Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Wewe unafikiri naishi Karne gani?
Sijawahi kuona shirika lolote la watu wanaoamini Dunia ni flat wakafanya project kama hizi, Ila wanakuja na majibu mepesi tu [emoji28]
 
Nenda katafute maarifa hata hivyo vifaa vinavyofanya kazi.

Hautakuja na swali la kitoto namna hii.
Hilo swali halina dalili yoyote ya kuwa swali la kitoto....

Nadhani ingefaa ukiri tu kwamba currently huna uthibitisho wowote wa kuzunguka Kwa Dunia,... you are just a blind believer.
 
Hilo swali halina dalili yoyote ya kuwa swali la kitoto....

Nadhani ingefaa ukiri tu kwamba currently huna uthibitisho wowote wa kuzunguka Kwa Dunia,... you are just a blind believer.
Uthibitisho utauona tarehe nane, Kaa tayari ikiwezekana andaa budget ukajifunze.


Clip hapo chini ndivyo itakavyokua hapo tarehe8
 
Kwahiyo Dunia ndiyo ina move hivyo?


Hata kama unaamini CGI'S ila hiyo ni too much [emoji1373]
Basi tuelezee wewe mchakato mzima unavyofanyika mpaka jua linapatwa na namna ambavyo unaweza kufahamu siku tarehe na muda tukio litakapotokea ( Kwa nadharia yako ya Dunia ni tambarare ) ....

Tumia animation kuelezea
 
Basi tuelezee wewe mchakato mzima unavyofanyika mpaka jua linapatwa na namna ambavyo unaweza kufahamu siku tarehe na muda tukio litakapotokea ( Kwa nadharia yako ya Dunia ni tambarare ) ....

Tumia animation kuelezea
Sidhani kama animation itasaidia chochote hapa.... kimsingi hutakiwi kuchukulia animation kama fact 100%,. It's just an assumptions.
 
Sidhani kama animation itasaidia chochote hapa.... kimsingi hutakiwi kuchukulia animation kama fact 100%,. It's just an assumptions.
Labda nkuulize unaelewaje mtu akisema umueleze jambo linavyofanyika kwa njia ya animation ? Au achana na swali.

Haya basi kama umeshindwa kwa njia ya animation basi tuelezee hata kwa njia ya picha, Najua hiyo itakua rahisi kwasababu unaweza kuchora hapo kwenye karatasi utuonyeshe mechanism inavyokua.
 
hateeb10 Umekimbia mazima
Hapana,...nipo nasubiria ushahidi wa dunia tufe linalozunguka 👉🏼🌍.
Mpaka sasa hakuna aliyeweza kutuambia ni Kwa namna gani Dunia ni Tufe na njia ipi hasa iliyotumika kupima au kugundua kwamba Dunia inazunguka.
 
Chosen Rich ..... Ushawahi Ku imagine the scenario ambayo mvua inanyesha upande mmoja wa Dunia Tufe & at the same time upande mwingine wa Dunia Tufe pia mvua inanyesha? 👉🏼🌍


Meanwhile,... Kwenye huu mtumbwi hapa chini ni watu wa Dunia Tufe wakisafiri miles na mile kwenye flattened earth kutafuta curvature juhudi ambazo mpaka Leo hazijafanikiwa.

Screenshot_20240404-185713.png
 
Chosen Rich ..... Ushawahi Ku imagine the scenario ambayo mvua inanyesha upande mmoja wa Dunia Tufe & at the same time upande mwingine wa Dunia Tufe pia mvua inanyesha? 👉🏼🌍


Meanwhile,... Kwenye huu mtumbwi hapa chini ni watu wa Dunia Tufe wakisafiri miles na mile kwenye flattened earth kutafuta curvature juhudi ambazo mpaka Leo hazijafanikiwa.

View attachment 2955640


Nmekuomba picha na maelezo kuhusu kupatwa kwa jua sijaiona hadi muda huu,

Ila picha ya watu wawili waliokosa akili wakasafiri na mtumbwi kutafuta mkunjo ndio umeweza kunitumia.


( Nmekuomba unipe maelezo ya kupatwa kwa jua ikiambatana na mchoro wa picha unaoelezea hatua kwa hatua jua linavyopatwa kwa nadharia ya Dunia ni flat ili nikuelewe vizuri )

Japo najua umewahi kutoa maelezo yako hapa kuhusu kupatwa kwa Jua/Mwezi.
 
Uzuri ni kwamba, si NASA peke yake iliyofanikiwa kwenda nje ya dunia. Mataifa ya Uchina, Urusi, India nk hakuna aliyesema dunia ni tambarale.

Ukweli utabaki pale pale, ukianza safari kutoka point A kuelekea mashariki au magharibi kwa kipindi fulani utajikuta umerudi pale pale ulipoanzia safari. mfano mtu akianza safari ya kuelekea China kutoka Africa, akifika China anaweza kuvuka bahari ya Pacific hadi USA. kisha kutoka USA akavuka bahari ya Atlantic kurudi Afrika...

sidhani kama dunia ni tambarale hili linawezekana?

Kwa wanaofatilia makala za kisayansi wamepata kuona hata wanafunzi wakiwa field katika bara la Antarctica.
binafsi iko duara.
Ok toka kigoma uende Dar es Salaam bila kurudi nyuma tuone kama utarudi/kufika kigoma😂😂😂
 
Nmekuomba picha na maelezo kuhusu kupatwa kwa jua sijaiona hadi muda huu,

Ila picha ya watu wawili waliokosa akili wakasafiri na mtumbwi kutafuta mkunjo ndio umeweza kunitumia.


( Nmekuomba unipe maelezo ya kupatwa kwa jua ikiambatana na mchoro wa picha unaoelezea hatua kwa hatua jua linavyopatwa kwa nadharia ya Dunia ni flat ili nikuelewe vizuri )

Japo najua umewahi kutoa maelezo yako hapa kuhusu kupatwa kwa Jua/Mwezi.
Yes sahihi,..Hii ishu ya kupatwa Kwa Jua nilishawahi kuelezea kiasi humu na nikasema kwamba Jua, Mwezi na objects nyingine zilizopo angani huwa zina move and that's why eclipses zinatokea endapo object mojawapo itapita mbele ya object nyingine hali inayopelekea Ku block mwanga wa object mojawapo kutufikia/kuonekana kwenye dunia yetu iliyotulizana.


Sioni haja ya kuingia deep,. nadhani imeeleweka.
 
Back
Top Bottom