Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Maji yapi yenye mlima! Ni haya yakimbiliayo bondeni, yenye tabia ya kuwa chini kiasi uka suggest kwa character hiyo yangemwagika kutoka kwenye tufe la dunia?
We pumba kweli!!!!
Hivi Wewe theory ya kuundwa kwa bara umesoma hata 1 Tuanzie hapo . Nisije kubishana na mtu ambaye uwezo wake ni madogo kutengeneza hoja na kusoma. Ebu taja theory moja tuichambuwe
 

Mwanga wa blue ni mwanga wa jua sio mwisho wa macho kuona. Macho yetu yanaweza kuona nyota ambazo zipo thousands of light years away lakini hatuwezi kuiona Zanzibar? Hata ukisamama juu ya mlima Kilimanjaro na darubini huwezi kuiona misri lakini unaweza kuiona mars. Je misri ni mbali kuliko sayari ya mars?
 
Halafu hii theory yautambarare wa dunia inakuwakuwaje naweenae! inaingiaje akilini mwako mtoa mada? Ushasikia kuna angle ya dunia popote? Hembu angalia horrizon kwa jicho la uchi la bila kutumia hata kitabu. Mada zingine huwa mnazianzisha kwa kutumia mlango gani wa fahamu?
 
Muanzisha mada ni sakala!!!
 
Muanzisha mada ni sakala!!!
Yani na wewe unamuamini kabisa...
Nyota hutoa mwanga ndo maana tunaiona... sayari ya mars hutoa mwanga ndo maana tunaiona...

Zanzibar na misri zingekuwa bondeni au kilimani ungeziona kama zingekuwa znatoa mwanga wa taa zake usiku...
 
Kuna conspiracy nyingi sana kuhusu dunia yetu.
Kuna flat earth theory na pia kuna hollow earth theory.

Flat earth conspiracy ina uzito wake ambao unaweza ukaduwaa wanaamini kwanza milima yote tunayoiona ni miti mikubwa iliyokuwa zamani.
Wanaamini pia dunia haizunguki jua, bali jua na mwezi huizunguka dunia.
Wanaamini kuwa siku zote dunia inapaa kwenda juu (wakimaanisha gravity tuliyonayo inatokana na dunia kupaa juu to infinity)
Katika hivyo vichache huibua maswali mengi.....

Haya, na kuna hii conspiracy ya hollow earth. Ambayo huzungumzia kuwa katika poles za dunia yetu, yani south na north poles zina shimo ambalo huko kuna inner earth ambayo kuna viumbe huishi ambao wako very advanced wanaitwa AGATHA.
Kuna imani ya kibudha ambao wanaamini kuna sehemu ndani ya dunia ambayo huitwa SHAMBALA ambayo hufanania na story ambayo aliitoa pilot wa marekani miaka ya 1950s ambaye alipita karibu na North pole na kuona mazingira ambayo imani ya kibudha ya china huamini hivyo.
Pia kuna issue ya Ujerumani kufanya ziara katika bara la antrantica lililopo karibia na south pole kipind cha adolf hitler. Hii ilileta maswali mengi sana kukaribia vita kuu ya pili ambapo ujerumani ilionekana ilikuwa advanced katika silaha zake za vita na kuwa na technology kubwa sana. Wamepata wapi utaalamu huo??
Hivyo inasemekana mpaka leo south pole kuna basement ambayo ni gate la kwenda huko inner earth na bado ujeruman na mataifa mengine makubwa wanalinda maeneo hayo. Na inasemekana hata hitler alikimbilia huko na hakujiua kama tunavyoambiwa..

Guys kuna lots of informations ambazo zinaweza zikapeleka mbali na ukweli... kueni makini pindi mnatafuta ukweli.. Mungu awatangulie
 
Kwa hiyo wewe unataka kuniambia nyota mchana tunaziona kwa macho yetu , wakati gani nyota zibaonekana kwa macho yetu, ni kipi kinachozuia mchana tusione nyota .
Nimemjibu mwezako kuwa kuna mabonde, milima, mitelemko na miinuko misri hatuwezi tukaiona na kubaliana na wewe kabisa . Hakuna kitu chochote kilichopo katika kinachozuia Mars isionekane.
Alafu kingine uliwahi kujiuliza kwa Nini baadhi ya wanyama wakati wa usiku macho yao yanang'aa, Binadamu tunaweza kujificha usiku pasipo macho yako kuonekana. Ingekuwa vizuri ungekuwa una juwa jicho la Binadamu linatoa volt ngapi?
Huu ni mstali Wako "" Mwanga wa blue ni mwanga wa jua sio mwisho wa macho kuona"" hivi unapoambiwa Mwisho wa uwezo Wako wa kuona unajuwa tunamaanisha Nini.
 

labda atusaidie kwa hili ndugu; jua linapochomoza Mashariki na kuzama Magharibi, hili linawezekana vipi kama dunia ni tambarare? kwa maana tumeambiwa kuwa kuna ukingo!!! kama ndivyo, likienda halirudi linakuja jipya!
 
Dah,dunia hii hii lakini mambo ni mazito Sana
 
Mada yako ipo kisayansi zaidi nami Naomba nikuulize kisayansi zaidi
Kama dunia iko flat na haizunguki inakuwaje jua likizamia magharibi lisichomozee huko huko badala yake linachomozea mashariki na kuzama magharibi,na mwezi je si ungekuwa ukionekana marekani Leo kuja kuonekana huku ni baada ya siku za kutosha?
 
Sio jibu sahihi hata kidogo. Hata ukiwa na darubini kali ukiwa dar zenji huioni na hayo mabonde na milima huioni. Imewahi enda bichi hapa dar na kuiona boat toka zenji inavyotokea ikiwa inatoka zanzibar?? Inatokea kwa chini kama inaibuka. Zenji iko kwa "chini"!
 
Hii theory ndiyo ilikuwa inatumika miaka dahari kabla Galileo hajapingana nao kwa ushahidi ambao ulithibitisha madai yake kuwa dunia ni duara na ina umbo la tufe.
Sasa huyu jamaa anataka kuturudisha enzi zileeeee!!!!
Tuacheni jamani mvurugo wa ccm unatosha.
 
Hawa jamaa masakala kweli!!!
 
Hapo kwenye meli na chungwa umejikanyaga sana. Unaongelea dunia kuwa flat ya cd alafu tena upande wa pili wa duara ambao unafanye meli isionekane??????!!!!! Hapa umechemka.
 
Mi kinachoniumiza kichwa ni hili la dunia kujizunguusha yenyewe kwenye muhimili wake "ROTATION" kwamba hiyo gravitation force ni hadi kwenye atmosphere? coz Kwa mfano ikitokea something labda ndege kikaganda hewani kwa maana ya atmosphere kwa masaa kadhaa kikitua chini c kitajikuta kipo America!!
 
Kama Dunia ni flat basi itakuwa Haina Mwisho.
 
Kama unakubali kuwa boat inatokea kwa chini inapotoka zanzibar, sifa kubwa ya mabonde, milima, mitelemko na miinuko. Ninapo pandisha mlimani mimi siwezi kuonekana wote.
Hata mtu aliyeko zanzibar atakuambia kuwa dar Ipo kwa chini, sababu gani boat ukitokea dar inaelekea zanzibar inatokea kwa chini kama inaibuka.
Utata unazidi kuongezeka kila mtu yeyote aliyeko pwana katika nchi yeyote Ile kitu chochote kitakaho tokea baharin kinaibuka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…