So, Maji yanastick kwenye round-ball Kwa kushikiliwa na gravity?Kwa sabab ndio jibu lenye mashiko zaidi mpaka sasa, kama unalo la kwako liseme hapa na utuambie how. Maana maelezo kuhusu how gravity yapo vyema kabisa.
Hapa hujajibu ni nini, na Kwa vipi? Bali umetoa soln ya kufanya uende juu,Kinachofanya udondoke nilishasema kwamba ni kukosa mechanism ya kukufanya uweze kugenerate lift na kuitumia air pressure kama ngazi.....so Kwa kuwa huna mechanism hiyo lazima uanguke tu.,.
Ndio hivyo au Kuna namna nyingne unayoijua?So, Maji yanastick kwenye round-ball Kwa kushikiliwa na gravity?
Una uthibitisho wowote,?..ukileta real video itakua vizuri zaidi au kama ushawahi Ku observe sehemu.
Nimeshajua tatizo lako ni nn.So, Maji yanastick kwenye round-ball Kwa kushikiliwa na gravity?
Una uthibitisho wowote,?..ukileta real video itakua vizuri zaidi au kama ushawahi Ku observe sehemu.
Yes hapo kwenye mfano wa mpira juu ya maji nadhani tutaelewana zaidi..:-Hapa hujajibu ni nini, na Kwa vipi? Bali umetoa soln ya kufanya uende juu,
Na hii ni proof ya kuwa Kuna force inavuta kuja chini that's why unahitaji opposite force yenye nguvu zaidi kuliko hiyo Ili uweze kufanya hivyo
Nilikupa mfano ulichukua mpira (ball) ukiuweka juu ya maji let's say ya bahari utaelea bila mechanism yoyote ya kufanya upae, lakn ukiuweka kwenye air above the ground utadondoka why?
Nenda kajipange bingwaHakuna flat earther wa kuelezea hii??
View: https://x.com/Rainmaker1973/status/1764052986613886977?s=20
Sio real video ya gravity,..nataka ulete real video ikionyesha movement za maji ya bahari upside down kwenye Tufe ili tuone maji yanavyostick.Ndio hivyo au Kuna namna nyingne unayoijua?
Unataka real video ya gravity😄😄😄??
Gods might be crazy🤣🤣🤣🤣🤣
Ni sawa naww nikuambie niletee real video ya magnetism. Au real video ya Dunia flat ikielea.
Ukisoma hapa👆🏼 sitarajii tena kama utakariri idea yako ya gravity na kuiweka kwenye kila kitu.. anthony_artYes hapo kwenye mfano wa mpira juu ya maji nadhani tutaelewana zaidi..:-
Unapaswa uelewe kwamba maji ni maada na yanaweza ku act kama obstacle Kwa kitu kingine,..na ndiyo maana mpira ukiuweka juu ya maji utaelea instead of kwenda chini kabisa ya bahari kwenye ardhi kwa kuwa tayari maji yame act kama obstacle kwa mpira,.lakini pia Mpira ni less dense kuliko maji hivyo utaelea juu ya maji.
Ukiuweka kwenye air above the ground,.. mpira utadondoka Kwa kuwa upo more dense than air(yaani ni mzito kuliko hewa) hivyo hewa haiwezi Ku act kama obstacle kwa mpira,.. kitu ambacho kitapelekea mpira kudondoka mpaka pale utakapokutana na kizuizi ambacho ni dense than it,. which is earth's ground!
Safi Sasa unakuja nilipokuwa nataka, nimeshakutoa huko kwenye mechanism ya kupaa Sasa upo kwenye density. Safi😁.Yes hapo kwenye mfano wa mpira juu ya maji nadhani tutaelewana zaidi..:-
Unapaswa uelewe kwamba maji ni maada na yanaweza ku act kama obstacle Kwa kitu kingine,..na ndiyo maana mpira ukiuweka juu ya maji utaelea instead of kwenda chini kabisa ya bahari kwenye ardhi kwa kuwa tayari maji yame act kama obstacle kwa mpira,.lakini pia Mpira ni less dense kuliko maji hivyo utaelea juu ya maji.
Ukiuweka kwenye air above the ground,.. mpira utadondoka Kwa kuwa upo more dense than air(yaani ni mzito kuliko hewa) hivyo hewa haiwezi Ku act kama obstacle kwa mpira,.. kitu ambacho kitapelekea mpira kudondoka mpaka pale utakapokutana na kizuizi ambacho ni dense than it,. which is earth's ground!
Sio real video ya gravity,..nataka ulete real video ikionyesha movement za maji ya bahari upside down kwenye Tufe ili tuone maji yanavyostick.
Ukiileta hiyo video nitaamini unasema kweli...na nitabadilisha mtazamo wangu.
Nimesoma nimekupa details zaidi kuhusu hicho, maana umekuja nilipotaka uje.Ukisoma hapa👆🏼 sitarajii tena kama utakariri idea yako ya gravity na kuiweka kwenye kila kitu.. anthony_art
Ukisoma hapa👆🏼 sitarajii tena kama utakariri idea yako ya gravity na kuiweka kwenye kila kitu.. anthony_art
Ukisoma hapa👆🏼 sitarajii tena kama utakariri idea yako ya gravity na kuiweka kwenye kila kitu.. anthony_art
hakuna flat earthers waliofanya ziara katika hilo eneo watueleze mkuu?Nenda kajipange bingwa
Hapo umetuonyesha Hollywood movie..............................
Acha porojo.Wewe una ushahidi gani kama Ile shadow unayoona kwenye mwezi ni Dunia?
Au Kwa kuwa umeambiwa na NASA?
Dunia sio perfect sphere. Mbona hilo lipo wazi? Ila sio flat kama yale mapicha picha ya dunia iliyobebwa na kobe.Hahh kwahiyo tukiamua kukutana physically na kufanya real observation utaweza Ku prove Dunia Tufe?
Kwanza Dunia Tufe mwenzako anthony_art tayari ame confirm kwamba Dunia sio tufe la namna hii ➡️🌍,..
Ikija katika uhalisia wake sidhani kama mtu mwenye uelewa wa kawaida kama wako na wangu ataelewa achilia mbali kifaa cha kuifungua ikiwa na data zake zote.Yap,.Mimi sio wa Kwanza wala wa mwisho,... nenda kwenye page ya NASA utaona jinsi wanavyokua criticised Kwa ajili ya hizo CGI's.
Nadhani ili kuwatoa watu wasiwasi watume picha na videos ambazo ni real bila kufanya editing yoyote.
Unapenda sana video. Sikia, ukitaka kuona ulimwengu katika uhalisia wake tumia hesabu.So, Maji yanastick kwenye round-ball Kwa kushikiliwa na gravity?
Una uthibitisho wowote,?..ukileta real video itakua vizuri zaidi au kama ushawahi Ku observe sehemu.
Kwenye Jibu lako la Kwanza,nakuomba pitia Video ya aliyesoma hiyo thread, utaona anazungumzia ishu ya kufichwa tusijue kama kuna Aliens .wengine mnasema tusijue kama mungu yupo, hapo ndipo mnapo jichanganya. (Angalia video kabla ya kubisha)Kwanza wanakudanganya ili usiamini vitabu vitakatifu further more usiamini uwepo wa mwenyezimungu (huo ni mpango wa shetani kuwaweka waja mbali na mola muumba). Faida yao kwa duniani ni pesa tu ila after death ni majuto tu
Pili huko mwisho wa dunia kamwe huwezi jua kuna nini kwa sababu achilia mbali kujirusha, huwezi tu kujaribu kufika huko. Sababu ni barafu iliyopo huko! Barafu ya ulaya na marekani tu imewashinda ndiyo ije kuwa barafu ya huko ukingoni!
Tatu ujue kila kitu ni kwa kiwango. Kisicho na kiwango ni mola mwenyezimungu tu kwahiyo siyo lazima kila kitu mtu ajue wala siyo lazima kila kitu mtu ahoji. Kuna faida yoyote kwa muulizaji atakayoipata juu kuhoji huko? Kuna watu wamekufa hawaijui hata ndege! japo wameiona mara kadhaa kwa mbaaaali ikipita juu ya anga lakini hawakuwahi kupata wa kumuuliza hata kuhusu hiyo kitu. Je kufa kwao bila kuijia ndege unadhani ni makosa kwao?
Amesema mola aliiumba ardhi na mbingu vimeambatana (vimeshikana) kisha akaviambua (akaviachanisha) akaitandaza na kuumba vilivyomo ndani yake, kisha akasema ameumba jua na mwezi vyote vinajongea kwenye njia zao maalumu kwa muda maalumu uliowekwa. Vyote hivyo tunavitumia kwa ajili ya manufaa mbalimbali (yametajwa baadhi). Mwisho anasema basi tumwabudu yeye tu mola wa vyote hivyo na wala hajasema tutafute ukubwa wa jua/mwezi au dunia nk. Wala hajasema jua au mwezi vina umbo gani ila kasema tu vinajongea japo hazuiwi mwanadamu kutafiti mambo
uzuri ni kwamba binadamu wanafanikiwa kufanya tafiti nyingi kubwakubwa na za msingi. Ubaya ni kwamba matokeo ya tafiti nyingi hizo yanapitishwa kwenye chujio la the so called "MAMLAKA" ambapo kunaingizwa upotoshaji eidha kwa kuondoa baadhi ya yaliyokwemo au kuongeza baadhi ya yaliyokwemo au kuzuia kabisa isitangazwe tafiti yenyewe. Tena aliyehangaikia utafiti akishika msimamo juu ya kazi yake ndo kabisa hadumu. Sawa na mtaalamu/msomi anapoingia kwenye uongozi kuna vitu akitaka kuvihandle kitaalamu wanasiasa wanamzuia kwa maslahi ya siasa matokeo yake anaingia nayeye kuwa mwana siasa na akikomaa na misimamo yake ya kitaalamu...
Fuatilia huyo ARMSTRONG alisemaje baada ya tafiti zake huko angani na kilimpata nini? Fuatilia Keith Moore mtaalamu mwanaembriolojia aligundua nini kuhusu embryology na akaahidi nini na kikamkuta nini?