SIRI Iliyojificha Kwenye Bangi inayofanya Kukatazwa Matumizi Yake Nchi Nyingi Duniani hasa Afrika

SIRI Iliyojificha Kwenye Bangi inayofanya Kukatazwa Matumizi Yake Nchi Nyingi Duniani hasa Afrika

luck dube alikuwa babylon,
rasta asievuta mkalidoza..
hivyo edit hapo.
afu bangi pori ndo nzuri hiyo ya mike tyson kwenye greenhouse ni soft sana.
Kama hio ya Tyson ndio zimeanza kuzagaa huku mijini bangipori inaenda kuadimika
 
Tatizo mnanunua bange mjini
Mie nafuata bange vijijini nanunua hata debe tatu naweka ndani mzigo pure ambao haujapigwa mix na madude
Mjini tunapigwa sana ivi nikichukua kopo nikaweka mbegu zake alafu nikawa namwagilia si itaotaa? uzuri bange haitaji mbolea.
 
Hii bangi usiitabirie asee ina upande ni mzuri na upande ni mbaya sio nzuri
Kuna baba mkwe wangu ni mvutaji mzuri wa bangi kabla hatujamgundua ukorofi wake unatokana na nini tulikuwa tunachanganyikiwa
Kuna wakati aliugua sana ikabidi aache pombe na sigara sababu alikuwa kwenye uangalizi maalum wa familia
Mpaka kapona akawa hata atoki toki home alikuwa mtulivu balaa
Mtu mzima akipona uwe,i mwambia ake nyumbani
Basi kabla baada ya kurudi kijiweni mzee si karudia njemu,au kaya we alianza ukorofi wake kipondo kwa mkewe kama kachanganyikia
Bangi mbaya asee
Mimi nina mtoto wangu akivuta bangi anakuwa muongeaji wa ovyo kuwai kutokea na siku akiwa ajavuta anakuwa ni mtu smart mpaka najifeel mwanangu bora asingegundua ganja
Nina mengi kuhusu bangi kiukweli siikubali
Umekutana na watu zimewaletea matokeo negative,ndio maana unaambiwa si kila mtu anaweza kuvuta bangi,ipo hivi ukiona ukivuta bangi unakuwa kituko mbele za watu acha Mara moja hio bangi sababu itakuathiri,ila ukivuta ukaona inakuletea mawazo + hio kaya endelea kuitumia
 
Kama hio ya Tyson ndio zimeanza kuzagaa huku mijini bangipori inaenda kuadimika
Bora hata hiyo ya Tyson green house ya huku mtaani ni uchafu mtupu ukivuta koo linauma balaa ngoja na Mimi nijaribu green house ya bangi
 
Dah naona vijana wamechangamka balaa... nimeishia hapo kwenye meditation nikaona hapa tumepigwa nikaacha
 
Huwezi kujivutia bangi tu bila azma, inabidi uwe na sababu kuvuta hiyo bangi,wengine wako specific kuwa navuta ili nipate concentration na focus kwenye vitu kama kusoma,utulivu,kazi nk, bangi huvutwa kwa utaratibu maalumu kabisa na Wala siyo kwa kutaka sifa, tena wengine huvuta chini ya uangalizi maalumu wa mtaalamu na kiwango maalumu aidha kwa mwaka kabisa, vijana huku mtaani wanavuta bangi kwa lengo la sifa na uhuni ndiyo maana wanakaa juu ya makaburi wakidhani ni benchi za kukalia...
 
Back
Top Bottom