Siri iliyofichwa kuhusu BIBLIA

Sasa kwanini hizo injili zingine haziwekwi hadharani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakusahihisha kidogo, hapo siyo Quran na Biblia bali ni QURAN, INJILI TOURATI NA ZABURI. sijui maana ya biblia ila naamini ni mkusanyiko wa vitabu vya mitume na manabii ambao baadhi yao hawatambuliki katika UISLAM. All in all Tunatakiwa tusome vitabu vyote ili tuwe na ufahamu zaidi kuhusu imani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HOW GIVES? VIVID EXAMPLES.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HOW GIVES? VIVID EXAMPLES.

Sent using Jamii Forums mobile app
1. Biblia ilikuwepo na yeye aliikuta hakuna ubishi kuhusu hilo

2. Biblia inaonyesha kuwa mtoto pekee wa Ibrahim ambaye aliambiwa amtoe sadaka ni ISAKA wao wanamwita ISIAKA mwana wa ahadi na wa uzeeni mwa SARAH wao wanamwita SARAT mke halali na wa ndoa wa Ibrahim

3.Kitabu chake kilichokuja baadaye hiyo story ipo lakini imepindishwa na kinaonyesha kuwa mtoto ambaye Ibrahim aliamriwa amtoe sadaka ni ISHMAEL ambaye hakuwa mtoto wa ahadi wa ibarahim bali alizaa na Housegirl wake aitwaye HAJIR baada ya kushauriwa na mkewe SARAH baada ya kuona kilometa za umri zimesonga na kuitupilia mbali ahadi aliyopewa na Mungu
 
Tuletee basi hivyo vitabu vilivyoondolewa kny biblia mfano vya Enoch?
Ningefurahi sana mkuu.
 
UNAELEWA MAANA YA VIVID EXAMPLES?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya mambo ni mazito. Nafikiri hayo ni moja ya mambo yanayosababisha kuwepo na madhehebu mengi mno. Siezi kujudge yet....nafanya research kwanza...

Bwana yesu asifiwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…