Siri imevuja namna Marekani alivyoionya Urusi kuhusu matumizi ya nyuklia Ukraine

Story za mghahawani kimanzichana hizi!
 
Akili za kutia aibu hizi!
 
Israel haijawahi shambulia pasipo sababu,huwa wana retaliate pale wanaposhambuliwa unataka wawachekee waarabu ili iweje,ni kitu gani kinachokufanya usione hili?vipi kuhusu vita vya urus na chechnya ulikuwa upande gani?
Hakuna taifa linashambulia taifa lingine bila sababu, tofauti zilizopo ni kukubaliana na hizo sababu, by the way sijaongelea kuhusu kushambulia. Nilichokuwa naongelea ni huwalibifu wa kivita/war crimes
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…