The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Mbn hueleweki? Observation ndio experiment yenyewe au ni part ya experiments??Observation ndiyo experiment yenyewe,.. Hata mimi kupitia observation nakubaliana na wewe Dunia hai move.
Infact hata points hana huyu jamaa ni vile tu akili yake haiwezi kung'amua, nimemwambia tufanye mdahalo live alikimbia. Anajua hana facts zaidi ya pumba ukimualika ufanye naye live anakukimbiaWe unadhani hata mahakamani ingekuwa ni kubishana tu ndio unashinda unadhani tungekuwa tunafikia muafaka?
Observation is just observation kwani kufunika Jua na chungwa sio observation? Na lazima ujiulize ni kivipi na imewezekanaje Hiyo ndio sayansi. Au ww unadhani observation ni nini? Au lugha inakuchanganyaObservation sahihi inafanywa na watu wenye akili timamu,....Sasa mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya observation ya kufunika Jua na chungwa kweli?
With all due respect kwako,..tumia mfano mzuri tafadhali.
yap Dunia hai move,...unaiona hai move na hakuna mtu/taasisi iliyowahi kukuthibitishia vice versa sasa kwanini usiamini akili yako.Kwahy unakonkulude kuwa Dunia haimove?
Mwenye akili timamu hawezi kuhitimisha kwa kuobserve mzee, observation ni stage ya kwanza kabisa hakuna mtu yoyote anayetumia ubongo akahitimisha kwa kusema macho yake yamemuambia. Tumia common sense mbna ni rahisi tu?Observation sahihi inafanywa na watu wenye akili timamu,....Sasa mtu mwenye akili timamu anaweza kufanya observation ya kufunika Jua na chungwa kweli?
With all due respect kwako,..tumia mfano mzuri tafadhali.
Unauhakika hakuna mtu au taasisi iliyowahi kuthibitisha?yap Dunia hai move,...unaiona hai move na hakuna mtu/taasisi iliyowahi kukuthibitishia vice versa sasa kwanini usiamini akili yako.
Au huna imani na akili yako kaka...
Unawezaje kufunika Jua na Chungwa sasa,..mbona mnaongea vitu haviingii akilini?Observation is just observation kwani kufunika Jua na chungwa sio observation? Na lazima ujiulize ni kivipi na imewezekanaje Hiyo ndio sayansi. Au ww unadhani observation ni nini? Au lugha inakuchanganya
Kwani kitu mpk useme umekiziba lazima iweje? Nachojua ukiziba kitu maana yake unafanya wewe au watu waliokusudia kuziba hicho kitu wasikione, haijalishi watu wengine wanakiona(ambayo hawajadhamilia kufanya ivo).Unawezaje kufunika Jua na Chungwa sasa,..mbona mnaongea vitu haviingii akilini?
Jua linaloweza kumulika East Africa at once,..wewe unajisifia umelifunika na Chungwa,...Daah
Ndiyo hakuna mtu/tasisi iliyowahi kuthibitisha.Unauhakika hakuna mtu au taasisi iliyowahi kuthibitisha?
Mbn hujibu swali langu kwahy observation inaconcluse results? Na kama ndio basi nijibu kuwa ruler huwa inapinda ukizamisha kwenye maji mbn hujibu haya maswali au nimakubwa kwako?
Ulijihakikishia vipi kama jua ndo linamulika East Africa??Unawezaje kufunika Jua na Chungwa sasa,..mbona mnaongea vitu haviingii akilini?
Jua linaloweza kumulika East Africa at once,..wewe unajisifia umelifunika na Chungwa,...Daah
Ooh, Kwahiyo aliziba Jua kwa Chungwa kiasi ambacho wengine tukashindwa kuliona Jua?Kwani kitu mpk useme umekiziba lazima iweje? Nachojua ukiziba kitu maana yake unafanya wewe au watu waliokusudia kuziba hicho kitu wasikione, haijalishi watu wengine wanakiona(ambayo hawajadhamilia kufanya ivo).
Sawa bwana mkubwa, kwahy wewe ulivyo observe umbo la Dunia ilikupa hitimisho linalotosha? Na kivipi? Au mwenzetu uliingia deepest?Observation ina conclude results,..yaani kimsingi ni kwamba hata Initial observation isipokupa hitimisho linalotosha itakubidi uingie kwenye deep observation, deep observation isipotosha, utaingia kwenye deepest observation OBSERVATION ndiyo kila kitu
Kwahy kuhusu ruler what is your take, inapinda au haipindi?Ukizamisha ruler kwenye maji ukiona imepinda kupitia observation ya awali ingia deep kwenye observation ili upate hitimisho sahihi,...
Let's assume uko sahihi na hiyo mifumo yako ya observation, deep observation and blah!Ndiyo hakuna mtu/tasisi iliyowahi kuthibitisha.
Observation ina conclude results,..yaani kimsingi ni kwamba hata Initial observation isipokupa hitimisho linalotosha itakubidi uingie kwenye deep observation, deep observation isipotosha, utaingia kwenye deepest observation OBSERVATION ndiyo kila kitu.
Ukizamisha ruler kwenye maji ukiona imepinda kupitia observation ya awali ingia deep kwenye observation ili upate hitimisho sahihi,....OBSERVATION OBSERVATION OBSERVATION,...Hata hao mnaowaamini pia wanatumia observation huenda wanaingia deep zaidi kwenye observation,...usifikiri kuna maajabu mengine wanafanya nje ya observation.
Unasoma vzr kweli? Nimesema kama yeye alikusudia alizibe Jua maana yake alitaka asilione Kwa kutumia chungwa na akafanikiwa haijalishi ww Bado unaliona ila yeye ameliziba Ili asilione mbn akili ndogo tu hiiOoh, Kwahiyo aliziba Jua kwa Chungwa kiasi ambacho wengine tukashindwa kuliona Jua?
Tutumie akili ku reason,...
Na atuelezee kwanini akasema anafanya sijuwi deep observation na upuuzi mwingine! Kwanini kwenye ruler aamue hapa kuna haja ya kufanya deep observation, what's the driving for that deep observation? Kitu gani kitamfanya asiamini observation yake ya kwanza na kwanini kwa dunia akaamini observation yake ya kwanzaKwahy kuhusu ruler what is your take, inapinda au haipindi?
Sasa wewe unaona Jua ni chanzo cha Giza au? Unaposema Jua linapokea Mwanga toka sehemu nyingine hizo ni imagination zako,..ukileta uthibitisho tutakuaminiUlijihakikishia vipi kama jua ndo linamulika East Africa??
Kwanini akili yako haikuwaza labda jua nalo linapokea tu mwanga kutoa sehemu nyingine na ni transparent lakini lenyewe saizi yake ni dogo ndo mana linafunikwa na chungwa! Ama hii uliamua tu kuwa jua ndiyo chanzo cha mwanga??
Hata shilingi naweza kuiziba na jua kwa upande wangu halafu yeye wa upande mwingine bado akaiona, sijui hawezi kufikiria hilo ama hatumii kichwa mwenzetu!Unasoma vzr kweli? Nimesema kama yeye alikusudia alizibe Jua maana yake alitaka asilione Kwa kutumia chungwa na akafanikiwa haijalishi ww Bado unaliona ila yeye ameliziba Ili asilione mbn akili ndogo tu hii
Mimi nakuuliza wewe apo, unajihakikishia vipi kama jua linatoa mwanga? Ukichukuwa, kama bulb ukiiangalia wewe utasema lile cover la nje ndo linatoa mwanga?Sasa wewe unaona Jua ni chanzo cha Giza au? Unaposema Jua linapokea Mwanga toka sehemu nyingine hizo ni imagination zako,..ukileta uthibitisho tutakuamini
Jua ni chanzo cha mwanga unaoangaza kwa nguvu Duniani....wewe kama unataka kubisha hadi hilo hapo ni changamoto sasa.
Ana hoja dhaifu sana,, ila anaweza kubishana Kwa muda mrefu😄Hata shilingi naweza kuiziba na jua kwa upande wangu halafu yeye wa upande mwingine bado akaiona, sijui hawezi kufikiria hilo ama hatumii kichwa mwenzetu!