Siri ipi iliyojificha kati ya 'Space and Time' kwa kutumia 'Relativity Theory' ya Albert Einstein?

Mkuu napenda sayansi ila hii story nadhani iko uku bongo tu alienda wap akat mwanadanu hajawai safiri zaid ya 2second of speed of light ambao ni umbali wa dunian na kwenye mwezi uyo alienda wapi na kwa chombo gani? Hii ni nadhalia tu
Tunatumia theory na/ hypothesis kwa kuzingatia facts zingine za kisayansi ambazo tayari zipo!
Kwa mfano, tutakapokuwa tumeweza kutengeneza gari zenye uwezo wa kukimbia km 1000 kwa saa, gari hizo zitakuwa zina uwezo wa kusafiri kutok Dar es Salaam kwenda Mwanza chini ya muda wa saa moja na nusu. Hiki ndicho tunachokiongelea hapa
 


Kwa idea yako wewe the only way ya kusafiri ni lazima iwe hivi hivi?body of mass?umewahi waza njia zingine? hologram unaifaham?
 

Yani hili hambo la kusafiri kwenda past au kurudi past wanasayansi wangeweza basi mimi ninge waunga mkono kwenye safari hiyo nisafiri kurudi past hili nikarekebishe baadhi ya mambo yangu ambayo niliyafanya uko past...bahati nzuri hili jambo haliwezekani kabisa ndio maana linabaki kuwa theory tuu!

Kusafiri zaidi ya mwanga nalo ni jambo ambalo haliwezekani kamwe...hakuna spidi inaweza kuzidi spidi ya mwanga...
 
Kwa idea yako wewe the only way ya kusafiri ni lazima iwe hivi hivi?body of mass?umewahi waza njia zingine? hologram unaifaham?
Hii speed limit sio kwa mass tu...no information can travel through space faster than light.
Holograms need to send informarion through space.
Key word ni hiyo niliyoibold (Through space).
So kutravel faster than light maybe usitravel through space...maybe uibend space, ndio vitu kama Warp drives.
Lakini ukifanya hivyo then hautaaffect time yako ndani ya hiyo curved spacetime.
So utasafiri umbali mkubwa kwa spidi kubwa bila kuleta hizi relativistic effects tunazoongelea hapa kama time dilation & length contraction.
 

And the time can not stop
 
Hakuna na haitakuja kutokea kitu chochote kilicho tengenezwa na binadamu kikaweza kusafiri kwa speed ya mwanga, kwanini?, kwasababu kitu kiweze kusafiri kwa speed ya mwanga kinabidi kwanza uzito (mass) upotee kabisa na matter (maada) lazima iwe na mass hivyo kabla ya kufikia speed ya mwanga lazima kita disintegrate (kuvunjika vunjika).

Mpaka sasa hivi ni photons tu za mwanga ndo zinasafiri kwa hiyo speed, na kumbuka photons hazijatengenezwa na binadamu bali ziligunduliwa tu kuwa kwenye mwanga kuna photons. Mpaka sasa hakuna mwenye uwezo wa kutengeneza hizi photons za mwanga inakuwaje mtu useme kuwa itawezekana kutengeneza chombo kikubwa cha kuweka binadamu kinachosafiri kwa speed ya light.
 
Safi.
Actually Time is fiction.

Everything is happening Now.

We are a product of trillionth Derivertives of ONE !

So an intelligence is to try to understand the set up of the Original Masterplan.
 
Uko sahihi kwa kiasi kikubwa

Evolution ya Science inataka kuvunja huo ukuta.

Matter is where we are blocked...

But inside Matter there is even all which is not Matter...

Sasa hivi Science inahangaika na SMART LIFE..

Kwa mfano kwa sasa kuna Engineering juu ya DNA...

DNA itatuletea majawabu mengi sana....

Nayo ina Derivatives in Billions...

But the beuty of this is Energy which is everywhere...

The Light itself is an Energy...

Behing the Matter there is an Energy...

So at times we de-code these codes...

Everything shall be possible...
 
Hapa iko hivi;

Mass of gravity ni sawasawa na oxygen atom za kwenye space ya kawaida wakati acceleration ya photon yenye 2.0999 per second inafunction kikawaida kwenye radiation za estomosisi . Jambo hili pia linaweza kitokea iwapo time travelling ita respond na intactibility ya mwang wa jua tulionao kwa sasa.. simpo tu

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
 

DNA na Light energy ni vitu viwili tofauti, wanachokifanya wanasayansi kwenye DNA transformation Engineering ndo kinachofanyika kwenye physics ambacho ni energy transformation na sio kutengeneza DNA au kutengeneza energy. Maana ukiweza kutengeza DNA means unaweza tengeneza cells mwishoni unaweza tengeneza binadamu au mnyama au kumrudishia binadamu uhai kama amekufa hapa ndipo science imefika limits zake kwenye Biology upande wa Cells (RNA-DNA), na kwenye physics ( light au speed ya limit). Na kwenye hizi limits ndipo Faith au Dini inasimama kuelezea hayo yote kuwa kuna Mungu.
 

Mkuu toa ufafanuzi vizuri, sijakuelewa, nisaidie kuelewa uhusiano uliopo wa time traveling na mwanga wa jua?
 
Am completely lost...
Sijaelewa lolote
Ni kwamba ukienda past ile past inageuka future yako na ukibadilisha chochote basi tayari utakuwa umetengeneza timeline nyingine.
Na hii timeline uliyotoka ambayo ni original future yako itabaki vilevile.

Sababu time flows in one direction, hii inamake a lot of sense. (ishia hapa ili kutojichanganya).

Kuliko kusema kurudisha time nyuma, time ambayo iko intertwined na space ambayo ni universe inayotanuka faster zaidi ya speed ya mwanga. Hapa tunaongelea kubadilisha reality kitu ambacho ni complicated na kigumu out of all.
 
Hulk, Avengers: Endgame.
Theory ya writer inamake sense a lot.
Kurudisha time nyuma ili kuchange future ni kusema unataka kurudisha universe nzima nyuma na kui-rewrite tena, universe ambayo ni unlimited tena inayotanuka kwa speed kubwa than that of light itself. Utahitaji unlimited amount of energy kitu ambacho tayari ni impossible vilevile. jumping in another copy of our universe at some point in time makes sense. parallel universe at least inasupport hii idea ya kutengeneza unlimited timeline tofauti kutokana na maamuzi tofauti.

Hata hivyo none of it is possible zitabaki kuwa theory tu.
 
Kipo kinachokimbia zaidi ya mwanga
Ulimwengu una expand kuliko speed ya mwanga
 
Na utakuwa uko wapi ukiamua kusimama?
 
Kipo kinachokimbia zaidi ya mwanga
Ulimwengu una expand kuliko speed ya mwanga
Hakuna kitu chenye mass kinachoweza kusafiri through space kuzidi spidi ya mwanga.
Space haina Mass.
Space yenyewe inaexpand kuliko mwanga.
Kwahyo ukitaka kusafiri kwa spidi kubwa kuliko mwanga labda usisafiri through space, labda uibend space yeenyewe (warp drive)
Na ukifanya hivyo unakuwa haujavunja laws za relativity.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…