No nimeuliza tu au kuuliza maana yake ni mgumu kuelewa..?We jamaa ni mgumu sana kuelewa. Nimekuambia, hiyo shape yako uliyo nayo inatokana na mfumo wa container lililokushikilia usitapanyike into space, huna shape nje ya hicho kishikio, same to water, itachukua shape ya kishikio. Tofauti yako wewe na maji ni kuwa maji yanaweza fit kwenye vitu vingine vya aina nyingi na kuendelea kuexist kwa shape ya hivyo vitu.
Hakuna shida yoyote niliyopata. Nimekupa jibu hii ni mara kama ya 1000 kuwa kila kitu kinaexist kwa kushikiliwa na kitu kingine.Na shape inatokana na hicho kishikio.No nimeuliza tu au kuuliza maana yake ni mgumu kuelewa..?
Bado hujajibu,.maji yana shape gani....?
Umetoa mfano wa shape ya mtu hapo,.lakini kiuhalisia ningekuuliza Mtu ana shape gani wala usingepata shida Kwa kuwa inajulikana, tofauti ilivyo Kwa maji.
Twende pole pole tutafika Tu....Hakuna shida yoyote niliyopata. Nimekupa jibu hii ni mara kama ya 1000 kuwa kila kitu kinaexist kwa kushikiliwa na kitu kingine.Na shape inatokana na hicho kishikio.
Mfano wewe hapo una shape gani? Ukidondokewa na jiwe kubwa ukavunjika vunjika unakuwa na shape gani? Ukikunjwa kunjwa uenee kwenye bakuli unakuwa na shape gani?
Maji yakiwa kwenye ardhi kishikio kinachoyashikilia yaendelee kuwa maji ni nini?Twende pole pole tutafika Tu....
1. Nikiyamwaga maji chini ya ardhi yatakua na shape gani?
Mtu amelela chini ya ardhi kishikio kinachomshikilia aendelee kuwa mtu ni nini?2. Mtu akiwa amelala chini ya ardhi atakua na shape gani?
1. Ni ardhiMaji yakiwa kwenye ardhi kishikio kinachoyashikilia yaendelee kuwa maji ni nini?
Mtu amelela chini ya ardhi kishikio kinachomshikilia aendelee kuwa mtu ni nini?
Ardhi ina shape gani?1. Ni ardhi
2. Ni ardhi
Haya lete majibu sasa...
Jibu maswali ya jamaa ameuliza direction ya air resistance ni wapi (a)upwardHayo maneno wewe umeyaelewaje?
Tena nimekuwekea hadi description 👉🏼⬆️⬇️ lakini bado umeshindwa kuelewa?
Ngoja nijaribu tena,. huenda ukaelewa:-
Scenario 1:- Mpira umerushwa juu ⬆️, Kwa force iliyotumika kupeleka mpira huo juu.
Scenario 2:- Ultimately air resistance inaanza kuchukua nafasi na Ku slow down motion ya mpira kwenda juu...na kuufanya urudi chini downward ⬇️.
Hayo maelezo yapo clear...sasa shida yako unakuja tena unauliza wakati mpira upo kwenye motion ya kushuka chini kwanini air resistance isiurudishe tena juu? Hapo inaonyesha jinsi unavyo complicate mambo.
Hilo ndiyo jibu..?Ardhi ina shape gani?
Hilo swali nimelijibu ila nitakusaidia Kwa urahisi hapa ili usiulize tena maisha yako yote.....Jibu maswali ya jamaa ameuliza direction ya air resistance ni wapi (a)upward
(b)downward
(c) in all directions?
Wewe ni sahihi kujibiwa kwa maswali. Nishakuambia, any shape ya kitu chochote inatokana na kishikio. Mfumo na forces zilizoishikilia hiyo object. Hakuna fixed shape kuwa object hii ina shape hii, kishikio ndo kinaamua shape. Hata wewe hiyo shape yako kuna mazingira yakitokea unabadilika. Unaweza kuwa hata kimiminika sema ili uhai uwepo kuna mfumo lazima uwepo na huo mfumo haufanyi kazi ukiwa kimiminika otherwise you can change.Hilo ndiyo jibu..?
Sawa nadhani tuhitimishe kwa kusema,.The whole world including scientific experiments proves that water is shapeless.. except you 🤝🏼Wewe ni sahihi kujibiwa kwa maswali. Nishakuambia, any shape ya kitu chochote inatokana na kishikio. Mfumo na forces zilizoishikilia hiyo object. Hakuna fixed shape kuwa object hii ina shape hii, kishikio ndo kinaamua shape. Hata wewe hiyo shape yako kuna mazingira yakitokea unabadilika. Unaweza kuwa hata kimiminika.
Tungeelewana hapa tungeamia kwenye dunia imetengenezwa na nini na ikachukua shape gani, sasa kwa uelewa wako huu wa kufix shape tuishie hapa tu.
The whole world imesema wapi acha uongo. Dunia nzima inajua water borrow the shape of the container na hata object nyingine ni same case. Hiyo No shape wanaambiwa watoto wakati wa kujifunza.Sawa nadhani tuhitimishe kwa kusema,.The whole world including scientific experiments proves that water is shapeless.. except you 🤝🏼
Yap Dunia nzima +scientific experiments kasoro wewe,..na it's okay pia kuamini hivyo huenda upo sahihi....The whole world imesema wapi acha uongo
Yap Dunia nzima +scientific experiments kasoro wewe,..na it's okay pia kuamini hivyo huenda upo sahihi....
Ukisha borrrow shape,.that means huna shape.Dunia nzima inajua water borrow the shape of the container
Kila kitu kimeborrow shape ya kitu kingine. Wewe hapo umeundwa na nini? Tukianza kuchambua kitu kimoja kimoja hivyo vitu vyote si vimeshikiliwa na kitu kingine ndipo ikapatikana shape yako? Nimekwambia tofauti yako na maji ni uwepesi wa kubadili shape(Flexibility) ila hata wewe tunaweza kukuponda ponda tukakuweka kwenye chungu na ukakaa.Ukisha borrrow shape,.that means huna shape.
Mbona unabisha kitu kipo wazi kabisa.
So unamaanisha maji yalivyo tayari yame borrow shape ya particles nyingine,..si ndiyo??Kila kitu kimeborrow shape ya kitu kingine. Wewe hapo umeundwa na nini? Tukianza kuchambua kitu kimoja kimoja hivyo vitu vyote si vimeshikiliwa na kitu kingine ndipo ikapatikana shape yako? Nimekwambia tofauti yako na maji ni uwepesi wa kubadili shape(Flexibility) ila hata wewe tunaweza kukuponda ponda tukakuweka kwenye chungu na ukakaa.
Halafu ukiielewa hii concept utaelewa kwanini dunia ni duara na sio flat kama chapati.
Shape ya maji inategemea yalipo, yako wapi? Kuna maji ambayo hayapo sehemu yoyote? Maji lazima yawepo sehemu na hiyo sehemu ndo huamua yawe na shape gani. Sijui umeelewa boss?So unamaanisha maji yalivyo tayari yame borrow shape ya particles nyingine,..si ndiyo??
Mbona nakuambia kila saa hili jibu? Unataka shape ya maji yakiwa wapi?Kama jibu ni ndiyo,.. kwanini mpaka sasa hivi umeshindwa kutaja shape ya maji?
Na concept ndo ipo hapa. Na ndo hapo usipoelewa. Hakuna kitu kinachoexist chenyewe bila kitu kingine. Kuna kitu ndani ya kitu ndani ya kitu to infinity. Hivyo vitu ndani ya vitu ndo huamua shape.Ukiulizwa shape ya maji,.unauliza shape ya container......wakati container na maji ni vitu viwili tofauti kabisa.
Shape ya maji inategemea yalipo, yako wapi? Kuna maji ambayo hayapo sehemu yoyote? Maji lazima yawepo sehemu na hiyo sehemu ndo huamua yawe na shape gani. Sijui umeelewa boss?
Mbona nakuambia kila saa hili jibu? Unataka shape ya maji yakiwa wapi?
Na concept ndo ipo hapa. Na ndo hapo usipoelewa. Hakuna kitu kinachoexist chenyewe bila kitu kingine. Kuna kitu ndani ya kitu ndani ya kitu to infinity. Hivyo vitu ndani ya vitu ndo huamua shape.
Upo hapo?
Hakuna siasa kuna majibu ambayo pengine huwezi yaelewa. Kuna namna unavyotazama mambo kutegemeana na uwezo wa uelewa wako.Swali dogo Tu,..Ni ipi shape ya Maji?
Halihitaji siasa nyingi unazoleta.