Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
- Thread starter
-
- #21
Itafika mda time itakua slowmpak itamantain past mkuu katk speed hiyo na zaidi kwahy ikizid apo tunarudi nyuma mfano 1961 Tanganyika inapata Uhuru.Hakuwa kwenye past. Time kwake ilikuwa inamove slowly lakini sio kurudi nyuma.
Kwenda past ni pale time inarudi nyuma, yani miaka inarudi nyuma.
Kwasababu hujaelewa haimaanishi zimekaa kiimaniKatika theory za physics ambazo sijawahi kuzielewa zimekaa kiimani zaidi ni hii ya relativity
Hakuna kurudi past. The best you can get is time kustop ila sio kurudi nyuma.Itafika mda time itakua slowmpak itamantain past mkuu katk speed hiyo na zaidi kwahy ikizid apo tunarudi nyuma mfano 1961 Tanganyika inapata Uhuru.
Impossible is possible mkuu ata hapa tulipofikia Kuna watu walisemaga haiwezekan ,labd limit itakua ni technology tu na knowledge miaka 1000 mbele ,kwa kizazi Chao watakua wamemodify vitu atleastHakuna kurudi past. The best you can get is time kustop ila sio kurudi nyuma.
Na hii ni kwasababu ya speed limit ya causality yani nothing can travel faster than 299,792,458 m/s
Na katika hiyo speed ndio inakua time imestop.
So Kama wewe ni photon uliyetoka galaxy iliyo 3billion lightyears away...ukiondoka huko na kufika duniani kwako inakuwa instantly, yani in 0seconds...wakati distance uliyotembea umetembea kwa 3billion years.
Hii inatokana na time dilation, na Lenght contraction
Sawa, lakini to our current understanding and theories..it is impossible.Impossible is possible mkuu ata hapa tulipofikia Kuna watu walisemaga haiwezekan ,labd limit itakua ni technology tu na knowledge miaka 1000 mbele ,kwa kizazi Chao watakua wamemodify vitu atleast
Unajua kwanini huwezi kusafiri zaidi ya speed ya mwanga?Impossible is possible mkuu ata hapa tulipofikia Kuna watu walisemaga haiwezekan ,labd limit itakua ni technology tu na knowledge miaka 1000 mbele ,kwa kizazi Chao watakua wamemodify vitu atleast
Kiuhalisia ,hakun uwezekano huo ,ila theory ya past inastay the sameUnajua kwanini huwezi kusafiri zaidi ya speed ya mwanga?
Kwaninj haiwezekani?Kiuhalisia ,hakun uwezekano huo ,ila theory ya past inastay the same
Hapa unamzungumzia mwanga mchawi matunguli au mwanga yupi mkuu?spidi ya mwanga
Science inatafsiri uumbaji.As days goes on i see there is a very thin line between science and faith!! Ifike pahala mmoja amkubali/amsujudie mwenzake ili tutambue/tugundue mambo mengine makubwa zaidi! I think science has to bow down,wafanye combination am sure yataibuka mapya ya ajabu!
Naongelea Light. iwe mwanga unaoonekana au ule usioonekana kama Xrays, radio, microwave, infrared nk.Hapa unamzungumzia mwanga mchawi matunguli au mwanga yupi mkuu?
Physically ni ngumu mkuu,kusafir Zaid ya speed ya light , consequences unaweza kujikuta kweny black holes mazimaaKwaninj haiwezekani?
Nikajua mwanga ndumba wazee wa chale kumbe mwangaza, nmekupata mkuuNaongelea Light. iwe mwanga unaoonekana au ule usioonekana kama Xrays, radio, microwave, infrared nk.
Kivipi? Kwanini ni ngumu physically?Physically ni ngumu mkuu,kusafir Zaid ya speed ya light , consequences unaweza kujikuta kweny black holes mazimaa
Iko ivi any body in motion inatumia energy(nishati) ambay Ina functional na mass na velocity sas beyond speed of light hakuna matter yoyote katka universe inayoweza withstand iyo nishati ata nukta ,particle na ndio maan smallest particle ikaw iyo photon of light otherwise utujuze mwanasayansi... nieleweke apo.Kivipi? Kwanini ni ngumu physically?
Na kivipi ujikute kwenye blackhole?
That's impossible.Hii haiwezakani
If we travel to the past then we can change the present and the future
Imagine the consequences