Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Unasoma vzr kweli? Nimesema kama yeye alikusudia alizibe Jua maana yake alitaka asilione Kwa kutumia chungwa na akafanikiwa haijalishi ww Bado unaliona ila yeye ameliziba Ili asilione mbn akili ndogo tu hii
Haingii akilini kabisa,..yaani umejiziba wewe usione kitu fulani kisha kwa ukubwa wa hicho kitu watu wengine wanaweza kukiona at the same time,..

Then, uhitimishe umeweza kukiziba hicho kitu? hapo umejizuia tu mwenyewe kukiona hicho kitu..... Usimtetee hoja yake haiingii akilini.
 
Ana hoja dhaifu sana,, ila anaweza kubishana Kwa muda mrefu😄
Kabisa! Kimsingi hawezi kutetea hoja, na ukimkaba ataruka anabadilisha mada. Mimi ndo mana nimemwambia huu mdahalo ni wa kufanya live hapo ni ngumu mtu kuruka hoja na maswali, hapa atajifanya tu hajaona hajibu!
Nimemualika tufanye kwa google meeting kakimbia, anajuwa hana points za msingi kutetea hoja yake na hawezi kujibu maswali ya msingi
 
Ila hoja ya kusema ulihitimisha kama dunia ni flat kwa macho inamsingi??? 😂
 
Kuzuia maana yake si ni kublock? Labda lugha inakusumubua, basi tuseme unaweza kublock Jua Kwa kutumia chungwa, vp hapo sawa?
 
Mimi naona anaruka ruka tu,
Weka model yako hapa ya flat earth elezea ni kwa vipi mfumo wako umekaa, kipi kinamzunguka mwenzake kati ya dunia, jua na mwezi na vimebaki vipi mahala pake bila kuanguka?
Tuelezee hizi phenomenon ambazo sisi tunazielezea kwa spherical earth kupitia flat stationary earth
 
Mimi nakuuliza wewe apo, unajihakikishia vipi kama jua linatoa mwanga? Ukichukuwa, kama bulb ukiiangalia wewe utasema lile cover la nje ndo linatoa mwanga?
Hahh daah,..Unaona maswali yako sasa, Jua ndiyo linatoa mwanga........&That's why likiwepo eneo fulani unapata mwanga (mchana) na liki move away from eneo hilo unapata giza(usiku)!

Sasa unataka uthibitisho gani tena?
 
Hahh daah,..Unaona maswali yako sasa, Jua ndiyo linatoa mwanga........&That's why likiwepo eneo fulani unapata mwanga (mchana) na liki move away from eneo hilo unapata giza(usiku)!

Sasa unataka uthibitisho gani tena?
Kwahy wewe uliishia hapo ukaona observation yako inalidhisha?

Sasa nipe mfano wa observation iliyofanyika ambayo haikulidhisha then wakaingia deep to deepest na kwann waliamua kuingia deepest Kama unavyodai
 
Hahh daah,..Unaona maswali yako sasa, Jua ndiyo linatoa mwanga........&That's why likiwepo eneo fulani unapata mwanga (mchana) na liki move away from eneo hilo unapata giza(usiku)!

Sasa unataka uthibitisho gani tena?
Ewaaa ! Sasa tuambie kwa yale maeneo ambayo yanakuwa usiku inakuwaje?? Kwa maelezo yako ningetegemea dunia nzima ingekuwa mchana /usiku sio sehemu moja kuwa mchana na sehemu nyingine kuwa usiku!
Umetoa point hapo maeneo ambayo jua linakuwepo ndo inakuwa mchana, in that case katika flat earth jua ndo linaamua saivi nitamulika sehemu flani iwe mchana sehemu nyingine sizimuliki na zitakuwa usiku?
 
Kuzuia maana yake si ni kublock? Labda lugha inakusumubua, basi tuseme unaweza kublock Jua Kwa kutumia chungwa, vp hapo sawa?
Sasa si utakua umejiziba tu wewe usipatwe na Jua? haimaanishi kwamba Jua ni dogo kuliko Chungwa......mfano mtu akitumia Mwamvuli kujizuia na ukali wa Jua,..Huwezi ukasema Jua ni dogo kuliko Mwamvuli labda kama una matatizo ya akili.
 
Sasa si utakua umejiziba tu wewe usipatwe na Jua? haimaanishi kwamba Jua ni dogo kuliko Chungwa......mfano mtu akitumia Mwamvuli kujizuia na ukali wa Jua,..Huwezi ukasema Jua ni dogo kuliko Mwamvuli labda kama una matatizo ya akili.
Wapi nimesema Jua ni dogo?? Mada hapo ilikuwa observation we unadai ni observation ya kijinga, Sasa wewe umethibitisha vipi kuwa Jua ni Kubwa kuliko chungwa wakati mm nakwambia chungwa ni Kubwa kuliko Jua na ndio observation yangu?
 
Sasa si utakua umejiziba tu wewe usipatwe na Jua? haimaanishi kwamba Jua ni dogo kuliko Chungwa......mfano mtu akitumia Mwamvuli kujizuia na ukali wa Jua,..Huwezi ukasema Jua ni dogo kuliko Mwamvuli labda kama una matatizo ya akili.
Lakini nikiweza kuziba chungwa kwa mwavuli naweza kuthibitisha kama mwavuli ni mkubwa kuliko shilingi??
NB. Mimi nimeliziba chungwa ila mtu aliyekaa position nyingine anaweza kuliona chungwa hata kama mimi nimeliziba. Mbona simple tu!
 
Wapi nimesema Jua ni dogo?? Mada hapo ilikuwa observation we unadai ni observation ya kijinga, Sasa wewe umethibitisha vipi kuwa Jua ni Kubwa kuliko chungwa wakati mm nakwambia chungwa ni Kubwa kuliko Jua na ndio observation yangu?
Si unaona anavyopindua na kutaka iwe kama anavyotaka yeye! Haelewi point ya msingi ila anahangaika abadilishe mada
 
Nitawarudia,..andaeni uthibitisho usio na shaka kwamba Dunia ni tufe linalozunguka.

Je, Ukichimba directly hapo ulipo unaweza kutokea Bolivia,....other factors remaining constant.
 
Akikubali napendekeza link itumwe humu wengine tuhudhurie kama wasikilizaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…