Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Safi umemfafanulia vizuri zaidi,..... abdulrahman Said unakubali kwamba wewe huwezi kuthibitisha Dunia ni tufe linalozunguka bila kutegemea mtu mwingine akuambie kama asemavyo DR Mambo Jambo hapo juu?

NB:- Unfortunately hata huyo anaekuambia pia hawezi kuthibitisha zaidi ya kumtegemea mwingine and that goes to infinity...
Mzee nikikwambia kichwa chako umeweka mavi nakosea? Sijakwambia siwezi kuthibitisha kama dunia ni tufe mpaka aje mtu mwingine aseme! Nilichopinga ni kuthibitisha dunia ni tufe ama sio tufe simply kwa kuconclude kutoka kwenye milango ya fahamu huo ni upungufu wa akili science doesn't work that way,
Nataka tuthibitishe kupitia theories and laws of nature and this is the most logical reasoning we can make ila wewe ukaamua kupinga na kutaka kutumia milango ya fahamu kitu ambacho ni upuuzi na ndo ukafanya mpaka mjadala ufike huku.
 
Kwanza Kabisa Umekosea Kutumia Mfano wa Kuingizwa Kwenye Boksi Kama Njia ya Kujitetea Wanaotuambia Dunia Duara hawatuambii Kuwa Tumo Ndani ya Dunia Bali tumo Nje ya Dunia Imagine umewekwa Juu Train Ya Mwendokasi Inayokimbia 2000 Km/s Ni lazima Utahisi Misukumo na Mitikisimo Regardless ya Uzito ulionao..
Ungepitia texts ungeelewa maana ya mfano na mfano ulilenga kitu gani.
Nitarudia, nililetwa duniani kwajili ya haya mambo.
Sijatoa huo mfano kumaanisha kwamba sisi tupo ndani ya dunia la hasha, nimetoa mfano kuonesha huwezi kuthibitisha au kuweka conclusion juu ya state ya motion yako simply kwa kupitia milango ya fahamu. Nikatoa mfano wa boksi, mtu aliye kwenye boksi hawezi kuhitimisha kwamba yeye hamove eti kisa mule ndani anajiona hamove ametulia what if the box itself is uniformly moving in space???
Nieleweke hapo, sijatoa mfano kulinganisha na dunia nimetoa mfano kupinga hoja ya kutumia milango ya fahamu kuthibitisha kama dunia ni flat or inamove huo ni uongo, any man with sense hawezi kufanya hivyo
 
So Kumbe Unaamini Kwamba Theory can Be Nulified or Rectified?

Unaposema Kuwa Science haiwezi kuongozwa na Internal awareness au Inference au Belief Nakushangaa..

Science Used to Factualise Believe through Hypothesis..

Kingine kuna Model Zingine Huwa zinaumbwa Kutoka from No where Bila Kushirikisha Milango ya Fahamu yoyote..

Hebu niambie Ni nani amewahi Kufika Liliko Jua ( Mbona tunajua mpaka Kilomita Lilipo Exactly na Pia Nani kafika Sayri zingine Ukiacha Dunia??

Mbona Tunajua Mpka Temperature zake??
Hebu niambie Tuliwahi Kuzipima??
Tulizipima Lini?
Au Tulitumia Hisia Na Belief tu??
Saafi!
Tuanze hapo kwenye kunullify theory, nimekwambia theories are like models kweny engineering mtu anaweza kuhypothesize without considering other conditions which at some point could affect the behaviours of the model. For instance, naweza kuwork on a theory kuhusian na energy ya gas molecules bit kwenye theory yangu at some point nikaconsider a motion of a gas molecule in one dimension or nika assume the molecules are far apart in a way no visible interaction is detected between molecules.
Nikafanya experiments zangu with support of Math's, at some point utaona theory yangu itawork vizuri kwenye condition maybe molecules zipo in a very steady motion at very low energy state but at higher energy utaona inaanza kuenda tofauti na ukweli kutokana na nini, niliconsider motion ya molecules kwenye dimension moja and other stuffs

Hiyo tunafanya sana kwenye science kwenye kuunda theory na models and zinawork to some extent but not accurate, sasa anaweza kuja mtu mwingine yeye akazingatia motion ya molecules in all three dimensions akazingatia pia na interaction this theory will be more accurate kuliko ya kwangu to that point tutaachana sasa na yangu tutafata iyo nyingine and mine will be null.

Theory zinatofautiana accuracy depending on the level of simplicity and neglecting of some parameters of the real world entities, theory haipingwi kwa kusema eti nimeona kwa macho sio sahihi huo ni ushuzi
 
Halafu abdulrahman Said hujawahi kunijibu Swali langu Nitarudia Tena..

Msingi wa Swali langu
Picha za Nasa Zinazo Onyesha Dunia ni Duara Zinaonyesha Ramani, tena kwa bahati mbaya kabisa Ramani ambayo imekuwa Projected Mwaka 1594, Ikiitwa "The Mercator Projection" . Ambayo Imetengenezwa na Gerardus Mercator..

Sasa Unashangaa Gerardus Mercator Mwaka huo kipindi anachora Ramani hakwenda mwezini wala Kwenye jua na wala Hakukuwa na Advance Technology na Alichora Hiyo Ramani tunayotumia Mpaka leo..

Cha Kushangaza Nasa Imeanzishwa July 29, 1958..
Ila wanatumia Ramani ya Gerardus mercator ya mwka 1594 ambaye Kipindi anaichora Hakukuwa na Ndege wala Helcopter (Maana ndege imegunduliwa mwaka 1903 na Wright brothers na wakati Huo ikiitwa Wright Flyer, Na bila kusahau Rocket ya Kwanza Imezinduliwa Mwaka 1926 na Robert H. Goddard...)
Ikumbukwe hata Sattelite ya Kwanza inasadikiwa Kurushwa October 4, 1957, iliyokuwa Ikiitwa Sputnik I

Sasa Hebu niambie huyo Mzee wa Kwanza kuchora Dunia Kwa Umbo la Duara Yeye Alikuwa Amekaa Wapi wakati hakukuwa na vifaa vyovyote vya Kuthibitisha Madai yake

Na NASA ambao Wanatumia Vifaa (Kama wanavyojinasibu) umewahi kuona Ramani nyingine ikiikosoa Ramani ya Mercator Projection hata kwa Longitudinal tu au Latitude?


Nimemaliza Swali Langu
Japi sijaelewa keypoint kwenye swali lako, ila ntakujibu kama hivi
1. I hope unaposema projection unaelewa maana yake ?
2. Theory ya spherical earth imeanza zamani tangu enzi za ugiriki ya kale. conclusions were made through geometrical analysis of the Earth's surface, Geometry was very famous field back in ancient time(hope unaelewa ni nini Geometry), Kina pythagoras and other Early mathematicians wamepiga sana geometry enzi izo, kuna watu waliweza kuestimate hadi radius ya dunia enzi izo, usifikiri watu wamekuja tu kuona saivi kuoitia nasa ndo wakasema ni sphere, picha za nasa zinathibitisha tu hii theory ya spherical earth ambayo imekuwepo miaka mingi.

(Niweke maelezo hapa, hakuna aliyeconclude kama earth ni sphere simply kwa kuamua tu. It happens kwenye muktadha unakuta unashindwa kupata majibu unayotaka au vipimo sahihi kutokana na wewe uliassume Earth ni flat)
Ntatoa mfano, Luckily I'm Majoring in engineering, iko hivi tukiwa tunadesign infrastructure za kutransmit microwave between towers for long distance communication kitu tunachozingatia ni spherical nature of the earth. Ukikosea tu kuset or microwaves hazifiki mnara wa pili
Hili ni tatizo tunalokutana nalo sana, na ndo mana nashangaa watu kama nyinyi mkijakusema Earth ni flat
 
So Kumbe Unaamini Kwamba Theory can Be Nulified or Rectified?

Unaposema Kuwa Science haiwezi kuongozwa na Internal awareness au Inference au Belief Nakushangaa..

Science Used to Factualise Believe through Hypothesis..

Kingine kuna Model Zingine Huwa zinaumbwa Kutoka from No where Bila Kushirikisha Milango ya Fahamu yoyote..

Hebu niambie Ni nani amewahi Kufika Liliko Jua ( Mbona tunajua mpaka Kilomita Lilipo Exactly na Pia Nani kafika Sayri zingine Ukiacha Dunia??

Mbona Tunajua Mpka Temperature zake??
Hebu niambie Tuliwahi Kuzipima??
Tulizipima Lini?
Au Tulitumia Hisia Na Belief tu??
(unaposema internal awareness unamaana gani) Mimi pia nakushangaa unaposema science inaongozwa na beliefs mzee,
Mfano tu, tunapofanya research kuna kitu kinaitwa bias. Hutakiwi kuforce kile unachoamini eti ndo iwe conclusion then what's the point for a reasearch? Hata unapofanya experiment na kukusanya data, the moment ulikuwa na bias basi hutofikia conclusion sahihi.

Kuna kitu tunaita pseudo science, huenda ndo mnayoizungunzia nyinyi. Sisi scientist hatuizingatii hii kama science ni uongo. It claims to be science but it is not science. Mfano mambo ya unajimu, hawa watu wa sijuwi cancer sijuwi sagittarius na madude menginw, wenyewe wanadhani ni science but HELL NO! hizi mostly ndo zinakuwa derived from beliefs.

Science haitokani na beliefs mzee, one of the rule kwenye kufanya scientific research ni lazima uabandon personal beliefs and inference and keep an open mind
 
Mzee nikikwambia kichwa chako umeweka mavi nakosea? Sijakwambia siwezi kuthibitisha kama dunia ni tufe mpaka aje mtu mwingine aseme! Nilichopinga ni kuthibitisha dunia ni tufe ama sio tufe simoly kwa kuconclude kutoka kwenye milango ya fahamu huo ni uoungufu wa akili science doesn't work that way,
Nataka tuthibitishe kupitia theories and laws of nature and this is the most logical reasoning we can make ila wewe ukaamua kuoinga na kutaka kutumia milango ya fahamu kitu ambacho ni upuuzi na ndo ukafanya mpaka mjadala ufike huku.
Hapana hujakosea upo sahihi,....


NB:- Kila anaedai Dunia ni tufe linalozunguka huwa hawezi kuthibitisha kuhusu hilo kwenye uhalisia bali atataka kutumia imaginary theories kama jinsi unavyotaka kufanya wewe hapa..
 
Hapana hujakosea upo sahihi,....


NB:- Kila anaedai Dunia ni tufe linalozunguka huwa hawezi kuthibitisha kuhusu hilo kwenye uhalisia bali atataka kutumia imaginary theories kama jinsi unavyotaka kufanya wewe hapa..
Kuthibitisha kwa uhalisia ni kutumia nn?, milango ya fahamu ama?
 
Wewe unaamini una hoja.... lakini kiuhalisia hoja zako huwezi kuthibitisha....sasa how can we rely on something that can't be proven and doesn't make?

Kila la kheri endeleeni na mjadala tunafuatilia...
Kuthibitisha unathibitisha vipi? Kwakusema umeona kwa macho huoni kama huo ni utoto?
Nimekuuliza jana, nikifunika jua kwa chungwa na nikaliziba lote. Je naweza kuhitimisha kama chungwa langu lilikuwa kubwa kuliko jua??
 
So Kumbe Unaamini Kwamba Theory can Be Nulified or Rectified?

Unaposema Kuwa Science haiwezi kuongozwa na Internal awareness au Inference au Belief Nakushangaa..

Science Used to Factualise Believe through Hypothesis..

Kingine kuna Model Zingine Huwa zinaumbwa Kutoka from No where Bila Kushirikisha Milango ya Fahamu yoyote..

Hebu niambie Ni nani amewahi Kufika Liliko Jua ( Mbona tunajua mpaka Kilomita Lilipo Exactly na Pia Nani kafika Sayri zingine Ukiacha Dunia??

Mbona Tunajua Mpka Temperature zake??
Hebu niambie Tuliwahi Kuzipima??
Tulizipima Lini?
Au Tulitumia Hisia Na Belief tu??
Halafu sikuona hadi chini.
Temperature ya jua, umbali kutoka kwenye jua was entirely estimated from Math's by observing period of the Earth and temperature of the Earth with stefan's law unaestimate vizuri kabisa temperature ya jua
.
I did most of these enzi niko nasoma, kuna theories kibao with Mathematical backing unazotunia kuestimate temperature ya jua kitu ambacho mwenzako hateeb10 anapinga
 
Kuthibitisha kwa uhalisia ni kutumia nn?, milango ya fahamu ama?
Hakuna kitu chochote utaweza kujua bila kutumia milango ya fahamu.... tatizo una underrate uwezo wa milango ya fahamu... hata vifaa vinavyotumika kwenye tafiti mbalimbali vimeundwa kwa kutumia milango ya fahamu.....na hivyo vifaa on its own haviwezi kutupa majibu mpaka tutumie milango ya fahamu....sasa unanishangaza sana unapoona àti kutumia milango ya fahamu ni upumbavu🙌🏼.


Lakini pia ili ufikie muafaka mzuri juu ya hoja hii jitahidi kutumia mifano relevant,.....
 
Hakuna kitu chochote utaweza kujua bila kutumia milango ya fahamu.... tatizo una underrate uwezo wa milango ya fahamu... hata vifaa vinavyotumika kwenye tafiti mbalimbali vimeundwa kwa kutumia milango ya fahamu.....na hivyo vifaa on its own haviwezi kutupa majibu mpaka tutumie milango ya fahamu....sasa unanishangaza sana unapoona àti kutumia milango ya fahamu ni upumbavu🙌🏼.


Lakini pia ili ufikie muafaka mzuri juu ya hoja hii jitahidi kutumia mifano relevant,.....
Wewe jamaa mwalimu wako alioata shida sana!
Nimekwambiaje, sipingi kuobserve kwa milango ya fahamu nachopinga ni kuhitimisha kwa milango ya fahamu huo ni ujinga. Nature doesn't work that way young man.

Nimekuoa mfano wa chungwa hapo, nimekuuliza je nikihitimisha kuwa chungwa langu ni kubwa kuliko jua ntakuwa nakosea? Au nikipiga meza meza nasikia inalia, mimi ntasema meza inaongea pia manake nimesikia inalia ntakosea??
 
Kwanza Kabisa Umekosea Kutumia Mfano wa Kuingizwa Kwenye Boksi Kama Njia ya Kujitetea Wanaotuambia Dunia Duara hawatuambii Kuwa Tumo Ndani ya Dunia Bali tumo Nje ya Dunia Imagine umewekwa Juu Train Ya Mwendokasi Inayokimbia 2000 Km/s Ni lazima Utahisi Misukumo na Mitikisimo Regardless ya Uzito ulionao..
Mkuu niliposema inamove at constant speed huenda hukunipata nilimaanisha nini? Kitu kikishaanza kutikisika si tayri kipo kwenye oscilatory motion? Sasa kuna oscilatory motion ambayo spidi ni constant???
Just close your eyes, start thinking of yourself inside a box moving veru steadily at constant speed.

The only thing you can feel ni acceleration (change in speed) as we have inertia lakini kama speed haibadiliki huwezi kufeel chochote, ndo sawa na dunia it has constant speed how are you expecting to sense kama inamove meanwhile you're also moving with Earth?
 
Hakuna kitu chochote utaweza kujua bila kutumia milango ya fahamu.... tatizo una underrate uwezo wa milango ya fahamu... hata vifaa vinavyotumika kwenye tafiti mbalimbali vimeundwa kwa kutumia milango ya fahamu.....na hivyo vifaa on its own haviwezi kutupa majibu mpaka tutumie milango ya fahamu....sasa unanishangaza sana unapoona àti kutumia milango ya fahamu ni upumbavu🙌🏼.


Lakini pia ili ufikie muafaka mzuri juu ya hoja hii jitahidi kutumia mifano relevant,.....
Mifano relevant ni ipi? Its your problem kutoelewa not mine.

Kuhitimisha tafiti simply kwa kutumia milango ya fahamu huo ni upuuzi nobody does that wether iwe science ama kitu chochote, you need more details
Mi nilikuwa naexpect atleast ungesema, ulivyoona ukaendelea kufanya tafiti as that's just the first step wewe ukasema eti ooh end ni flat kwasababu nimeona kwa macho ni flat! Huoni kama inashangaza?? Nimefunika jua kwa kutumia chungwa je, napaswa kusema chungwa ni kubwa kuliko jua?? Sizioni akili je napaswa kusema uyu hana akili?
 
Wewe jamaa mwalimu wako alioata shida sana!
Nimekwambiaje, sipingi kuobserve kwa milango ya fahamu nachopinga ni kuhitimisha kwa milango ya fahamu huo ni ujinga. Nature doesn't work that way young man.

Nimekuoa mfano wa chungwa hapo, nimekuuliza je nikihitimisha kuwa chungwa langu ni kubwa kuliko jua ntakuwa nakosea? Au nikipiga meza meza nasikia inalia, mimi ntasema meza inaongea pia manake nimesikia inalia ntakosea??
Hata Mimi sikuambii uhitimishe,..bali kwasasa as a primary source milango ya fahamu inatuonyesha Dunia Ipo stationary na sio tufe....ili tuseme milango ya fahamu haipo sahihi kwenye suala hilo inabidi tupate usaidizi wa tools ambazo zitatuonyesha Dunia ni tufe na inazunguka,....kitu ambacho kwa teknolojia iliyopo hatuna hizo tools....unakubali?

Nikija kwenye huo mfano wako wa Chungwa naona pia haupo relevant,.since milango ya fahamu ishafanya kazi tayari ya kukuonyesha kwamba Jua ni kubwa sana kiasi ambacho linaweza kuangazia Afrika Mashariki nzima at once....sasa ukihitimisha kwamba Chungwa ni kubwa kuliko Jua hata Milango yako ya fahamu itakukataa......unaona hata huo mfano wa meza kuongea milango ya fahamu haiwezi kukuaminisha ujinga kama huo(yaani most of the time milango ya fahamu inakua sahihi ni mara chache sana inakua wrong)...

NB: Maendeleo yote unayoyaona Duniani milango ya fahamu imechangia 99.99%....
 
Hata Mimi sikuambii uhitimishe,..bali kwasasa as a primary source milango ya fahamu inatuonyesha Dunia Ipo stationary na sio tufe....ili tuseme milango ya fahamu haipo sahihi kwenye suala hilo inabidi tupate usaidizi wa tools ambazo zitatuonyesha Dunia ni tufe na inazunguka,....kitu ambacho kwa teknolojia iliyopo hatuna hizo tools....unakubali?

Nikija kwenye huo mfano wako wa Chungwa naona pia haupo relevant,.since milango ya fahamu ishafanya kazi tayari ya kukuonyesha kwamba Jua ni kubwa sana kiasi ambacho linaweza kuangazia Afrika Mashariki nzima at once....sasa ukihitimisha kwamba Chungwa ni kubwa kuliko Jua hata Milango yako ya fahamu itakukataa......unaona hata huo mfano wa meza kuongea milango ya fahamu haiwezi kukuaminisha ujinga kama huo(yaani most of the time milango ya fahamu inakua sahihi ni mara chache sana inakua wrong)...

NB: Maendeleo yote unayoyaona Duniani milango ya fahamu imechangia 99.99%....
Hakuna teknolojia ya kuonesha kama dunia ni tufe, mbona unachekesha? Watu wanaenda outerspace, watu wanaweka satelite juu, satelite inapiga picha za dunia, satelite inarekodi mpaka joto maeneo tofauti tofauti ya dunia, tuna internet kupitia satelite sasa mtu aliyeenda kuweka satelite huko anakwambia dunia ni sphere wewe apo uko zako mbagara umeamua kubishana kwa ushahidi Upi? Umeshiba maharage wewe, eti hakuna teknolojia huoni kama unachekesha?? Shida ni umeamua kupinga!!

Mulango ya fahamu haiwezi kuthibitisha hata kidogo kama dunia ni tufe ama flat! Ni watu wajinga kama wewe ndo wanaweza kuongea hilo.
What if jua sio linaloangaza? What if kuna kitu kingine huko juu ndo kinatoa mwanga ? What if sun also receives light from that source? Unauthibitisho gani kama jua ndo linalotoa huo mwanga ??
 
Hakuna teknolojia ya kuonesha kama dunia ni tufe, mbona unachekesha? Watu wanaenda outerspace, watu wanaweka satelite juu, satelite inapiga picha za dunia, satelite inarekodi mpaka joto maeneo tofauti tofauti ya dunia, tuna internet kupitia satelite sasa mtu aliyeenda kuweka satelite huko anakwambia dunia ni sphere wewe apo uko zako mbagara umeamua kubishana kwa ushahidi Upi? Umeshiba maharage wewe, eti hakuna teknolojia huoni kama unachekesha?? Shida ni umeamua kupinga!!

Mulango ya fahamu haiwezi kuthibitisha hata kidogo kama dunia ni tufe ama flat! Ni watu wajinga kama wewe ndo wanaweza kuongea hilo.

Sawa,.. hizo picha na video za Dunia zinazothibitishà kwamba Dunia ni tufe linalozunguka zipo wapi... unaweza kutusaidia tafadhali..
What if jua sio linaloangaza? What if kuna kitu kingine huko juu ndo kinatoa mwanga ? What if sun also receives light from that source? Unauthibitisho gani kama jua ndo linalotoa huo mwanga ??

Dah mkuu,.. kwamba huna uhakika pia kuhusu Jua ndiyo linaloangazia Dunia,?...... Ngoja nikupe observation rahisi ili uthibitishe kwamba Jua ndiyo linaloangazia Dunia fikiria kwanini tukio la kupatwa kwa Jua hupelekea Giza Duniani... ? Ukishapata jibu hapo kuanzia leo utaondoa doubts zako about what lights up the day on earth.
 
Ndo mana nasema,
Mnasikiliza maneno ya watu!
Mzee hii kitu nimeshaongea naona bado huelewi, nimekwambia huwezi kuthibitisha kama dunia ni flat simply kwa kusema eti umeona kwa macho. Wewe unamatatizo gani?
Mbna ni kitu cha kufikiria tu kwa akili za kawaida!!? Sasa iyo video ndo inaonesha nini? Unakuwa na akili za kushikiwa kama mtu hafikirii, simply put, how is it possible kwa hizo Jua, stars etc kuzunguka dunia.

Nmekupa mfano rahisi, a periodic function (maybe huelewi function ntakupa mfano mwingine)
Jaalia unagari linazunguka around a circular path, katika hiyo njia tuweke moto pahala na barafu pahala in that case kila baada ya muda flani kupita itapita tena kwenye moto na kwenye barafu kwa kujirudia. Hapa duniani kila baada ya 365 days siku zinajirudia zinaanza upya can't your sense tells you the Earth is in a periodic motion??

Nakupa mfano mwingine, nilikwambia chukuwa jiwe funga na kamba alafu shika kamba kwa mkono wako, mkono ukiwa chini inua juu jiwe halafu liachie likiwa juu linafanyaje? Si linaanguka, sasa anza kuzungusha ile kamba katika mduara jiwe litaanguka?

Sasa wewe flat Earther nkikuuliza nini kinashikilia dunia isianguke chini utasema ni kitu gani???
 
Back
Top Bottom