Kwa usivyo na uelewa unajua kwamba NASA, ISS wapo Kwaajili ya kuaminisha watu umbo la Dunia ni tufe😄😄.
Picha hizo zinakuwa processed kwaajili ya matumizi fulani fulani kutokana na lengo lao wap, kama huna application ya GIS itakuwa ngumu kuelewa kwako. Mambo ya weather forecasting, minerals and water exploration Kwa kutumia GIS picha zake zinatoka kwenye hizi mamlaka kwahy zinakuwa processed kutokana na mahitaji maalumu na Wala sio Kwa ajili yako wewe eti Ili wakuaminishe kuwa Dunia ni duara. Unachekesha wewe.
Halafu kama wangekuwa wanadanganya kwann wakuambie kuwa hizi picha zimekuwa processed? Wangeweza kusema hazijawa processed na Bado utasema nn?
Bado hujaonesha ni kivipi hizo picha sio halisi😄😄, kuwa processed haimaanishi sio halisi ni sawa naww tukupige picha then hiyo picha tuipunguzie mwanga au kuongeza mwanga Sasa utasema hiyo picha sio halisi Bali imetengenezwa?