hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Chini ni earth's surface juu ni earth's sky.Na sehemu ya chini inaitwaje??
Maama inaonekana jua huenda juu angali kisha huingia chini ili kuibuka tena kesho asubuhi.
NB:- Jua huwa haliendi chini wala juu...ni ujinga(sorry sanašš¼) kusema Jua linaenda juu na chini, wakati hapo hapo unakubali NASA wanaposema lipo umbali wa 93 Million from earth.....sasa hujiulizi kama object iliyo umbali huo kwenda juu na chini ya Dunia ni impossi-ball??!