Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Point yako ni nn? Kuwa Dunia ni tambarare au Dunia sio duara? Unataka nisemeje nn kipya kuhusu umbo la Dunia duara? Umesema umesoma sema wapi panakuchanganya kama hujasoma inamaana unabisha kitu hujui?
Unachojibu sio ambacho nimekuuliza,............nimesema hivi "Thibitisha basi kwamba Dunia inazunguka,..Mpaka saa 4 asubuhi ya leo tarehe 9 Disemba ukishindwa kuthibitisha kwamba Dunia inazunguka basi utakua unaamini blindly...!
 
Ndiyo, kama nilivyoweza kukuthibitishia hapa nitakuthibitishia pia meanwhile wewe hautoweza kuthibitisha kama dunia ni flat na haizunguki.
Hizo mambo za kusema nikiwa tayari ndo ngonjera nisizozitaka, wewe sema precisely siku gani tualike watu hapa tufanye mdahalo kila mtu aweke hoja zake na azitetee hoja zake.

NB. Huwezi na hutoweza kamwe kuthibitisha kama dunia ni flat. Kama unajiamini taja siku hapo tuchambue hoja
Hahh umethibitisha kitu gani kaka,.......

1. Dunia ni tufe? umethibitisha lini & how

2. Dunia inazunguka? umethibitisha lini & how
 
So here unakubali kuwa picha ni halisi ila zinaongezewa vitu fulani( processed)?

View attachment 3172865
Picha ikishaongezewa vitu maana yake hiyo picha sio halisi,...au hujui maana ya kitu kuwa halisi


Kama wewe ni Mweupe ila mimi nikatumia filter kukufanya uonekane mweusi.....utasema hiyo picha inayokuonyesha ukiwa mweusi ni picha halisia?
 
Kwa usivyo na uelewa unajua kwamba NASA, ISS wapo Kwaajili ya kuaminisha watu umbo la Dunia ni tufe😄😄.

Picha hizo zinakuwa processed kwaajili ya matumizi fulani fulani kutokana na lengo lao wap, kama huna application ya GIS itakuwa ngumu kuelewa kwako. Mambo ya weather forecasting, minerals and water exploration Kwa kutumia GIS picha zake zinatoka kwenye hizi mamlaka kwahy zinakuwa processed kutokana na mahitaji maalumu na Wala sio Kwa ajili yako wewe eti Ili wakuaminishe kuwa Dunia ni duara. Unachekesha wewe.

Halafu kama wangekuwa wanadanganya kwann wakuambie kuwa hizi picha zimekuwa processed? Wangeweza kusema hazijawa processed na Bado utasema nn?

Bado hujaonesha ni kivipi hizo picha sio halisi😄😄, kuwa processed haimaanishi sio halisi ni sawa naww tukupige picha then hiyo picha tuipunguzie mwanga au kuongeza mwanga Sasa utasema hiyo picha sio halisi Bali imetengenezwa?
Acha maneno mengi weka uthibitisho.....unaamini sina uelewa ila kuweka uthibitisho unashindwa hata mimi nimesoma vizuri tu kuhusu GIS,..lakini sijaona popote kwamba ili GIS systems zifanye kazi ni lazima Dunia iwe tufe linalozunguka,......wewe cha kufanya thibitisha, maana sisi pia tumesoma hayo uliyosoma na ndiyo maana tunapata nguvu ya ku question hayo tuliyosoma.
 
Ukisema hakuna uthibitisho uliopewa kama dunia ni tufe unakuwa na upungufu wa akili na mropokaji,
Wewe ndiye hujaleta uthibitisho wowote hapa kuelezea madai yako.
Dunia saivi ni kama kijiji tu hakuna kufichana, fortunately kuna mashirika ya anga zaidi ya 70 na idadi kubwa ya wana anga, hao wote wamefanikiwa kutoka na kupata picha za dunia na kuonesha ikiwa sphere na hakuna yoyote anayeclaim kama dunia ni flat amewahi kufanya hivyo ila tu mkaamua kusema haya mashirika yote Yanaongopa (kwasababu ambazo hamjaziweka wazi) sasa huoni kama ni ukichaa huo mdogo angu?

Taja siku hapa tualike watu mdahalo ufanyike live sio kusema nikiwa tayari blah blah blah, itakuwa tayari lini?
Sawa, Lete link hapa saa 6:30 watu tujoin ili utuonyeshe jinsi Dunia inavyozunguka na pia ututhibitishie pasina shaka kwamba Dunia ni tufe!


NB: Subject ya mdahalo iwe...."MDAHALO WA KUONYESHA DUNIA INAVYOZUNGUKA NA KUTHIBITISHA KWAMBA DUNIA NI TUFE!

#TUNASUBIRI.
 
Unachojibu sio ambacho nimekuuliza,............nimesema hivi "Thibitisha basi kwamba Dunia inazunguka,..Mpaka saa 4 asubuhi ya leo tarehe 9 Disemba ukishindwa kuthibitisha kwamba Dunia inazunguka basi utakua unaamini blindly...!
Namm hujajibu nilichokuuliza,
 
Picha ikishaongezewa vitu maana yake hiyo picha sio halisi,...au hujui maana ya kitu kuwa halisi


Kama wewe ni Mweupe ila mimi nikatumia filter kukufanya uonekane mweusi.....utasema hiyo picha inayokuonyesha ukiwa mweusi ni picha halisia?
Ila picha itakuwa yangu(processes from raw photo) na sio kama unavyosema imekuwa generated Kwa maana imetengenezwa na computer?
 
..wewe cha kufanya thibitisha, maana sisi pia tumesoma hayo uliyosoma na ndiyo maana tunapata nguvu ya ku question hayo tuliyosoma.
Kama umesoma sa kwann unaniuliza tena mm? Unanimock au unanipima? Wewe sema ambacho ulisoma kikakuchanganya. Let's make it simple.
 
Picha ikishaongezewa vitu maana yake hiyo picha sio halisi,...au hujui maana ya kitu kuwa halisi


Kama wewe ni Mweupe ila mimi nikatumia filter kukufanya uonekane mweusi.....utasema hiyo picha inayokuonyesha ukiwa mweusi ni picha halisia?
BTW tell me kwenye hizo picha ni kitu Gani kinakufanya useme sio za kweli kama zinavyoonekana😄. Simple question.
 
Point yako ni nn? Kuwa Dunia ni tambarare au Dunia sio duara?
Point yangu Dunia sio tufe,... ni flat na imetulia haifanyi movement yoyote kama unavyoiona na kuihisi.



Haya mimi nimekujibu,..na wewe jibu swali langu "Thibitisha basi kwamba Dunia inazunguka,..Mpaka saa 4 asubuhi ya leo tarehe 9 Disemba ukishindwa kuthibitisha kwamba Dunia inazunguka basi utakua unaamini blindly...!
 
Basi sawa,. tuma hiyo raw photo ya Dunia au hakuna?
Sasa Mimi ni NASA? Kwanza nimekwambia NASA hawapo kwaajili ya kukuaminisha ww Bali wapo Kwa tafiti zao.

Naww nikikwambia uniletee picha ya Dunia tambarare inayoonyesha mabara yote utaleta?
 
Sasa Mimi ni NASA? Kwanza nimekwambia NASA hawapo kwaajili ya kukuaminisha ww Bali wapo Kwa tafiti zao.

Naww nikikwambia uniletee picha ya Dunia tambarare inayoonyesha mabara yote utaleta?
Kwahiyo wewe kwenye maisha yako yote hujawahi kuona raw photo ya dunia?

Sasa unavyosema kwamba una uthibitisho kwamba Dunia ni tufe na inazunguka, huwa unatudanganya?

Tukuamini vipi, kama hata raw photo ya Dunia huna ila unasema ni tufe na inazunguka?
 
Back
Top Bottom