Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kuna maswali alikimbia hadi leo alijua naenda kumuingiza mtegoni,


Kiufupi yeye na ukilaza ni damu damu.
Huna swali lolote la msingi,.. maswali yote uliyouliza yalijibiwa na Kwa bahati mbaya ukakimbia bila Kuleta ushahidi wa dunia tufe linalozunguka.......
 
Naona mnaupaka ujinga rangi nzuri hapa....kwamba wewe ushawahi kuniuliza swali la altitude? Lilete hapa la sivyo utakua mzushi..

Then, hilo swali la altitude ni la kitoto sana kisha halithibitishi Dunia Tufe linalozunguka 👉🏼🌍

Kimsingi mpaka sasa hakuna yoyote aliyeweka ushahidi usio na shaka kwamba Dunia ni Tufe, na mambo mengine mengi nikitulia nitaandika hapa.
Sio wewe ulokua unauliza kwanini river nile inamwaga maji egypt na sio imwage maji huku chini (eastafrica) mkuu , nilivokuuliza altitude profile unaifahamu ulijibu?
 
Huna swali lolote la msingi,.. maswali yote uliyouliza yalijibiwa na Kwa bahati mbaya ukakimbia bila Kuleta ushahidi wa dunia tufe linalozunguka.......
Mimi na wewe ni nani alimkimbia mwenzie ?? Rejea nyuma uone ni nani hakujibu maswali ya mwenzie akala mbio nyingi sana



Na kama upo tayari nianze kukuuliza tena, na usiruke wala kukimbia mpaka tufike hitimisho
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
"Earth is a kingdom, not a planet. It is not an object, hence it has no edge. Earth would be easier to define as a systemic medium. Earth is also a machine, it is a Tesla coil.

The sun and moon are wirelessly powered by an electromagnetic field (Aether). This field also suspends the celestial spheres by electromagnetic levitation.

Electromagnetic levitation disproves gravity because the only force you have to oppose is the electromagnetic force, not gravity. The stars are attached to the firmament."
 
Mimi na wewe ni nani alimkimbia mwenzie ?? Rejea nyuma uone ni nani hakujibu maswali ya mwenzie akala mbio nyingi sana



Na kama upo tayari nianze kukuuliza tena, na usiruke wala kukimbia mpaka tufike hitimisho
Huna swali lolote ambalo ulishindwa kujibiwa....swali la mwisho nakumbuka uliuliza kuhusu sunset na sunrise.. ukapata majibu safi kabisa...


Ukirudi na maswali ambayo ushajibiwa utakua unakwama sasa.

NB:- Nilikuomba ushahidi wowote usio na shaka kwamba Dunia ni Tufe 👉🏼 🌍 linalozunguka.... Mpaka Leo umeshindwa unaleta maneno na hadithi tu.
 
Sio wewe ulokua unauliza kwanini river nile inamwaga maji egypt na sio imwage maji huku chini (eastafrica) mkuu , nilivokuuliza altitude profile unaifahamu ulijibu?
Sijawahi kuuliza swali hilo.... huenda kuna Mtu ulijadiliana nae kuhusu hilo.


Wala wewe hujawahi kuniuliza kuhusu altitude profile.
 
Huna swali lolote ambalo ulishindwa kujibiwa....swali la mwisho nakumbuka uliuliza kuhusu sunset na sunrise.. ukapata majibu safi kabisa...


Ukirudi na maswali ambayo ushajibiwa utakua unakwama sasa.

NB:- Nilikuomba ushahidi wowote usio na shaka kwamba Dunia ni Tufe [emoji1371] [emoji288] linalozunguka.... Mpaka Leo umeshindwa unaleta maneno na hadithi tu.
Mtu mzima ukiwa muongo muongo haipendezi,

Sio wewe nliyekua nakuuliza kuhusu nyota za orions ?
 
Huna swali lolote ambalo ulishindwa kujibiwa....swali la mwisho nakumbuka uliuliza kuhusu sunset na sunrise.. ukapata majibu safi kabisa...


Ukirudi na maswali ambayo ushajibiwa utakua unakwama sasa.

NB:- Nilikuomba ushahidi wowote usio na shaka kwamba Dunia ni Tufe [emoji1371] [emoji288] linalozunguka.... Mpaka Leo umeshindwa unaleta maneno na hadithi tu.
Na tangu lini umewahi kuwa na "majibu safi kabisa"

Vichekesho hivi vinapatikana kwako tu
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
hateeb10
Kwahiyo "flat earth society" vitu kama hivi mkiviona huwa mnadhani ni kwajili ya kujifurahisha ?

[emoji16][emoji16]
475884302.jpg
 
Huwezi ukayakubali majibu hayo kwa kuwa yapo against kile ulichoaminishwa.
Anayeweza kukubali majibu yako ya kuunga unga lazima awe hamnazo kichwani,

Nadhani ukikaa mwenyewe ukawa unasoma majibu yako unabaki unajicheka.
 
hateeb10
Mnasema jua na hata nyota zingine zinazunguka Dunia na zipo ndani ya Dunia mnachekesha sana nyinyi


Na bahati mbaya mkianza kuelezea kuhusu jua linavyozunguka Dunia mnasahau kama inabidi muelezee na namna nyota zinavyozunguka hii Dunia


Maswali kama haya tukiwauliza hamna uwezo wa kuyajibu lazima mkimbie.
 
Yani nikimbie swali kuhusu Orion galaxy? Haiwezi kuwa kweli.....


Wewe ndiyo ulikimbia baada ya kupata majibu...
Orion galaxy ??

Ona sasa unavyojichanganya




Nkikwambia ulete majibu ya maswali yangu yale, sidhani kama unaweza kuleta kwasababu ukweli ni kwamba ulikimbia na haukujibu....


Tuachane na haya... Mnasema nyota zinazunguka Dunia

Unaweza kunielezea nyota za Orions/Nyota zote zinavyoizunguka Dunia ?
View attachment 2936955
 
Back
Top Bottom