Baba jayaron
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 4,324
- 5,933
Bwana @zittojunior nafahamu namna unavyoheshimika hapa jf kwa mada tata na vikirishi ila nikusaidie kitu kimoja cheza na mipaka yako katika mambo yanayomuhusu Mungu yaani hapa sizungumzii dini wa dhehebu.Mkuu hii mada niliweka Rai yangu mapema kabisa kuwa nachokoza mada ili kupata maarifa na wala sikusema biblia imekosewa au ina mapungufu ila nimehoji kwamba kwanini sababu zilezile zilizopelekea vitabu nilivotaja kutolewa hazijatumika kuvitoa vingine vyenye kasoro hizo hizo??
Ni vizuri tusome kwansa historia ya Biblia kabla hatujaanza kukosoa maana unaposema kilivuviwa nani amesema hakijavuviwa??? Nachohoji nini kilipelekea ile kamati ya Constantinople kupunguza hivyo vitabu ilihali kasoro walizoainisha ndio hizo hizo zimepatikana kwenye biblia
Hapa ndio mzizi wa mada, ni vizuri tuijadili kwa utulivu na kueleweshana kuliko kuanza kuitana WAFUASI WA SHETANI kisa kuhoji tu hatutafika kwa kweli tujifunze kujihusisha na mjadala ya faida kuliko ushindani.
Ni hayo tu
Sijaona utata katika vilivyoandikwa katila bibli kwakua ni vitu vya kiimani na si kisayansi kwamba vinahitaji scientific proof.... Huweizi pata.
Ninauhakika hujisoma biblia ukaielewa nnauhakika hii hoja umeiokota.... Ni kwamba mi si muandishi mzuri ila nishakutana na hoja hizi wakati nafuatilia imani zilizo kinyume na Mungu.....
Ukisoma biblia Agano la kale na jipya limetofautiana kimapokeo tuu lakini kusudio la Mungu lilikua moja tu na bado liko vile vilehata sasa.
Tambua baraza lilipata mamlaka ya kipi kiingie kipi kitoke kutoka kwa Mungu (uvuvio) na huo ndio mpaka wangu wa kuhoji kibinadamu zaidi ya hapo najitahidi nifike peponi nikamuulize Mungu mwenyewe.