Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Point yako ni nn? Kuwa Dunia ni tambarare au Dunia sio duara? Unataka nisemeje nn kipya kuhusu umbo la Dunia duara? Umesema umesoma sema wapi panakuchanganya kama hujasoma inamaana unabisha kitu hujui?
Unachojibu sio ambacho nimekuuliza,............nimesema hivi "Thibitisha basi kwamba Dunia inazunguka,..Mpaka saa 4 asubuhi ya leo tarehe 9 Disemba ukishindwa kuthibitisha kwamba Dunia inazunguka basi utakua unaamini blindly...!
 
Hahh umethibitisha kitu gani kaka,.......

1. Dunia ni tufe? umethibitisha lini & how

2. Dunia inazunguka? umethibitisha lini & how
 
So here unakubali kuwa picha ni halisi ila zinaongezewa vitu fulani( processed)?

View attachment 3172865
Picha ikishaongezewa vitu maana yake hiyo picha sio halisi,...au hujui maana ya kitu kuwa halisi


Kama wewe ni Mweupe ila mimi nikatumia filter kukufanya uonekane mweusi.....utasema hiyo picha inayokuonyesha ukiwa mweusi ni picha halisia?
 
Acha maneno mengi weka uthibitisho.....unaamini sina uelewa ila kuweka uthibitisho unashindwa hata mimi nimesoma vizuri tu kuhusu GIS,..lakini sijaona popote kwamba ili GIS systems zifanye kazi ni lazima Dunia iwe tufe linalozunguka,......wewe cha kufanya thibitisha, maana sisi pia tumesoma hayo uliyosoma na ndiyo maana tunapata nguvu ya ku question hayo tuliyosoma.
 
Sawa, Lete link hapa saa 6:30 watu tujoin ili utuonyeshe jinsi Dunia inavyozunguka na pia ututhibitishie pasina shaka kwamba Dunia ni tufe!


NB: Subject ya mdahalo iwe...."MDAHALO WA KUONYESHA DUNIA INAVYOZUNGUKA NA KUTHIBITISHA KWAMBA DUNIA NI TUFE!

#TUNASUBIRI.
 
Unachojibu sio ambacho nimekuuliza,............nimesema hivi "Thibitisha basi kwamba Dunia inazunguka,..Mpaka saa 4 asubuhi ya leo tarehe 9 Disemba ukishindwa kuthibitisha kwamba Dunia inazunguka basi utakua unaamini blindly...!
Namm hujajibu nilichokuuliza,
 
Picha ikishaongezewa vitu maana yake hiyo picha sio halisi,...au hujui maana ya kitu kuwa halisi


Kama wewe ni Mweupe ila mimi nikatumia filter kukufanya uonekane mweusi.....utasema hiyo picha inayokuonyesha ukiwa mweusi ni picha halisia?
Ila picha itakuwa yangu(processes from raw photo) na sio kama unavyosema imekuwa generated Kwa maana imetengenezwa na computer?
 
..wewe cha kufanya thibitisha, maana sisi pia tumesoma hayo uliyosoma na ndiyo maana tunapata nguvu ya ku question hayo tuliyosoma.
Kama umesoma sa kwann unaniuliza tena mm? Unanimock au unanipima? Wewe sema ambacho ulisoma kikakuchanganya. Let's make it simple.
 
Picha ikishaongezewa vitu maana yake hiyo picha sio halisi,...au hujui maana ya kitu kuwa halisi


Kama wewe ni Mweupe ila mimi nikatumia filter kukufanya uonekane mweusi.....utasema hiyo picha inayokuonyesha ukiwa mweusi ni picha halisia?
BTW tell me kwenye hizo picha ni kitu Gani kinakufanya useme sio za kweli kama zinavyoonekana😄. Simple question.
 
Point yako ni nn? Kuwa Dunia ni tambarare au Dunia sio duara?
Point yangu Dunia sio tufe,... ni flat na imetulia haifanyi movement yoyote kama unavyoiona na kuihisi.



Haya mimi nimekujibu,..na wewe jibu swali langu "Thibitisha basi kwamba Dunia inazunguka,..Mpaka saa 4 asubuhi ya leo tarehe 9 Disemba ukishindwa kuthibitisha kwamba Dunia inazunguka basi utakua unaamini blindly...!
 
Basi sawa,. tuma hiyo raw photo ya Dunia au hakuna?
Sasa Mimi ni NASA? Kwanza nimekwambia NASA hawapo kwaajili ya kukuaminisha ww Bali wapo Kwa tafiti zao.

Naww nikikwambia uniletee picha ya Dunia tambarare inayoonyesha mabara yote utaleta?
 
Sasa Mimi ni NASA? Kwanza nimekwambia NASA hawapo kwaajili ya kukuaminisha ww Bali wapo Kwa tafiti zao.

Naww nikikwambia uniletee picha ya Dunia tambarare inayoonyesha mabara yote utaleta?
Kwahiyo wewe kwenye maisha yako yote hujawahi kuona raw photo ya dunia?

Sasa unavyosema kwamba una uthibitisho kwamba Dunia ni tufe na inazunguka, huwa unatudanganya?

Tukuamini vipi, kama hata raw photo ya Dunia huna ila unasema ni tufe na inazunguka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…