Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Mleta una funza kichwani na SIO ubongo. Kwanini vijana mnakurupuka kuandika bila kujihakikishia kwanza???
Halafu utakuta mleta mada nae ana mpenzi😂😳
Bahati mbaya aliyonayo: uzi ukishapostiwa jf unakuwa mali ya jf na hana uwezo wa kufuta chochote! Aibu hii itabidi aishi nayo.futa haraka huu uzi usiendelee kutia aibu nchi
Unaulizwa maswali y msingi unajibu unazi tu. Kweli kazi ipoMatututusa Wawili wa kwanza hawa hapa.
Si vibaya hii Picha ya Admin wa CAF ikisambazwa mpaka tujuwe majina yake na Uraia wake ili tuweze kumjua kiundani.
Kunguni ameshasagwa kazi kwenu wananzengo.
Ndo page official mbonaKwanza hiyo sio page official ya CAF kwa hiyo wala haitusumbui, page official haina muda wa kupost huu uwendawazimu
Sikuwah kujua kama una akili ndogo kiwango hikiWatu wa Simba kuweni makini na huyu mtoto Ahmed Ally atakuja kuwagharimu, tunza hii thread mtakuja kuthibitisha ninachowaambia Leo.
Mwenye macho na aone ugomvi wa Barbara na Manara ni kuvujisha siri, ila Kwa huyu Ahmed Ally Kwa utoto wake msiruhusu ashiriki vikao vyenu nyeti mmekwisha, mtafungwa na Yanga hata miaka 10 mfululizo.
KumbeHuyu mbona ni Rabbi Humme admin na mpiga picha wa Simba
Caf-online hiyo ndo official page, hiyo nyingine ni interclub competition inaweza ikawa na admin kila nchi mwanachama
Mimi mwenyewe ni admin wa system fulani huku ofisini, lakini wala huwa sio siri kujulikana kuwa mtu fulani ni admin, siri ni password ya system. Ndugu Matola sijajua admin wa Simba aka admin la CAF unachukuliaje kama akijulikana hadharani, kwamba eti siri imevuja? 🤣 🤣 🤣Watu wa Simba kuweni makini na huyu mtoto Ahmed Ally atakuja kuwagharimu, tunza hii thread mtakuja kuthibitisha ninachowaambia Leo. Mwenye macho na aone ugomvi wa Barbara na Manara ni kuvujisha siri, ila Kwa huyu Ahmed Ally Kwa utoto wake msiruhusu ashiriki vikao vyenu nyeti mmekwisha, mtafungwa na Yanga hata miaka 10 mfululizo.