Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Orion galaxy ??

Ona sasa unavyojichanganya
Nimejichanganya vipi? Ninaposema Galaxy namaanisha hilo kundi la Nyota zinazounda shape ya Orion.....au hiyo pia ni ngumu kuelewa.?
Nikikwambia ulete majibu ya maswali yangu yale, sidhani kama unaweza kuleta kwasababu ukweli ni kwamba ulikimbia na haukujibu....


Tuachane na haya... Mnasema nyota zinazunguka Dunia

Unaweza kunielezea nyota za Orions/Nyota zote zinavyoizunguka Dunia ?
View attachment 2936955
1. Ndiyo Nyota zinafanya movement kwenye anga ..,..

2. Kama nilivyokujibu awali kwamba elimu juu ya namna Nyota hizo zinavyoogelea kwenye anga,as it stands, bado hatuna.

Nadhani swala la Orion limeisha sasa,..
 
Nimejichanganya vipi? Ninaposema Galaxy namaanisha hilo kundi la Nyota zinazounda shape ya Orion.....au hiyo pia ni ngumu kuelewa.?

1. Ndiyo Nyota zinafanya movement kwenye anga ..,..

2. Kama nilivyokujibu awali kwamba elimu juu ya namna Nyota hizo zinavyoogelea kwenye anga,as it stands, bado hatuna.

Nadhani swala la Orion limeisha sasa,..
Ficha upumbavu wako, Usiseme hatuna elimu sema wewe hauna elimu.


Yani nyota zinafanya movement kuzunguka Dunia, Qn How ? Eti elimu hatuna hivi unatuonaje wewe ?

inatakiwa ufahamu nyota zipo mbali sana, Miaka mabillion ya mwanga,
 
Sijasema ulete majibu,.. nimesema ulete uthibitisho usio na shaka.


Au hujui kama majibu na uthibitisho ni vitu viwili tofauti.
Leta wewe uthibitisho wa Jua kuzunguka Dunia, na uthibitisho wa nyota zikiizunguka Dunia.
 
Screenshot_20240317_092027_Gallery (1).jpg
 
Ficha upumbavu wako, Usiseme hatuna elimu sema wewe hauna elimu.


Yani nyota zinafanya movement kuzunguka jua, Qn How ? Eti elimu hatuna hivi unatuonaje wewe ?

inatakiwa ufahamu nyota zipo mbali sana, Miaka mabillion ya mwanga,
Jamani angalieni na kichwa.

Huyu unaposema nyota ziko mbali miaka mabilioni ya mwanga mnamchanganya,atakuja aulize kivipi uongo mkubwa hivyo!!maana hata basics za vipimo vya physics hajui.

Mtu ambaye kwenye akili yake dunia ni kubwa kuliko jua,unaweza pata picha ni kwa namna gani yuko mbali kumuelewesha.
 
Na swali, Mbona camera za cannon sony zinaweza zoom umbali mrefu sana ambapo kwa curvature idea per distance isinge weza kuona umbali huo!??? Au video za utube ni uongo
Mkuu kuwa makini,una uhakika sony cannon ukiiweka 180% 1metre above see level pale gymkana unaiona ziwani zanzibar 50km away????
 
Jamani angalieni na kichwa.

Huyu unaposema nyota ziko mbali miaka mabilioni ya mwanga mnamchanganya,atakuja aulize kivipi uongo mkubwa hivyo!!maana hata basics za vipimo vya physics hajui.

Mtu ambaye kwenye akili yake dunia ni kubwa kuliko jua,unaweza pata picha ni kwa namna gani yuko mbali kumuelewesha.
Na kama hajui kitu analazimisha iwe ni Dunia nzima hamjui,


Huyu level ya ujinga alishavuka, Kapanda cheo.
 
Ficha upumbavu wako, Usiseme hatuna elimu sema wewe hauna elimu.


Yani nyota zinafanya movement kuzunguka Dunia, Qn How ? Eti elimu hatuna hivi unatuonaje wewe ?

inatakiwa ufahamu nyota zipo mbali sana, Miaka mabillion ya mwanga,
Sasa Mimi na wewe nani mpumbavu hapo?

Anaekiri kwamba elimu hiyo haipo anakuaje mpumbavu, wakati elimu hiyo ni kweli kabisa haipo?


Sasa nani asiejua kama Nyota zipo mbali,..au unamaanisha nini hapa?
 
Na kama hajui kitu analazimisha iwe ni Dunia nzima hamjui,


Huyu level ya ujinga alishavuka, Kapanda cheo.
Eti nalazimisha Dunia nzima iwe haijui,.... kwahiyo Kwa akili yako kwa umbali Nyota zilipo,..kuna Mtu hapa Duniani anajua exactly 100% jinsi Nyota zinavyo move?

Wewe kaa hapo usubiri kudanganywa,.maana umewapa wengine fursa ya kufikiria kwa niaba yako.
 
Mkuu kuwa makini,una uhakika sony cannon ukiiweka 180% 1metre above see level pale gymkana unaiona ziwani zanzibar 50km away????
Kwahiyo akili yako inakuambia huoni Zanzibar kwasababu ya curvature..??!


Jitahidi kutumia akili yako vizuri....
 
Kwahiyo akili yako inakuambia huoni Zanzibar kwasababu ya curvature..??!


Jitahidi kutumia akili yako vizuri....
Nataka uniambie wewe kwa akili yako nzuri,mimi nimeshindwa sababu ya macho hafifu,haya cannon imeshindwa sababu ya lens za bei chee ama nini???

Na kwa taarifa yako zingatia, tukipanda floor ya mwisho ya jengo la bandari tukatumia hiyo cannon kizimkazi hii hapa tunaiona.
 
Eti nalazimisha Dunia nzima iwe haijui,.... kwahiyo Kwa akili yako kwa umbali Nyota zilipo,..kuna Mtu hapa Duniani anajua exactly 100% jinsi Nyota zinavyo move?

Wewe kaa hapo usubiri kudanganywa,.maana umewapa wengine fursa ya kufikiria kwa niaba yako.
Unajua wewe tatizo lako unatumia ujinga wako kubishia vitu,si kutumia unachokijua kujenga hoja.

Hatuwezi kukusikiliza kwa kufata hisia zako ni kwa kusikiliza ulichochunguza.
 
Jamani angalieni na kichwa.

Huyu unaposema nyota ziko mbali miaka mabilioni ya mwanga mnamchanganya,atakuja aulize kivipi uongo mkubwa hivyo!!maana hata basics za vipimo vya physics hajui.

Mtu ambaye kwenye akili yake dunia ni kubwa kuliko jua,unaweza pata picha ni kwa namna gani yuko mbali kumuelewesha.
Kuruhusu wengine wafikirie on your behalf ndiyo imepelekea uione Dunia ni ndogo......kumbe ungeruhusu akili yako ifikirie on it's own ungejua kama Dunia ni kubwa kiasi ambacho hata Jua ni sehemu ya Dunia,...yaani Jua, Mwezi na Nyota nyingine ni lighting objects ambazo zipo ndani ya Anga la Dunia!


But,.Hii ni mpaka ufikirie kwa kutumia akili yako..
 
Unajua wewe tatizo lako unatumia ujinga wako kubishia vitu,si kutumia unachokijua kujenga hoja.

Hatuwezi kukusikiliza kwa kufata hisia zako ni kwa kusikiliza ulichochunguza.
Ndiyo, narudia tena kwamba hakuna aliyetoka na kutangaza rasmi kwamba anajua jinsi Nyota zinavyo move na kuelezea Kwa undani.

Sasa kuliko kubisha kuhusu hilo nadhani ungeleta uthibitisho wa mtu/taasisi yoyote inayosema inajua jinsi Billions of Nyota zinavyo move,.....la sivyo wewe ndiyo utaonekana mjinga.
 
Kuruhusu wengine wafikirie on your behalf ndiyo imepelekea uione Dunia ni ndogo......kumbe ungeruhusu akili yako ifikirie on it's own ungejua kama Dunia ni kubwa kiasi ambacho hata Jua ni sehemu ya Dunia,...yaani Jua, Mwezi na Nyota nyingine ni lighting objects ambazo zipo ndani ya Anga la Dunia!


But,.Hii ni mpaka ufikirie kwa kutumia akili yako..
Kwa kutumia akili zangu kabisa watu wenye vitambi ni wameshiba maana matumbo yao yamejaa.

Lakini uhalisia hauko hivi kabisa,kilichojaa mule sio ugali au viazi.

Tumeomba mfano wa namna ya video au picha kuonyesha haya madai yako,mkuu umekataa kabisa kutuma.
 
Back
Top Bottom