Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Hahh kwahiyo tukiamua kukutana physically na kufanya real observation utaweza Ku prove Dunia Tufe?

Kwanza Dunia Tufe mwenzako anthony_art tayari ame confirm kwamba Dunia sio tufe la namna hii ➡️🌍,..
Kwani we unadhani tukisema tufe akili yako inafikria tufe Gani?
Always the earth is sphere which is flattened at its poles. Nadhani hili linafahamika vizuri hakuna Cha kuconfirm,
Kwahy kama sio perfect sphere unakubaliana nasi?
 
So, tumalize mjadala huu kwamba Dunia sio tufe la namna hii ➡️🌍????!


Sasa Kwanini muda wote unasema Dunia ni Tufe?! au upo hapa Ku support Dunia Tufe wengine kina Chosen Rich...huku wewe ukiwa na mtazamo tofauti kabisa?

Hoja hii ya Dunia Tufe imeisha ,.. kilichobaki ni kukiri kwamba ipo stationary.
Hivi tufe Kwa kiingereza ni nini? Si ni sphere au? Hata maelezo niliyokupa yanasena Dunia sio perfect sphere sijui unaelewa?

BTW wewe msimamo wako uko wapi?
Kwenye flat au sphere ambayo siyo perfect? Ambayo haupo kama hii👉👉 🌎.
 
Unatumia vigezo Gani kusema picha za NASA ni CGI's? Kwa mfano hii👇👇


View attachment 2926507

Nipe sababu kutoka kwenye hii picha la sivyo, utakuwa umekaririshwa tu kuwa ni computer generated images.

Na mnakimbiliaga eti tumekuwa Indoctrinated, je kama wewe ndo umekuwa Indoctrinated?
Unajua kwanini hiyo picha ni CGI?

1. Angani kiuhalisia huwezi ukaacha kuona celestial bodies nyingine kama Nyota na kadhalika,...yaani in short anga lipo na lights za kutosha sio kama hiyo picha hapo ambayo wamesahau Ku take into consideration other celestials ambazo hata tukiwa Duniani tunaweza ku observe.

2. Lakini pia,.wewe umesema Kwamba Dunia sio perfect sphere bali ni elipsoid,..sasa jiulize hicho unachokiona hapo ndiyo elipsoid?


Kimsingi hizo ni CGI cartoons.
 
Hoja hii ya Dunia Tufe imeisha ,.. kilichobaki ni kukiri kwamba ipo stationary.
😄😄😄 Tumeimaliza vipi? Kwahy umekiri Dunia sio flat?
Maana there is a slightly difference between ellipsoid and spheroid
 
Hivi tufe Kwa kiingereza ni nini? Si ni sphere au? Hata maelezo niliyokupa yanasena Dunia sio perfect sphere sijui unaelewa?

BTW wewe msimamo wako uko wapi?
Kwenye flat au sphere ambayo siyo perfect? Ambayo haupo kama hii👉👉 🌎.
Msimamo wangu ni flat,...... Kwasababu Kwanza it's easily observed,.

Maoni yangu ni kwamba atleast tukisema Dunia ina umbo la yai (elipsoid) tunaweza ku relate na Flatness ambayo tuna observe kuliko kusema Dunia ni Tufe 👉🏼🌍

I mean, sehemu kubwa ya Dunia ni flattened/spread-out na sio sphere kama tunavyopangwa.
 
😄😄😄 Tumeimaliza vipi? Kwahy umekiri Dunia sio flat?
Maana there is a slightly difference between ellipsoid and spheroid
Elipsoid na spherical sio sawa kabisa....
Atleast kwenye elipsoid maji yanaweza kuwa contained kwenye ardhi bila kutunga uongo kwamba yanashikiliwa na gravity....

Elipsoid ipo close zaidi na flat plane kuliko Tufe.
 
Unajua kwanini hiyo picha ni CGI?

1. Angani kiuhalisia huwezi ukaacha kuona celestial bodies nyingine kama Nyota na kadhalika,...yaani in short anga lipo na lights za kutosha sio kama hiyo picha hapo ambayo wamesahau Ku take into consideration other celestials ambazo hata tukiwa Duniani tunaweza ku observe.

2. Lakini pia,.wewe umesema Kwamba Dunia sio perfect sphere bali ni elipsoid,..sasa jiulize hicho unachokiona hapo ndiyo elipsoid?


Kimsingi hizo ni CGI cartoons.
1. Hizo body zipo but ni too faint kuweza kuziona.

2. Ni almost sphere, au not perfect sphere so Kwa umbali huo unaona kama ni sphere.
 
hateeb10 Kwa madai ya watu wa flat Earth wanasema
Nyota, Jua pamoja na Mwezi vipo ndani ya Dunia na vinazunguka Dunia.


Swali 1; Kwa elimu uliyonayo Nyota zipo wapi ? Na je zinazunguka Dunia kama ambavyo wenzako wa Flat Earth wanavyodai ?

Swali 2; Je unafahamu/tambua kuhusu sayari zingine ?
 
hateeb10 Hii huoni kabisa😄😄
Soma elewa sema wapi hapako sawa, sio una skip tu bila kusema chochote kama unakubaliana nacho au la! Na kwann?
Nimeona ila maelezo ni mengi sana kiasi ambacho tukisema tuanze kuchambua hapa tutakesha...

Naweza kukubaliana na wewe kwenye ishu fulani,.lakini naweza kutokubaliana na wewe kwenye ishu nyingine.

Kwa mfano,... kwenye ishu ya land surveying,.unahisi kwanini curvature of the earth haiwi taken into consideration?
 
Msimamo wangu ni flat,...... Kwasababu Kwanza it's easily observed,.

Maoni yangu ni kwamba atleast tukisema Dunia ina umbo la yai (elipsoid) tunaweza ku relate na Flatness ambayo tuna observe kuliko kusema Dunia ni Tufe 👉🏼🌍

I mean, sehemu kubwa ya Dunia ni flattened/spread-out na sio sphere kama tunavyopangwa.

Hata msimamo huna? Dunia ni sphere isiyo perfect, hii flatness unayoiona inatokana na ukubwa wa Dunia,

How come other celestial bodies ziwe sphere alafu Dunia ndo ukatae?

Nimekueleza pia Kuna satellites zina-revolve around the earth au we huamini kama Kuna satellites?

Nimekupa a lot of application kuhusu umbo la Dunia na uwepo wa gravity but no response.
 
Elipsoid na spherical sio sawa kabisa....
Atleast kwenye elipsoid maji yanaweza kuwa contained kwenye ardhi bila kutunga uongo kwamba yanashikiliwa na gravity....

Elipsoid ipo close zaidi na flat plane kuliko Tufe.
Aya tuseme ni kama yai😄😄 how yai linadhikilia maji yasimwagike? Na Hilo yai linaelea tu kwenye space au kimeshikiliwa na nn?
 
1. Hizo body zipo but ni too faint kuweza kuziona.

2. Ni almost sphere, au not perfect sphere so Kwa umbali huo unaona kama ni sphere.
1. Sio lazima zionekane kabisa,.ila atleast mwanga ungeonekana,.yani there's no way uchukue picha angani Usiku kisha kuonekane eti background yake kuna Giza totoro kama hivyo,..hiyo haikufanyi ufikirie?

2. Sasa Kwa picha hizo wanazoonyesha watu, that's why Mtu ukimuamsha ukimuuliza Dunia ina umbo gani atasema NI Tufe 👉🏼🌍.....kumbe sivyo.
 
Nimeona ila maelezo ni mengi sana kiasi ambacho tukisema tuanze kuchambua hapa tutakesha...

Naweza kukubaliana na wewe kwenye ishu fulani,.lakini naweza kutokubaliana na wewe kwenye ishu nyingine.

Kwa mfano,... kwenye ishu ya land surveying,.unahisi kwanini curvature of the earth haiwi taken into consideration.
Hivi unadhani Dunia ni ndogo kama mpira wa kuchezea? Kwa umbali Gani unacinsider curvature ukiwa unafanya survey?
Alafu survey niloyoongelea hapo ni GPS,.
 
Hata msimamo huna? Dunia ni sphere isiyo perfect, hii flatness unayoiona inatokana na ukubwa wa Dunia,

How come other celestial bodies ziwe sphere alafu Dunia ndo ukatae?

Nimekueleza pia Kuna satellites zina-revolve around the earth au we huamini kama Kuna satellites?

Nimekupa a lot of application kuhusu umbo la Dunia na uwepo wa gravity but no response.
Dunia ipo tofauti sana na other celestial bodies na hili nimerudia sana kuwaambia watu humu,...yani inakuaje Mtu na akili zako timamu unataka Dunia iwe na umbo kama la Jua? Mwezi? Nyota?

Yani kwamba Mwezi ni duara unalazimisha kwamba Dunia nayo lazima iwe hivyo....Dunia iliandaliwa rasmi kwa ajili ya makazi ya viumbe mbalimbali, na hata sifa zake ni tofauti na objects nyingine kama Jua na kadhalika.
 
Nimeona ila maelezo ni mengi sana kiasi ambacho tukisema tuanze kuchambua hapa tutakesha...

Naweza kukubaliana na wewe kwenye ishu fulani,.lakini naweza kutokubaliana na wewe kwenye ishu nyingine.

Kwa mfano,... kwenye ishu ya land surveying,.unahisi kwanini curvature of the earth haiwi taken into consideration?
Unaweza kuchambua Moja Moja kama Kuna shida umeona.

Kama issue ulizokubaliana na Mimi kuwa gravity Ina applications na huwez kuikwepa why unaendelea kukataa haipo?
 
Hivi unadhani Dunia ni ndogo kama mpira wa kuchezea? Kwa umbali Gani unacinsider curvature ukiwa unafanya survey?
Alafu survey niloyoongelea hapo ni GPS,.
Yes upo sahihi kabisa,.. hakuna umbali wowote ambao utakutaka u take into account the earth's curvature & That's an eye opening fact.

Ahsante.
 
1. Sio lazima zionekane kabisa,.ila atleast mwanga ungeonekana,.yani there's no way uchukue picha angani Usiku kisha kuonekane eti background yake kuna Giza totoro kama hivyo,..hiyo haikufanyi ufikirie?

2. Sasa Kwa picha hizo wanazoonyesha watu, that's why Mtu ukimuamsha ukimuuliza Dunia ina umbo gani atasema NI Tufe 👉🏼🌍.....kumbe sivyo.

1. Hivi unadhani ww ndo wa kwanza kuhoji hivyo? Ingekuwa Photoshop wangeweka tu, ungeamini? But they stand still coz ndo uhalisia.

2. Hujaelewa nn hapo, earth is a sphere but slightly flattened at its poles which means Kuna tofaut ndogo sana. Picha imepigwa mbali so itakuwa sio rahisi kutofautisha
 
Dunia ipo tofauti sana na other celestial bodies na hili nimerudia sana kuwaambia watu humu,...yani inakuaje Mtu na akili zako timamu unataka Dunia iwe na umbo kama la Jua? Mwezi? Nyota?

Yani kwamba Mwezi ni duara unalazimisha kwamba Dunia nayo lazima iwe hivyo....Dunia iliandaliwa rasmi kwa ajili ya makazi ya viumbe mbalimbali, na hata sifa zake ni tofauti na objects nyingine kama Jua na kadhalika.
Hapa umeruka hujaiona?👇👇

Nimekueleza pia Kuna satellites zina-revolve around the earth au we huamini kama Kuna satellites?
 
Unaweza kuchambua Moja Moja kama Kuna shida umeona.

Kama issue ulizokubaliana na Mimi kuwa gravity Ina applications na huwez kuikwepa why unaendelea kukataa haipo?
Yes ni sahihi kwamba elimu ya gravity inaweza kuwa applied kwenye engineering & Industrial activities na ikaleta matokeo chanya...but the issue is,..gravity kuwa applied kwenye hizo sectors haimaanishi kwamba dunia na yenyewe ina work in the same manner.
 
Yes upo sahihi kabisa,.. hakuna umbali wowote ambao utakutaka u take into account the earth's curvature & That's an eye opening fact.

Ahsante.
Umeelewa nilisema lakini au? 👇👇

Kwa umbali Gani unacinsider curvature ukiwa unafanya survey?
Yaani Kwa survey yenye umbali Gani kiasi hicho in real practical.
 
Back
Top Bottom