Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Halafu usinilete video za upuuzi hapa, toa points acha kuleta upuuzi wa mtu fulani aliyeamua kuwajaza ujinga
 
Sawa,.. hizo picha na video za Dunia zinazothibitishà kwamba Dunia ni tufe linalozunguka zipo wapi... unaweza kutusaidia tafadhali..


Dah mkuu,.. kwamba huna uhakika pia kuhusu Jua ndiyo linaloangazia Dunia,?...... Ngoja nikupe observation rahisi ili uthibitishe kwamba Jua ndiyo linaloangazia Dunia fikiria kwanini tukio la kupatwa kwa Jua hupelekea Giza Duniani... ? Ukishapata jibu hapo kuanzia leo utaondoa doubts zako about what lights up the day on earth.
Umeenda NASA umekuja umesema ni AI generated sas mimi unataka nikule picha gani utakazoziamini?? Siwezi kurudia upuuzi,
I'll stick to my point, Your sense can not exactly tell you what's beyond the scale they are capable of interpreting relying solely on sense ni uoungufu wa akili. Nobody does that
 
Sawa,.. hizo picha na video za Dunia zinazothibitishà kwamba Dunia ni tufe linalozunguka zipo wapi... unaweza kutusaidia tafadhali..


Dah mkuu,.. kwamba huna uhakika pia kuhusu Jua ndiyo linaloangazia Dunia,?...... Ngoja nikupe observation rahisi ili uthibitishe kwamba Jua ndiyo linaloangazia Dunia fikiria kwanini tukio la kupatwa kwa Jua hupelekea Giza Duniani... ? Ukishapata jibu hapo kuanzia leo utaondoa doubts zako about what lights up the day on earth.
Kupatwa kwa jua mwezi unakuwa kati kati ya jua na dunia what If I say mwezi ndio mkubwa kuliko every thing else thus why it Abstract light from reaching the Earth including the sun itself which is just part of the system that receives the light?? Kwanini wewe ukakimbilia jua ndo linatoa mwanga !
I'm not saying jua halitoi mwanga najaribu kukuonesha jinsi ulivyokuwa na matatizo kwenye critical thinking
 
Ungepitia texts ungeelewa maana ya mfano na mfano ulilenga kitu gani.
Nitarudia, nililetwa duniani kwajili ya haya mambo.
Sijatoa huo mfano kumaanisha kwamba sisi tupo ndani ya dunia la hasha, nimetoa mfano kuonesha huwezi kuthibitisha au kuweka conclusion juu ya state ya motion yako simply kwa kupitia milango ya fahamu. Nikatoa mfano wa boksi, mtu aliye kwenye boksi hawezi kuhitimisha kwamba yeye hamove eti kisa mule ndani anajiona hamove ametulia what if the box itself is uniformly moving in space???
Nieleweke hapo, sijatoa mfano kulinganisha na dunia nimetoa mfano kupinga hoja ya kutumia milango ya fahamu kuthibitisha kama dunia ni flat or inamove huo ni uongo, any man with sense hawezi kufanya hivyo
Sasa Mfano usiolingana Haufai Kuwa Mfano..
Mfano ili uwe mfano au kifani ni Lazima Ulingane na Umbo halisi
 
Saafi!
Tuanze hapo kwenye kunullify theory, nimekwambia theories are like models kweny engineering mtu anaweza kuhypothesize without considering other conditions which at some point could affect the behaviours of the model. For instance, naweza kuwork on a theory kuhusian na energy ya gas molecules bit kwenye theory yangu at some point nikaconsider a motion of a gas molecule in one dimension or nika assume the molecules are far apart in a way no visible interaction is detected between molecules.
Nikafanya experiments zangu with support of Math's, at some point utaona theory yangu itawork vizuri kwenye condition maybe molecules zipo in a very steady motion at very low energy state but at higher energy utaona inaanza kuenda tofauti na ukweli kutokana na nini, niliconsider motion ya molecules kwenye dimension moja and other stuffs

Hiyo tunafanya sana kwenye science kwenye kuunda theory na models and zinawork to some extent but not accurate, sasa anaweza kuja mtu mwingine yeye akazingatia motion ya molecules in all three dimensions akazingatia pia na interaction this theory will be more accurate kuliko ya kwangu to that point tutaachana sasa na yangu tutafata iyo nyingine and mine will be null.

Theory zinatofautiana accuracy depending on the level of simplicity and neglecting of some parameters of the real world entities, theory haipingwi kwa kusema eti nimeona kwa macho sio sahihi huo ni ushuzi
Hizo ulizoelezea Ni theory baada ya Kugundulika kwa Maths na Technology mbalimbali Ila usisahau theory nyingi ni Before that hao walifanyaje?
Kuziibua Hizo theory?
Usikaze Shingo sheikh Mfano Ruthaf... na Kina Niegel theory Nyingi ziliibuka miaka ya 1500 na 1700 na 1800 it was before Technology Evolvements
 
Japi sijaelewa keypoint kwenye swali lako, ila ntakujibu kama hivi
1. I hope unaposema projection unaelewa maana yake ?
2. Theory ya spherical earth imeanza zamani tangu enzi za ugiriki ya kale. conclusions were made through geometrical analysis of the Earth's surface, Geometry was very famous field back in ancient time(hope unaelewa ni nini Geometry), Kina pythagoras and other Early mathematicians wamepiga sana geometry enzi izo, kuna watu waliweza kuestimate hadi radius ya dunia enzi izo, usifikiri watu wamekuja tu kuona saivi kuoitia nasa ndo wakasema ni sphere, picha za nasa zinathibitisha tu hii theory ya spherical earth ambayo imekuwepo miaka mingi.

(Niweke maelezo hapa, hakuna aliyeconclude kama earth ni sphere simply kwa kuamua tu. It happens kwenye muktadha unakuta unashindwa kupata majibu unayotaka au vipimo sahihi kutokana na wewe uliassume Earth ni flat)
Ntatoa mfano, Luckily I'm Majoring in engineering, iko hivi tukiwa tunadesign infrastructure za kutransmit microwave between towers for long distance communication kitu tunachozingatia ni spherical nature of the earth. Ukikosea tu kuset or microwaves hazifiki mnara wa pili
Hili ni tatizo tunalokutana nalo sana, na ndo mana nashangaa watu kama nyinyi mkijakusema Earth ni flat
Hivi Unaelewa Kuwa Hujajibu Swali ila Umeejielezea Wewe Kuwa Unasoma Engeeneer?

Nimekuuliza Kwanini Bado tunatumia Ramani ya Mwaka 1500s na Maswali mengine hapo Juu Ila hujajibu Insteady umenieleza Kuwa wewe ni Engeeneer Mimi Pia Ni Daktari Majoring Paediatric Specified In Neonatology...😅😅😅

Enough of the Introduction..Can we Sticks to the Question please
 
(unaposema internal awareness unamaana gani) Mimi pia nakushangaa unaposema science inaongozwa na beliefs mzee,
Mfano tu, tunapofanya research kuna kitu kinaitwa bias. Hutakiwi kuforce kile unachoamini eti ndo iwe conclusion then what's the point for a reasearch? Hata unapofanya experiment na kukusanya data, the moment ulikuwa na bias basi hutofikia conclusion sahihi.

Kuna kitu tunaita pseudo science, huenda ndo mnayoizungunzia nyinyi. Sisi scientist hatuizingatii hii kama science ni uongo. It claims to be science but it is not science. Mfano mambo ya unajimu, hawa watu wa sijuwi cancer sijuwi sagittarius na madude menginw, wenyewe wanadhani ni science but HELL NO! hizi mostly ndo zinakuwa derived from beliefs.

Science haitokani na beliefs mzee, one of the rule kwenye kufanya scientific research ni lazima uabandon personal beliefs and inference and keep an open mind

Soma Swali.kabla Ya Kujibu hayo unayoyaongelea Ni Sayansi ya Sasa Hivi na sio ya Zamani zamani hakukuwa na Maendeleo makubwa Hivyo Mtu alikuwa akiwaza kitu au akiona Kitu kwenye Jamii.kinaaminika basi anakiprove factuality..

Reseaech miaka ya Karne ya 4 ilifanyikaje? Au karne ya Tano??..

Newton alipodondokewa na Apple Hiyo haikuwa Internal Awareness??
Kwamba Aliamini kwamba Huyo sio Mungu alieangusha Tunda Ila kuna nguvu imeangusha Hilo tunda Ngoja nikatafakari ni Nguvu gani limeangusha Tufaa?
 
Halafu sikuona hadi chini.
Temperature ya jua, umbali kutoka kwenye jua was entirely estimated from Math's by observing period of the Earth and temperature of the Earth with stefan's law unaestimate vizuri kabisa temperature ya jua
.
I did most of these enzi niko nasoma, kuna theories kibao with Mathematical backing unazotunia kuestimate temperature ya jua kitu ambacho mwenzako hateeb10 anapinga
Ndiyo nataka kujua Hizo theory accuracy yake na Unaweza Vipi kuthibitisha Accuracy ya Kitu ambacho hujawahi kukichunguza Kutumia Theory ya Mtu ambaye naye hajawahi Kuchunguza???

Ametumia Only maths..

Mimi ninaweza Kusema Nilipo Hapa Chicago Maybe mpaka Hapo.Dar Ni kilometer 5000 nikatunga Theory kusaport nachowaza na Nikaithibitisha Theory hiyo je theory itakuwa na Ukweli wakati sijawahi kufika Dar Nikitokea Chicago...

Sometimes tusiwe Wajinga wa Kushikiwa Mawazo tujitahidi Kureason kila kitu..
Jiulize Huyo.aliyekutungia Hizo theory alifika Mwezini? hapana, Ila alifanga maths estimation!
Then jiulize Maths Estimation aliyofanya Is It accuracy enough to relay in?
Vipi kama Amekupotosha??
 
Mkuu niliposema inamove at constant speed huenda hukunipata nilimaanisha nini? Kitu kikishaanza kutikisika si tayri kipo kwenye oscilatory motion? Sasa kuna oscilatory motion ambayo spidi ni constant???
Just close your eyes, start thinking of yourself inside a box moving veru steadily at constant speed.

The only thing you can feel ni acceleration (change in speed) as we have inertia lakini kama speed haibadiliki huwezi kufeel chochote, ndo sawa na dunia it has constant speed how are you expecting to sense kama inamove meanwhile you're also moving with Earth?
Kwanini Unatumia Neno Think na Una uhakika Kitu ambacho una uhakika Nacho kwanini Utumie Imagination ?
 
Ndo mana nasema,
Mnasikiliza maneno ya watu!
Mzee hii kitu nimeshaongea naona bado huelewi, nimekwambia huwezi kuthibitisha kama dunia ni flat simply kwa kusema eti umeona kwa macho. Wewe unamatatizo gani?
Mbna ni kitu cha kufikiria tu kwa akili za kawaida!!? Sasa iyo video ndo inaonesha nini? Unakuwa na akili za kushikiwa kama mtu hafikirii, simply put, how is it possible kwa hizo Jua, stars etc kuzunguka dunia.

Nmekupa mfano rahisi, a periodic function (maybe huelewi function ntakupa mfano mwingine)
Jaalia unagari linazunguka around a circular path, katika hiyo njia tuweke moto pahala na barafu pahala in that case kila baada ya muda flani kupita itapita tena kwenye moto na kwenye barafu kwa kujirudia. Hapa duniani kila baada ya 365 days siku zinajirudia zinaanza upya can't your sense tells you the Earth is in a periodic motion??

Nakupa mfano mwingine, nilikwambia chukuwa jiwe funga na kamba alafu shika kamba kwa mkono wako, mkono ukiwa chini inua juu jiwe halafu liachie likiwa juu linafanyaje? Si linaanguka, sasa anza kuzungusha ile kamba katika mduara jiwe litaanguka?

Sasa wewe flat Earther nkikuuliza nini kinashikilia dunia isianguke chini utasema ni kitu gani???
Akili za kushikiwa kivipi?,.. Kujua kwamba Dunia Ipo stationary na flat sio mpaka uambiwe hata mtoto mdogo ambae bado hajamezeshwa nadharia za kutunga atajua tu.

Watu wa Dunia tufe ndiyo mmeshikiwa akili,.. you can't prove your claims until someone/organization(s) says so....

Hivi,.kati ya Kuona kwa macho + logic, na kuambiwa tu kwamba Dunia ni tufe linalozunguka kisha ukaamini.., Njia ipi ni sahihi kwako kuifuata?
 
Halafu usinilete video za upuuzi hapa, toa points acha kuleta upuuzi wa mtu fulani aliyeamua kuwajaza ujinga
Upuuzi mkubwa zaidi ni kuona kwamba kila kitu kinachoenda tofauti na unachoamini wewe ni upuuzi...


NB: Na ujinga mkubwa zaidi ni kuamini blindly kwamba dunia ni tufe linalozunguka,....ila ukiombwa uthibitisho huna unaanza ooh unajua unajua.....
 
Akili za kushikiwa kivipi?,.. Kujua kwamba Dunia Ipo stationary na flat sio mpaka uambiwe hata mtoto mdogo ambae bado hajamezeshwa nadharia za kutunga atajua tu.

Watu wa Dunia tufe ndiyo mmeshikiwa akili,.. you can't prove your claims until someone/organization(s) says so....

Hivi,.kati ya Kuona kwa macho + logic, na kuambiwa tu kwamba Dunia ni tufe linalozunguka kisha ukaamini.., Njia ipi ni sahihi kwako kuifuata?
Sijawahi kuiona zanzibar nikiwa ferry! Meli inapoingia huwa naona bendera kwanza halafu meli inaanza kuonekana taratiibu kuanzia juu . Naomba nijibu hapo.
 
Kupatwa kwa jua mwezi unakuwa kati kati ya jua na dunia what If I say mwezi ndio mkubwa kuliko every thing else thus why it Abstract light from reaching the Earth including the sun itself which is just part of the system that receives the light?? Kwanini wewe ukakimbilia jua ndo linatoa mwanga !
I'm not saying jua halitoi mwanga najaribu kukuonesha jinsi ulivyokuwa na matatizo kwenye critical thinking
kwanza size ya Mwezi na Jua inaonekana haipishani sana,.... kisha usiseme MWEZI una abstract light from reaching the earth unapaswa unyooshe maelezo kwamba Mwezi una abstract mwanga wa Jua kufika Duniani, that's why kadri Mwezi unavyoliachia Jua Mwanga unaanza kuonekana!! na huo ndiyo uthibitisho tosha kwamba Jua ndiyo linalotoa mwanga wake duniani.
 
Hizo ulizoelezea Ni theory baada ya Kugundulika kwa Maths na Technology mbalimbali Ila usisahau theory nyingi ni Before that hao walifanyaje?
Kuziibua Hizo theory?
Usikaze Shingo sheikh Mfano Ruthaf... na Kina Niegel theory Nyingi ziliibuka miaka ya 1500 na 1700 na 1800 it was before Technology Evolvements
Math ilikuwepo tangu kabla ya yesu, sasa unapotoa mfano wa miaka ya 1500 kwamba unafikiri kipindi hiko hakukuwa na Math?
 
Hivi Unaelewa Kuwa Hujajibu Swali ila Umeejielezea Wewe Kuwa Unasoma Engeeneer?

Nimekuuliza Kwanini Bado tunatumia Ramani ya Mwaka 1500s na Maswali mengine hapo Juu Ila hujajibu Insteady umenieleza Kuwa wewe ni Engeeneer Mimi Pia Ni Daktari Majoring Paediatric Specified In Neonatology...😅😅😅

Enough of the Introduction..Can we Sticks to the Question please
Pitia vizuri utaelewa, nimekwambia what was gour key point? Kwamba alikuwa amekaa wapi ndo nini? Nimekwambia theory za spherical earth zilikuwepo tangu kabla ya cristo sasa kushangaa amejuaje kama Earth ni sphere tangu miaka ya 1500's sielewi unashangaa kitu gani??
Galileo aliishi kipindi cha miaka ya 1500/1600's lakini aliweza kugundua kuwa Earth is not the center of our solar systen it's just a part, kwani alitoka nje ya dunia?
Math's answers all those questions mr doctor.
Nimekuuliza unaelewa maana ya projection? Probably huko kwenye udaktari hamkutani na vitu kama hivi si ajabu mtu wa taaluma yenu akaamini Earth ni flat
 
Soma Swali.kabla Ya Kujibu hayo unayoyaongelea Ni Sayansi ya Sasa Hivi na sio ya Zamani zamani hakukuwa na Maendeleo makubwa Hivyo Mtu alikuwa akiwaza kitu au akiona Kitu kwenye Jamii.kinaaminika basi anakiprove factuality..

Reseaech miaka ya Karne ya 4 ilifanyikaje? Au karne ya Tano??..

Newton alipodondokewa na Apple Hiyo haikuwa Internal Awareness??
Kwamba Aliamini kwamba Huyo sio Mungu alieangusha Tunda Ila kuna nguvu imeangusha Hilo tunda Ngoja nikatafakari ni Nguvu gani limeangusha Tufaa?
Hapana ! Hapana! Hapana!
Mzee probably hiyo sayansi yako wewe ndo inaproviwa factually! Kwani what is fact by the way mbona unashangaza? 😂😂, kwamba mtu anakaa kisha anaconclude hii itakuwa hivi kwasababu ya hivi? Kwaiyo wewe unahisi newtons alivyoona apple linaanguka akasema Mungu ndiyo kaangusha? Si obviously lazima lingeonekana lianguke!? Mnakulaga nini, jaribu kuchek how science evolved
Hiyo unayoita wewe ya kuwa concluded na facts ni pseudo science usichanganye na the real science mzee
Every thing was Math, Algebra, geometry and pther Mathematics zilikuwepo tangu miaka ya nyuma
Kitu usichokijuwa sasa?

Mathematics ilikuepo sio tu iyo karne ya tano uliyoweka tangu kabla ya Cristo
 
Ndiyo nataka kujua Hizo theory accuracy yake na Unaweza Vipi kuthibitisha Accuracy ya Kitu ambacho hujawahi kukichunguza Kutumia Theory ya Mtu ambaye naye hajawahi Kuchunguza???

Ametumia Only maths..

Mimi ninaweza Kusema Nilipo Hapa Chicago Maybe mpaka Hapo.Dar Ni kilometer 5000 nikatunga Theory kusaport nachowaza na Nikaithibitisha Theory hiyo je theory itakuwa na Ukweli wakati sijawahi kufika Dar Nikitokea Chicago...

Sometimes tusiwe Wajinga wa Kushikiwa Mawazo tujitahidi Kureason kila kitu..
Jiulize Huyo.aliyekutungia Hizo theory alifika Mwezini? hapana, Ila alifanga maths estimation!
Then jiulize Maths Estimation aliyofanya Is It accuracy enough to relay in?
Vipi kama Amekupotosha??
Hapo sasa ndo upuuzi, umekaa tu ukafikiria ni 5000Km unahisi theory zinatungwa kwa kukaa tu na kufikiria kisha kufika conclusion??
After observing the phenomenon we start Hypothesize based on the laws of nature, kisha hapo utakuwa na model ya hiyo system unayoizungumza then experiment and Mathematics follows.
Accuracy inategemean na model yako imehusisha vitu vingapi how close is it to the real world phenomenon? Probably science yako ya udaktari hamfanyi but kwenye engineering we normally have this, hata tunapotaka kusimulate how air moves tutamodel kwanza hewa ilivyo inaundwa na nn. Kadri unavyoongeza vitu kwenye model ndo accuracy ya theory inaongezeka!
Nimekupa mfano wa kinetic theory, Initial theory ilineglect intermolecular attractive forces kwenye molecules za gas, theory ilikuwa inafanya kazi vizuri but not in all conditions (inafanya kazi kwasababu it was possible to estimate thermodynamic variables of gases) lakini ukija katika pressure kubwa na temperature kubwa ambapo molecules zinakuwa very close in such intermolecular attractive forces zinaanza kuwa considerable amount theory inaanza kufail kwanini? Kwasababu the model of the theory doesn't include intermolecular attractive force!
Hapo ndo ikaja theory nyingine ambayo inamodel hadi attractive force hii ni accurate zaidi kuliko hiyo ya mwanzo.
In science we assign a degree of accuracy in theory, normally on how they are acceptable to the laws of nature, how they accurate model the real world phenomenon. Sasa wewe na mwenzako mmekuja na theory yenu ya flat earth halafu theory yenu inaanza eti hakuna gravity unahisi ni uzima huo??? Huoni kama ni vichekesho
 
Kwanini Unatumia Neno Think na Una uhakika Kitu ambacho una uhakika Nacho kwanini Utumie Imagination ?
Siujui umeelewa ulichokiandika??
Umeelewa hiyo ni nini nimetoa ama ndo unataka ujibu tu😂
Surely, hata mimi nna theory yangu. Biology is not the real science NEVER! 😂
 
Akili za kushikiwa kivipi?,.. Kujua kwamba Dunia Ipo stationary na flat sio mpaka uambiwe hata mtoto mdogo ambae bado hajamezeshwa nadharia za kutunga atajua tu.

Watu wa Dunia tufe ndiyo mmeshikiwa akili,.. you can't prove your claims until someone/organization(s) says so....

Hivi,.kati ya Kuona kwa macho + logic, na kuambiwa tu kwamba Dunia ni tufe linalozunguka kisha ukaamini.., Njia ipi ni sahihi kwako kuifuata?
Nabase na common sense tu mzee, dp you think every thing is just how you see? Wewe mbona unamatatizo
You've never seen radio waves ukiambiwa kama ndo zinasafirisha sauti utapinga pia?? But kama ukisoma Maxwell's theory of electromagnetism na ukafanya Mathematical analysis utaona hakuna point where the Math was violated, na hata ukija kwenye practical sense theory haiko against the laws of nature sasa unataka ubishane na nn?
Au unafkiri sis kama nyie flat earther mnaoambiwa Earth ni flat kwakuwa macho yako yanaona kama ni flat? 😂
 
Back
Top Bottom