Hicho kitendo cha Jua kuwa kwenye miguu yetu relatively ni kitendo ambacho hakipo na hakijawahi hata kuwa observed/pictured hata mara moja,...Sasa hiki ndio nn? Sema shida iko wapi, nimekupa mfano wa mpira
Kazi kweli, Fungua ubongo wako mkuuHicho kitendo cha Jua kuwa kwenye miguu yetu relatively ni kitendo ambacho hakipo na hakijawahi hata kuwa observed/pictured hata mara moja,...
Kinachofanya uamini na kuona ni kitendo cha kawaida ni Imani yako kubwa juu ya nadharia ya Dunia Tufe linalozunguka,...licha ya kwamba huna uthibitisho wowote juu ya Jua kuwa usawa wa miguu yetu relatively.
Sasa hapo huoni kwamba wewe ndiyo unapaswa kufungua ubongo wako?Kazi kweli, Fungua ubongo wako mkuu
Sio kweliSasa hapo huoni kwamba wewe ndiyo unapaswa kufungua ubongo wako?
Sasa hapa ndo umesema nn? Mm nakwambia zinaadjust Ili kufata path yake, sasa kama Dunia ni flat it means hata path yake ni flat, so why kama Dunia ni flat zinafanya hivo?Hata kama Dunia ingekua Tufe Ndege still zingekua na uwezo wa kuadjust altitude
Umeelezea vyema kabisa, lakini point yangu ni kuwa planes zina adjust altitude Ili kufuata planed route ya ndege yes ni sahihi, Kwa maana ya kwamba hazifanyi ivo kufata curvature ya dunia directly.Kwanza unatakiwa ufahamu kwamba Dunia kuwa flat/Tufe hakuhusiani na Ndege kuadjust altitude., unless uwe hujui nini maana ya kuadjust altitude.
Hata kama Dunia ingekua Tufe Ndege still zingekua na uwezo wa kuadjust altitude,...kama ilivyo sasa ambapo Dunia ni flat lakini still zinafanya hivyo....
Aircraft adjust their altitude by ascending (going upward) or descending (going downward) as needed. Pilots control these movements using the aircraft's controls to change its vertical position in the air......sasa kitendo hicho ⬅️ kunahusiana vipi na umbo la Dunia, huoni kama kwenye umbo lolote la Dunia kinawezekana as long as anga lipo void(empty)?
Nina wasiwasi hujui nini maana ya adjusting altitude....
Unajua maana ya poles? Sasa flat inapoles? Kusema flattened at it's poles haimaanishi sio perfect flat, Kwa sabab kinyume Cha sphere sio flat😀,Kuna quote yko umenireply,.. nadhani itafaa kujibu hili swali lako...👇🏼
Unaposema ni Flattened at its poles,...ni sawa na kusema Dunia ni Flat lakini sio perfect flat.....
Sasa,..Je, na Mimi nikikuuliza swali kama uliloniuliza Mimi kuhusu "earth is not a perfect sphere" nitakua sahihi??????
Maana naona hapa unakubali na kukiri mwenyewe kwamba Dunia sio perfect flat.
Sio kweli hizo ni statement mbili tofauti kabisaMaana naona hapa unakubali na kukiri mwenyewe kwamba Dunia sio perfect flat.
Unapenda kukimbilia mambo ya indoctrinated 😀😀Kwa akili ambayo imekua indoctrinated utasema Dunia haina sides,...ila Kwa akili huru yenye afya ni lazima utafahamu Tu kwamba Dunia ina sides.
Hii ni sayansi, siwezi kusema Kwa hakika kuwa Newtons hakuwa sahihi while utafiti wake Bado ina-apply katika daily life na unaleta majibu sahihi kama nilivyowahi kukuambia hapo awali, Newton Ali initiate concept wakati Einstein akaja ku revolution understanding ya gravity. Kwahy kwenye baadhi applications hasa tulizonazo Kila siku tunatumia gravity as a force. Kujibu swali lako According to Einstein gravity sio force.Kwanza unakubaliana na statement yake aliposema "Gravity sio Force"?
Na kama unakubali kwanini ulikua unapambana kuonyesha gravity ni force,...na kila nilipojaribu kukuelewesha ukawa umejikita kwenye ubishi na kuleta formula ambazo zimetungwa tu kinadharia na hazi depict actual facts!?
Kuwa observed kivipi? Sasa kama utakubaliana na Dunia tufe utaona kuwa kinawezekana Kwa sababu wakat huku ni usiku huko ni mchana,Hicho kitendo cha Jua kuwa kwenye miguu yetu relatively ni kitendo ambacho hakipo na hakijawahi hata kuwa observed/pictured hata mara moja,...
Naww pia kinachokufanya ukatae ni Kwa sabab hauamini katika Dunia tufe, licha ya kwamba hujawahi kuona hayo mabarafu kwenye Kingo za Dunia, hujawah kuona Hilo funiko la grass la Dunia. Ila unaamini tu.Kinachofanya uamini na kuona ni kitendo cha kawaida ni Imani yako kubwa juu ya nadharia ya Dunia Tufe linalozunguka,...licha ya kwamba huna uthibitisho wowote juu ya Jua kuwa usawa wa miguu yetu relatively.
Nmekutana na hii clip ya ndege shirika la Emirates, Vipi unaona picha/ramani ya Dunia yenye umbo gani hapo ?Sasa hapo huoni kwamba wewe ndiyo unapaswa kufungua ubongo wako?
Ndiyo maana huwa nasema kwamba upo addicted na videos & picha....... ukiangalia vizuri nje kupitia kioo cha Ndege unaona kabisa jinsi Dunia ilivyo flat cha kushangaza umeamua kuangalia hiyo picha na sio uhalisia unaouona nje.Nmekutana na hii clip ya ndege shirika la Emirates, Vipi unaona picha/ramani ya Dunia yenye umbo gani hapo ?
Sasa wewe nani aliyekuambia aircraft paths zipo curved?Sasa hapa ndo umesema nn? Mm nakwambia zinaadjust Ili kufata path yake, sasa kama Dunia ni flat it means hata path yake ni flat, so why kama Dunia ni flat zinafanya hivo?
Kwahiyo unataka utudanganye hapa kwamba Ndege zote duniani zikisafiri zinafuata huo mchoro hapo juu?Umeelezea vyema kabisa, lakini point yangu ni kuwa planes zina adjust altitude Ili kufuata planed route ya ndege yes ni sahihi, Kwa maana ya kwamba hazifanyi ivo kufata curvature ya dunia directly.
Ndege huwa zina designed route Yao inaitwa great circle route ambayo kimsingi ndio short route inayotumiwa na ndege, sasa kama umesoma kuhusu hii great circle route (nilikuambia uipitie haujaja na majibu) utaona kabisa ipo curved Kwa maana ya kuwa wali consider curvature of the earth Kwa safari ndefu za ndege. Tazama picha chini, najua utauliza mbona ramani ni tambarare😀, hiyo ni projection of Map, ilikuweza kuonesha vzr point (places) mbili.
View attachment 2973215
Sasa swali si hata wewe unayajua majibu yake.... sidhani kama kuna haja ya kulijibu.Unapenda kukimbilia mambo ya indoctrinated 😀😀
Okay basi ww ambae haupo indoctrinated nambie Dunia Ina sides ngapi?
Bado hujajibu,... Ila kimsingi naamini umekubaliana na hoja ya Einstein kwamba gravity sio force,....so naamini utaacha kabisa humu kuaminisha watu kwamba gravity ndiyo inafanya vitu kuanguka na kupaa.Hii ni sayansi, siwezi kusema Kwa hakika kuwa Newtons hakuwa sahihi while utafiti wake Bado ina-apply katika daily life na unaleta majibu sahihi kama nilivyowahi kukuambia hapo awali, Newton Ali initiate concept wakati Einstein akaja ku revolution understanding ya gravity. Kwahy kwenye baadhi applications hasa tulizonazo Kila siku tunatumia gravity as a force. Kujibu swali lako According to Einstein gravity sio force.
Na wewe unakubali kuwa hata hiyo gravity ya Einstein inaelezea why things fall? Na akaelezea jinsi more massive objects zinakuwa revolved by less massive objects??
Ndiyo nimesema hiyo scenario haitokei/ haijawahi kuwa observed kwasababu Dunia sio tufe kama ulivyoaminishwa.....Kuwa observed kivipi? Sasa kama utakubaliana na Dunia tufe utaona kuwa kinawezekana Kwa sababu wakat huku ni usiku huko ni mchana,
Nenda kaangalie route yoyote ulete hapa ambayo sio curvedUnaweza ukathibitisha hapa tuone hizo curved paths?