Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

mkuu kama kweli unatafuta siri unapaswa kuanzia hapa.

1:Being ancient does not mean always true. Mfano wakina Orgen wa alexandria watakumbukwa kwa tiolojia zilizochanganywa na humanistic ideas enzi za kale, nao walishiriki katika kuandaa manuscript nyingi kusupport ideas zao. Hivyo ukiokota gombo la kale Alexandria Haimaanishi, liko sahihi 100% kwa sababu bado uchakachuaji ulikuwepo enzi hizo. Kuanzia 1800s bibilia nyingi za kisasa hata NIV ziliegemea magombo yanayosadikiwa kuwa sahihi eti tu kwa sababu ni ya kale kama unavyotoa hoja zako.

2: Magombo yanayosadikiwa kuwa ya kale sana yaliyookotwa kwenye kikapu Huko SINAI, baada ya kuchunguzwa saana, yalionekana kuwa pamoja na ukale wake yamefutwafutwa zaidi ya mara sabini kwenye hoja moja. Hii ilipelekea kutiliwa shaka na wengine kuyaweka kapuni. Lakini NEW TRANSLATIONS zote zinadai kujengwa juu ya magombo ya kale zaidi ya KJV lkn ukweli ni kwamba asilimia 80% ya source ni hiyo ya Sinai na Hiyo ya kutiliwa shaka ya alexandria.

3: KJV imejengwa juu ya tafsiri za RECEIVED TEXTS. Nadhani vita vilipaswa kuwa kati ya received texts vs New discovered old manusxripts.
Uzito unapewa kwa KJV na Kama ulivyosema hii ya kiswahili kwa sababu Zimejengwa katika manuscrpits zaidi ya 1900 zilizokutwa sehemu mbalimbali tofauti lkn zinasema vitu vinavyoendana. Tofauti na hizi mpya ambazo ushahidi wa manuscript za kale lakini ni za sehemu chache tena zenye utata. Mfano alexandria ilikuwa kitovu cha theolojia tata nyingi enzi hizo.

4: Pamoja na ustadi wa ukale wa vyanzo vya NIV vinavyoifanya ionekane bora kuliko hii KJV Kwa vigezo vya ukale wa manuscript. Kuna barua nyingi za wababa wa kikristo wa enzi za karne za awali kabisa ambazo nazo zilipatikana. Zilikutwa na mafungu ya bibilia ndani yake. Mafungu hayo cha ajabu hayamo kwenye NIV ambayo inasemekana kuwa na chanzo cha kale zaidi, huku yakipatikana ndani ya KJV ambayo manuscript zake ni za kale ya karibu. Ndio maana nasisitiza msingi mkuu ni mafundisho ya bibilia. Mfano fundisho kuu Mwanadamu aliasi, Yesu alikuja, Akaishi, akafa, akafufuka, anakuja tena na mafundisho mengine mengi ambayo yanaungwa mkono na waandishi karibu wote wa bibilia. Hivyo binafsi naamini bibilia zote zinavitu vya kutufunza, hasa za kisasa zinautafsiri mzuri zaidi wa Lugha za kale na kufanya utafsiri ueleweke zaidi lkn hii yote haiondoi msingi wa mafundisho Ya bibilia.

Ndio maana mkuu nimesisitiza katika tallying ya doctrines. Lakini KJV inapewa kipaumbele kwa sababu imezungukwa na jopo kubwa la mashahidi wa kale kutoka katika vyanzo mbalimbali (magombo) wasiohusiana lkn wakiongelea hoja zinazofanana.

SIRI ni Kwamba Hii inapigwa vita sana na wengi. Catholic walipiga marufuku Received texts kwa kusema ni Uzushi ktk mtaguso wa trent lkn ukweli ni kwamba received texts zinamantiki kuliko hata vulgate na hawa wa kisasa. Siri nyingine watu wanaaminishwa Vatican ndio kitovu cha mambo ya kale ya ukweli wakati kumejaa mambo mengi ya kale ambayo yanaweza kiwa sahihi au yako mlengo wa Origen theologies na wanafunzi wake.

Kitu kingine Vita vya bibilia havijaanza leo, au siku walipogundua magombo ya sinai 1844 au alexandria, au siku yalipogundulika magombo ya Vatican 1481 AD ambayo mengi yanahusianishwa na eusebius, mwanafunzi wa mwanatheolojia tata wa alexandria Origen, Vilikuwepo enzi Jerome anaandika Vilgate yake, maana ilikosolewa na wakina Helvidius ikionyesha kulikuwa na vitu bora kuliko Hiyo Vulgate, vilikuwepo enzi za Waldensia, reformation 1500s pia.

SIRI kulingana na mtazamo wangu ni Kwamba Maandiko ya Mungu yanataka Kuchafuliwa na kudhoofishwa kwa Kukubwisha mavitabu ya kale yasiyosahihi ili kudivert watu kuelekezwa kwenye pori la maandishi yanayopewa uzito sawa na bibilia wakati mjumuisho wake ni kuvuruga akili na Imani kwa Mungu wa Kweli.Watu wanataka kuaminishwa kuna mambo ya siri sana kiasi kwamba wanaojua hizo siri ndio wenye uwezo wa kupewa umakini na kusikilizwa kuliko neno la Mungu ili Shetani ajipatie mateka wa kutosha (sentensi ya kidini zaidi).

People are directed to dive in a bottomless complex pit.

mkuu nimetoa maoni ya jumla mchanganyiko. Ili kuongeza upana wa mjadala.
zitto junior
 
Hivi ni kuulize mawe watu walikuwa wanapigiwa hekaluni enzi hizo? Hekaluni wangeweza kusema Bwana Yesu akiandika aridhini/ground kwa kidole.

Lakinu kungekuwa na nia ovu/dhamira mbaya yeyote hao walio andika hapo kwenye footnotes wange ta andika waliyo ya andika?
Mkuu sijui tunapishana wapi,Hao waandishi wa biblia wamesema hicho kifungu kimepandikizwa hakijalishi kina nia njema ama mbaya sasa kipi hatuelewani?? Maana hata book of Enoch kimepandikizwa baadhi ya maneno ingawa yana nia njema ila bado kimetolewa kwa sababu hizo hizo sasa kwanini undumila kuwili??

Na bado hujajibu swali hao NIV na KJV nani ndio biblia ya kweli??
 
Nimefurahishwa saana kwa huu ufafanuzi.....
Tatizo watu wa GT wanazani wamesoma kila kitu wamemaliza kumbe si kweli, wengi ni vi 'hoja' wanaokoteza kwa wafuasi wa mashetani na kuja kupotosha watu.

Mleta mada ameleta mada vikorishi kwa watu wasiojua maandiko wala imani.

Biblia ni kitabu kilicho vuviwa kila moja kwa wakati wako ila kwa dhumuni moja tuu kama kuna vilivyo acjwa maana dhumuni ni tofauti na hivi vingine ambavyo Mungu alikusudia vitufikie.

Kama zama hizo manabii haikua rahisi kuwaamini mpaka kujaribiwa wengine unadhani ni waongo wangapi waliibuka wakijifanya wanatoka kwa Mungu?? Na ndio maana Mtume s.w.a anawaambia waislamu Quran imekamilishwa na taorati, zaburi, injili pamoja na Quran yenyewe kwakua msingi wa Imani kwa Mungu wa kweli ni kutoka kwa wayahudi kama taifa teule.

Biblia kwangu ni kitabu kisicho na shaka bali ni kimbilio na majibu ya maswali yangu yoote maana hata hichi kuulizwa juu ya kweli kutiliwa shaka ilashanijulisha.

Wakristo tusome biblia, waislamu tusome biblia na Quran.
Waislam hatuwezi kusoma Bible ila tutasoma Injili, zaburi, taurati, na Qur'an tu. Sisi hatujui na wala hatuamini kuwa Bible ni kitabu cha Mungu.
 
Biblia imechakachuliwa sana. Kitabu cha James....tunatafsiri Yakobo ila kimsingi Yakobo au Jacob sio James....huyu King James wa Uingereza aliingiza jina lake makusudi na ndio mpaka leo Biblia ya Kiingereza ina kitabu cha James....akatoa jina la Jacob......biblia ni story tu za watu wa zamani waliokuwa na hekima.
 
Unajua maana ya injili wewe?? (injili ni Agano jipya) Hapo ulipo hata Quran hjikubali eti inamakosa....!! wewe tazama maisha yako tuu binafsi hujayaweza wala hujui kesho yake then unahoji ya Mungu eti yanamakosa???

Huu ujuaji mwingi ndio ulioleta maafa na dhambi hapa duniani maana shetani aliwaambia Adam na Hawa wakila tunda watakua sawa na Mungu..... So kua makini na ujuaji wako mwingi yawezekana unatumika na shetani bila kujijua
Kwahiyo walipokula kweli wakawa kama Mungu, kama walivyoandika ndugu zako, natuumbe mtu mfano Wetu! Na mpaka leo unaamini wewe inafanana na Sir God siyo!
Kama ni kupotoshwa basi nyie wenzetu mmepotoshwa kwa speed ya airbus na sisi kwa speed ya bombadia.
 
Hapa kuna walakini mwingi haiwezekani textus receptus iwe imekosewa kweli NIV iliamua kuondoa karibu kitabu kizima.kifupi biblia imepitia vipindi vingi vya vita ya maandishi ambayo yaliathiri tafsiri lakini muhimu ni tafsiri isiyotia shaka ni ile isiyobadili maana na content
 
Vipi kitabu cha Hunzi bin Hunuz nani alikiandika?
Unamzungumzia Hunku bin Hunuk Kwa kiarabu Uj bin Anaq ama Og mwana wa Anaki yule jitu refu?? Kitabu chake hakipo katika bible ila simulizi zake zipo kwenye bible soma hesabu na joshua.
 
Hapa ndipo utajua kwamba binadamu mmoja mwenye nguvu, anaweza kuchezea akili za wengine na kufikiri kwa niaba yao. Mfano, kuikataa injili ya Yuda, na Thomaso, lazima, kulete mashaka, juu ya kile kinachokubalika.
 
Hapana siifahamu mkuu

Karibu unieleweshe
Watu wengi wamesoma theology kunavitu vingi ambavyo vimefichwa kwenye biblia kutokana na uhatari wake ni siri nzito hivyo kunaelimu ya Missology kwa mfano

book of Enoch
CHAP. 6.—And it came to pass, after the children of men had increased in those days,
beautiful and comely daughters were born to them. 2. And the angels, the sons of the
heavens, saw and lusted after them, and said one to another: “Behold, we will choose for
ourselves wives from among the children of men, and will beget for ourselves children.” 3.
And Semjâzâ, who was their leader, said to them: “I fear that perhaps ye will not be willing
to do this deed, and I alone shall suffer for this great sin.”

4.Then all answered him and said:
“We all will swear an oath, and bind ourselves mutually by a curse, that we will not give up
this plan, but will make this plan a deed.” 5. Then they all swore together, and bound
themselves mutually by a curse; and together they were two hundred. 6. And they descended
on Ardîs, which is the summit of Mount Hermon; and they called it Mount Hermon, because
they had sworn on it and bound themselves mutually by a curse. 7. And these are the names
of their leaders: Semjâzâ, who was their leader, Urâkibarâmêêl, Akibêêl, Tâmiêl, Râmuêl,
Dânêl, Ezêqêêl, Sarâqujâl, Asâêl, Armers, Batraal, Anânî, Zaqêbê, Samsâvêêl, Sartaêl, Turêl,
Jomjâêl, Arâzjâl. 8. These are the leaders of the two hundred angels, and the others all were
with them.

CHAP. 7.—And they took unto themselves wives, and each chose for himself one, and
they began to go in to them, and mixed with them, and taught them charms andconjurations, and made them acquainted with the cutting of roots and of woods. 2. And they
became pregnant and brought forth great giants whose stature was three thousand ells. 3.
These devoured all the acquisitions of mankind till men were unable to sustain themselves.
4. And the giants turned themselves against mankind in order to devour them. 5. And they
began to sin against the birds and the beasts, and against the creeping things, and the fish,
and devoured their flesh among themselves, and drank the blood thereof. 6. Then the earth
complained of the unjust ones.

CHAP. 8.—And Azâzêl taught mankind to make swords and knives and shields and coats
of mail, and taught them to see what was behind them, and their works of art: bracelets and
ornaments, and the use of rouge, and the beautifying of the eye-brows, and the dearest and
choicest stones and all coloring substances and the metals of the earth. 2. And there was
great wickedness and much fornication, and they sinned, and all their ways were corrupt. 3.
Amêzârâk taught all the conjurers and root-cutters, Armârôs the loosening of conjurations,
Baraq’âl the astrologers, Kôkâbêl the signs, and Temêl taught astrology, and Asrâdêl taught
the course of the moon. 4. And in the destruction of mankind, they cried aloud, and their
voices reached heaven.

CHAP. 9.—Then Michael and Gabriel and Surjân and Urjân looked down from heaven
and saw the great amount of blood which had been spilled on the earth, and all the
wickedness which had been committed over the earth. 2. And they said to one another:
“The emptied earth re-echoes the sound of their [i.e. mankind’s] cries up to the gates of
heaven. 3. And now to you, O ye holy ones of heaven, cry the souls of men, saying: ‘Secure
us judgment before the Most High.’ 4. And they spoke to their Lord, to the King: ‘O Lord
of lords, God of gods, King of kings, the throne of thy majesty is among all the generations
of the world, and thy name, holy and glorious, among all the generations of the world. Thou
art blessed and praised!

5. Thou hast made all things and all power is with thee, all things
are open before thee and uncovered, and thou seest all things and nothing can hide itself
from thee. 6. See then what Azâzêl has done, how he has taught all wickedness on earth and
has revealed the secrets of the world which were prepared in the heavens. 7. And Semjâzâ
to whom thou hast given the power to be chief of his associates has made known
conjurations. 8. And they have gone together to the daughters of men and have slept with
them, with those women, and have defiled themselves, and have revealed to them these sins.
9. And the women have brought forth giants, and thereby the whole earth has been filled
with blood and wickedness.

10. And now, behold, the souls which have died cry and lament
to the gates of heaven, and their groans ascend, and they are not able to escape from the
wickedness which is committed on the earth. 11. And thou knowest everything before it
comes to pass, and thou knowest this and their circumstances, and yet thou dost not speak
to us. What shall we therefore do in regard to this?”

CHAP. 10.—Then the Most High, the Great and Holy One, spoke and sent Arsjalâljûr
to the son of Lamech, and said to him: 2. “Tell him in my name: ‘Hide thyself!’ and reveal
to him the end which is to come. For the whole earth will be destroyed, and the water of the
deluge is about to come over the whole earth, and what is upon it will be destroyed. Halafu linganisha na kitabu cha mwanzo Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,

2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.

5 BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.
6 BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.
7 BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya. Hivyo kuna baadhi ya aya zimechukuliwa huko sasa Missology inaeleza yote
 
Watu wengi wamesoma theology kunavitu vingi ambavyo vimefichwa kwenye biblia kutokana na uhatari wake ni siri nzito hivyo kunaelimu ya Missology kwa mfano

book of Enoch
CHAP. 6.—And it came to pass, after the children of men had increased in those days,
beautiful and comely daughters were born to them. 2. And the angels, the sons of the
heavens, saw and lusted after them, and said one to another: “Behold, we will choose for
ourselves wives from among the children of men, and will beget for ourselves children.” 3.
And Semjâzâ, who was their leader, said to them: “I fear that perhaps ye will not be willing
to do this deed, and I alone shall suffer for this great sin.” 4. Then all answered him and said:
“We all will swear an oath, and bind ourselves mutually by a curse, that we will not give up
this plan, but will make this plan a deed.” 5. Then they all swore together, and bound
themselves mutually by a curse; and together they were two hundred. 6. And they descended
on Ardîs, which is the summit of Mount Hermon; and they called it Mount Hermon, because
they had sworn on it and bound themselves mutually by a curse. 7. And these are the names
of their leaders: Semjâzâ, who was their leader, Urâkibarâmêêl, Akibêêl, Tâmiêl, Râmuêl,
Dânêl, Ezêqêêl, Sarâqujâl, Asâêl, Armers, Batraal, Anânî, Zaqêbê, Samsâvêêl, Sartaêl, Turêl,
Jomjâêl, Arâzjâl. 8. These are the leaders of the two hundred angels, and the others all were
with them.
CHAP. 7.—And they took unto themselves wives, and each chose for himself one, and
they began to go in to them, and mixed with them, and taught them charms andconjurations, and made them acquainted with the cutting of roots and of woods. 2. And they
became pregnant and brought forth great giants whose stature was three thousand ells. 3.
These devoured all the acquisitions of mankind till men were unable to sustain themselves.
4. And the giants turned themselves against mankind in order to devour them. 5. And they
began to sin against the birds and the beasts, and against the creeping things, and the fish,
and devoured their flesh among themselves, and drank the blood thereof. 6. Then the earth
complained of the unjust ones.
CHAP. 8.—And Azâzêl taught mankind to make swords and knives and shields and coats
of mail, and taught them to see what was behind them, and their works of art: bracelets and
ornaments, and the use of rouge, and the beautifying of the eye-brows, and the dearest and
choicest stones and all coloring substances and the metals of the earth. 2. And there was
great wickedness and much fornication, and they sinned, and all their ways were corrupt. 3.
Amêzârâk taught all the conjurers and root-cutters, Armârôs the loosening of conjurations,
Baraq’âl the astrologers, Kôkâbêl the signs, and Temêl taught astrology, and Asrâdêl taught
the course of the moon. 4. And in the destruction of mankind, they cried aloud, and their
voices reached heaven.
CHAP. 9.—Then Michael and Gabriel and Surjân and Urjân looked down from heaven
and saw the great amount of blood which had been spilled on the earth, and all the
wickedness which had been committed over the earth. 2. And they said to one another:
“The emptied earth re-echoes the sound of their [i.e. mankind’s] cries up to the gates of
heaven. 3. And now to you, O ye holy ones of heaven, cry the souls of men, saying: ‘Secure
us judgment before the Most High.’ 4. And they spoke to their Lord, to the King: ‘O Lord
of lords, God of gods, King of kings, the throne of thy majesty is among all the generations
of the world, and thy name, holy and glorious, among all the generations of the world. Thou
art blessed and praised! 5. Thou hast made all things and all power is with thee, all things
are open before thee and uncovered, and thou seest all things and nothing can hide itself
from thee. 6. See then what Azâzêl has done, how he has taught all wickedness on earth and
has revealed the secrets of the world which were prepared in the heavens. 7. And Semjâzâ
to whom thou hast given the power to be chief of his associates has made known
conjurations. 8. And they have gone together to the daughters of men and have slept with
them, with those women, and have defiled themselves, and have revealed to them these sins.
9. And the women have brought forth giants, and thereby the whole earth has been filled
with blood and wickedness. 10. And now, behold, the souls which have died cry and lament
to the gates of heaven, and their groans ascend, and they are not able to escape from the
wickedness which is committed on the earth. 11. And thou knowest everything before it
comes to pass, and thou knowest this and their circumstances, and yet thou dost not speak
to us. What shall we therefore do in regard to this?”
CHAP. 10.—Then the Most High, the Great and Holy One, spoke and sent Arsjalâljûr
to the son of Lamech, and said to him: 2. “Tell him in my name: ‘Hide thyself!’ and reveal
to him the end which is to come. For the whole earth will be destroyed, and the water of the
deluge is about to come over the whole earth, and what is upon it will be destroyed. Halafu linganisha na kitabu cha mwanzo Ikawa wanadamu walipoanza kuzidi usoni pa nchi na wana wa kike walizaliwa kwao,
2 wana wa Mungu waliwaona hao binti za wanadamu ya kuwa ni wazuri; wakajitwalia wake wo wote waliowachagua.
3 BWANA akasema, Roho yangu haitashindana na mwanadamu milele, kwa kuwa yeye naye ni nyama; basi siku zake zitakuwa miaka mia na ishirini.
4 Nao Wanefili walikuwako duniani siku zile; tena, baada ya hayo, wana wa Mungu walipoingia kwa binti za wanadamu, wakazaa nao wana; hao ndio waliokuwa watu hodari zamani, watu wenye sifa.
5 BWANA akaona ya kuwa maovu ya mwanadamu ni makubwa duniani na kwamba kila kusudi analowaza moyoni mwake ni baya tu sikuzote.
6 BWANA akaghairi kwa kuwa amemfanya mwanadamu duniani, akahuzunika moyo.
7 BWANA akasema, Nitamfutilia mbali mwanadamu niliyemwumba usoni pa nchi; mwanadamu na mnyama, na kitambaacho na ndege wa angani; kwa maana naghairi ya kwamba nimewafanya. Hivyo kuna baadhi ya aya zimechukuliwa huko sasa Missology inaeleza yote
Ahsante kwa kunifumbua macho mkuu nimeona correlation kati ya hizi case mbili, unasoft copy ya kitabu chochote kuhusu missology ama material yoyote nipate basics japo kwa summary tu ya vinavyoongelewa huko, ntashkuru.
 
Hao wana wa mbinguni according to Enoch ndio waliwafundisha wanadamu uchawi waliposhuka duniani na walizaa na wanadamu wa kawaida yakatokea majitu vitu kama hivi haviwezi wekwa wazi
 
Kwahiyo walipokula kweli wakawa kama Mungu, kama walivyoandika ndugu zako, natuumbe mtu mfano Wetu! Na mpaka leo unaamini wewe inafanana na Sir God siyo!
Kama ni kupotoshwa basi nyie wenzetu mmepotoshwa kwa speed ya airbus na sisi kwa speed ya bombadia.
Imeandikwa hivi ...basi mtu huyu amekuwa kama mmoja wetu kwa kujua mema na mabaya.
Maana yake hapo kabla Adam hakujua meme na mabaya mpka alipokula tunda. Tunda lilikuwa na maarifa pia. Mpka anajua yu uchi hatakiwi kusemeshana na angali uchi. Na hii inathibitishwa na Mungu mwenyewe ambaye mbele kidogo hapo anawafanyia mavazi ya ngozi anawavika.
 
Hii elimu huwezi ipata kirahisi,Ahsante Zitto junior kwa kuanzisha uzi huu fikirishi.GT hebu tuache kukariri mavitabu haya tutumie bongo zetu kugundua mbivu na mbichi
 
Haya mambo ya imani magumu, mleta mada tukutane mbinguni, tu maana wakati vinaandikwa hatukwepo haya ni mambo ya kiroho zaidi
Mkuu haya mambo ni bora kuyulizia kwenye vyuo vinabyohusika na kutuletea mrejesho, hapa naona kama kizunguzungu, ila nasimamia imani yangu na kuitukuza
.
Screenshot_20180810-165649.jpg
 
Ndio maana kwenye Qur'an huwezi kuona makosa mengi kama kwenye biblia ambayo ni ya wazi sana kwenye agano jipya,, najiuliza tu kwanini waislam hawana agano jipya inamaana wao hawakuwa na agano before?
Weeeh,Qur an haina kosa wala contradiction hata moja,kama kuna kasoro iletwe hapa,nikijiridhisha nayo naachana na uislamu leo leo naungana na kiranga,siwezi kuamini katika dini ambayo kitabu chake kina makosa ndani yake.kitabu cha mungu kitakuwaje na mapungufu ilhali aliyekileta hana mapungufu.
 
Weeeh,Qur an haina kosa wala contradiction hata moja,kama kuna kasoro iletwe hapa,nikijiridhisha nayo naachana na uislamu leo leo naungana na kiranga,siwezi kuamini katika dini ambayo kitabu chake kina makosa ndani yake.kitabu cha mungu kitakuwaje na mapungufu ilhali aliyekileta hana mapungufu.
Mkuu hadi leo hujui kutofautisha Mungu na mungu?
 
Back
Top Bottom