mnajua msiwe mna bishana bila facts ,,,,fact ni kwamba water always finds its level hii inamaanisha maji ya bahari yapo level moja throughout ,,,sasa kwenye swala kuona unajua kabisa baharini kuna mawimbi na sometimes kunaweza kuwa na everporation so kama unaangalia chombo kina safiri baharini the more kinavoenda mbali ndio vision yako inazidi kuwa affected kwasababu chombo unachokitazama kinapungua kadri kinavyoenda mbali na macho yako,,,alafu atakakama uapaakiasi gani kwenda juu hutokaaa hata siku moja kuona curveture ya dunia ,,alafu kumbuka kwamba the horizon always rise to the eye level and its imposible on a spherical earth
pembeni ndo antartica north is at the center
we are sleeping they are living.,.,.,
flat earth concept ni kwamba north pole is at the center kwahiyo any direction oposite na north ni south ,,na jua na mwezi vinazunguka around north pole
wewe una prove kushidwa na umekosea sana kusema ukitumia common sense utagundua kua the earth is sperical...ukitumia common sense we unavodhani jua linatuzunguka au tunalizunguka ,,,yani common sense is what you can observe by your sensory organs sio kukaririshwa ,,ndo maana from the begging nmesema hii ni siri so haiwezi kua obvious kwa watu wavivu kufikiria kwasababu maswali mengi yamejibiwa in my main thread
nadhani wewe hujui maana ya research ,,,,alafu unielezee inafanywa vipi ,kama ungekua umesoma uzi wangu vizuri ungeelewa