The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Wewe kusoma huwezi? Ama shida ni nn kwako? Huo uthibitisho upo Kila Kona ya Dunia nenda kasome uelewe usipoelewa njoo hapa ueleweshwe, ukiona Kuna weakness zilete hapa tujadili sio unauliza vitu wakat unajua kabisa majibu yapo na sehem ya kuyapata unaijuasijakuambia kwa Dunia haiwezekani,...Bali nataka uthibitishe kwamba Dunia inazunguka
Au Huelewi kiswahili vizuri? Nini tatizo...
Wewe ndo umesema ni object nyingne elezea ni nyingne ipi? Na inazunguka Kwa mfumo upi?Wewe mwenye uhakika ndiyo ulete uthibitisho kwamba kile unachoona ni kivuli cha Dunia na si object nyingine yoyote.
Tuliza akili,.....ninachomaanisha ni kwamba kuna kile mnachokiita object ku fall/rise as a result of curvature na hiyo scenario inakua observed baada ya distance fulani,....kwa mfano ukisema Meli zina disappear over the curve si itakua sahihi ukisema the exact location where ships starts to disappear ndiyo mwanzo wa curvature kuonyesha athari yake?Shida yako hausomi kwa ufahamu jomba! Mbona explanation ilikuwa very clear?
Wewe unataka kutajiwa location eti sehemu gani dunia inaanza kucurve, umepewa maelezo na umeoneshwa jinsi swali lako ni la kijinga.
Ukipewa mpira utaje sehemu gani inaanza kucurve utaitaja? Kwanini ? Kwasababu every where it is a curve sasa wewe huoni kama umeuliza swali la kipuuzi? Umepewa mfano mwengine kuonesha swali lako ni la kijinga, tukupe mstari mnyoofu halafu tukuulize wapi mstari unaanza kuwa mnyoofu, do you think it makes sense???
Swali lako hukuuliza ni umbali upi effects za curvature zitaanza kuonekana, umeuliza location/sehemu gani dunia inaanza kucurve na umejibiwa respectively, hakuna contradiction hapo, elewa swali lako ulilouliza.
Wewe ndiyo unayecontradict maswali yako, na unapindua maelezo yawe unavyotaka wewe
Ambacho wewe huwezi kuelewa ni kipi? Mbn amekufundisha hadi jinsi ya kuuliza swali lako vzr,Tuliza akili,.....ninachomaanisha ni kwamba kuna kile mnachokiita object ku fall/rise as a result of curvature na hiyo scenario inakua observed baada ya distance fulani,....kwa mfano ukisema Meli zina disappear over the curve si itakua sahihi ukisema the exact location where ships starts to disappear ndiyo mwanzo wa curvature kuonyesha athari yake?
Au hujaelewa bado msingi wa swali langu,.... NB: Curvature ya dunia ni imaginary tu lakini ni kitu ambacho hakipo....room ya kuthibitisha uwepo wake nakuachia
Hapa ni kitu cha kuchukua telescope tu na communications ikipotea kwenye telescope unarefer na meli wamemove distance gani, au haifai hii mkuu?Tuliza akili,.....ninachomaanisha ni kwamba kuna kile mnachokiita object ku fall/rise as a result of curvature na hiyo scenario inakua observed baada ya distance fulani,....kwa mfano ukisema Meli zina disappear over the curve si itakua sahihi ukisema the exact location where ships starts to disappear ndiyo mwanzo wa curvature kuonyesha athari yake?
Au hujaelewa bado msingi wa swali langu,.... NB: Curvature ya dunia ni imaginary tu lakini ni kitu ambacho hakipo....room ya kuthibitisha uwepo wake nakuachia
Sina logic,..?? hata kwenye mpira unaweza kujua point ambayo curve inaanza kuonyesha athari yake (based on reference)Ndo maana nasema ww unabishana bila logic, Sasa swala la ship ku-disappear huoni kuwa tayar Kuna two reference point ambayo ni wewe unaetazama na hiyo meli, tumia akili basi kufikri Kwa kina😀😀.
Kwahy umeshindwa kunionesha point kwenye Mpira ⚽ ambapo curve inaanzia??😀😀😀😀
Kwahiyo uthibitisho mpaka nikasome,.wewe kuthibitisha huwezi?Wewe kusoma huwezi? Ama shida ni nn kwako? Huo uthibitisho upo Kila Kona ya Dunia nenda kasome uelewe usipoelewa njoo hapa ueleweshwe, ukiona Kuna weakness zilete hapa tujadili sio unauliza vitu wakat unajua kabisa majibu yapo na sehem ya kuyapata unaijua
Naona umeanza kunielewa sasa, "based on reference" kwahy ni lazima uwe na point mbili of reference(distance) ndo useme curvature inaanzia kuwa noticeable hapa😀.Sina logic,..?? hata kwenye mpira unaweza kujua point ambayo curve inaanza kuonyesha athari yake (based on reference)
Aliyekuambia kwenye mpira huwezi kujua point ambayo curve inaanza kuonyesha athari ,..amekudanganya fanya research mwenyewe.
Vzr kumbe umesoma ukaelewa kuwa kwenye makaratasi ni kweli Dunia ni tufe, sasa let changamoto ulizoziona kutoka kwenye hayo makaratasi tuzijadiri Kwa pamoja hapa bila kurukaruka naamini Kila mmoja atatoka na kitu.Kwahiyo uthibitisho mpaka nikasome,.wewe kuthibitisha huwezi?
Hizo ni dalili za kushikiwa akili na kuaminishwa vitu ambavyo huna uhakika navyo.
NB: Ni kweli kwenye makaratasi dunia ni tufe linalozunguka,...ila kwenye uhalisia ndiyo changamoto.
Sasa hapo si umeeleza kile kile ninachosema?,,,.....Hiyo point (distance) ambayo Curvature ya Dunia inaanza kuwa noticeable kumbuka haibadiliki kabisa,..kwanini sasa mnashindwa kusema exactly kwamba mfano kutoka Pwani ya Dar Es Salaam mpaka Nungwi Meli zinakua hazionekani kutokana na curvature?Ambacho wewe huwezi kuelewa ni kipi? Mbn amekufundisha hadi jinsi ya kuuliza swali lako vzr,
Ulipaswa uulize kuwa ni Kwa distance Gani kwenye Dunia curvature inaanzia kuwa noticeable? Sio point et kwamba Kila mtu ataenda ataiona hiyo curve au atasimama hapo.
Sio kwamba siwezi, kwann nirudie kukwambia kitu ambacho tayari unakijua? Wewe ndio ulete sehem iliyokuchanganya ambayo unaona haimake sense then tujadiri Kwa pamoja, inawezekana kweli kukawa na changamoto lkn sio kuja na conclusion ya HYPOTHESIS yakoKwahiyo uthibitisho mpaka nikasome,.wewe kuthibitisha huwezi?
Mimi ninachotaka uyatoe yaliyopo kwenye makaratasi uyathibitishe kwenye uhalisia.Vzr kumbe umesoma ukaelewa kuwa kwenye makaratasi ni kweli Dunia ni tufe, sasa let changamoto ulizoziona kutoka kwenye hayo makaratasi tuzijadiri Kwa pamoja hapa bila kurukaruka naamini Kila mmoja atatoka na kitu.
Embu tuliza kichwa, Kwa kutumia reference points, curvature ya Dunia inaanza kuwa noticeable about 3 miles away ( yaani 5 Km). Lakini pia lazima utumie akili yako vzr, kumbuka Kuna effect ya milima na mabonde na ndio maana watu hupenda kutumia bahari kama mfano.Sasa hapo si umeeleza kile kile ninachosema?,,,.....Hiyo point (distance) ambayo Curvature ya Dunia inaanza kuwa noticeable kumbuka haibadiliki kabisa,..kwanini sasa mnashindwa kusema exactly kwamba mfano kutoka Pwani ya Dar Es Salaam mpaka Nungwi Meli zinakua hazionekani kutokana na curvature?
Umerudia kile kile ninachosema muda wote
Mkuu soma post yangu #4905. Hii hoja nawaachia flat eaethers mfanye huu utafitiSasa hapo si umeeleza kile kile ninachosema?,,,.....Hiyo point (distance) ambayo Curvature ya Dunia inaanza kuwa noticeable kumbuka haibadiliki kabisa,..kwanini sasa mnashindwa kusema exactly kwamba mfano kutoka Pwani ya Dar Es Salaam mpaka Nungwi Meli zinakua hazionekani kutokana na curvature?
Umerudia kile kile ninachosema muda wote
Tufanye Research wenyewe basi on our own, let's leave aside yale tuliyoaminishwa kwenye nadharia za wengine....Sio kwamba siwezi, kwann nirudie kukwambia kitu ambacho tayari unakijua? Wewe ndio ulete sehem iliyokuchanganya ambayo unaona haimake sense then tujadiri Kwa pamoja, inawezekana kweli kukawa na changamoto lkn sio kuja na conclusion ya HYPOTHESIS yako
Nitacheki kaka,..kuna mtu najaribu kuelimishana nae kidogo....nampa shule HahhMkuu soma post yangu #4905. Hii hoja nawaachia flat eaethers mfanye huu utafiti
Sasa unanipima uwezo wangu kama nimeelewa au unanimock, au unataka tujadiri kuhusu umbo la Dunia?Mimi ninachotaka uyatoe yaliyopo kwenye makaratasi uyathibitishe kwenye uhalisia.
a. Thibitisha Dunia ni tufe
b. Thibitisha Inazunguka
NOTE: KWENYE UHALISIA!
Najua, hainisha tatizoTufanye Research wenyewe basi on our own, let's leave aside yale tuliyoaminishwa kwenye nadharia za wengine....
Hatua ya kwanza,....Unaijua Reasearch tool ya kwanza kabisa? UNAIJUA UNAIJUA UNAIJUA?
Kwahy tatizo ni nini hapa. (Research problem)?Tufanye Research wenyewe basi on our own, let's leave aside yale tuliyoaminishwa kwenye nadharia za wengine....
Hatua ya kwanza,....Unaijua Reasearch tool ya kwanza kabisa? UNAIJUA UNAIJUA UNAIJUA?
Sawa,..waambie watumie njia hiyo sasa waje waseme mfano ukiwa pwani ya DSM curvature inaanza kuonyesha athari yake baada kufika eneo gani exactly.Hapa ni kitu cha kuchukua telescope tu na communications ikipotea kwenye telescope unarefer na meli wamemove distance gani, au haifai hii mkuu?