hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Huna swali lolote la msingi,.. maswali yote uliyouliza yalijibiwa na Kwa bahati mbaya ukakimbia bila Kuleta ushahidi wa dunia tufe linalozunguka.......Kuna maswali alikimbia hadi leo alijua naenda kumuingiza mtegoni,
Kiufupi yeye na ukilaza ni damu damu.