Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Ime contradict kivipi sasa hapo?

Kwanza neno lililotumika kwenye hiyo Aya hapo ni "Dahaha'" ambalo maana yake ni hii hapa chini 👇🏼

The word "Dahaha'" in Arabic refers to the action of spreading or stretching something out. It can also mean to make something flat or to expand it.
Okay me sipo vzr huko, nisije nikabadili maana.
 
Me sio mjinga au hukuona neno Egg shaped hapo?
Lakini pia unafahamu kwamba,.. Dunia ambayo ipo Egg -shaped/elipsoid kama ambavyo huwa inachorwa haifanani kabisa na Dunia Tufe?

Yaani Tufe na elipsoid ni tofauti kabisa,.. atleast elipsoid inaonekana as if it's flat kama tunavyo observe kuliko Tufe la namna hii👇🏼.......
Screenshot_20240218-232056.png
 
Yes n
Lakini pia unafahamu kwamba,.. Dunia ambayo ipo Egg -shaped/elipsoid kama ambavyo huwa inachorwa haifanani kabisa na Dunia Tufe?

Yaani Tufe na elipsoid ni tofauti kabisa,.. atleast elipsoid inaonekana as if it's flat kama tunavyo observe kuliko Tufe la namna hii👇🏼.......View attachment 2926458
Yes najua, ninatumia sphere kama wengi wanavyotumia lakini hata NASA wamebainisha vizuri Hilo ondoa shaka👇👇
"Even though our planet is a sphere, it is not a perfect sphere. Because of the force caused when Earth rotates, the North and South Poles are slightly flat. Earth’s rotation, wobbly motion and other forces are making the planet change shape very slowly, but it is still round." NASA.
 
Dunia sio tufe,..so hakuna kitu kama upande wa pili wa Dunia kwenye dunia Tufe.

Atleast ungesema upande wa pili wa Dunia kwenye flattened spread-out earth.
Sa unaona mambo yako?
Kwahy hapa napoteza muda we unamajibu yako hapa uliyotundikiwa na YouTubers na Facebook Memes sa umeziba sio masikio tu mpka ubongo.

Aya tuoneshe picha ya Dunia ilivyo flat as a whole.
 
Hilo swali nadhani ulipaswa uli adress Kwa NASA wenyewe..
Wao ndiyo wanajua ni njia gani wanatumia.


NB:- Mpaka sasa hivi ninavyoongea hakuna uthibitisho wowote usio na shaka kwamba Dunia ni Tufe [emoji1371][emoji288]... Ni maneno tu theories Kwa wingi.

Ahsante.
Unadhani nmekuuliza wewe kwa bahati mbaya ? Ama unadhani nmekuuliza swali ambalo majibu yake siyafahamu ?


Nmekuuliza wewe unijibu kwa mtazamo na elimu yako kuhusu haya tunayoyajadili hapa.
 
Yaani huku unaambiwa movements za Jua na Mwezi,..kisha Aya nyingine inakuambia kuhusu ardhi kuwa spread-out/flattened,....then unasema eti ni contradiction.


Inaonekana hata maswali ya kuoanisha yalikupa shida. anthony_art
Me sio mjinga au hukuona neno Egg shaped hapo?
 
Na Kwa kudhihirisha unaongea vitu Kwa kutudanganya mfano kama hapa[emoji116][emoji116] haya maelezo ulitoa mwenyewe

Regarding moon phases,hapa pia umbo la Dunia halihusiki.... Moon phases zinatokana na jinsi Mwezi unavyofanya movement kwenye anga....ambapo phase ya kwanza inaonyesha visibility ambapo Mwezi huonekana ncha yake Tu [emoji287] ....na phase ya mwisho kabisa ni full moon ambapo mwezi huwa visible fully as viewed kutoka hapa Duniani.....so kimsingi Dunia na umbo lake halihusiki kwenye movement ya Jua na Mwezi Kwa kuwa Dunia ipo stationary & flat..We only observe the results of the movement of celestial bodies in the sky.,The Earth doesn't block the moon/ sun in any way.

Halafu mara paaaap![emoji116][emoji116][emoji1][emoji1]

. Eclipse[emoji3581] & moon phase [emoji353](Ni kweli moon phases sina details zaidi kuhusu, even though moon phases hai support by any means the idea kwamba Dunia ni Tufe.

Mwanzo nimekuuliza kuhusu moon phases ukajibu kabisa[emoji1][emoji1] alafu baadae unasema huna details[emoji1][emoji1] hizi ni akili au matope? Unatuona watoto? Na umetudanganya mangapi hapa?
Hahahaha huyu jamaa nlishasema tangu mwanzo nna wasi wasi hata na uwezo wake wa kufikiri.
 
Ni kitu gani kimekufanya u-conclude kuwa Dunia ni flat? Unaweza kuona only small portion ya Dunia then una-conclude Dunia yote ni flat, kwann usiseme labda ni rectangular au square?

Wewe pia hujawahi kuzunguka Dunia nzima ukafika kwenye Kingo za Dunia ukathibitisha uflat wa Dunia. Hakuna picha au video yoyote iliyowahi kupigwa either real au CGI (kama mnavyodai) ikionesha Dunia ni flat.

Kwa maelezo yako, Bado maswali yatabaki

1. Nini kimeshikilia Dunia

2. Nini kinafanya Jua na mwezi vizunguke? (Kama mnavyodai).

3. How come other planets and celestial bodies ziwe na sphere alafu ikija Kwa Dunia useme ni sahani?

4. How satellite zinaoperate kwenye flat earth conspiracy theory?

5. Moon phases na eclipses kwenye flat earth?

6. Flat earth believers mnatofautiana sana kwenye majibu yenu,

mfano: mnakataa gravity, mnasema ni bouyancy na density, lakni ww umekuja na majibu yako tena saivi maana mwanzoni ulisema ni density saivi unasema ni Kwa sabab hakuna mechanism ya kufanya vitu vipae😄😄 ilimradi tu ukwepeshe, Kwasababu ukihusisha tu bouyancy lazima uongelee gravity😄😄.
Fb = density ×gravity×volume.

View attachment 2926023


7. Majibu kuhusu Dunia kuwa sphere yamejibiwa na yamenyooka zaidi kuliko majibu ya flat earth,

mtu huwezi kuja kunijibu tu eti solar eclipse inatokea Kwa sababu Kuna vitu vina-block Jua na hivyo vitu huvijui na huwezi kuelezea ni Kwa namna Gani, inachekesha sana.
Just imagine majibu kama haya unayonipa👇👇

"Eclipses hazihusishi kabisa Dunia Kwasababu Dunia ipo stationary.... Kimsingi ni kwamba tukiwa Duniani tunachokiona ni effects za objects ambazo zinaogelea kwenye anga ku intercept due to the fact that zinapita kwenye njia moja hivyo kupelekea lunar &Sun Eclipses..."

Halafu compare na haya👇👇
View attachment 2926052

View attachment 2926055

kipi utakielewa hata kama ni wewe? Use common sense man.

Yaani watu wanatabiri occurance ya lunar eclipse wewe unatoa majibu mepesi,

Mwaka huu itatokea marekani April 8, unadhani wanabahatisha? Au ni maigizo haya?

View attachment 2926094

Na kuhusu moon phases Kwa upande wako huna maelezo yoyote, lakini embu angalia haya maelezo👇👇👇

View attachment 2926101


View attachment 2926132

Well explained kabisa👆👆


Kuhusu gravity hiyo ipo wazi muda sana. Kuna applications nyingi tu za gravity

1. Water supply designs:
Design zote za maji zinahusisha Moja Kwa Moja gravity. Flow ya maji kutoka kwenye tank inayohusisha gravity flow sio za kubuniwa Wala kubahatisha, they works. Ili maji yafike kwenye bomba lako Kwa pressure inayotakiwa gravity lazima ihusike Wala maji hayapai.
h = density ×g.
Unadhani hizi calculations wanabahatisha?

View attachment 2926226


View attachment 2926227


2. Gravity exploration: ambayo inatumika kwenye madini na ground water exploration. Au unadhani hizi ni hadithi? Wakati tunazi apply Kila siku na zina work out, sio simulizi kwangu nazi apply kabisa. Labda kama wewe unaona ni filamu za isidingo

View attachment 2926228

View attachment 2926229

3. Trajectory motion pia inatumia gravity, you can't escape gravity kwenye calculations za projection.

Lakini pia kuhusu umbo la Dunia linadhihirishwa na uwepo wa vitu mbali mbali kama;

1. Satellites, ambazo zina-revolve around the earth. Kwako inaweza kuwa hadithi lakini kwangu Mimi naviapply na vina work out japo hapa hata wewe una apply.

View attachment 2926243

2. Gps, ambazo hutumika katika surveying tunazitumia sana,
pia Kuna hand Gps zina work Kwa maana ya Dunia kuwa sphere na inazungukwa na satellites.
And other telecommunication tools zina tumia same principle Kwa satellite.

View attachment 2926244


3. Design software mbali mbali, kama Google earth, sewerGems, GIS zinatumia principle za kuwa Dunia ni duara hata location data tunazoingiza Kuna latitude na longtude na eastings na northings.

Mfano tu kwenye GIS Kuna World Geodetic System 1984 au
WGS 1984 datum tunayotumia kwenye GIS kama a reference
ellipsoid
, a standard coordinate system, altitude data, and a geoid.

We unadhani hizi zote ni mbwembwe au maigizo, be serious man.

4.Energy generation: Gravity Ina contributes to renewable energy generation through hydropower, tidal power, and geothermal energy systems. Engineers hutumia gravitational forces ku-produce electricity from water, tides, na underground heat.
Au unadhani ni ngonjera hizi

View attachment 2926237


Sijui ni kipi unahitaji tena, hivi vyote haviwezi kuwepo Kwa bahati mbaya tu.
hateeb10 Hii huoni kabisa😄😄
Soma elewa sema wapi hapako sawa, sio una skip tu bila kusema chochote kama unakubaliana nacho au la! Na kwann?
 
Hahhh,.sijaleta maneno nimekupa njia ya kuthibitisha kama Dunia ni flattened, through one of the scientific research method known as "OBSERVATIONAL METHOD".... which is better than staying there waiting for NASA to come with CGI's and Indoctrinate your brain.

Au ikiwezekana watu wa Dunia Tufe wote mjitolee physically tukutane tufanye observation live kabisa tuone whether Dunia ni flat or Tufe,. Hahh
Hapa ndio utakimbia kabisa,


Yani hapa ndio utapuyanga haswa, hautakua na point yoyote ile....

Bora uishie huku huku kwenye maandishi unajitahidi kuleta bla bla zako.
 
Hahahaha huyu jamaa nlishasema tangu mwanzo nna wasi wasi hata na uwezo wake wa kufikiri.

Hajui kitu alafu anakielezea kama anajua😄.
Nimempa application mbali mbali tunazotumia hasa kwenye engineering field zinazohusisha Moja Kwa moja umbo la Dunia kuwa Duara na uwepo wa gravity na zina work out vzr mfano water supply designs mpka maji yanamfikia hapo alipo Kuna applications za gravity, geological na land surveying(GPS), karuka ndukii hajajibu chochote.
 
which is better than staying there waiting for NASA to come with CGI's and Indoctrinate your brain.
Unatumia vigezo Gani kusema picha za NASA ni CGI's? Kwa mfano hii👇👇


art001e000672~large.jpg


Nipe sababu kutoka kwenye hii picha la sivyo, utakuwa umekaririshwa tu kuwa ni computer generated images.

Na mnakimbiliaga eti tumekuwa Indoctrinated, je kama wewe ndo umekuwa Indoctrinated?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Hajui kitu alafu anakielezea kama anajua[emoji1].
Nimempa application mbali mbali tunazotumia hasa kwenye engineering field zinazohusisha Moja Kwa moja umbo la Dunia kuwa Duara na uwepo wa gravity na zina work out vzr mfano water supply designs mpka maji yanamfikia hapo alipo Kuna applications za gravity, geological na land surveying(GPS), karuka ndukii hajajibu chochote.
Tatizo lake anachukulia huu ni ushindani,

Akikutana na swali ambalo anahisi linayumbisha hoja zake zote lazima akimbie...Hajibu na akijibu anajibu bla bla na anakulazimisha uelewe hivyo

hateeb10 una matatizo gani ?
 
Hapa ndio utakimbia kabisa,


Yani hapa ndio utapuyanga haswa, hautakua na point yoyote ile....

Bora uishie huku huku kwenye maandishi unajitahidi kuleta bla bla zako.
Hahh kwahiyo tukiamua kukutana physically na kufanya real observation utaweza Ku prove Dunia Tufe?

Kwanza Dunia Tufe mwenzako anthony_art tayari ame confirm kwamba Dunia sio tufe la namna hii ➡️🌍,..
 
Yes n

Yes najua, ninatumia sphere kama wengi wanavyotumia lakini hata NASA wamebainisha vizuri Hilo ondoa shaka👇👇
"Even though our planet is a sphere, it is not a perfect sphere. Because of the force caused when Earth rotates, the North and South Poles are slightly flat. Earth’s rotation, wobbly motion and other forces are making the planet change shape very slowly, but it is still round." NASA.
So, tumalize mjadala huu kwamba Dunia sio tufe la namna hii ➡️🌍????!


Sasa Kwanini muda wote unasema Dunia ni Tufe?! au upo hapa Ku support Dunia Tufe wengine kina Chosen Rich...huku wewe ukiwa na mtazamo tofauti kabisa?

Hoja hii ya Dunia Tufe imeisha ,.. kilichobaki ni kukiri kwamba ipo stationary.
 
Back
Top Bottom