Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
mlango wa sita wa fahamu kaka ,,,,, wasomi wa skuizi bhna[/QUOTE]
Kwa huo mfano wa picha, kupatwa kwa mwezi au jua inakuaje? Kama umeelezea mahali sijapoaona nipe namba ya bandiko. Thanks
 
Kama Dunia ni flat basi itakuwa Haina Mwisho.

mnajua msiwe mna bishana bila facts ,,,,fact ni kwamba water always finds its level hii inamaanisha maji ya bahari yapo level moja throughout ,,,sasa kwenye swala kuona unajua kabisa baharini kuna mawimbi na sometimes kunaweza kuwa na everporation so kama unaangalia chombo kina safiri baharini the more kinavoenda mbali ndio vision yako inazidi kuwa affected kwasababu chombo unachokitazama kinapungua kadri kinavyoenda mbali na macho yako,,,alafu atakakama uapaakiasi gani kwenda juu hutokaaa hata siku moja kuona curveture ya dunia ,,alafu kumbuka kwamba the horizon always rise to the eye level and its imposible on a spherical earth




Kwa hyo hilo bara la Antractica limezunguuka dunia nzima.. Maana kama ni duara ukingo hauwezi kuwa sehem moja ya dunia!
pembeni ndo antartica north is at the center
we are sleeping they are living.,.,.,
Haya, tueleweshe, hapo south pole haionekani.
flat earth concept ni kwamba north pole is at the center kwahiyo any direction oposite na north ni south ,,na jua na mwezi vinazunguka around north pole

wewe una prove kushidwa na umekosea sana kusema ukitumia common sense utagundua kua the earth is sperical...ukitumia common sense we unavodhani jua linatuzunguka au tunalizunguka ,,,yani common sense is what you can observe by your sensory organs sio kukaririshwa ,,ndo maana from the begging nmesema hii ni siri so haiwezi kua obvious kwa watu wavivu kufikiria kwasababu maswali mengi yamejibiwa in my main thread
nadhani wewe hujui maana ya research ,,,,alafu unielezee inafanywa vipi ,kama ungekua umesoma uzi wangu vizuri ungeelewa
 
hivo ndo fikra zako zinakutuma kama ungesoma vizuri uzi ungepata majibu yako vizuri

ndio ni kweli duniani kuna sehemu huwa jua halizami hii huwa inatokea north pole angali hii video
water finds its own level pingana na hiyo kauli...alafu kumbuka kwamba maji yanafuata mkondo wake hii ni fact kama dar ingekua chini zanzibar ipo juu basi maji yote ya baaarini yangekua yametufunuka watu wote au nmekosea jamani ,,,maji yanafuata mkondo wake na maji skizote yapo flat full stop mambo ya kusema zenji ipo juu sjui chini ni umbea 2
 
Hilo jua lako linawaka kama tochi si ndio? Au linawaka pande zote.
Wewe lazima umechanganyikiwa na swala la ajira.
Kama ni flat mbona hatukutani na maji ya bahari dodoma yanaelekea nzega kwa bashe!?
 
Mnijibu hili swali langu
Watu mnaoamini dunia ni mviringo
Hawa wanaoamini dunia duara wamenijibu swali moja na nyie mnijibu
 
Ni hiviiii!!! maji yanauwezo wa kuning'inia.
Chukua kalam uichovye kwenye maji, inyanyue juu hivyo hivyo ikiwa imeinamia 90 degrees tizama hao maji yatakayokuwa yanadrop, yatakuwa yanashikana in roundish shape kwenye ncha butu ya kalamu.

Hayatakuwa yanadrop mpaka yafikie kiwango fulani cha uzito. Kabla ya hapo hujikusanya kiumbo la duara na hunga'ang'ania kwenye ncha butu ya kalamu.

Yatakayoshindwa kufikia uzito unayoyaruhusu kudondoka hayatadondoka.

Magnify picha hiyo uingie kwenye theory ya mass of the earth over mass of water on its surface.
DUNIA HAIKO FLAT

DUNIA NI DUARA FULL STOP
 



Mars ipo ndani ya solar system yetu na mwanga unaomulika dunia ndio huo huo unaomulika mars, nyota ziko thousands of light years away na hazimulikwi na mwanga wa jua. Fanya hivi. Washa taa za gari au taa yoyote kali halafu nyuma yake kama hatua 50 washa mshumaa, wewe simama mbele ya taa afu niambie utaona mwanga wa taa au mshumaa? Jibu ni mwanga wa taa. Coz mwanga wa taa ni mkali na upo karibu kuliko mshumaa sio kwasababu ni mwisho wa macho yako kuona. Dunia ndio wewe, jua ni taa na nyota ni mshuma. Mars haitoi mwanga bali unamulikwa na jua ndo mana tunaiona. Hata mwezi pia hautoi mwanga ila unamulikwa na jua. Na bado hujajibu swali langu. Juu ya mlima Kilimanjaro nini kunazuia kuiona misri?. Mimetaja Kilimanjaro kwasababu hakuna mlima mrefu zaidi ya huo kati ya Tanzania na misri so hakuna kitu kunachokuzuia kuona mbele.
 
Kwa akili zangu hizi zakawada, sijawahi kubaliana na kuwa dunia ni ya mviringo kama tufe. Nilikuwa nakubaliana kuwa dunia ni tambarare yenye mviringo wa cd. Kwa sababu nilikua nikisimama kule kwetu Makete majira ya asubuhi jua litapo chomoza najioni jua linapo zama, ziwa nyasa huwa linaoneka na kutoka kule kwetu kwenda ziwa nyasa pana umbali wa km 70. Na kama dunia ingekuwa ya mviringo kama tufe naamini ziwa nyasa lisinge onekana. Halafu sababu nyingine ni hii ukisoma maandiko matakatifu kipindi cha gharika wakati wa Nuhu tunasoma kuwa tudia ilifunikwa na maji wato wote walikufa ikabaki familia ya Nuhu tu maana walikuwa kwenye meli. Sasa nikawa najiuliza kama dunia iko kama tufe maji yaliwezaje kujaa nakuifunika dunia yote. Sasa naomba tuendelee kutafakari zaidi.
 
haha we jamaa umenichekesha sana so wewe unadhani maji ya dunia yanaganda kama kwenye kalalmu ,,,yani kwamba maji ya bahari zote na maziwa yote alaf kama ulivo soma kuna mtu kasema anaishi makete na analiona ziwa nyasa ambalo lipo 70 kms away na kumbuka curveture inaanza kuonekana after every eight miles,,,,,.,.,.,.hapa hatuangalii kama umekubali au umekataa hapa tunaangalia hoja ,,,.,.,we unafananisha maji ya dunia nzima na tone na kalamu,,,usiji contadict kwamba maji hufata mkondo wake,,,,, hiyo ni fact maji lazma yafate mkondo wake,,,alafu kumbuka mabara yote yamezungukwa na maji ambayo yote lazma yashirikiane so haiwezzekani sehemu maji yakawa yanashuka au yanapamda mlima maji haya wezi kupanda mlima hata siku moja ssa dunia ingekua tufe tungepataje mawimbi ya bahari ,,,chukulia mfano ziwani haiwezikani maji yakawa level tofauti upande wowote ,,,,
Hilo jua lako linawaka kama tochi si ndio? Au linawaka pande zote.
Wewe lazima umechanganyikiwa na swala la ajira.
Kama ni flat mbona hatukutani na maji ya bahari dodoma yanaelekea nzega kwa bashe!?
huna hoja
kwanza kabisa naomba unambie kama ulishawai kuzichunguza sayari kwa macho yako kabisa uone zinavyokua ,,,,,alafu jaribu kuangalia mwezi leo usiku alafu unambie kama unareflrect au una glow.....lazma ujue tofauti hizo mbili bila ivo itakua umekariri
 
SASA KWA HOJA HII YA DUNIA NI DUARA AU FLAT IMENIPA MATUMAINI SANA KWA SISI WAFRIKA NDIYO TUNAAMUKA SASA.
YAANI TUNA TAKA KUIJUA DUNIA LEO. 2016-----WAZUNGU WALIANZA MIAKA MINGI BC

NAOMBA KUTOA OMBI KUWA TUAZISHE KIKUNDI TUKISAJILI TUANZE NA TUENDELEZE HUO UTAFITI KWA SABABU YAPO MAMBO MENGI TUNA DANGANYWA NA WAZUNGU NA KUTUIBIA SANA.

MIMI NAITWA MARWA WAMBURA---0769 991 853
 
Kama dunia ni tambalare hebu niambie ni nchi gani ipo ukingoni,? na huko ukingo kupoje, na mimi nataka niende nikaone
 
MZUNGU ALIYEKWAMBIA KUWA WEWE ASILI YAKO NI NYANI NDIO HUYO HUYO ALIYEKWAMBIA DUNIA DUARA, NDIYO HUYO HUYO ALIYEKWAMBIA KUWA WEWE MTU MWEUSI NI YULE MTOTO WA NUHU ALIYELAANIWA, NDIO HUYO HUYO ALIYEKUHUBIRIA KUWA SODOMA&GOMORA KUWA WALICHOMWA MOTO KWA USHOGA BUT HUYO HUYO ANAYEKWAMBIA SASA URUHUSU HAKI ZA MASHOGA.....SASA WEWE HUONI KUWA HUYU MTU NI MUONGO KUPITILIZA.
 
Yaan wewe ndo umenithibitishia kuwa wazungu wametudanganya, mwanga wa jua kuzuia nyota mchana zisionekane? , kwa akili yangu ya kuzaliwa ukuta unaweza kunizuia nisione kitu, mlima, majengo, nyumba Kuna vitu vingi sana, Mwanga wa jua ni object? Jibu kama NDIYO AU HAPANA , kama siyo object haiwezi kuzuia nyota mchana tusizione, umesoma physics ipi iliyokuambia mwanga wa jua mchana inazuia nyota tusizione, alafu mwanga wa jua umetuzunguka katika mazingira yetu Kuna vitu vingi tunaona.
Alafu mfano Wako ni dhaifu sana nyota zimezunguka kati Anga, nyoto hazijakaa mstatili 1 na jua. Haya ni maneno yako "" fanya hivi. Washa taa za gari au taa yoyote kali halafu nyuma yake kama hatua 50 washa mshumaa, wewe simama mbele ya taa afu niambie utaona mwanga wa taa au mshumaa? Jibu ni mwanga wa taa. Coz mwanga wa taa ni mkali na upo karibu kuliko mshamaa"" Nani aliyekuambia kuwa ukitaka kuangalia nyota Anga lazima uliangalie jua moja kwa moja ujuwi kama nyota zimezunguka zipo upande wa North, East, South and West.
Hilo swali ulilo niuliza nimeshajibu kuhusu misri kwa aionekani rejea kwenye post yangu ,ngoja niongezee kitu kwa mfano japo sipendi kutumia mfano kwa kifupi mlimani kilimanjaro ndo mrefu baran Africa.. Mfano upo katika mlima mrefu wenye 50M, kuna mji unataka kuangalia wenye 10M kutoka katika usawa wa bahari lakin ule mji Kuna mlima au plateau (sehemu ya Ardhi iliyo inuka) wenye 40M kwa ule upande ambao wewe umekaa Je huo mji unaweza kuona. Pictures halisi ni kama mji wa morogoro Kuna milima ya URUGURU na nyumba zipo chini unaweza kupata pictures ya morogoro wakati Kuna object Inakuzuia.
 
Wakati mimi nasoma sayari katika solar system zilikuwa 9. Mzungu kachora mpaka shape ya sayari ya zingine kama Pluto, sayari hizo hizo nyingi zimegundulika kwa kutumia vifaa vya kuangalia, wakati huo huo tunaambiwa kuzifuata sayari hizo unachukua miaka mingi mpaka mamia ya miaka na kuendelea........ Chombo kama darubini kinaweza kukupatia pictures halisi ya kitu unacho kiona kwa umbali mrefu kama sayari ya mwisho kwenye solar system? , Binadamu mwenyewe ajagusa kwenye hizo sayari zilizokuwa mbali. tumejifuzi kwenye Geography photography pictures ina sehemu kuu 3, sehemu ya mbele , kati na nyuma na sifa zake pia tunajuwa it's difficult to identify the object sijui ni sehemu ipi kati ya hizo tatu.
Mleta mada kuwa makin jamii forum itakuondoa, kama tu mwandishi wa hii habari katishiwa kuuwawa, kaondolewa baadhi ya mitandao ya kijamii. Unataka kubadilisha mamilioni ya vitabu kwa siku 1, unajuwa vimechukua miaka mingapi mpaka vikakamilika hivyo vitabu watu wanepata uprofessor, kuchukua tuzo, na wamekuwa mashuhuri dunia kwa Ajili Ya duara.
Kama dar kungekuwa Kuna sehemu, ukika dar mzima unaona hakuna aja ya kutembelewa k/koo, post, mbezi ubongo ili upate Raman halisi ya dar. Pale pale sehemu ambayo ukika unaona dar mzima utapata Raman halisi ya dar utaweza kuona kinondoni, temeke, ilala ubungo, kigamboni kumbe ziko direction na kitu hiki. Ninamaanisha Nini wengi tunategemea satellite ndo zitatoa pictures halisi ya dunia, satellite zinatembea uko angani, hicho kituo cha urusi na America kinatembea pictures itakayopigwa ni ya eneo husika pale ilipo . Satellite ikiwa kwenye bara la Africa itapiga pictures baadhi ya NCHI za Africa alafu satellite zenyewe zinaonekana by naked eye.
Mleta mada ujatenda haki kwenye online question Kuna kundi kubwa la watu umeliacha
Kama inawezekan ongeza kipati
Je dunia ina umbo gani?
⭕ Tambarare (flat)
⭕ Duara (round/spherical earth)
⭕ Sijui (I don't know)
 

Mimi ninachojua ni kuwa jua linazunguka dunia. Hata mtumishi wa Mungu Joshua alitamka hilo ebu soma hii


Joshua 10:12-13

12: Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13: Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
 
Wazungu kamba nyingi. Sema sisi tumelala mno hatutaki kujiumiza kichwa kudadisi mambo kama haya. Tubakubali kirahisi tunameza. Mwana o akiluletea assignment ajaze asili ya binadamu still utamwambia kuwa Ni nyani la sivyo atakosa kwenye pepa ya history
 

www.moonphases.info/why-stars-cant-be-seen-during-the-day.html

Soma hapo mkuu kama usipoelewa labda wewe ndo utoe ufananuzi kwanini nyota hazionekani mchana. Na kama ni object tu ndio inayoweza kuzuia tusione mbele je kuna object gani Kati ya dunia na nyota? Na object hio kwanini inaonekana mchana tu usiku inapotea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…