The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Unaonesha kiasi Gani unaufinyu wa maarifa kuhusu hili, elimu ya sayansi inakuwa Kila kukicha, zamani tulikuwa tunaamini Kuna sayari 9 including Pluto but around 2006 International Astronomical Union (IAU) waka-i-reclassify as dwarf planet so kama ikawa imekosa sifa za kuwa planet, sio kwamba ilipotea ipo but Ina lack sifa za planet.Hao hao NASA wanakuambia planet zote zinazunguka jua ,zilikua sayari 9 mara zimebaki 8 Moja imepotea .... Sasa imepotea vp
1. Sababu ya kutofeel ni kwamba we are rotating along with it.Mfano kwanini hatufeel movement yeyote ?
Nini source ya energy inayofanya Dunia ifanye rotation na iendelee ku revolve endlessly?
Jua ni main component kwenye solar system Kwa tulivo soma , je source ya mwanga kwenye sayari kama mars na Jupiter ni jua hilo Moja? Je sayari hzo nyingine Zina seasons au usiku na mchana ?
Ndio maana hii topic ni nzito na ngumu mno , kutype vitu vyote sio rahisi lakini jaribu kujenga hoja kuanzia hapo
Shida yako unaufinyu wa maarifa,Safi sana, wote tunajua kua jua ni source ya energy kwahio sio ajabu likiwa linazunguka ,lakini Dunia Haina source ya energy inayofanya izunguke
Alafu ,kwann Dunia iwe na double movement,kwamba Ina rotate alafu pia Ina revolve?
Umekubali kua jua ni source ya mwanga katika sayari nyingne kama mars , lakini unajua mars kiasili Ina moons ngap? na zote hizo moons Zina absorb mwanga wa jua na ku reflect kule wakat zipo stationary?
Logically ni kwamba,... kuhusu umbo la Dunia na whether inazunguka au haizunguki.Mkuu naomba usome kwanza quote uliyoni quote kisha naomba ujibu HOJA logically
Tunaona mwanga wa Jua, Jua always Lina emmits an enormous amount of light. Na unajua speed ya mwanga, lkn pia size ya Jua sio ndogo kama unavyodhani.Kuhusu jua ni round sidhan kama Kuna mtu anaweza kubisha hapo , pia kwenye jua naomba niwaache na swali Moja tu alafu niendelee kujibu hoja zenu
Kama Kuna mtu anawaamini NASA Ina maana anakubali kua jua lipo km 93M kutoka duniani ..... Je macho ya binadamu yanaweza ona kitu distance hio?
Uongo.1. Sababu ya kutofeel ni kwamba we are rotating along with it.
Earth's rotation ni constant, so our bodies na Kila kitu around us are moving at the same speed as the Earth's surface.
So hii ina-creates illusion of a stable environment, na tumeshakuwa adapted to this rotational motion over millions of years.
Na Earth's atmosphere ina-move along with its surface, kwahy hatuwezi kukafeel any significant effects from the Earth's rotation.
2. Source ya energy ya Dunia kuzunguka ni complex ila imeelezewa katika uundwaji wa Dunia ( big bang theory), but still am not sure. Though hata ww huwezi kunambia source ya Jua na mwezi kumove.
3. Source ya mwanga kwenye sayari zote ni Jua, ndo maana inaitwa solar system. As long as zina-revolve around the sun na zinarotate basi zina usiku na mchana na seasons, but seasons haziwez kufanana na duniani Kwa sabab ya umbali kutoka kwenye Jua.
Hakuna ugumu wowote hapa, kama utafungua kichwa chako na kuwa muelewa.
Endelea kusema uongo with no facts😂 nimekuzoea, so what is your point?Uongo.
Hiyo sababu haingii akilini,... kwasababu licha ya kutohisi, kuona wala kusikia.... still hakuna actual video au measurement iliyowahi kuthibitisha kama dunia inazunguka......yaliyopo ni maneno tu kama haya uliyoleta.1. Sababu ya kutofeel ni kwamba we are rotating along with it.
Earth's rotation ni constant, so our bodies na Kila kitu around us are moving at the same speed as the Earth's surface.
So hii ina-creates illusion of a stable environment, na tumeshakuwa adapted to this rotational motion over millions of years.
Basi jibu ww maswali yake?Hiyo sababu haingii akilini,... kwasababu licha ya kutohisi, kuona wala kusikia.... still hakuna actual video au measurement iliyowahi kuthibitisha kama dunia inazunguka......yaliyopo ni maneno tu kama haya uliyoleta.
Kwenye kudanganyana utasikia watu wanasema.....
(a) Duniani kuna curvature... LAKINI HUWEZI KUONA
(b) Dunia inazunguka.....LAKINI HUWEZI KUHISI,KUONA WALA KUSIKIA.
Uongo umefichwa kwenye "LAKINI" HAPO!
Hahh., kipindi upo kimya nilijua umejichimbia field ukifanya tafiti nzito nzito ili utuletee uthibitisho wa Dunia Tufe linalozunguka.Endelea kusema uongo with no facts😂 nimekuzoea, so what is your point?
Sipo hapa kujibu maswali,...nipo hapa kukanusha uongo.Basi jibu ww maswali yake?
Ww umesema mm muongo, basi ww sema huo ukweli, mwenzio anataka majibu.Sipo hapa kujibu maswali,...nipo hapa kukanusha uongo.
Kujibu maswali na kupinga uongo ni vitu viwili tofauti... naamini unafahamu kuhusu hilo.
Nishasema ukweli kwamba Dunia haizunguki,... kwakuwa mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote zaidi ya maneno tu......yaani kimsingi hatujawahi kuhisi, kuona wala kusikia popote kama Dunia inazunguka.Ww umesema mm muongo, basi ww sema huo ukweli, mwenzio anataka majibu.
Kwahy Hilo ndo swali pekee uliloona kauliza?Nishasema ukweli kwamba Dunia haizunguki,... kwakuwa mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote zaidi ya maneno tu......yaani kimsingi hatujawahi kuhisi, kuona wala kusikia popote kama Dunia inazunguka.
Wanaosema Dunia inazunguka wanapaswa kutuambia wamejuaje?
Nadhani majibu hayo yanamtosha kabisa.
Wewe si nilikuomba video ya Jua linazunguka ulinipa? Record tuma hapa Jua linazungukaHiyo sababu haingii akilini,... kwasababu licha ya kutohisi, kuona wala kusikia.... still hakuna actual video au measurement iliyowahi kuthibitisha kama dunia inazunguka......yaliyopo ni maneno tu kama haya uliyoleta.
Kwenye kudanganyana utasikia watu wanasema.....
(a) Duniani kuna curvature... LAKINI HUWEZI KUONA
(b) Dunia inazunguka.....LAKINI HUWEZI KUHISI,KUONA WALA KUSIKIA.
Uongo umefichwa kwenye "LAKINI" HAPO!
Nimesema sipo hapa kujibu maswali,..nipo hapa kupinga uongo.Kwahy Hilo ndo swali pekee uliloona kauliza?
Sasa si atleast kuhusu Jua kufanya movement hata wewe unaweza Ku observe na macho yako?Wewe si nilikuomba video ya Jua linazunguka ulinipa? Record tuma hapa Jua linazunguka
Ndio maana huwa nasema wewe ukiwa kwenye gari kwa akili yako namna ilivyo ni wazi mtazamo wako ni kwamba miti ndio inafanya movement [emoji28]Sasa si atleast kuhusu Jua kufanya movement hata wewe unaweza Ku observe na macho yako?
Amka asubuhi saa 12 chukua kiti kaa,..kisha angalia kadri saa zinavyoenda Jua linasogea kuelekea Magharibi.
Kitu ambacho tokea uzaliwe hujawahi kuona Kwa Dunia ambayo unaambiwa inazunguka.
Yaani hujawahi kuona hata Kwa device yoyote jinsi Dunia inavyohama kutoka point moja kwenda point nyingine...... think critically.
Akili yangu sio ya namna hiyo....Ndio maana huwa nasema wewe ukiwa kwenye gari kwa akili yako namna ilivyo ni wazi mtazamo wako ni kwamba miti ndio inafanya movement [emoji28]
Kuliko kucheka hapa,..ungesaidia kuleta uthibitisho wowote unaoonyesha Dunia ikifanya movement.Ndio maana huwa nasema wewe ukiwa kwenye gari kwa akili yako namna ilivyo ni wazi mtazamo wako ni kwamba miti ndio inafanya movement [emoji28]