Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
very nice explanation ,,

angalia huu mchoro upate
300px-SunAnimation.gif
consept angalau
QUOTE="Sakasaka Mao, post: 18348035, member: 390094"]Halafu hii theory yautambarare wa dunia inakuwakuwaje naweenae! inaingiaje akilini mwako mtoa mada? Ushasikia kuna angle ya dunia popote? Hembu angalia horrizon kwa jicho la uchi la bila kutumia hata kitabu. Mada zingine huwa mnazianzisha kwa kutumia mlango gani wa fahamu?
mlango wa sita wa fahamu kaka ,,,,, wasomi wa skuizi bhna[/QUOTE]
Kwa huo mfano wa picha, kupatwa kwa mwezi au jua inakuaje? Kama umeelezea mahali sijapoaona nipe namba ya bandiko. Thanks
 
Kama Dunia ni flat basi itakuwa Haina Mwisho.
300px-SunAnimation.gif

Kama unakubali kuwa boat inatokea kwa chini inapotoka zanzibar, sifa kubwa ya mabonde, milima, mitelemko na miinuko. Ninapo pandisha mlimani mimi siwezi kuonekana wote.
Hata mtu aliyeko zanzibar atakuambia kuwa dar Ipo kwa chini, sababu gani boat ukitokea dar inaelekea zanzibar inatokea kwa chini kama inaibuka.
Utata unazidi kuongezeka kila mtu yeyote aliyeko pwana katika nchi yeyote Ile kitu chochote kitakaho tokea baharin kinaibuka.
mnajua msiwe mna bishana bila facts ,,,,fact ni kwamba water always finds its level hii inamaanisha maji ya bahari yapo level moja throughout ,,,sasa kwenye swala kuona unajua kabisa baharini kuna mawimbi na sometimes kunaweza kuwa na everporation so kama unaangalia chombo kina safiri baharini the more kinavoenda mbali ndio vision yako inazidi kuwa affected kwasababu chombo unachokitazama kinapungua kadri kinavyoenda mbali na macho yako,,,alafu atakakama uapaakiasi gani kwenda juu hutokaaa hata siku moja kuona curveture ya dunia ,,alafu kumbuka kwamba the horizon always rise to the eye level and its imposible on a spherical earth
img_9950.jpeg
12568328_228930240780405_1636062530_n.jpg


water-or-mirage-near-darwin.jpg


Kwa hyo hilo bara la Antractica limezunguuka dunia nzima.. Maana kama ni duara ukingo hauwezi kuwa sehem moja ya dunia!
300px-SunAnimation.gif
pembeni ndo antartica north is at the center
Vizuri sana kupata watanzania wanaoongelea hili swala, huwezifika kwenye mwisho wa hizo kuta za barafu , kwanini the more unavyosogea kuelekea huko utakutana na upungufu wa oxygen mkubwa, shida za baridi kali na mengi kuwa na shida ya mawimbi makubwa kwa mfano kupata concept ya Flat earth kidogo angalia movie kama Jim Carry the tru man show, Under the dorm series na pia ka search under the dorm youtube utapata more info its interesting and wondering on the more unknowns we dont know in this earth.
we are sleeping they are living.,.,.,
Haya, tueleweshe, hapo south pole haionekani.
flat earth concept ni kwamba north pole is at the center kwahiyo any direction oposite na north ni south ,,na jua na mwezi vinazunguka around north pole
flat-earth-firmament-globe-comparison-a.png

View attachment 429652

Nimeelewa maandiko yako lakini sikubaliani nayo.



Duh, "kaka" sijui upeo wako wa uelewa, ila naona ngoja niachie hapa.
You are defying science with some irrelevant, unproven evidences that the planet earth is not spherical.
Suala la dunia ni duara ya cd kama unavyodai ndivyo nilivyo kuelewa (kama picha ya mleta uzi juu hapa nimeambatanisha) na bado sikubaliani nalo. Hapo ni wewe ndie umeshindwa kunielewa!! Suala la darubini ndio maana nimesema hata darubini kali bado zenji hautaoona, aliyekwambia mwisho wa uwezo wa darubini ni maili 2 ni nani?? wewe kusema kuwa kwa naked eyes zenji huioni ila wanasema kwa darubini unaiona, ni nani kasema hivyo au unaongeza ukubwa wa goli ufunge kiurahisi??
Common sense pia itumike mkuu!
You are playing devil's advocate to spice up the topic but the truth is very obvious, just common sense!
The earth flat society hata upatikanaji wa usiku na mchana haujajitosheleza!!
wewe una prove kushidwa na umekosea sana kusema ukitumia common sense utagundua kua the earth is sperical...ukitumia common sense we unavodhani jua linatuzunguka au tunalizunguka ,,,yani common sense is what you can observe by your sensory organs sio kukaririshwa ,,ndo maana from the begging nmesema hii ni siri so haiwezi kua obvious kwa watu wavivu kufikiria kwasababu maswali mengi yamejibiwa in my main thread
Mtoa post mim niljua nawewe umefanya utafit wako binafsi nakuja na ushahid kamil kuthibitisha ilo ila naonà umekot tu hao hao wazungu wenye mtizamo tofaut na wale wanaosema dunia ni duara.Na wanaosema dunia ni duara wanahoja zaid maana wanasema kitu kinachofikirika ata kwa akil ya kimaskin ambao hatuwez kwenda uko anga ya juu nakupiga picha ila tunaweza kwenda uchina ama amerika nakuona tofaut ya masaa na majira na wameleta angalau na picha ya dunia.Jambo jingine unaposema kuna vitu vinafichwa wakat aya mambo yote yako kwenye mitandao mtu yoyote dunian anaweza soma kama wewe ulivyosoma nakutuletea.Mim nikushaur kua badala yakuleta mawazo ya binadam wengine wabish wasio na uthibitisho kua dunia ni tambarare ungefanya kwanza nawewe tafit ili uje na kitu kipya zaid vinginevyo ngoja tuendelee kuamin wanaosema dunia ni duara.
nadhani wewe hujui maana ya research ,,,,alafu unielezee inafanywa vipi ,kama ungekua umesoma uzi wangu vizuri ungeelewa
 
hivo ndo fikra zako zinakutuma kama ungesoma vizuri uzi ungepata majibu yako vizuri
Moudytunechi kwanza vizuri kabisa kwa umahili wa kutetea hoja yako,
Na mimi nina swali mkuu,
Kwa jinsi hapo jua linavyozunguka dunia nimechukua kitu nikapoint mahala
Pakaonekana hapo patakuwa mchana tu, mkuu vip kuhusu hili
Inamaana kuna sehemu itakuwa mchana tu??

ndio ni kweli duniani kuna sehemu huwa jua halizami hii huwa inatokea north pole angali hii video

Hakika ujinga unakuelemea.
Ukiwa Bumbuli kwenye kilele cha mlima MADUDA ukiangalia mashariki unauona mji wa Tanga ambao upo mbali zaidi ya km 80.
Inakuwaje tusiione zanzibar??? (acha porojo)
Maji ya bahari yakikupwa huwa yanaenda wapi na kwa mechanism ipi???

Meli unayoizungumzia kupotea kutokana na umbali siyo kweli!! Meli inapotea kanakwamba inazama, na inapojongea towards you inakuwa kama inaibuka!!!
TUOMBE MSAMAHA KWA KUTUDANGANYA.
water finds its own level pingana na hiyo kauli...alafu kumbuka kwamba maji yanafuata mkondo wake hii ni fact kama dar ingekua chini zanzibar ipo juu basi maji yote ya baaarini yangekua yametufunuka watu wote au nmekosea jamani ,,,maji yanafuata mkondo wake na maji skizote yapo flat full stop mambo ya kusema zenji ipo juu sjui chini ni umbea 2
 
300px-SunAnimation.gif


mnajua msiwe mna bishana bila facts ,,,,fact ni kwamba water always finds its level hii inamaanisha maji ya bahari yapo level moja throughout ,,,sasa kwenye swala kuona unajua kabisa baharini kuna mawimbi na sometimes kunaweza kuwa na everporation so kama unaangalia chombo kina safiri baharini the more kinavoenda mbali ndio vision yako inazidi kuwa affected kwasababu chombo unachokitazama kinapungua kadri kinavyoenda mbali na macho yako,,,alafu atakakama uapaakiasi gani kwenda juu hutokaaa hata siku moja kuona curveture ya dunia ,,alafu kumbuka kwamba the horizon always rise to the eye level and its imposible on a spherical earth
img_9950.jpeg
12568328_228930240780405_1636062530_n.jpg


water-or-mirage-near-darwin.jpg



300px-SunAnimation.gif
pembeni ndo antartica north is at the center

we are sleeping they are living.,.,.,

flat earth concept ni kwamba north pole is at the center kwahiyo any direction oposite na north ni south ,,na jua na mwezi vinazunguka around north pole
flat-earth-firmament-globe-comparison-a.png


wewe una prove kushidwa na umekosea sana kusema ukitumia common sense utagundua kua the earth is sperical...ukitumia common sense we unavodhani jua linatuzunguka au tunalizunguka ,,,yani common sense is what you can observe by your sensory organs sio kukaririshwa ,,ndo maana from the begging nmesema hii ni siri so haiwezi kua obvious kwa watu wavivu kufikiria kwasababu maswali mengi yamejibiwa in my main thread

nadhani wewe hujui maana ya research ,,,,alafu unielezee inafanywa vipi ,kama ungekua umesoma uzi wangu vizuri ungeelewa
Hilo jua lako linawaka kama tochi si ndio? Au linawaka pande zote.
Wewe lazima umechanganyikiwa na swala la ajira.
Kama ni flat mbona hatukutani na maji ya bahari dodoma yanaelekea nzega kwa bashe!?
 
Sitaki kuamini kama dunia ni flat au ni duara...mnaoamini ni flat au duara mtanijibu maswali haya,...

Mkuu hoja ni nzuri ila unijibi maswali yangu nami nitakubaliana na ww
Kwanza, kama dunia ni flat kwani nini jua huchomozea mashariki na kisha kwenda magharibi na baada ya hapo kesho tena nakuta linaanzia mashariki?

Na kama kuna barafu imeishikilia bahari kwa nini basi mtu asisafiri hadi mwisho
Na akaukuta mwisho na kuona shimo kama vile ufikapo mwisho wa mlima?

Pili, inamaana jua huwa likifika magharibi huwa linarudi mashariki bila mwanga au??? (Wakati wa usiku)

Na ninyi mnaomini ni duara mnijubu hili swali langu.

Mnasema dunia ni duara, Hebu chukulia unachungwa lichore ramani ya dunia nzima, kisha chukua sindano lichome hadi sindano itokee upande wa pili,
Haya hapo nauliza, kama dunia ni duara kwa nini nisichimbe hapa shimo refu
Na nikatokea labda hata Russia?...kama nilivyochukua sindano nikachoma chungwa na kutokezea upande wa pili???
Mnijibu hili swali langu
Watu mnaoamini dunia ni mviringo
Hawa wanaoamini dunia duara wamenijibu swali moja na nyie mnijibu
 
hivo ndo fikra zako zinakutuma kama ungesoma vizuri uzi ungepata majibu yako vizuri


ndio ni kweli duniani kuna sehemu huwa jua halizami hii huwa inatokea north pole angali hii video


water finds its own level pingana na hiyo kauli...alafu kumbuka kwamba maji yanafuata mkondo wake hii ni fact kama dar ingekua chini zanzibar ipo juu basi maji yote ya baaarini yangekua yametufunuka watu wote au nmekosea jamani ,,,maji yanafuata mkondo wake na maji skizote yapo flat full stop mambo ya kusema zenji ipo juu sjui chini ni umbea 2

Ni hiviiii!!! maji yanauwezo wa kuning'inia.
Chukua kalam uichovye kwenye maji, inyanyue juu hivyo hivyo ikiwa imeinamia 90 degrees tizama hao maji yatakayokuwa yanadrop, yatakuwa yanashikana in roundish shape kwenye ncha butu ya kalamu.

Hayatakuwa yanadrop mpaka yafikie kiwango fulani cha uzito. Kabla ya hapo hujikusanya kiumbo la duara na hunga'ang'ania kwenye ncha butu ya kalamu.

Yatakayoshindwa kufikia uzito unayoyaruhusu kudondoka hayatadondoka.

Magnify picha hiyo uingie kwenye theory ya mass of the earth over mass of water on its surface.
DUNIA HAIKO FLAT

DUNIA NI DUARA FULL STOP
 
Sasa ndugu mbona unanichanganya niamini kipi? Umesema mwanga wa jua unazuia nyota mchana kuto kuonekana, wakati huo huo unasema sayari ya mars inaonekana kwa sababu ya mwanga wa jua, unasema tena "dunia ingekua flat misri ingeonekana vizuri kuliko mars kwasababu kuna mwanga zaidi".
Je ni kweli mwanga wa jua unazuia mchana nyota zisionekane? Je ni kweli mwanga huo huo unasabisha kuonekana kwa sayari ya mars.
I want to know the concept you had about the sunlight, maybe I can understand more


Sasa ndugu mbona unanichanganya niamini kipi? Umesema mwanga wa jua unazuia nyota mchana kuto kuonekana, wakati huo huo unasema sayari ya mars inaonekana kwa sababu ya mwanga wa jua, unasema tena "dunia ingekua flat misri ingeonekana vizuri kuliko mars kwasababu kuna mwanga zaidi".
Je ni kweli mwanga wa jua unazuia mchana nyota zisionekane? Je ni kweli mwanga huo huo unasabisha kuonekana kwa sayari ya mars.
I want to know the concept you had about the sunlight, maybe I can understand more

Mars ipo ndani ya solar system yetu na mwanga unaomulika dunia ndio huo huo unaomulika mars, nyota ziko thousands of light years away na hazimulikwi na mwanga wa jua. Fanya hivi. Washa taa za gari au taa yoyote kali halafu nyuma yake kama hatua 50 washa mshumaa, wewe simama mbele ya taa afu niambie utaona mwanga wa taa au mshumaa? Jibu ni mwanga wa taa. Coz mwanga wa taa ni mkali na upo karibu kuliko mshumaa sio kwasababu ni mwisho wa macho yako kuona. Dunia ndio wewe, jua ni taa na nyota ni mshuma. Mars haitoi mwanga bali unamulikwa na jua ndo mana tunaiona. Hata mwezi pia hautoi mwanga ila unamulikwa na jua. Na bado hujajibu swali langu. Juu ya mlima Kilimanjaro nini kunazuia kuiona misri?. Mimetaja Kilimanjaro kwasababu hakuna mlima mrefu zaidi ya huo kati ya Tanzania na misri so hakuna kitu kunachokuzuia kuona mbele.
 
Kwa akili zangu hizi zakawada, sijawahi kubaliana na kuwa dunia ni ya mviringo kama tufe. Nilikuwa nakubaliana kuwa dunia ni tambarare yenye mviringo wa cd. Kwa sababu nilikua nikisimama kule kwetu Makete majira ya asubuhi jua litapo chomoza najioni jua linapo zama, ziwa nyasa huwa linaoneka na kutoka kule kwetu kwenda ziwa nyasa pana umbali wa km 70. Na kama dunia ingekuwa ya mviringo kama tufe naamini ziwa nyasa lisinge onekana. Halafu sababu nyingine ni hii ukisoma maandiko matakatifu kipindi cha gharika wakati wa Nuhu tunasoma kuwa tudia ilifunikwa na maji wato wote walikufa ikabaki familia ya Nuhu tu maana walikuwa kwenye meli. Sasa nikawa najiuliza kama dunia iko kama tufe maji yaliwezaje kujaa nakuifunika dunia yote. Sasa naomba tuendelee kutafakari zaidi.
 
Ni hiviiii!!! maji yanauwezo wa kuning'inia.
Chukua kalam uichovye kwenye maji, inyanyue juu hivyo hivyo ikiwa imeinamia 90 degrees tizama hao maji yatakayokuwa yanadrop, yatakuwa yanashikana in roundish shape kwenye ncha butu ya kalamu.

Hayatakuwa yanadrop mpaka yafikie kiwango fulani cha uzito. Kabla ya hapo hujikusanya kiumbo la duara na hunga'ang'ania kwenye ncha butu ya kalamu.

Yatakayoshindwa kufikia uzito unayoyaruhusu kudondoka hayatadondoka.

Magnify picha hiyo uingie kwenye theory ya mass of the earth over mass of water on its surface.
DUNIA HAIKO FLAT

DUNIA NI DUARA FULL STOP
haha we jamaa umenichekesha sana so wewe unadhani maji ya dunia yanaganda kama kwenye kalalmu ,,,yani kwamba maji ya bahari zote na maziwa yote alaf kama ulivo soma kuna mtu kasema anaishi makete na analiona ziwa nyasa ambalo lipo 70 kms away na kumbuka curveture inaanza kuonekana after every eight miles,,,,,.,.,.,.hapa hatuangalii kama umekubali au umekataa hapa tunaangalia hoja ,,,.,.,we unafananisha maji ya dunia nzima na tone na kalamu,,,usiji contadict kwamba maji hufata mkondo wake,,,,, hiyo ni fact maji lazma yafate mkondo wake,,,alafu kumbuka mabara yote yamezungukwa na maji ambayo yote lazma yashirikiane so haiwezzekani sehemu maji yakawa yanashuka au yanapamda mlima maji haya wezi kupanda mlima hata siku moja ssa dunia ingekua tufe tungepataje mawimbi ya bahari ,,,chukulia mfano ziwani haiwezikani maji yakawa level tofauti upande wowote ,,,,
Hilo jua lako linawaka kama tochi si ndio? Au linawaka pande zote.
Wewe lazima umechanganyikiwa na swala la ajira.
Kama ni flat mbona hatukutani na maji ya bahari dodoma yanaelekea nzega kwa bashe!?
huna hoja
Mars ipo ndani ya solar system yetu na mwanga unaomulika dunia ndio huo huo unaomulika mars, nyota ziko thousands of light years away na hazimulikwi na mwanga wa jua. Fanya hivi. Washa taa za gari au taa yoyote kali halafu nyuma yake kama hatua 50 washa mshumaa, wewe simama mbele ya taa afu niambie utaona mwanga wa taa au mshumaa? Jibu ni mwanga wa taa. Coz mwanga wa taa ni mkali na upo karibu kuliko mshumaa sio kwasababu ni mwisho wa macho yako kuona. Dunia ndio wewe, jua ni taa na nyota ni mshuma. Mars haitoi mwanga bali unamulikwa na jua ndo mana tunaiona. Hata mwezi pia hautoi mwanga ila unamulikwa na jua. Na bado hujajibu swali langu. Juu ya mlima Kilimanjaro nini kunazuia kuiona misri?. Mimetaja Kilimanjaro kwasababu hakuna mlima mrefu zaidi ya huo kati ya Tanzania na misri so hakuna kitu kunachokuzuia kuona mbele.
kwanza kabisa naomba unambie kama ulishawai kuzichunguza sayari kwa macho yako kabisa uone zinavyokua ,,,,,alafu jaribu kuangalia mwezi leo usiku alafu unambie kama unareflrect au una glow.....lazma ujue tofauti hizo mbili bila ivo itakua umekariri
 
SASA KWA HOJA HII YA DUNIA NI DUARA AU FLAT IMENIPA MATUMAINI SANA KWA SISI WAFRIKA NDIYO TUNAAMUKA SASA.
YAANI TUNA TAKA KUIJUA DUNIA LEO. 2016-----WAZUNGU WALIANZA MIAKA MINGI BC

NAOMBA KUTOA OMBI KUWA TUAZISHE KIKUNDI TUKISAJILI TUANZE NA TUENDELEZE HUO UTAFITI KWA SABABU YAPO MAMBO MENGI TUNA DANGANYWA NA WAZUNGU NA KUTUIBIA SANA.

MIMI NAITWA MARWA WAMBURA---0769 991 853
 
Kama dunia ni tambalare hebu niambie ni nchi gani ipo ukingoni,? na huko ukingo kupoje, na mimi nataka niende nikaone
 
MZUNGU ALIYEKWAMBIA KUWA WEWE ASILI YAKO NI NYANI NDIO HUYO HUYO ALIYEKWAMBIA DUNIA DUARA, NDIYO HUYO HUYO ALIYEKWAMBIA KUWA WEWE MTU MWEUSI NI YULE MTOTO WA NUHU ALIYELAANIWA, NDIO HUYO HUYO ALIYEKUHUBIRIA KUWA SODOMA&GOMORA KUWA WALICHOMWA MOTO KWA USHOGA BUT HUYO HUYO ANAYEKWAMBIA SASA URUHUSU HAKI ZA MASHOGA.....SASA WEWE HUONI KUWA HUYU MTU NI MUONGO KUPITILIZA.
 
Mars ipo ndani ya solar system yetu na mwanga unaomulika dunia ndio huo huo unaomulika mars, nyota ziko thousands of light years away na hazimulikwi na mwanga wa jua. Fanya hivi. Washa taa za gari au taa yoyote kali halafu nyuma yake kama hatua 50 washa mshumaa, wewe simama mbele ya taa afu niambie utaona mwanga wa taa au mshumaa? Jibu ni mwanga wa taa. Coz mwanga wa taa ni mkali na upo karibu kuliko mshumaa sio kwasababu ni mwisho wa macho yako kuona. Dunia ndio wewe, jua ni taa na nyota ni mshuma. Mars haitoi mwanga bali unamulikwa na jua ndo mana tunaiona. Hata mwezi pia hautoi mwanga ila unamulikwa na jua. Na bado hujajibu swali langu. Juu ya mlima Kilimanjaro nini kunazuia kuiona misri?. Mimetaja Kilimanjaro kwasababu hakuna mlima mrefu zaidi ya huo kati ya Tanzania na misri so hakuna kitu kunachokuzuia kuona mbele.
Yaan wewe ndo umenithibitishia kuwa wazungu wametudanganya, mwanga wa jua kuzuia nyota mchana zisionekane? , kwa akili yangu ya kuzaliwa ukuta unaweza kunizuia nisione kitu, mlima, majengo, nyumba Kuna vitu vingi sana, Mwanga wa jua ni object? Jibu kama NDIYO AU HAPANA , kama siyo object haiwezi kuzuia nyota mchana tusizione, umesoma physics ipi iliyokuambia mwanga wa jua mchana inazuia nyota tusizione, alafu mwanga wa jua umetuzunguka katika mazingira yetu Kuna vitu vingi tunaona.
Alafu mfano Wako ni dhaifu sana nyota zimezunguka kati Anga, nyoto hazijakaa mstatili 1 na jua. Haya ni maneno yako "" fanya hivi. Washa taa za gari au taa yoyote kali halafu nyuma yake kama hatua 50 washa mshumaa, wewe simama mbele ya taa afu niambie utaona mwanga wa taa au mshumaa? Jibu ni mwanga wa taa. Coz mwanga wa taa ni mkali na upo karibu kuliko mshamaa"" Nani aliyekuambia kuwa ukitaka kuangalia nyota Anga lazima uliangalie jua moja kwa moja ujuwi kama nyota zimezunguka zipo upande wa North, East, South and West.
Hilo swali ulilo niuliza nimeshajibu kuhusu misri kwa aionekani rejea kwenye post yangu ,ngoja niongezee kitu kwa mfano japo sipendi kutumia mfano kwa kifupi mlimani kilimanjaro ndo mrefu baran Africa.. Mfano upo katika mlima mrefu wenye 50M, kuna mji unataka kuangalia wenye 10M kutoka katika usawa wa bahari lakin ule mji Kuna mlima au plateau (sehemu ya Ardhi iliyo inuka) wenye 40M kwa ule upande ambao wewe umekaa Je huo mji unaweza kuona. Pictures halisi ni kama mji wa morogoro Kuna milima ya URUGURU na nyumba zipo chini unaweza kupata pictures ya morogoro wakati Kuna object Inakuzuia.
 
Wakati mimi nasoma sayari katika solar system zilikuwa 9. Mzungu kachora mpaka shape ya sayari ya zingine kama Pluto, sayari hizo hizo nyingi zimegundulika kwa kutumia vifaa vya kuangalia, wakati huo huo tunaambiwa kuzifuata sayari hizo unachukua miaka mingi mpaka mamia ya miaka na kuendelea........ Chombo kama darubini kinaweza kukupatia pictures halisi ya kitu unacho kiona kwa umbali mrefu kama sayari ya mwisho kwenye solar system? , Binadamu mwenyewe ajagusa kwenye hizo sayari zilizokuwa mbali. tumejifuzi kwenye Geography photography pictures ina sehemu kuu 3, sehemu ya mbele , kati na nyuma na sifa zake pia tunajuwa it's difficult to identify the object sijui ni sehemu ipi kati ya hizo tatu.
Mleta mada kuwa makin jamii forum itakuondoa, kama tu mwandishi wa hii habari katishiwa kuuwawa, kaondolewa baadhi ya mitandao ya kijamii. Unataka kubadilisha mamilioni ya vitabu kwa siku 1, unajuwa vimechukua miaka mingapi mpaka vikakamilika hivyo vitabu watu wanepata uprofessor, kuchukua tuzo, na wamekuwa mashuhuri dunia kwa Ajili Ya duara.
Kama dar kungekuwa Kuna sehemu, ukika dar mzima unaona hakuna aja ya kutembelewa k/koo, post, mbezi ubongo ili upate Raman halisi ya dar. Pale pale sehemu ambayo ukika unaona dar mzima utapata Raman halisi ya dar utaweza kuona kinondoni, temeke, ilala ubungo, kigamboni kumbe ziko direction na kitu hiki. Ninamaanisha Nini wengi tunategemea satellite ndo zitatoa pictures halisi ya dunia, satellite zinatembea uko angani, hicho kituo cha urusi na America kinatembea pictures itakayopigwa ni ya eneo husika pale ilipo . Satellite ikiwa kwenye bara la Africa itapiga pictures baadhi ya NCHI za Africa alafu satellite zenyewe zinaonekana by naked eye.
Mleta mada ujatenda haki kwenye online question Kuna kundi kubwa la watu umeliacha
Kama inawezekan ongeza kipati
Je dunia ina umbo gani?
⭕ Tambarare (flat)
⭕ Duara (round/spherical earth)
⭕ Sijui (I don't know)
 
Kuna vitu ukiangalia ulivyoandika kuna ukweli fulan hvi ila bado nakuwa na mashaka na baadhi ya theory zako je vipi kuhusu ucku na mchana kama kweli dunia ni flat na vp kuhusu utofauti wa mda hvi kuhusu jua kua ndo linazunguka dunia kwa hyo jua ni dogo na dunia kubwa na vp kuhusu kupatwa inakuaj hapo??

Mimi ninachojua ni kuwa jua linazunguka dunia. Hata mtumishi wa Mungu Joshua alitamka hilo ebu soma hii


Joshua 10:12-13

12: Ndipo Yoshua akanena na Bwana katika siku hiyo ambayo Bwana aliwatoa Waamori mbele ya wana wa Israeli; akasema mbele ya macho ya Israeli, Wewe Jua, simama kimya juu ya Gibeoni; Na wewe Mwezi, simama katika bonde la Aiyaloni.
13: Ndipo jua likasimama, na mwezi ukatulia, Hata hilo taifa lilipokuwa limekwisha jipatiliza juu ya adui zao.
 
Wazungu kamba nyingi. Sema sisi tumelala mno hatutaki kujiumiza kichwa kudadisi mambo kama haya. Tubakubali kirahisi tunameza. Mwana o akiluletea assignment ajaze asili ya binadamu still utamwambia kuwa Ni nyani la sivyo atakosa kwenye pepa ya history
 
Yaan wewe ndo umenithibitishia kuwa wazungu wametudanganya, mwanga wa jua kuzuia nyota mchana zisionekane? , kwa akili yangu ya kuzaliwa ukuta unaweza kunizuia nisione kitu, mlima, majengo, nyumba Kuna vitu vingi sana, Mwanga wa jua ni object? Jibu kama NDIYO AU HAPANA , kama siyo object haiwezi kuzuia nyota mchana tusizione, umesoma physics ipi iliyokuambia mwanga wa jua mchana inazuia nyota tusizione, alafu mwanga wa jua umetuzunguka katika mazingira yetu Kuna vitu vingi tunaona.
Alafu mfano Wako ni dhaifu sana nyota zimezunguka kati Anga, nyoto hazijakaa mstatili 1 na jua. Haya ni maneno yako "" fanya hivi. Washa taa za gari au taa yoyote kali halafu nyuma yake kama hatua 50 washa mshumaa, wewe simama mbele ya taa afu niambie utaona mwanga wa taa au mshumaa? Jibu ni mwanga wa taa. Coz mwanga wa taa ni mkali na upo karibu kuliko mshamaa"" Nani aliyekuambia kuwa ukitaka kuangalia nyota Anga lazima uliangalie jua moja kwa moja ujuwi kama nyota zimezunguka zipo upande wa North, East, South and West.
Hilo swali ulilo niuliza nimeshajibu kuhusu misri kwa aionekani rejea kwenye post yangu ,ngoja niongezee kitu kwa mfano japo sipendi kutumia mfano kwa kifupi mlimani kilimanjaro ndo mrefu baran Africa.. Mfano upo katika mlima mrefu wenye 50M, kuna mji unataka kuangalia wenye 10M kutoka katika usawa wa bahari lakin ule mji Kuna mlima au plateau (sehemu ya Ardhi iliyo inuka) wenye 40M kwa ule upande ambao wewe umekaa Je huo mji unaweza kuona. Pictures halisi ni kama mji wa morogoro Kuna milima ya URUGURU na nyumba zipo chini unaweza kupata pictures ya morogoro wakati Kuna object Inakuzuia.

www.moonphases.info/why-stars-cant-be-seen-during-the-day.html

Soma hapo mkuu kama usipoelewa labda wewe ndo utoe ufananuzi kwanini nyota hazionekani mchana. Na kama ni object tu ndio inayoweza kuzuia tusione mbele je kuna object gani Kati ya dunia na nyota? Na object hio kwanini inaonekana mchana tu usiku inapotea?
 
Back
Top Bottom