni vya Uongo.
Huu uzi, nmeuandika Kama ukombozi kwa wale wavivu wa kusoma ,Nimeuandika kama MAJIBU ya watu wanaopotosha.
Mtu mmoja anasema ,Ukweli wa biblia ulofichwa!!!! Biblia ni ya Uongo , Biblia imeandikwa na Padre Jerome , Biblia imeandikwa na Freemason,Biblia imeondolewa vitabu, biblia matukio yote ni yauongo ....... Huwa nacheka sanaaaa ,Jamaaan wanaJF nadhan Kupitia izo HOJA ,mnaona namna UONGO UNAVYOJICHANGANYA NA KUJIDHIHIRISHA WENYEWE KUA NI UONGO.
Tuendelee zetu ,
Biblia ni Mkusanyiko wa Vitabu vya mafundisho vilivyoandikwa na Waandishi wapatao 40 . Waandishi hawa ndio Manabii tunaowajua pamoja na mitume ambao hawa mitume wengine walikua watoza ushuru, wanasiasa, wavuvi wa samaki n.k.
Biblia iliandikwa miaka zaidi ya 1500 ilopita.
MAAJABU NA UPEKEE WA BIBLIA
ndicho kitabu pekee kilichosomwa na watu wengi dunian na kununuliwa na watu wengi dunia.
ndicho kitabu pekee ambacho Gharama yake huwa Haichuji.
ndicho kitabu pekee Kilichopigwa vita kuliko kitabu kingine.
ndicho kitabu pekee kinachoeleza yalopita,yaliopo na yajayo
Ndicho KITABU CHA KWANZA KUCHAPISHWA NA MASHINE YA KUPRINT mwaka 1450
Ndicho kitabu pekee kilichotafasiriwa na Lugha zaidi ya 14000 hapa duniani.
ndicho kitabu kilichoandikwa na waandishi wengi 40 nabado kikaonekana kama kiliandikwa namtu mmoja tuu.
Ndicho Kitabu pekeee ambacho Hamna hata Nukuta moja ilowahi badilishwa (1947 uko Israel yaligunduliwa Mabaki ya Maandiko ya biblia , Nayalivyochunguzwa ikagungulika yaloandikwa humo, ndio yaloandikwa katika biblia tulizonazo) ...N.B Ingawa sasa kumekuwepo majaribio ya kubadilisha nakuondoa hata kuongeza maneno ya Biblia.
Maajabu ni Mengi sana
SASA HAYA NDIO MAJARIBIO YALOFANYWA ILI KUIVURUGA BIBLIA .
na sasa mtajiuliza km ni yauongo kwann wajaribu kuivuruga???? Km iliandikwa na masons kwann wajaribu kuivuruga??? Km inavisa vya kubuni ,kwann wajaribu kuivuruga???
( Uongo unachekesha sanaa wakuuu ,yaan shetan nimuongo wa waziwazi .
Tuendeleee na Majaribio
Yeremia 36:21-32 jaribio lakwanza ,ambalo Mfalme Joakim wa Yuda, Alichukua maandiko ya nabii Yeremia nakuyatupa ktk Moto.... Lkn huwez amin.. nabii Yeremia alikuja kuyaandika upya na wala hakuacha hata neno moja yaan alicopy nakupaste tu ..Mungu ni Mungu
mwaka wa 200 AD ,dunia chin ya Antiochus mtawala wa kigreek, baada ya kulibomoa Hekalu ( hili ambalo mpaka leo ndio kuna msikiti na ndio mzozo wa Israel na warabu) , jamaa alijenga hekalu la Kuabudu Miungu watu, Na Akaamuru BIBLIA ZOTE ZICHOMWR MOTO ,napia akasema "YOYOTE ATAKAYEMILIKI BIBLIA ATAUWAWA "........ ( kasome kitabu cha kwanza Maccabees 1:56-57 ) ....... Aliua sana watu, alichoma biblia sanaa ,L
1320 Mtumishi John Wycliff huko Uingereza aliamua kuhakikisha anagawa biblia kwa Waingereza , biblia hii ilotafasiriwa kingereza Ilipingwa na Ma askofu na kumtuhum jamaaa Kuingilia mikakati ya kanisa.. Alikamatwa na Kuchomwa moto akiwa hai. Nawote walokua nabiblia hii ilotafasiriwa kingereza, walikamatwa na kuchomwa motoooo...LKN BIBLIA ILIISHI.
mwaka wa 1500 bwana William Tyndale Muingereza alitafasiri biblia kutoka ktk kingereza mpaka ktk lugha ya jamii yake , watu wengi wakaielewa sana..
Habari za jioni wana JF mada ya leo pia ni sensitive kidogo maana inagusa imani za watu ila kutokana na kuwepo hitaji la kuweka rekodi sawa nimeona nilete uzi huu ili tujifunze zaidi. Na sababu kubwa ya kuleta uzi huu ni kutokana na mada nazoleta humu nyingi zinatumia pia vitabu nje ya biblia kama source ya taarifa na kumekuwa na wengi wanaokuja na hoja kwamba chochote kilicho nje ya biblia sio kweli yaani quran,midrash,tanakh/torah,zohar,apocrypha,Pseudipigrapha zote ni batili sasa ni kutokana na hoja hiyo imenipelekea kuandaa uzi huu hivyo tuusome kwa makini na tuujadili kwa ustaarabu tu yote kwa yote kujifunza. Nitaugawa uzi huu kwa sehemu mbili ili iwe rahisi kuusoma na ningependa kabla ya kuchangia uusome wote na kuuelewa. Karibuni
View attachment 830330
UTANGULIZI
1. Biblia ni mjumuiko wa vitabu vya manabii walivyoandika kuhifadhi matukio katika historia ya imani yao kwa Mungu na ilikusanywa katika karne ya 3 baada ya Yesu baada ya kuonekana vitabu vya kiimani viko vingi vinakinzana hivyo wakaamua wawe na kitabu kimoja cha kutumika na wote na ilikuwa katika kigiriki na kiebrania. Baada ya karne zaidi ya 10 kupita biblia ya mapema kabisa kutafsiriwa kuingia kwenye kilatin iliyokuwa lugha ya Roma, ilikuwa ''vulgate'' iliyotoholewa kutoka kiebrania na kigiriki kwenda kilatin na padre Jerome karne ya 14 ila tafsiri ya kiingereza ilikuwa king james version karne ya 15 ambayo hata biblia za kiswahili na lugha zingine maelfu zimetoholewa hapo na ambacho wengi hatujui ni kwamba vitabu ambavyo leo tunaviita apocrypha vilikuwepo kwenye KJV ya kwanza ila mataifa mengi yalipotafsiri hayakuvijumuisha hivyo vitabu 14!!! Na leo hii ukivitumia humu JF kujenga hoja utaambiwa ni vya kishetani wakati biblia ya kwanza ya english iliviweka??
Miaka mingi ikapita ndipo yakaja matoleo mengine tofauti ila kwa karne hii biblia inayotambulika kutumika dunia nzima ni NIV yaani New International Version ya 1973, ambayo ilikuja kufanya utafiti na kutumia vyanzo mbalimbali vya nyuma zaidi na kutengeneza tafsiri yake na muhimu hapa tufahamu NIV iligundua makosa kwenye KJV na ikafuta mistari hiyo kwa kigezo kwamba mistari hiyo haikuwepo kwenye vyanzo vya mwanzo ikimaanisha viliongezwa baadae sana. Baadhi ya mistari ilioongezwa na ambayo NIV imeifuta ama kutoitambua Ni Marko 11:26, 15:28,9:44,9:46 Mathayo 23:14,18:11,17:21, Luka 17:36 Yohana 5:3-4, Matendo 8:37 n.k kwa uchache wake ila mingi zaidi iligundulika haikuepo kwenye vyanzo vya mwanzoni kabisa na kwamba vimeongezwa kinyemela.
Simply ikimaanisha biblia ya kiswahili tunayotumia hii ya chama cha biblia iliyotokana na KJV tumepotoshwa?? Je wakristo tumeambiwa haya kanisani?
Je nani mkweli kati ya KJV na NIV??
View attachment 830331
VITABU VILIVYOPUNGUZWA
Baada ya biblia ya nwanzoni kabisa ya kilatin kuwa na vitabu zaidi ya 76 na version zingine hadi 84 kuna vitabu vilitolewa na kina Jerome kwa sababu mbalimbali ikiwemo kughushiwa majina, kutovuviwa na Roho mtakatifu, kukinzana na vitabu vingine vya Biblia,kuandikwa na manabii wa uongo,utata wa maandiko n.k na vitabu hivyo ni kama 4 Maccabees, Assumption of Moses, Ethiopic Book of Enoch (1 Enoch), Slavonic Second Book of Enoch,Book of Jubilees,3 Baruch, Letter of Aristeas,Life of Adam and Eve, Ascension of Isaiah, Psalms of Solomon, Sibylline Oracles, 2 Baruch,Testaments of the Twelve Patriarchs na vinginevyo na hii ndio kitovu this HTML class. Value is Mnamo katikati