Huku nadhani tupaache,...maana hata wewe unaonyesha huamini kabisa evolution theory.Kwahy haya maelezo hukuyaona?ππ
Bali sisi na Apes Kuna chance Kubwa kuwa tumetokana na same specie.
Kwenye test kama ya mpira kuelea kwenye maji ya bahari,... Gravity inakua easily disproved.
Ingekua gravity ipo na ndiyo inafanya kazi ya kusukuma objects chini,..basi mpira usingeelea ungeshushwa na gravity mpaka kwenye sakafu ya bahari.
Najua hapa utataka kubisha tena,... sidhani kama tutafikia hitimisho Kwa style hii.
Okay labda mimi naulewa tofautiHuku nadhani tupaache,...maana hata wewe unaonyesha huamini kabisa evolution theory.
NB:- Hiyo Theory haisemi ππΌ"sisi na Apes Kuna chance Kubwa kuwa tumetokana na same specie".......Bali inasema ni uhakika na ushahidi ukitaka watakupa ππΌ
Sio kubisha Bali nakupa majibu,
Au hutaki kujibiwa?
Katika case ya mpira kwenye maji kuelea,
Issue ni Ile Ile tu,
View attachment 2928151
Kumbuka mpira umewekewa air ndani yake, kwahy bouyant force inakuwa Kubwa kuliko gravity ndo maana unaelewa lakni kwenye air hauta elea.
kichwa changu natumia kufikiri,huwezi kuwa akili ukakataa dunia inazunguka.Sasa kama hata huwezi kuthibitisha kama dunia inazunguka na hujawahi kufanya vipimo Kwa njia yoyote Ile,... kwanini una conclude kwamba hiyo ni facts?
Kichwa chako unatumia kufanyia nini?
Usipate shida iweke hivi:-Sio kubisha Bali nakupa majibu,
Au hutaki kujibiwa?
Katika case ya mpira kwenye maji kuelea,
Issue ni Ile Ile tu,
View attachment 2928151
Kumbuka mpira umewekewa air ndani yake, kwahy bouyant force inakuwa Kubwa kuliko gravity ndo maana unaelewa lakni kwenye air hauta elea.
Wapi nimesema yanauzito?Usipate shida iweke hivi:-
1. Maji yana uzito mkubwa kuliko uzito wa mpira,..na ndiyo maana mpira hauzami unaelea.
2. Kwa kuongezea,...Shilingi inazama baharini Kwa kuwa ina uzito mkubwa kuliko maji.
Hiyo ndiyo kanuni ya density... sielewi gravity inahusika vipi.... UZITO WA OBJECTS WITH RESPECT TO EACH OTHER NDIYO UNAFANYA KAZI HAPO.
Au ngoja nikuulize swali,...
(a) Gravity ndiyo inasukuma Coin baharini,.mpaka kwenye sakafu ya bahari?
(b)Inashindikana vipi kwa gravity kusukuma mpira mpaka kwenye sakafu ya bahari?
Ambacho hujaelewa hapa ni nn?Usipate shida iweke hivi:-
1. Maji yana uzito mkubwa kuliko uzito wa mpira,..na ndiyo maana mpira hauzami unaelea.
2. Kwa kuongezea,...Shilingi inazama baharini Kwa kuwa ina uzito mkubwa kuliko maji.
Hiyo ndiyo kanuni ya density... sielewi gravity inahusika vipi.... UZITO WA OBJECTS WITH RESPECT TO EACH OTHER NDIYO UNAFANYA KAZI HAPO.
Au ngoja nikuulize swali,...
(a) Gravity ndiyo inasukuma Coin baharini,.mpaka kwenye sakafu ya bahari?
(b)Inashindikana vipi kwa gravity kusukuma mpira mpaka kwenye sakafu ya bahari?
Unajua uzito wa maji?2. Kwa kuongezea,...Shilingi inazama baharini Kwa kuwa ina uzito mkubwa kuliko maji.
Una maanisha nini?Unajua uzito wa maji?
Leta maelezo yako kijana,Kuhusu kuzunguka kwa Jua msome VAN BRAUN director wa NASA alichoandika kwenye kaburi lake baada ya kufa. PSALM 19:1-6
Kwanza ushakiri kwamba gravity ni theory tu sio fact....sasa Kwanini una force ihusike sehemu ambayo haihusiki.Ambacho hujaelewa hapa ni nn?
View attachment 2928224
Maana naona umeanza mambo ya whatabotism. Maliza hoja Moja twende nyingne maana hata unachouliza hapa Bado jibu lake lipo kwenye hii illustration juu
Si umesema maji yanakuwa mazitoUna maanisha nini?
Sio uongo, Sema ni jambo ambalo akili yako haitoshi kuielewa kanuni inayowezesha gravity inavyofanya kazi.Ukiangalia hili li mpira unabaki unajiuliza hici maji yanakaaje kwenye ball? Kwa mtu ambae akili ipo sawasawa hawezi kukubaliana na huu uongo.
Haihusiki wapi? Kwani ikiwa theory inamaanisha inakuwa na uncertainties? Imekuwa tested na ikaleta majibu sawia.Kwanza ushakiri kwamba gravity ni theory tu sio fact....sasa Kwanini una force ihusike sehemu ambayo haihusiki.
Kwahy ukiuweka mpira kwenye bahari let's say 5kg ukaelea utapimaje uzito wa hayo maji kuwa Yana kg ngapi?Kwahiyo maji hayana uzito?
Duh..
Kwanza ushakiri kwamba gravity ni theory tu sio fact....sasa Kwanini una force ihusike sehemu ambayo haihusiki.
Kwenye test kama ya mpira kuelea kwenye maji ya bahari,... Gravity inakua easily disproved.
Ingekua gravity ipo na ndiyo inafanya kazi ya kusukuma objects chini,..basi mpira usingeelea ungeshushwa na gravity mpaka kwenye sakafu ya bahari.
Najua hapa utataka kubisha tena,... sidhani kama tutafikia hitimisho Kwa style hii.