hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Sasa wewe aliyekuambia laws za ulimwengu zinafanya kazi according to hizo formula ulizokariri,.Nani?Si utakuwa unatumia makalio kufikiri,
Sasa ulete formula ambayo Ina include gravity mwenyewe, alafu tena useme gravity haihusiki😄😄. Imbecile ignoramus.
Wewe kukariri formula,.
1. Hakuifanyi gravity iwepo
2. Hakuthibitishi kwamba Dunia ni Tufe linalozunguka 👉🏼🌍
3. Hakuthibitishi Kwa aina yoyote kwamba maji yanaweza kustick kwenye Impossi-ball.
Mtu mwenye akili timamu hawezi akahitimisha kwamba 100% ulimwengu una operate kama inavyoelezewa na nadharia.