Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Kwa kutumia akili zangu kabisa watu wenye vitambi ni wameshiba maana matumbo yao yamejaa.

Lakini uhalisia hauko hivi kabisa,kilichojaa mule sio ugali au viazi.

Tumeomba mfano wa namna ya video au picha kuonyesha haya madai yako,mkuu umekataa kabisa kutuma.
Unataka video ya nini?
 
Ndiyo, narudia tena kwamba hakuna aliyetoka na kutangaza rasmi kwamba anajua jinsi Nyota zinavyo move na kuelezea Kwa undani.
Mpaka sasa hakuna binaadam aliyevuka mwezi kusafiri,watu wanatuma vyombo peke yake.

Ni kweli kwamba hakuna mtu aliyekwenda ktk nyota moja moja na kuona zinafanyaje mjongeo.lakini hii haitoshi kusimama kama hoja yako.
Sasa kuliko kubisha kuhusu hilo nadhani ungeleta uthibitisho wa mtu/taasisi yoyote inayosema inajua jinsi Billions of Nyota zinavyo move,.....la sivyo wewe ndiyo utaonekana mjinga.
Ntakuwa lofa kuogopa kuonekana mjinga na wapumbavu.

Nawewe ni muumini wa kujua nyota ziko ndani ya dunia😂😂😂😂
 
Nataka uniambie wewe kwa akili yako nzuri,mimi nimeshindwa sababu ya macho hafifu,haya cannon imeshindwa sababu ya lens za bei chee ama nini???

Na kwa taarifa yako zingatia, tukipanda floor ya mwisho ya jengo la bandari tukatumia hiyo cannon kizimkazi hii hapa tunaiona.
Unaiona kwasababu Dunia ipo flat.,..ingekua haipo flat na kwamba kuna curvature,. Basi hata ungepanda kwenye floor ya mwisho ya Jengo la Bandari there's no way ungeweza kuiona Zanzibar.

Kinachofanya ushindwe kuiona Zanzibar ukiwa chini ni kutokana na obstacles & limited vision ya macho au camera inapokutana na hewa+maji(bahari), ukishaenda floor ya juu kabisa maana yake ume escape effect ya maji kwenye uoni wako so you can see far zaidi kutegemea na uwezo wa camera....Mionzi ya mwanga inaweza kugongana na chembe ndogo za maji na molekuli za hewa, ikisababisha kuvunjika na kufyonzwa kwa sehemu ya mwanga. Hiyo inasababisha uoni wetu kupungua, haswa kwa distance kama Tz hadi Zanzibar
.
 
Mpaka sasa hakuna binaadam aliyevuka mwezi kusafiri,watu wanatuma vyombo peke yake.

Ni kweli kwamba hakuna mtu aliyekwenda ktk nyota moja moja na kuona zinafanyaje mjongeo.lakini hii haitoshi kusimama kama hoja yako.
Sawa Ahsante Kwa kukubaliana kuhusu mjongeo wa Nyota nadhani hili limeisha sasa..... aione Chosen Rich



Nawewe ni muumini wa kujua nyota ziko ndani ya dunia😂😂😂😂
Ndiyo Nyota zipo ndani ya Anga ya Dunia....Kwa kukuwekea simple zaidi ni kwamba,.ukiweza kutoka mbali kabisa away from anga la dunia ambapo hakuna:-
1. Jua
2. Nyota, including the so called planets
3. Mwezi
4. Vimondo


Hapo ndiyo utakua umetoka nje ya Dunia sasa,...la sivyo utakua unafanya roaming humu humu kwenye anga la Dunia.
 
Nimejichanganya vipi? Ninaposema Galaxy namaanisha hilo kundi la Nyota zinazounda shape ya Orion.....au hiyo pia ni ngumu kuelewa.?

1. Ndiyo Nyota zinafanya movement kwenye anga ..,..

2. Kama nilivyokujibu awali kwamba elimu juu ya namna Nyota hizo zinavyoogelea kwenye anga,as it stands, bado hatuna.

Nadhani swala la Orion limeisha sasa,..
Boss, Anga ni nini kwa flat earth theory?
 
Animation tu,tuone namna jua linavyozunguka dunia na nyota zikiwamo na mwezi.
Animation haziwezi kukupa uhalisia wa jinsi objects zinavyo move exactly ,....hata NASA wanatumia animation lakini ndiyo hizo watu wanazi question kila siku.....watu wanataka picha halisia & not animations hasa kwenye zama hizi za GenZ.
 
Unaiona kwasababu Dunia ipo flat.,..ingekua haipo flat na kwamba kuna curvature,. Basi hata ungepanda kwenye floor ya mwisho ya Jengo la Bandari there's no way ungeweza kuiona Zanzibar.

Kinachofanya ushindwe kuiona Zanzibar ukiwa chini ni kutokana na obstacles & limited vision ya macho au camera inapokutana na hewa+maji(bahari), ukishaenda floor ya juu kabisa maana yake ume escape effect ya maji kwenye uoni wako so you can see far zaidi kutegemea na uwezo wa camera....Mionzi ya mwanga inaweza kugongana na chembe ndogo za maji na molekuli za hewa, ikisababisha kuvunjika na kufyonzwa kwa sehemu ya mwanga. Hiyo inasababisha uoni wetu kupungua, haswa kwa distance kama Tz hadi Zanzibar
.
Sasa mkuu kama unakubali kuna limited vision ya macho kwanini hufikiri kuwa hiyo weakness ndo inafanya usione umbali unaotosha kuonyesha umbile halisi la dunia?
 
Sasa mkuu kama unakubali kuna limited vision ya macho kwanini hufikiri kuwa hiyo weakness ndo inafanya usione umbali unaotosha kuonyesha umbile halisi la dunia?
Yes,.upo sahihi but conclusion kwamba Dunia sio tufe inatokana na logic apart from umbali tunaoweza kuona.

Kwa mfano logically,..Tazama Ndege zina move horizontally over earth's ground bila kwenda down wala up, kufuata Nchi tofauti tofauti depending on their locations kwenye dunia Tufe..... Ingekua Dunia ni Tufe Ndege zisinge move horizontally bali kuna muda zingekua zina bend kwenda chini au kuinua vichwa vyao kutokana na utufe wa Dunia...but that doesn't happen.


Vipo vingi tu vya kufikirisha but hiyo scenario hapo juu 👆🏼ni rahisi zaidi kueleweka.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Animation haziwezi kukupa uhalisia wa jinsi objects zinavyo move exactly ,....hata NASA wanatumia animation lakini ndiyo hizo watu wanazi question kila siku.....watu wanataka picha halisia & not animations hasa kwenye zama hizi za GenZ.
Haiwezekani, lazima zile taarifa zitafunwe na kutolewa kwa mfumo wa picha ambao ubongo wako wewe au mimi mtu wa kaiwada unaweza kuelewa na device yako unayotumia inaweza kucapture.

Ushawahi jifunza jinsi wanasayansi wanavyotafiti kujua iwapo sayari fulani inaweza kuwa na uhai? Ukijifunza hili huenda utaelewa ninachomaanisha.

Nimeshawahi kukuambia, ukitaka kitu halisi tumia namba, hesabu. Picha ni matokeo ya mchujo ili kutoa kitu ambacho ubongo wako unaweza kukitafsiri kiwepesi, hata jicho lako linafanya hiyo kazi, hata watoto wanafundishwa kwa picha kwanza ukikomaa ndo hesabu zinaingia.
 
Sawa Ahsante Kwa kukubaliana kuhusu mjongeo wa Nyota nadhani hili limeisha sasa..... aione Chosen Rich
Mimi sijakubaliana na hoja yoyote ya kwako uliyoitoa ambayo hata hivyo haipo kuhusu mjongeo wa nyota.

Msimamo wangu ni kwamba nyota kila moja inafanya mzunguko wake kuzunguka black hole.sijui msimamo wako ni upi.
Ndiyo Nyota zipo ndani ya Anga ya Dunia....Kwa kukuwekea simple zaidi ni kwamba,.ukiweza kutoka mbali kabisa away from anga la dunia ambapo hakuna:-
1. Jua
2. Nyota, including the so called planets
3. Mwezi
4. Vimondo
Vyema umetaja vimondo,na planets,mwezi.

Kwa mujibu wa uelewa wako vimondo husababishwa na nini kuonekana ikiwa vimo ndani ya dunia tunaishi navyo na hatuvioni mara kwa mara??

Nyota zinatumia mwanga wake wa asili au zinaakisi kama mwezi??elezea kwa kuzingatia mtizamo wa dunia tambarare.

Hapo ndiyo utakua umetoka nje ya Dunia sasa,...la sivyo utakua unafanya roaming humu humu kwenye anga
Ambako ulidai kuna kuta za barafu au hapa bado hujazipita kuta hizo??
 
Unaiona kwasababu Dunia ipo flat.,..ingekua haipo flat na kwamba kuna curvature,. Basi hata ungepanda kwenye floor ya mwisho ya Jengo la Bandari there's no way ungeweza kuiona Zanzibar.
Hapana mkuu usifikirie kama kuku.wewe ni binaadam.

Tunajua huitaki wala huipendi physics lakini haina maana ugome kutumia na akili zako kabisa.

Kinachofanya ushindwe kuiona Zanzibar ukiwa chini ni kutokana na obstacles & limited vision ya macho au camera inapokutana na hewa+maji(bahari), ukishaenda floor ya juu kabisa maana yake ume escape effect ya maji kwenye uoni wako so you can see far zaidi kutegemea na uwezo wa camera....Mionzi ya mwanga inaweza kugongana na chembe ndogo za maji na molekuli za hewa, ikisababisha kuvunjika na kufyonzwa kwa sehemu ya mwanga. Hiyo inasababisha uoni wetu kupungua, haswa kwa distance kama Tz hadi Zanzibar.
Hii ni theory yako mpya,unaweza kutupa application yake au hata formular yake???
Utafiti ndio vitu tunataka kaka safi sana.

Twende kazi.
 
Animation haziwezi kukupa uhalisia wa jinsi objects zinavyo move exactly ,....hata NASA wanatumia animation lakini ndiyo hizo watu wanazi question kila siku.....watu wanataka picha halisia & not animations hasa kwenye zama hizi za GenZ.
NASA wanashindwa kupiga picha halisi kutokana ukubwa wa scale ya wanachokichunguza.

Wanaunda animation,picha za kuchora,na ramani ili upate picha ya kilichopo tu.

Serious kwamba ulitaka picha ya umbali kutoka mars to earth???inapigwa mpigaji akiwa amesimama wapi!!!!
 
Anga ni sehemu ya juu ya Dunia.....

Simply we can say that "Sky is the roof of the earth" 💯
Na sehemu ya chini inaitwaje??

Maama inaonekana jua huenda juu angali kisha huingia chini ili kuibuka tena kesho asubuhi.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Mimi sijakubaliana na hoja yoyote ya kwako uliyoitoa ambayo hata hivyo haipo kuhusu mjongeo wa nyota.
Tumekubaliana kwamba hakuna Mtu/taasisi yoyote inayojua jinsi Nyota zinavyojongea,...au umesahau kama umekiri mwenyewe hapa?
Msimamo wangu ni kwamba nyota kila moja inafanya mzunguko wake kuzunguka black hole.sijui msimamo wako ni upi.
Huo ni msimamo wako ambao kimsingi unatokana na kudhania Tu,....Mimi msimamo wangu ni kwamba still sijui zinajongea vipi.
Kwa mujibu wa uelewa wako vimondo husababishwa na nini kuonekana ikiwa vimo ndani ya dunia tunaishi navyo na hatuvioni mara kwa mara??
Ili uone object yoyote iliyopo kwenye anga la Dunia inategemea umbali, ukubwa wa hiyo object na Mwanga unaotokana na object husika...so vimondo havionekani mara Kwa possibly Kwasababu ya umbali,.size na Mwanga wake kuwa mdogo plus other factors mfano zinapoungua mwanga wake huwa mkubwa mpaka kuongeza visibility yake as seen from earth.....

Nyota zinatumia mwanga wake wa asili au zinaakisi kama mwezi??elezea kwa kuzingatia mtizamo wa dunia tambarare.
Nyota zina Mwanga wake wa asili.


Ambako ulidai kuna kuta za barafu au hapa bado hujazipita kuta hizo??
Kuna sehemu nimedai kuna kuta za barafu?

Au umeamua kuzusha Tu?
 
Hapana mkuu usifikirie kama kuku.wewe ni binaadam.

Tunajua huitaki wala huipendi physics lakini haina maana ugome kutumia na akili zako kabisa.


Hii ni theory yako mpya,unaweza kutupa application yake au hata formular yake???
Utafiti ndio vitu tunataka kaka safi sana.

Twende kazi.
Wala sio theory yangu ni vile tu huna exposure,...Nenda kasome kitu kinaitwa "Mirage" ukirudi hapa utakua umeelimika.
 
Tumekubaliana kwamba hakuna Mtu/taasisi yoyote inayojua jinsi Nyota zinavyojongea,...au umesahau kama umekiri mwenyewe hapa?
Tumekubaliana wewe na nani mkuu???mimi sijakwambia hayo maneno karudie kusoma.
Huo ni msimamo wako ambao kimsingi unatokana na kudhania Tu,....Mimi msimamo wangu ni kwamba still sijui zinajongea vipi.
Ila unakubali zinajongea au hutaki kama zinajongea???
Ili uone object yoyote iliyopo kwenye anga la Dunia inategemea umbali, ukubwa wa hiyo object na Mwanga unaotokana na object husika...so vimondo havionekani mara Kwa possibly Kwasababu ya umbali,.size na Mwanga wake kuwa mdogo plus other factors mfano zinapoungua mwanga wake huwa mkubwa mpaka kuongeza visibility yake as seen from earth.....
Nipe tofauti ya vyote hivyo kwa mujibu wa dhana za flat earth,yaani nyota na vimondo.tofauti yake ni ipi??
Nyota zina Mwanga wake wa asili.
Ambao unatokana na nini???kwa mujibu wa dhana yenu mana hamkubali kwamba jua ni nyota pia.
Kuna sehemu nimedai kuna kuta za barafu?
Labda umesahau mkuu.ukisema dunia ina kingo za barafu ktk miisho yake.
Au umeamua kuzusha Tu?
Siwezi kukuzushia kitu sababu sio tabia njema.
 
Back
Top Bottom