Unamshauri mwenzio akavute wamchanganyie na dawa za kulevya ile kwakeJaribu kutumia siku moja boss, kuna watu hadi wanakufa hawajajaribu sijui wataenda kumueleza nini Jah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamshauri mwenzio akavute wamchanganyie na dawa za kulevya ile kwakeJaribu kutumia siku moja boss, kuna watu hadi wanakufa hawajajaribu sijui wataenda kumueleza nini Jah
Huwezi mjua maana wasanii ni wengi either walitumia au bado wanatumiaJoseph Mbilinyi
Sasa hao madogo wanawehuka na bangi fake wakipata original itakuwaje maana bangi original Ni kali mno ukismoke msokoto mmoja tu huwezi ongezaTatizo uchakachuaji, madogo kitaa wanakua machizi kwa bangi fake.
Mi nikipata kitu og ntapiga ila hawa mapusha wa kitaa uongo mwingi.
Yes, moshi wa sigara una madhara kwenye mapafu na sio wa bangivp kuhusu Moshi wake madhara kwenye mapafu(cancer)?
Kama hio ya Tyson ndio zimeanza kuzagaa huku mijini bangipori inaenda kuadimikaluck dube alikuwa babylon,
rasta asievuta mkalidoza..
hivyo edit hapo.
afu bangi pori ndo nzuri hiyo ya mike tyson kwenye greenhouse ni soft sana.
Mjini tunapigwa sana ivi nikichukua kopo nikaweka mbegu zake alafu nikawa namwagilia si itaotaa? uzuri bange haitaji mbolea.Tatizo mnanunua bange mjini
Mie nafuata bange vijijini nanunua hata debe tatu naweka ndani mzigo pure ambao haujapigwa mix na madude
Umekutana na watu zimewaletea matokeo negative,ndio maana unaambiwa si kila mtu anaweza kuvuta bangi,ipo hivi ukiona ukivuta bangi unakuwa kituko mbele za watu acha Mara moja hio bangi sababu itakuathiri,ila ukivuta ukaona inakuletea mawazo + hio kaya endelea kuitumiaHii bangi usiitabirie asee ina upande ni mzuri na upande ni mbaya sio nzuri
Kuna baba mkwe wangu ni mvutaji mzuri wa bangi kabla hatujamgundua ukorofi wake unatokana na nini tulikuwa tunachanganyikiwa
Kuna wakati aliugua sana ikabidi aache pombe na sigara sababu alikuwa kwenye uangalizi maalum wa familia
Mpaka kapona akawa hata atoki toki home alikuwa mtulivu balaa
Mtu mzima akipona uwe,i mwambia ake nyumbani
Basi kabla baada ya kurudi kijiweni mzee si karudia njemu,au kaya we alianza ukorofi wake kipondo kwa mkewe kama kachanganyikia
Bangi mbaya asee
Mimi nina mtoto wangu akivuta bangi anakuwa muongeaji wa ovyo kuwai kutokea na siku akiwa ajavuta anakuwa ni mtu smart mpaka najifeel mwanangu bora asingegundua ganja
Nina mengi kuhusu bangi kiukweli siikubali
Bora hata hiyo ya Tyson green house ya huku mtaani ni uchafu mtupu ukivuta koo linauma balaa ngoja na Mimi nijaribu green house ya bangiKama hio ya Tyson ndio zimeanza kuzagaa huku mijini bangipori inaenda kuadimika
Unataka muntegee?[emoji848]Unazifuata Arusha ukitokea wapii?
Hao amesema hana uhakika naoLeo ndo nikajua Nyerere na Mandela walikuwa wanavuta bangi[emoji848] Dah!
chambua vizuri toa vijiti vijiti na mbegu koo halitauma moshi unakua mwepesBora hata hiyo ya Tyson green house ya huku mtaani ni uchafu mtupu ukivuta koo linauma balaa ngoja na Mimi nijaribu green house ya bangi
Acha woga wewe!Unataka muntegee?[emoji848]
Hawa wanachanganyiwa na mazaga mengine mkuu.Sasa hao madogo wanawehuka na bangi fake wakipata original itakuwaje maana bangi original Ni kali mno ukismoke msokoto mmoja tu huwezi ongeza
Afu sijui ni kwa nini tunashika hivyo, maana nilijaribu kushika kama wavuta sigara za viwandani nikashindwa, ikabidi nishike hivyo hivyo kama huyo jamaa hapo pichanibila kusahau tajiri namba moja duniani Elon musk ni mtumiaji mzuri wa msubaView attachment 2267335
Sent using Jamii Forums mobile app