Siri imevuja namna Marekani alivyoionya Urusi kuhusu matumizi ya nyuklia Ukraine


Jitahidi kujielimisha zaidi kwa kusoma majarida mengi about military might of the super powers utaona US iko level zipi! Military installations in US bases around the world [emoji289] and underwater fleet of attacking vehicles compares to non in the world. Russia [emoji635] ni Soviet style propaganda zaidi kuliko the true capacity.
 
Sasa kama unayoyasema yana ukweli, mnaogopa nini kwenda kumfurusha ktk maeneo aliyojimegea?? Kama mlivyomfurusha Sadamu kule kuweit
 
Wewe mpumbavu Marekani kapigana lini vita Syria au Yemen , hivi unafikiri humu unajadiliana na ngumbaru wenzako sio ?
Hapa unajadiliana na watu wenye akili na si wavuta bangi wenzako kwa jaribu kuwa na staha.
Marekani hakupigana lakini silaha zake zilikuwa zinatumika kwenye hiyo migogoro na zilishindwa vibaya sana kwenye medani ya kivita na silaha za kiiran.
 
Ushabiki mwingine wa kijinga tu. Sasa ulichosema sio sawa na kilichoandikwa kwa kingereza.
 
Mkuu humu kuna ushabiki maandazi, hivi urusi ingekua iko afrika kwenye opareshen ya miezi 7, mmarekani bado anatishia, kifupi marekani anamwogopa huyo mrusi na ushawishi wa marekani unazidi kupungua,
 
Kwa hiyo tuseme,Urusi akizidiwa ataomba ruhusa ya Marekani kutumia nyukilia?
Marekani alipigana Nchini Vietnam kwa miaka 10 mpaka akashindwa na kuamua Kurudisha nyumbani Wanajeshi,Licha ya Vietnam kusaidiwa kwa kupokea Silaha na Wanajeshi kutoka China na Usoviet lakini Marekani haikutumia Silaha za Nyuklia licha ya Kuwa nazo kipindi hicho. Sasa Nini kinakushawishi kwamba Urusi itatumia Silaha za Nyuklia endapo itashindwa Vita huko Ukraine?
 
Hakuna kitu kibaya kama kukalili.

Toka Dunia iumbwe Marekani haijawahi kupigana vita kubwa ndani ya ardhi yake.
Tukio alilopigwa Marekani na Japan Pear Harbour ndilo lilopelekea Marekani kutumia nyukilia.
Nakukumbusha Urusi Sio Japan.
Ndo maana nakwambia hakuna vita Russia atashinda kwa USA.

Military base zote zitatumika kumpiga Russia, huo muda wa kufika Marekani utaupata wapi wakati unaishia kuzuia mashambulizi toka kila kona?

USA is strategically positioned to fight anyone in this world.

Ntakuletea picha ya military base zote zilizomzunguka Russia.
 
Dah! Huu ni msiba. Hivi umeelewa vizuri nilichokisema?
 
Kwamba ukrain hana hizo silaha za nuclear?
 
Namaanisha..au w ushabik umekulevya na kudhan tu mwenye nuclear ni mrussia tu?
Nime kuuliza hivyo ili nipime uelewa wako na bahati nzuri kutokana na ulicho nijibu nimegundua una uelewa ni mdogo sana kuhusu siasa za kimataifa hivi unadhani kumiliki nyukilia ni rahisi eti?

Ukraine ingekuwa na silaha za kinyukilia Urusi isinge thubutu kufanya anacho kifanya sasa hivi.
 
Unajua sheria ya kimataifa kuhusu matumiz ya nuclear bom?ingekuwa rahc kama unavyofikiria huyo mpiga kelele wa rushia angeshayatumia ila anaogopa maana akijarbu tumia tu atapigwa kama ngoma....kiuhalisia hata hizo silaha zinazoletwa na west hata nukes zipo kwa hyo usikarir kwa kusema tu rushiq ndo mmilik wa hzo zana tu...watu wanazo ila wanamlia timing tu ajichanganye ili wampasue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…