Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
mkorinto anakuambia ukiwa Tanzania huwezi kuiona Zanzibar kwasababu ya curvature of the earth.....ukimuambia athibitishe sasa.........Hahhh


View attachment 2949016
Embu waelezee watizamaji wa hii picha,ni kwanini mbao zinapungua ukubwa na kuwa nyembamba lakini miti mbele yake iko vile vile??
Nikafikiri utakuwa mwaminifu ulete picha kama hii hapa chini.

hii haijapungua tu imekwenda ikapinda mbele kuingia chini.
images.jpeg-2.jpg
 
Ningekua na akili ndogo ningeamini Dunia ni Tufe linalozunguka,..kama wewe ulivyoaminishwa.

Lakini Kwa kuwa akili yangu inafanya kazi vizuri,....ndiyo maana vitu ambavyo haviingii akilini inaniwia ugumu kuviamini.


Mfano,.mtu unasema Dunia inazunguka ukiombwa uthibitisho huna sasa,.. unategemea tukuamini vipi?
Sunrise and sunset, Ship visibility

Huo hapo ushahidi na unashuhudia kila siku.
 
Kwanini umefikiri kuwa chawa wanajua kuwa dunia ni flat?
Kwakuwa viumbe wana level fulani ya utambuzi basi hiyo inatosha kuhitimisha kwamba probably Chawa pia anajua kwamba Dunia ni flat,.... Since Dunia is truly flattened horizontal surface.
 
Umeandika mwenyewe Sunrise and sunshine.

Kisha unanibatiza Mimi ujinga.....nimeshauri uwe makini.

Zingatia hilo.
Samahani kwa hilo, Nlidhani unamaanisha niwe makini kwenye concept nzima

Nmerudi kuangalia nlipokosea nmeona.
 
Samahani kwa hilo, Nlidhani unamaanisha niwe makini kwenye concept nzima

Nmerudi kuangalia nlipokosea nmeona.
Hahhh tatizo mna haraka wakati mkiombwa uthibitisho mnasema Ship visibility,... Sasa ndiyo uthibitisho kweli huo?
 
Ko wewe ukiwa ndani ya gari huwa hulisikia linavyotembea huwa unashtukia tu uko Chalinze?🤣🤣🤣 Ko kujua kwamba garo lina move ni mpaka mtu aliyeko nje ya gari ndiyo athibitishe, sio?🤣🤣🤣
Ndio ukiwa ndani ya ndege huwezi kufeel inavyopaa mpaka inapokaribia kutua ama kubadilisha altitude yake, ikiwa kwenye speed constantly huwez kufeel kitu
 
Hahhh tatizo mna haraka wakati mkiombwa uthibitisho mnasema Ship visibility,... Sasa ndiyo uthibitisho kweli huo?
Hivi wew ndo ulisemaga kuwa ukirusha object juu ikiwa inarudi chini kunakuwa hakuna air resistance, si ndio?
 
Naomba picha ya Dunia ikiwa tambarare
Narudia tena kwamba,...usitegemee picha ili kujua kama Dunia ni tambarare ama la Kwasababu hakuna camera yenye uwezo wa kuchukua picha ya Dunia nzima.


Lakini Ku satisfy akili yako tazama hapa....
UN-flag-1947 (1).png
world-map.jpg
 
Hivi wew ndo ulisemaga kuwa ukirusha object juu ikiwa inarudi chini kunakuwa hakuna air resistance, si ndio?
Hiyo ishu ya air resistance+ gravity+density tulishaimaliza na majibu yote yapo humu...


Kama una doubt yoyote rudi nyuma Ka quote post husika.
 
Back
Top Bottom