abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Wew ndo unaamini blindly kama dunia ni flat, the only theory ambayo haiendi kinyume na laws of nature ni spherica earth hizo nyingine ni chai mzeeUpuuzi mkubwa zaidi ni kuona kwamba kila kitu kinachoenda tofauti na unachoamini wewe ni upuuzi...
NB: Na ujinga mkubwa zaidi ni kuamini blindly kwamba dunia ni tufe linalozunguka,....ila ukiombwa uthibitisho huna unaanza ooh unajua unajua.....
Sasa kwann sense organs zako hazikujiuliza mbona mwezi hautoi mwanga basi na jua litakuwa halitoi mwanga!kwanza size ya Mwezi na Jua inaonekana haipishani sana,.... kisha usiseme MWEZI una abstract light from reaching the earth unapaswa unyooshe maelezo kwamba Mwezi una abstract mwanga wa Jua kufika Duniani, that's why kadri Mwezi unavyoliachia Jua Mwanga unaanza kuonekana!! na huo ndiyo uthibitisho tosha kwamba Jua ndiyo linalotoa mwanga wake duniani.
Science was never proved factually, aliyekwambia hivyo amekudanganya! Huenda ndo mnasoma ivyo kwenye science yako ila sisi the followers of the real science hatufanyi hivyo kabisa,Soma Swali.kabla Ya Kujibu hayo unayoyaongelea Ni Sayansi ya Sasa Hivi na sio ya Zamani zamani hakukuwa na Maendeleo makubwa Hivyo Mtu alikuwa akiwaza kitu au akiona Kitu kwenye Jamii.kinaaminika basi anakiprove factuality..
Reseaech miaka ya Karne ya 4 ilifanyikaje? Au karne ya Tano??..
Newton alipodondokewa na Apple Hiyo haikuwa Internal Awareness??
Kwamba Aliamini kwamba Huyo sio Mungu alieangusha Tunda Ila kuna nguvu imeangusha Hilo tunda Ngoja nikatafakari ni Nguvu gani limeangusha Tufaa?
Hiyo unavyosema umbali ni Km5000 ulitumia kigezo gani??Ndiyo nataka kujua Hizo theory accuracy yake na Unaweza Vipi kuthibitisha Accuracy ya Kitu ambacho hujawahi kukichunguza Kutumia Theory ya Mtu ambaye naye hajawahi Kuchunguza???
Ametumia Only maths..
Mimi ninaweza Kusema Nilipo Hapa Chicago Maybe mpaka Hapo.Dar Ni kilometer 5000 nikatunga Theory kusaport nachowaza na Nikaithibitisha Theory hiyo je theory itakuwa na Ukweli wakati sijawahi kufika Dar Nikitokea Chicago...
Sometimes tusiwe Wajinga wa Kushikiwa Mawazo tujitahidi Kureason kila kitu..
Jiulize Huyo.aliyekutungia Hizo theory alifika Mwezini? hapana, Ila alifanga maths estimation!
Then jiulize Maths Estimation aliyofanya Is It accuracy enough to relay in?
Vipi kama Amekupotosha??
Now we're talking.Ndiyo nataka kujua Hizo theory accuracy yake na Unaweza Vipi kuthibitisha Accuracy ya Kitu ambacho hujawahi kukichunguza Kutumia Theory ya Mtu ambaye naye hajawahi Kuchunguza???
Ametumia Only maths..
Mimi ninaweza Kusema Nilipo Hapa Chicago Maybe mpaka Hapo.Dar Ni kilometer 5000 nikatunga Theory kusaport nachowaza na Nikaithibitisha Theory hiyo je theory itakuwa na Ukweli wakati sijawahi kufika Dar Nikitokea Chicago...
Sometimes tusiwe Wajinga wa Kushikiwa Mawazo tujitahidi Kureason kila kitu..
Jiulize Huyo.aliyekutungia Hizo theory alifika Mwezini? hapana, Ila alifanga maths estimation!
Then jiulize Maths Estimation aliyofanya Is It accuracy enough to relay in?
Vipi kama Amekupotosha??
Kueleweshwa kwanzaa kuhusu density kwa kiswahili rahisi mkuuBila kuandika micomment mingi kukuoa maelezo ambayo huelewi.
Let's assume hakuna gravity alafu density ndo ifanye vitu vianguke.
Here's a question, KWANINI DENSITY NDO IFANYE VITU VIANGUKE, KWANINI KITU CHENYE RANGI ILIYOKOZA KISIANGUKE UKILINGANISHA NA AMBACHO RANGI YAKE IMEKOZA?? Why density determines wether things fall and not color or any other object properties???
Nasubiri
Mzee kuelewa kwako ni tatizo??abdulrahman Said Hujibu maswali Yangu ila Unajitungia Maswali yako Na unayajibu..
Maswakinyangu yote hakuna Hata Moja ulilojibu π π
Ila umejitungua Maswali yako ukayajibu kw Maelezo kibao ila Hakuna Hata swalimlangu Moja ulilojibu...
Sasa Narudia Tena Rudi kayasome Taratibu Bila Hasira wala Ngendembwe utaelewa tu..
Umeuliza Kuhusu Maana Ya Projection Sasa Nakujibu Projection is a method for representing a curved surface,kama Ilivyopresentiwa the earth, na Mercator na wengine on a flat surface, like a map. It can also refer to the image or diagram created by this process
Sasa Umesema Alitumia Sijui maths and so on...
Lakini hakuna History yoyote iliyomuonyesha Gerardus Mercator Kuwa Alikuwa Mathematician Zaidi alikuwa Cosmographer na Cartographer yaami Mchoraji na Cosmo studies...
Sasa Mchoraji hakuwahi kutembea kwenda Kutafuta Measurements ila alitengeneza Spherical Earth ambayo Ramani yake ndo inatumiwa mpaka leo..
Kama Ukishindwa Swali Sema nimeshindwa inatosha kutunza Heshima Yako Engeneer
Ntakupa mfano kwanza, Chukuwa kiroba cha cement kijaze hewa halafu pima kina kilo ngapi, kisha chukuwa kitoba cha cement kijaze maji alafu pima kina kilo ngapi, chukuwa kitu kingine chochote kijaze kwenye kiroba halafu pima kina kilo ngapi. Zote japokuwa ni ujazo ule ule ila kilo zinatofautiana.Naomaba
Kueleweshwa kwanzaa kuhusu density kwa kiswahili rahisi mkuu
Jaribu kuruka Kimasai kwenye roli lilokata breakVery good question!
This is relativity, Earth inarotate along with everything on its surface ndo mana hata wewe hujioni kama unamove, jaribu hii ukiwa ndani ya gari inamove kwa constant speed rusha kitu juu then uone kitaenda nyuma au kitarudi pale pale kwenye mkono wako?
The same kwa ndege, inamove along with Earth at the same speed kwasababu tayri ilikuwa kwenye uso wa dunia
The point?Jaribu
Jaribu kuruka Kimasai kwenye roli lilokata break
earth haiwezankuwa flat, ilaa kwann mpaka leo hatuna picha halisi ya dunia kama sayari??Nimekuuliza kitu kirahisi unasema yakukariri blah! blah! blah! Hivi ukisema hivi kwanza unamaanisha nn? Does this mean the whole education ni fraud? Math ni uongo, kiswahili ni uongo, English ni uongo ama physics peke yake ndo uongo?? π π
Kwa staili hii hata maputo tutaimport kutoka china, watu wanatwngeneza ndege, computer, magari na vitu kede kede halafu wewe unasema ni uongo?? Ironic is that, hata hiyo flat earth siye wewe uliyekuja nayo kuna mpuuzi mzungu uko amekukaririsha ukaichukuwa kama ilivyo
Au wewe ndo wale watu wa wazungu hawakufundishi vyote hawataki watu weusi wajue π, meanwhile wazungu wameacha linux kernel, android, gcc, Risc-V, open-jdk, na matools mengine kibao bure mtu yoyote anayetaka achukuwe afanye chochote anachotaka, samebooks unazikuta mtandaoni na resources nyingine kibao haiko limited kwa Africans wala nani.
Africans tuko na primitive mindset na ile victim mentality na ndo inatufanya tusiendelee. Kama wewe na wasiofikiria wote wanaosema Earth ni flat
Umeshafuzu kuwa mganga wa kienyeji kijana. Japo una utabiri wa hovyo kuwahi kutokea duniani.Ndio maana leo hii ni watu wengi sana hawaamini kama Mungu yupo, kwamba hakuna pia mwisho wa dunia.
WATU wanaosoma biblia huchanganya na nadharia za kisayansi kuhusu umbo la dunia. UKISOMA sana biblia, imeandikwa kuwa dunia ni flat, pia imetulia, ukitegemea sayansi za wapagani ndio hizo ambazo zinajitahidi kushawishi watu kuwa hakuna uumbaji uliofanyika bali uibukaji wa vitu, binadamu hakuumbwa bali alitokana na vimelea, na hakuna Mungu wala mwisho wa dunia.
Hii imeleta ndani ya mind za watu kuwa waovu kadiri iwezekanavyo kwa sababu hakuna kuwa na chochote after death.
Na hao mleta uzi unaosema ni ma elites umeshindwa kuwataja ni Vatican na agents zao kama Jesuits, illuminatti, freemason na wengineo wengi. HAWA ndio wameshika miradi yote ya science za kilimo kama mambo ya GMO, spaceprogram zote zipo chini yao Including NASA na karibu everthing iwe ni siasa au uchumi nk.
Na mambo haya wanahakikisha hakuna anayejua na kusambaza. HATA HUU UZI HAUTAFIKA MBALI LAZIMA UFUTWE .
You and roll both acelerate at the same speed, you cant see or observe destotionsThe point?
Aliyekwambia hakuna picha halisi ni nani? Picha ziko nasa wewe unasema zimetengenezwa na AI sasa unataka ufanywaje mzee ?? πearth haiwezankuwa flat, ilaa kwann mpaka leo hatuna picha halisi ya dunia kama sayari??
Never! You can move at the same speed kama kitu hakiaccelerate ila ikianza kuaccelerate huwezi kuaccelerate nacho kwasababu ya inertia, sawa na dereva wa basi ukiwa mule ndani utaenda sambamba kabisa na gari ila akishaanza kuongeza speed au kupunguza lazima either upelekwe mbele au urudishwe nyuma.You and roll both acelerate at the same speed, you cant see or observe destotions
πππ, watu wanajiamuliaga tu kupokea maandiko wanavyoamuaUmeshafuzu kuwa mganga wa kienyeji kijana. Japo una utabiri wa hovyo kuwahi kutokea duniani.
Sasa si mpaka lipige brakeNever! You can move at the same speed kama kitu hakiaccelerate ila ikianza kuaccelerate huwezi kuaccelerate nacho kwasababu ya inertia, sawa na dereva wa basi ukiwa mule ndani utaenda sambamba kabisa na gari ila akishaanza kuongeza speed au kupunguza lazima either upelekwe mbele au urudishwe nyuma.
Jaribu siku kujirusha kwenye gari inayoenda alafu ndo ujuwe kama ulikuwa unaenda au ulikaa tu