Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Nishaelezea humu kwenye posts zilizopita ,.....michoro na animations hata ziwe complex vipi haimaanishi ndiyo ukweli ulivyo.
Kama unaweza kunitag mkuu, au nipe keyword ni search,
 
Nishaelezea humu kwenye posts zilizopita ,.....michoro na animations hata ziwe complex vipi haimaanishi ndiyo ukweli ulivyo.
Lugha ya picha ndio lugha rahisi kuliko zote unazozijua wewe,

Na ndio maana elimu ya mambo mbali mbali ina ambatana na michoro ya picha ili kuelewa vizuri zaidi na kwa urahisi,


Sasa sisi hatujakuelewa kwa maneno au maelezo yako, Wewe kama mwalimu tunaomba utuchoree picha ya haya magimba, picha inayoelezea mchakato mzima wa kupatwa kwa jua au mwezi
 
hateeb10
Tunaomba utupatie majibu ili sisi tujifunze kwako, Maana sisi hatuna tunalofahamu yote tuliyoeleza kuhusu kupatwa kwa jua sio ya ukweli, zile animation nlizotuma kuelezea mchakato mzima unavyokua na matokeo yalionekana hapo juzi tarehe 8 sio kweli


Sasa tunaomba wewe mwalimu utufundishe kwa lugha rahisi ambayo tutaielewa ( lugha/mchoro wa picha) tunataka kujua na tukuelewe vizuri,


Usikimbie tafadhali.
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Samahan wakubwa ,Mimi nmekubali kujifunza nmekua neutral mpaka pale hoja zangu tata zitakapojibiwa ndio ntakua na upande
1. Total solar eclipse hio ya juzi , kunakua na umbali gan kati ya mwezi na jua Hadi mwanga wa jua uzuiwe
2.Mwezi ni opaque? Kama ndio kwanini haukuonekana ukiwa unasogelea jua wakati wa eclipse au kuonekana unapoelekea after eclipse
 
hateeb10
Tunaomba utupatie majibu ili sisi tujifunze kwako, Maana sisi hatuna tunalofahamu yote tuliyoeleza kuhusu kupatwa kwa jua sio ya ukweli, zile animation nlizotuma kuelezea mchakato mzima unavyokua na matokeo yalionekana hapo juzi tarehe 8 sio kweli


Sasa tunaomba wewe mwalimu utufundishe kwa lugha rahisi ambayo tutaielewa ( lugha/mchoro wa picha) tunataka kujua na tukuelewe vizuri,


Usikimbie tafadhali.
Hahh ndiyo animation ulizoweka sio za kweli.....

Nilikuuliza unajua kama kuna utofauti wa uhalisia na animations?

Hukujibu.

Unataka nikuletee mchoro kutoka wapi sasa? Logic inatosha kuonyesha kwamba Dunia ipo stationary,.. wakati huo Jua na mwezi upo kwenye motion & that's why eclipses huwa zinatokea... sasa hapo unataka nikuchoree kitu gani?
 
Screenshot_20240406-223732.png



Hii nayo inahitaji mjadala....?👆🏼
 
Samahan wakubwa ,Mimi nmekubali kujifunza nmekua neutral mpaka pale hoja zangu tata zitakapojibiwa ndio ntakua na upande
1. Total solar eclipse hio ya juzi , kunakua na umbali gan kati ya mwezi na jua Hadi mwanga wa jua uzuiwe
2.Mwezi ni opaque? Kama ndio kwanini haukuonekana ukiwa unasogelea jua wakati wa eclipse au kuonekana unapoelekea after eclipse
Unawaonea bure, hawajui!....... ndiyo maana wanaipita hii kama hawaioni.
 
Hakuna cha kunifanya nikimbie.......kuna watu humu wameshindwa kuthibitisha uwepo wa curvature na hawajakimbia ujue.....

Ikiwemo wewe.
Mi sikatai mkuu, ndo maana nimeweka nguvu kujifunza toka kwako, nakuulizia sana material tatizo hujibu, juzi/jana nimekuomba mchoro ya hii eclipse ki flat earth unatokea vipi, ulajobu kua ulishaeleza awali nikaomba unitag ama unipe keyword ya maneno uliyosema ili nisearch nayo kimya. Au hutaki tujifunze kaka?
 
Mi sikatai mkuu, ndo maana nimeweka nguvu kujifunza toka kwako, nakuulizia sana material tatizo hujibu, juzi/jana nimekuomba mchoro ya hii eclipse ki flat earth unatokea vipi, ulajobu kua ulishaeleza awali nikaomba unitag ama unipe keyword ya maneno uliyosema ili nisearch nayo kimya. Au hutaki tujifunze kaka?
Hii ishu ya eclipses tumeelezea kwenye uzi huu huu kwenye post zilizopita....... unasema unataka michoro ya eclipse kwenye flat earth,.. kwani kuna eclipse ya Tufe?
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Kuelewa hii concept ya flat earth inabidi utumie reasoning sana i.e unaambiwa jua lipo km 93M kutoka usawa wa Dunia ,je unahisi ni kweli? Kama Bado unahisi ni kweli kafanye tena research zako alafu leta hoja
20240413_011613.jpg
 
Hii ishu ya eclipses tumeelezea kwenye uzi huu huu kwenye post zilizopita....... unasema unataka michoro ya eclipse kwenye flat earth,.. kwani kuna eclipse ya Tufe?
Ipo nmekutumia kabla kitendo hakijatokea na kimetokea kweli,


Sasa kwakua wewe haujakubaliana na hili ina maana unafahamu kwa namna nyingine unayoijua wewe so tunahitaji utuelezee kwa mtindo wa picha kwenye namna yako wewe unavyofahamu,,

Mbona hili unakwepa kijana unaleta siasa kama hauji si unasema tu.
 
Hii ishu ya eclipses tumeelezea kwenye uzi huu huu kwenye post zilizopita....... unasema unataka michoro ya eclipse kwenye flat earth,.. kwani kuna eclipse ya Tufe?
Haukueleweka,

Maana maelezo yako unasema ni pale ambapo mwezi na jua vikikutana angani ndio vinasababisha kupatwa kwa jua au mwezi,,


Sasa haya ni majibu ? Na unajiona kabisa ulishajibu umemaliza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Haukueleweka,

Maana maelezo yako unasema ni pale ambapo mwezi na jua vikikutana angani ndio vinasababisha kupatwa kwa jua au mwezi,,


Sasa haya ni majibu ? Na unajiona kabisa ulishajibu umemaliza [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kwani swali halisi ni lipi nimsaidie kujibu
 
Hahh ndiyo animation ulizoweka sio za kweli.....

Nilikuuliza unajua kama kuna utofauti wa uhalisia na animations?

Hukujibu.

Unataka nikuletee mchoro kutoka wapi sasa? Logic inatosha kuonyesha kwamba Dunia ipo stationary,.. wakati huo Jua na mwezi upo kwenye motion & that's why eclipses huwa zinatokea... sasa hapo unataka nikuchoree kitu gani?
Tatizo lako akili yako sijui ipo namna gani,

Hata vitu vidogo vinakushinda kuelewa ??


Animation hapa tunatumia kama mifano ya mambo yanavyokua kwenye mambo halisia, Sasa ambacho huelewi ni nini ?

Animation zinatumika kuelezea mambo mbali mbali ambayo ni uhalisia,,

mfano mfumo wa umeng'enyaje wa chakula huwa tunatengeneza animation inayoelezea mechanism nzima inavyokua.. Sasa ndugu kwa akili yako hata hilo ungeweza kusema unataka video halisia ya chakula kikiingia tumboni na uone digestion inavyofanyika kwa uhalisia.



Narudia tena,, Animation zinatumika kama mfano kuelezea mambo mbali mbali ambayo ndio uhalisia.
 
Back
Top Bottom