Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA


Zittojr hii Id yako hapa jF inaheshimika sana tu. Naomba ni ambie hii mistari ya Yohana 7:52-8:11 na 12 tatizo lililo onekana hapo ni lipi?
 
Zittojr hii Id yako hapa jF inaheshimika sana tu. Naomba ni ambie hii mistari ya Yohana 7:52-8:11 na 12 tatizo lililo onekana hapo ni lipi?
Mkuu Yohana 7:28 hadi 7:52 inaonyesha Yesu akiwa kwenye dialogue na mafarisayo hekaluni ila ghafla yohana 7:53 hadi 8:11 inaonyesha alishaondoka kabisa hekaluni na kurudi kesho yake asubuhi na ndipo kisa cha mwanamke kahaba kinatokea alafu 8:11 inaonyesha wote wametawanyika alafu kabaki Yesu peke yake na mwanamke yule ila ghafla tena mstari wa 13 Yesu bado ana conversation na mafarisayo hekaluni!

Wakati amebakia mwenyewe?? Yaani matukio ya ile ya 7:28- 7:52 yanaendelezwa 7:13 ikimaanisha hicho kipande hapo kati kilikuwa misplaced yaani kilipandikizwa na sio mimi nayesema hivyo ila biblia zote zinatambua hilo ndio maana zinaweka mabano kwenye kipande hicho ili kukitenganisha na mtiririko wa matukio ya Yohana 7:28-52.

Mfano huu hapa
 
Hiki ni kitabu kisichokua na shaka ndani yake na ni muongozo kwa wamchao mwenyezimungu (Qur an),toka enzi hadi ss kiko vilevile na wanaojaribu kukibadilisha wanapata tabu saana
 

Hebu tuambie Yohana 7:53 katika Biblia uliyo nayo hapo/piga picha inasemaje? Kwamba tujue wewe na hao ulio wanukuu kuhusu mistari 50 yenye utata katika Biblia ni wakweli au waongo au wazushi?
 
Hebu tuambie Yohana 7:53 katika Biblia uliyo nayo hapo/piga picha inasemaje? Kwamba tujue wewe na hao ulio wanukuu kuhusu mistari 50 yenye utata katika Biblia ni wakweli au waongo au wazushi?
Hiyo niliopiga picha ya kiswahili huo mstari ulifutwa ila King james version unao huo mstari wa 53

Unasema WOTE WALIENDA MAKWAO

Hapo kumbuka NIV wamefuta karibua sura nzima ya marko 18!! Sasa hapo nani mkweli nani muongo?? Kwanini hautolewi msimamo mmoja wa biblia gani ni feki na ipi ni ya kweli???
 

Nikusaidie John 8:

1Then everyone went home, but Jesus went to the Mount of Olives.

2. Early the next morning he went back to the Temple. All the people gathered round him, and he sat down and began to teach them.

Labda ni typing errors tu. Lakini hukuni jibu swali langu na lirudia hii mistari iko na shida gani?
 
Inasema Yesu alibaki peke yake ila inaonyesha bado anahutubia watu at the same time soma vizuri mstari wa 10-13, ndio maana bible imeweka mabano kwamba hyo story iliongezwa ila ilitakiwa mstari wa 8:13 uwe baada ya 7:52 soma upya uone mtiririko ulivyo

Na hii hoja inakubalika kote mkuu soma footnote za biblia yako utakuta wamecite kwamba upo misplaced
 

Iweke hapa tuione.
 
Kaka una amini kuna watu nyoyo zao zimetulia tuli,kaka Mola hatafutwi kwa mtindo wa voda fasta,Mola anasomwa tena kusomwa haswa. Leo watu wanatumka muda mwingi katika mambo ya kipuuzi,starehe na kuongea umbea umbea tu. Halafu unakuta ana muamini Mola halafu hamjui. Kwanini umuamini Mola usie mjua ? Huo ni uvivu na ujinga usiotakiwa mzee.


Hutakiwi kukata tamaa,madamu una akili timamu,mtafute Mola mpaka umjue.
 
Umaarufu sio tatizo,tatizo ni usalama na ukamilifu. Je Bibilia imekingwa na makosa yaani imekamilika ? Haijapunguzwa wala kuongezwa ?
 
Hata imani kuna potofu na sahihi,yaani lazima zichekechwe.
 
Zurri Nimesoma Sana Kuhusu Huyo Unayemuita Mola, Waliojaribu Kumuelezea Wameleta Contradictions Kibao, Sifa Anazopewa Na Wenye Dini Zinajikanganya Ndani Ya Vitabu Vya Dini!

Nimesema Kuwa, Kuna Muumba Wa Ulimwengu Na Vyote Vilivyomo ( Sijasema Mola Tafadhali ), Ila Sijui Ni Yupi Kama Ambavyo Simjui Fundi Aliyejenga Nyumba Hii Niliyopo Sasa.Je, Kutomjua Huyo Fundi Unanitaka Niseme Hakuna Aliyejenga Nyumba Hii?
 
Iweke hapa tuione.
Soma hapo chini kabisa wanasema nakala za MWANZO kabisa na BORA kabisa hazina hiyo mistari niliyotaja hapo juu na wanasema tena kwamba hiki kipande kipo eneo jingine kabisa sio hapo simply ikimaanisha hoja yangu kuwa kipo misplaced ni halali.

Sasa cha kujiuliza neno la Mungu lina uwezo wa kuwa misplaced?? Je nani mkweli kati ya KJV na NIV?? Kama watu wanaweza kupachika misplaced content kwenye biblia sasa kwanini vimeachwa kwenye biblia alafu Pseudipigrapha zimetolewa kwa hoja hii hii kwamba baadhi ya sura zilipachikwa hivyo kuondoa uhalisia?

Karibu tuelimishane

Cc blackstarline
 

Mbona unapata hofu kuiandika hapa.

Nani anayema hayo uliyo ya sema yeye ni nani nabii, mtume, mtu tu wa kawaida? Maana umeleta hapa 7:53, mimi nikakuletea 8:1 yenye maneno ya 7:53 na mengine. Labda tatizo lako ni mpangilo wa namba za hiyo mistari. Kwenye namba ndipo neno lilipo? Au ukiona hiyo namba bila ya maneno umekuwa umeshaelewa hilo neno?
 
mathayo 16:28
yesu alisema uongo
Katika mstari huo Yesu hakusema uongo,aliyosema yalitimia.
Ili uelewe vizuri soma Mark 9:1 "Until they have seen the kingdom of God come with power"
Luke 9:27 "Till they see the kingdom of God"

Hayo yalitimia kuanzia siku ya pentekoste, kanisa lilianza kuenea kwa kasi, hii ikionyesha utawala wa Mungu ukishika hatamu duniani. Mmoja wa wanafunzi wa Yesu aliye itwa Yohana alishuhudia kanisa likienea kutoka Uhahudi mpaka Asia, Ugiriki, mpaka Roma
 
Mkuu nimeshindwa kuandika nini si nmeshakuonyesha biblia inaposema kuwa mstari uko misplaced ama unataka nikuwekee nini hasa

Yes ni mtu wa kawaida ila Amesoma theolojia na tafsiri yake imekuwa verified kutumika ulimwengu mzima kama ambavyo Vulgate ilitafsiriwa na mtu wa kawaida ila leo hii ndio imezaa biblia ya kiswahili sasa unaanzaje kuhoji waandishi wa NIV ila hauhoji uhalali wa waandishi wa KJV??

Jikite kwenye hoja ni hivi 8:10 tunaona Yesu kabaki mwenyewe ila ghafla anawahutubia watu kufikia 8:12 ndio wanatheolojia wakaona hio text iliongezwa maana kwenye dead sea scroll haipo kabisa hicho kipande yaani kipo misplaced ila naona wwe unapingana na biblia hiyo hiyo unayosema ni neno la Mungu!!

Tutafika kweli
 

Hivi ni kuulize mawe watu walikuwa wanapigiwa hekaluni enzi hizo? Hekaluni wangeweza kusema Bwana Yesu akiandika aridhini/ground kwa kidole.

Lakinu kungekuwa na nia ovu/dhamira mbaya yeyote hao walio andika hapo kwenye footnotes wange ta andika waliyo ya andika?
 
There are a number of differences between KJV and NIV:
  1. The language - The KJV was translated into the English of the day (1600's) and the NIV into modern English.
  2. The KJV is a more direct, word-for-word translation; the NIV more "dynamic equivalent" (idea-for-idea).
  3. The KJV used the best Hebrew and Greek manuscripts available at the time and chose a single version. The NIV used the best manuscripts available at the time, including the newly-discovered Dead Sea Scrolls and used footnotes to indicate major differences between manuscripts. This means that some verses found in the main KJV text, are only found in the footnotes of the NIV.
As for the actual content and message, the two translations are essentially the same. If you want a good middle-of-the-road translation, the NIV is a good choice, especially for non-Christians or people unfamiliar with Christian ideas. If you want a authoritative and well-known translation for memorization, or like the archaic language, the KJV is a good choice.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…