Sishindani,..Kwa mfano ungeleta evidence yoyote isiyo na shaka kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka,..na ikaingia akilini basi kila mtu angekuamini humu.Nimemuuliza pia, ngoja tuone, tatizo lake anashindana ila hafungui ubongo wake.
Kwahiyo haya maelezo ulikuwa unatetea nini?Kwamba kuna sehemu nimesema kinacho block Jua ni other objects rather than moon?
Huu ni uongo sasa,..
Ni evidence Gani nimeleta na inashaka ndugu? Na wewe umeleta evidence Gani isiyo na shaka? Au unatuona ni watoto humu?Sishindani,..Kwa mfano ungeleta evidence yoyote isiyo na shaka kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka,..na ikaingia akilini basi kila mtu angekuamini humu.
Face ya Dunia haihami na haijawahi kuhama....Sio Mimi pekee, watu wengi pamoja na maelezo mengine niliyosoma yanasupport hicho,
Hujajibu swali langu pia ni njia Gani uliyofanya ukaamini Jua Linazunguka pamoja na mwezi kwenye realm Moja?
So hapo, kuna sehemu nimesema mwanga wa Jua unakua blocked na other objects rather than sun?Kwahiyo haya maelezo ulikuwa unatetea nini?
Kimsingi ni kwamba tukiwa Duniani tunachokiona ni effects za objects ambazo zinaogelea kwenye anga ku intercept due to the fact that zinapita kwenye njia moja hivyo kupelekea lunar &Sun Eclipses...
Unatakiwa u question the narrative sio kuamini 100%,. kwasababu sio kwamba idea za hao uliofundishwa ukiwa Shule zipo correct 100%,. Kwa mfano tumefundishwa kwamba kipenyo(diameter ) cha Mwezi ni 2,159 miles lakini kwenye eclipse kivuli cha Mwezi(umbra) ni 170 miles tu, kitu ambacho ni absolutely impossible kama kweli mwezi una diameter ya 2,159...ukiwa mtu wa kudadisi na kuamini intuitives zako ndiyo utaweza kufikiria critically.
Ok tuseme ni moon, Aya elezea nI kivipi moon inablock Jua kwenye flat earth?π
No,.haujaleta evidence yenye shaka wala evidence isiyo na shaka kuhusu Dunia Tufe ππΌ π linalozunguka bali umeleta maneno tu.Ni evidence Gani nimeleta na inashaka ndugu? Na wewe umeleta evidence Gani isiyo na shaka? Au unatuona ni watoto humu?
Hizo evidence zipo sema hujapenda kuzielewaSishindani,..Kwa mfano ungeleta evidence yoyote isiyo na shaka kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka,..na ikaingia akilini basi kila mtu angekuamini humu.
Kama unataka evidence kuhusu Dunia tambarare toka nje hapo kisha Tazama na tembea kadri ya umbali utakaoweza,....kama ukiona Dunia Tufe linalozunguka njoo useme humu ili wote tufike kushuhudia na mada iishie hapa.Hizo evidence zipo sema hujapenda kuzielewa
Ila dunia tambalare hakuna evidence yenye mashiko
Hapa umeshindwa kuelewa msingi wa swali tena na ndio tatizo lako,Hilo swali nadhani ulipaswa uli adress Kwa NASA wenyewe..
Wao ndiyo wanajua ni njia gani wanatumia.
Mweupe kichwani wewe hujui geometry na behavior of lightsKwahiyo haya maelezo ulikuwa unatetea nini?
Kimsingi ni kwamba tukiwa Duniani tunachokiona ni effects za objects ambazo zinaogelea kwenye anga ku intercept due to the fact that zinapita kwenye njia moja hivyo kupelekea lunar &Sun Eclipses...
Unatakiwa u question the narrative sio kuamini 100%,. kwasababu sio kwamba idea za hao uliofundishwa ukiwa Shule zipo correct 100%,. Kwa mfano tumefundishwa kwamba kipenyo(diameter ) cha Mwezi ni 2,159 miles lakini kwenye eclipse kivuli cha Mwezi(umbra) ni 170 miles tu, kitu ambacho ni absolutely impossible kama kweli mwezi una diameter ya 2,159...ukiwa mtu wa kudadisi na kuamini intuitives zako ndiyo utaweza kufikiria critically.
Ok tuseme ni moon, Aya elezea nI kivipi moon inablock Jua kwenye flat earth?π
Na Kwa kudhihirisha unaongea vitu Kwa kutudanganya mfano kama hapaππ haya maelezo ulitoa mwenyeweSishindani,..Kwa mfano ungeleta evidence yoyote isiyo na shaka kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka,..na ikaingia akilini basi kila mtu angekuamini humu.
Ni sehemu Gani tumetoka nje ya mada? Tunaongelea gravity hapa unayoipinga au?NDUGU GLOBERS AND FANS OF THE IMPOSSI-BALL,..MNAKUMBUSHWA KUZINGATIA MZIZI WA MADA HUSIKA,...WENGI WENU MNATOKA KABISA KWENYE LENGO LA MADA........
Ahsanteni.
Okay..nionyeshe uongo kwenye maelezo yangu ya juu.... nasubiri hapa.Na Kwa kudhihirisha unaongea vitu Kwa kutudanganya mfano kama hapaππ haya maelezo ulitoa mwenyewe
Regarding moon phases,hapa pia umbo la Dunia halihusiki.... Moon phases zinatokana na jinsi Mwezi unavyofanya movement kwenye anga....ambapo phase ya kwanza inaonyesha visibility ambapo Mwezi huonekana ncha yake Tu π ....na phase ya mwisho kabisa ni full moon ambapo mwezi huwa visible fully as viewed kutoka hapa Duniani.....so kimsingi Dunia na umbo lake halihusiki kwenye movement ya Jua na Mwezi Kwa kuwa Dunia ipo stationary & flat..We only observe the results of the movement of celestial bodies in the sky.,The Earth doesn't block the moon/ sun in any way.
Halafu mara paaaap!ππππ
. EclipseβοΈ & moon phase β(Ni kweli moon phases sina details zaidi kuhusu, even though moon phases hai support by any means the idea kwamba Dunia ni Tufe.
Mwanzo nimekuuliza kuhusu moon phases ukajibu kabisaππ alafu baadae unasema huna detailsππ hizi ni akili au matope? Unatuona watoto? Na umetudanganya mangapi hapa?
Wewe ulishawah kuchimba? Namm nikikuuliza same question Kwa utambarare wa Dunia yako, je utakutana na nn?Face ya Dunia haihami na haijawahi kuhama....
Dunia ni stationary flat plane hata utoke hapa Tanzania mpaka Brazil huko...... jiulize Tu swali dogo kwamba Je unaamini hapo ulipoweka miguu yako ukichimba mpaka to the other side of Tufe,... utakukutana na nchi nyingine watu wanaishi? Au jiulize ukichimba utakutana na water bodies zenye maji yaliyoshikiliwa na gravity?
Obvious,.jibu ni hapana Kwasababu Dunia nzima tunaishi kwenye same side of earth's surface which Is mostly flattened with mabonde, miinuko na milima mikubwa.
Please refute that nimeaminishwa!Kama unataka evidence kuhusu Dunia tambarare toka nje hapo kisha Tazama na tembea kadri ya umbali utakaoweza,....kama ukiona Dunia Tufe linalozunguka njoo useme humu ili wote tufike kushuhudia na mada iishie hapa.
Wewe huna ushahidi wowote wa Dunia Tufe,. instead umeamua kuamini Kwa kuwa wengi wameaminishwa hivyo.....hata videos unazoonyeshwa unajua kabisa sio real,.lakini ndiyo hivyo tena indoctrination of the mind is a very heavy burden.ππΌ
So hapo, kuna sehemu nimesema mwanga wa Jua unakua blocked na other objects rather than sun?
Kwa Dunia Tufe ni lazima unajua utakutana na nini Kati ya options mbili....Wewe ulishawah kuchimba? Namm nikikuuliza same question Kwa utambarare wa Dunia yako, je utakutana na nn?
Kama kutakuwa na nchi ntakuta nchi kama kutakuwa na water body ntaikuta
Shida uko wapi hapo?
Unaambiwa ulete ushahidi usio na shaka kuhusu Dunia Tufe linalozunguka,...unaleta habari za kurusha coin?Please refute that nimeaminishwa!
Nilisoma nikaelewa unaongelea kufeel narotate? Hapo siwezi kufeel because natembea na speed of the earth
Ukikaa kwenye gari ukarusha coin juu inaangukia mkononi kwako kwa Nini? Hiyo coin inakimbia sawa na gari!
No,.haujaleta evidence yenye shaka wala evidence isiyo na shaka kuhusu Dunia Tufe ππΌ π linalozunguka bali umeleta maneno tu.
Mimi evidence nimekupa ambayo ipo clear,. just do an observation with your own eyes usipoona flattened earth njoo utuambie hapa. Huo ndiyo uthibitisho wangu usio na shaka yoyote.