Siri: Kiini cha mgogoro unaofukuta ndani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Konde

Jerry alikua noma sana nafikiri ilikuwa miaka ya late 1990 au early 2000 kama sijakosea. Jamaa nasikia alikuwa akipiga pamba na kusukuma ndinga kali balaa pamoja na chuchuz.
Yule jerry mngwamba aliishi kifahari sana, alichukua uraia wa marekani yeye na familia yake wakaenda kushi US, huku akiongoza kanisa kwa kutuma waraka kila jumapili...nakumbuka kila jumapili sharika zote za dayosisi lazima usomwe WARAKA KUTOKA KWA BABA ASKOFU JERRY MNGWAMBA' huku yeye yupo marekaniiiii....alikuwa mjanjajanja sana
 
Hii yote ni kwasababu ya kanisa kutokuwa na hierachy inayoeleweka.

Katoliki upuuzi kama huu unadhibitiwa na haujirudii.

Hawa miaka kadhaa iliyopita diocese ya kaskazini iliwakilishwa waumini wake bonge moja la deni huku waliokula pesa wanakunywa mvinyo. Ipo shida. Kutokuwa na sauti moja.

Yesu sio mjinga kuliacha kanisa na kiongozi Petro. Ambaye naye aliliacha kwa Polycarp,ireneus mpaka sasa Francis. Sio bure.
 
hapa juzi huku nako ilikuwa kulipa pesa isiyojulikana,

sasa hili kanisa inakuwaje, tutahamia wapi

Tulilipa deni la Corridor hadi jasho lilitutoka.

Nadhani level ya Dayosisi kuchukua mikopo ni risk kubwa sana.

KKKT Makao Makuu wapewe nafasi ya ushauri kabla Dayosisi hawajachukua mikopo.

Makao Makuu wapo wataalamu wa kutosha.
 
wanakemeaje uovu wakati maskofu wao ni wakola?hilo kanisa migogoro haitaisha na haijaanza juzi.hawa ni sawa na madhehebu mengine yaliyobaki kazi yao kubwa ni ukola tu ndo maana hata magari wanayotembelea ni posh car huwezi kukuta askofu wa kikatoloki akatembelea magari ya kifahari.
 
Kkkt dayosis ya kazkazni Kati Happ Arusha mjini tuliwahi kuingia ktk kulipa deni la crdb. Kam billion 4 HV mkopo uliochukuliwa kujenga hotel ya kitali ya cordor springs hotel

Binafs nililipa shiling laki mbili ilo niweze kusali na kupat huduma mbli mbali za kikanisa
Nakumbuka nilikosa amani kbsa ilibid nililipe Deni Hilo ili niweze kuwa na amani

Hvho hvyo wahumi wa konde mjiandae kulilipa Deni hilo
 
hapa juzi huku nako ilikuwa kulipa pesa isiyojulikana,

sasa hili kanisa inakuwaje, tutahamia wapi
Wee dad etu nawe unasali kkkt kumbe hata mm nimuhumini mzuri na mtifu wa kanisa hilo
 
Tangu mgogoro uanze hakuna hata upande mmoja uliowahi kutaja deni, mvutano ni makao makuu ya dayosisi hayo mengine ni kutapa tapa kwa waliofukuzwa.

Halafu unauliza Shoo ameingiaje? Kwamba hujui ni mkuu wa kanisa? Atulie tu wagawane mbao sio?
Mpuuzi San mleta mada shoo anahusika vip na migogoro ya wanyakiyusa
 
Umeeleza vzr San mkuu

Mwaka 2017 na 2018 nilikuwa nasali hapo ruanda kkkt nilishanga kuona kuwa makao makuu Ni tukuyu niliona mambo ya ajbu Sana


Mungu ikumbe sadaka zangu ktk ushairika huo wa luanda niliweza kutoa kadri nipatavyo japo hawan kanisa zuri na kubwa ila nilisali pale mm mnakutoa zaka zangu zote
 
Umeainisha vyema snaa
 
Huu mgogoro kiukweli haukutakiwa kusuluhishwa na malasusa Kwan anamaslah katika mgogoro huu.

Kwao ni huko tukuyu

Cjajua mgogoro wa wa dayosisi ya kusini umefikia wapi, maana jimbo la mufindi ni kma Crimea katika nchi ya Ukraine
Malazuza ndie anaye injinia haya yote Yuko nyuma ya mgogoro huu wa konde

Awezi kukubali dayosis itoke kwao huko rungwe iende mbeya mjini hapo ruanda
 
Saas Hawa machawa Ni vijana wa luanda kkkt pale ambako ndio kiti Cha uaskofu imepelekwa kinyemela pale nawapata vzr San Hilo kundi la hao wahuni
 
Naufatilia mgogoro huu nione mwisho wake ila sioni Sababu ya kumuhusisha askofu shoo ktk migogoro wa konde na wanyakyusa

Kwanza nawasii Sana wahumi wa konde wajenge makanisa ya kisasa Kama ilivyo Arusha na Moshi nimeona hampo serious San kujenga mahekalu mazuri mnangangania tu madaraka of which hamwezi kueta tija na maendeleo
 
skofu Mwaikali na baadhi ya maaskofu wasomi wamekuwa tishio kwa Askofu Shoo
Hao maaskofu wana usomi gani ambao Askofu Shoo hana?

Cheo cha Shoo si kina muda? Na tayari ameongoza vipindi viwili? Kwa nini ahofie nafasi yake ambayo kikatiba hawezi kugombea tena?
 
Mijitu mipigaji mpaka kwenye shamba la Bwana, huko kwa kaisari itakuwaje.
 
Mimi naona huu mgogoro hauna sababu za msingi kwani dayosisi makao makuu yakihama ndio deni linafutwa
 
Mleta mada hujui chochote kuhusu huo mgogoro,ila upo upande mmoja usioujua kiundani.

Kuhusu chuo kamuulize mstaafu mmoja mdegela atakuambia A to Z.
Sasa rahisha mambo, umeshaambiwa na Mdegela chanzo Kuna haja gani mtu mwingine aende Tena kuuliza? Lete habari wewe mwenyewe.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…