Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Yes sahihi,..Hii ishu ya kupatwa Kwa Jua nilishawahi kuelezea kiasi humu na nikasema kwamba Jua, Mwezi na objects nyingine zilizopo angani huwa zina move and that's why eclipses zinatokea endapo object mojawapo itapita mbele ya object nyingine hali inayopelekea Ku block mwanga wa object mojawapo kutufikia/kuonekana kwenye dunia yetu iliyotulizana.


Sioni haja ya kuingia deep,. nadhani imeeleweka.
Usiseme huoni haja ya kuingia deep, Wakati maelezo ya awali hayajaeleweka.


Kuna sehemu umetumia neno "endapo"

Kwenye Dunia kuwa tufe inayozunguka Jua hakuna kitu kama "endapo" maana ukisema hivyo ni kama yanatokea kibahati mbaya tu,, Dunia tufe kila kitu kipo kwa mpangilio maalumu na ndio maana tukitumia mahesabu tunakua tunafahamu ni siku gani/mda gani mwezi au jua linaweza kupatwa.

Ile animation clip nliyokutumia ni mfano halisi wa mambo yalivyo,

Sasa kwakua haujakubaliana nayo nmekuomba wewe uje na maelezo pamoja na mifano kwa kutumia lugha ya picha ili nielewe vizuri namna ambavyo nyinyi flat Earth mnaweza kujua yote haya.
 
Usiseme huoni haja ya kuingia deep, Wakati maelezo ya awali hayajaeleweka.


Kuna sehemu umetumia neno "endapo"

Kwenye Dunia kuwa tufe inayozunguka Jua hakuna kitu kama "endapo"
Unaelewa nini kuhusu neno "Endapo" yaani "When" in English?

Maana Kwa maelezo yako inaonyesha Kama hata Sayansi ikisema,... "Solar eclipse occurs when...." Unamaanisha wanabahatisha?

Nadhani unapaswa ufahamu kwamba neno "endapo" halimaanishi kwamba kitu fulani kinatokea Kwa bahati tu bali linaonyesha kwamba kutokea Kwa scenario "A" kunatokea kwasababu ya kutokea Kwa scenario "B"

Yaani simply......."Causality"


Ile animation clip nliyokutumia ni mfano halisi wa mambo yalivyo,
Sawa,. Una uhakika gani kama Ile animation ni halisi?

Kitu kikishakua animation,.tayari maana yake sio halisia tena.

Ingekua halisi wangekuonyesha video halisi na sio animation.

Kaa chini ufikirie vizuri zaidi.
 
Un
Unaelewa nini kuhusu neno "Endapo" yaani "When" in English?

Maana Kwa maelezo yako inaonyesha Kama hata Sayansi ikisema,... "Solar eclipse occurs when...." Unamaanisha wanabahatisha?

Nadhani unapaswa ufahamu kwamba neno "endapo" halimaanishi kwamba kitu fulani kinatokea Kwa bahati tu bali linaonyesha kwamba kutokea Kwa scenario "A" kunatokea kwasababu ya kutokea Kwa scenario "B"

Yaani simply......."Causality"



Sawa,. Una uhakika gani kama Ile animation ni halisi?

Kitu kikishakua animation,.tayari maana yake sio halisia tena.

Ingekua halisi wangekuonyesha video halisi na sio animation.

Kaa chini ufikirie vizuri zaidi.
Unahitaji msaada mkuu, Maana unasikitisha.



Unaniuliza najuaje kama ile animation kwenye uhalisia pia ipo hivyo serious ??


Kitendo kilichotokea jana mfano wake ndio ule kwenye ile clip namna mambo yanavyokua na inavyotokea na imekua hivyo,,
Sasa unawezaje kuniuliza swali la namna hiyo tena wakati mambo yanatokea wazi kabisa 😅, unafurahisha sana kiongozi
 
Unaelewa nini kuhusu neno "Endapo" yaani "When" in English?

Maana Kwa maelezo yako inaonyesha Kama hata Sayansi ikisema,... "Solar eclipse occurs when...." Unamaanisha wanabahatisha?

Nadhani unapaswa ufahamu kwamba neno "endapo" halimaanishi kwamba kitu fulani kinatokea Kwa bahati tu bali linaonyesha kwamba kutokea Kwa scenario "A" kunatokea kwasababu ya kutokea Kwa scenario "B"

Yaani simply......."Causality"



Sawa,. Una uhakika gani kama Ile animation ni halisi?

Kitu kikishakua animation,.tayari maana yake sio halisia tena.

Ingekua halisi wangekuonyesha video halisi na sio animation.

Kaa chini ufikirie vizuri zaidi.
Haya achana na yote haya nijibu maswali yangu ya kitendo kilichotokea jana kupatwa kwa jua,

Kwa mchoro wa picha nione step by step namna flat Earther mnavyoweza kutambua yote haya.
 
kama dunia ingekuwa flat au nusu duara, jua lingekuwa linafika katikati basi dunia nzima yaan nchi zote ingekuwa mchana
Kwa mujibu wa mtoa mada, jua lipo ndani ya dunia pia jua linazunguka. Hivyo kitendo cha jua kuzunguka kinasababisha kuwa na usiku na mchana.
 
Sio jibu sahihi hata kidogo. Hata ukiwa na darubini kali ukiwa dar zenji huioni na hayo mabonde na milima huioni. Imewahi enda bichi hapa dar na kuiona boat toka zenji inavyotokea ikiwa inatoka zanzibar?? Inatokea kwa chini kama inaibuka. Zenji iko kwa "chini"!
Watu mlikuwa mnauliza maswali mepesi na ya kitoto sana, vifaa vya kuona mbali vinatofautiana uwezo kulingana na nguvu ya lenzi iliyotumika.
 
Hateeb hajacomment chochote toka total eclipse
 
Hateeb hajacomment chochote toka total eclipse
Hahhh sasa kuna kipi kipya kwenye tukio la total eclipse?


Kwamba hii ni total eclipse ya kwanza tokea Dunia iumbwe?


Total eclipse ni uthibitisho tosha Kwamba Mwezi na Jua zipo kwenye motion &that's why eclipses zinatokea,... wakati huo Dunia yetu tambarare ipo stationary!
 
Hahhh sasa kuna kipi kipya kwenye tukio la total eclipse?


Kwamba hii ni total eclipse ya kwanza tokea Dunia iumbwe?


Total eclipse ni uthibitisho tosha Kwamba Mwezi na Jua zipo kwenye motion &that's why eclipses zinatokea,... wakati huo Dunia yetu tambarare ipo stationary!
tupatie mchoro kaka wa kiflat tujifunze zaidi
 
Back
Top Bottom