mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popote pale kwenye ulimwenguNa utakuwa uko wapi ukiamua kusimama?
Iko swala ambalo haliwezekani kabisa mzeeSiku wanasayansi watakapoweza kuunda chombo kinachoweza kusafiri kwa kasi ya mwanga, na wakaweza kusafiri kwenye chombo hicho, mengi muno yatawezekana na mengine mengi tu ambayo kwa sasa hata theory zake hazipo; bado hazijawa developed!
Kwa theory inawezekana ila kiuhalisia itachukua mdaIko swala ambalo haliwezekani kabisa mzee
Mzee emu projectile iyo process inaweza kuwaje yaani body yenye mass isafiri zaidi ya mwanga embu nipe formation inayoweza kutuma kuitoa body point A to point be with a speed faster than a lightKwa theory inawezekana ila kiuhalisia itachukua mda
Wakati wanasema Kuna X rays, gamma ray and beta particles mtu kama wew ungeamini kwamba tutaweza kuzicontrol?Mzee emu projectile iyo process inaweza kuwaje yaani body yenye mass isafiri zaidi ya mwanga embu nipe formation inayoweza kutuma kuitoa body point A to point be with a speed faster than a light
Wee mshamba wa arse8 na hizi mambo za theory wapi na wapi?Albert atuache kwenye hii theory yake ya relativity
Mkuu HAYA LAND , asante kunialika, mimi ni mtu wa arts, haya mambo ni watu wa science, tena hii ni quantum physics, mimi kwa upande wangu nimefundisha humu kitu kinachoitwa PSI Powers za psychic ambazo application yake haina mass, distance and time, ambazo they can't be proved scientifically, na kuonekana kama magic.Hii Mada ngumu mualike Pascal Mayalla
Physics imelala hapaWee mshamba wa arse8 na hizi mambo za theory wapi na wapi?
Hadi leo kuna vitu vingi tu ambavyo ni man made na ambavyo bnadamu tunaoishi sasa hatujui vilitengenezwaje; ila uhakika ni kwamba tunajua kuwa vilitengenezwa na binadamu. Upe muda nafasi yake inayostahiliIko swala ambalo haliwezekani kabisa mzee
Mfano Pyramid zilijengwa na Jamii ya Anunaki kwa dhumuni ambalo bado ni kitendawiliHadi leo kuna vitu vingi tu ambavyo ni man made na ambavyo bnadamu tunaoishi sasa hatujui vilitengenezwaje; ila uhakika ni kwamba tunajua kuwa vilitengenezwa na binadamu. Upe muda nafasi yake inayostahili
Anunaki ulishawahi kuwaona? Nani aliwahi kuwaona?Mfano Pyramid zilijengwa na Jamii ya Anunaki kwa dhumuni ambalo bado ni kitendawili
Anunaki ulishawahi kuwaona? Nani aliwahi kuwaona?