Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Direction tofaut kivipi? Si unasema Jua linamove naww tumia hizo dk au record Kwa hizo dk uje utuoneshe jua likimove
 
hateeb10 holaaaa!!😄😄
 
hateeb10 😀😀😀 kapaaa🗑️🚮
Unataka maelezo gani zaidi,... Umekubali kwamba technically Jua halizami wala kuchomoza,..that means hicho unachokiona is just an illusion..na sio uhalisia......nikakugusia kuhusu refraction hutaki kwenda kusoma usaidiwe vipi sasa?
 
Nilikuuliza unakubaliana nae,..ukajibu Niskubaliane nae kivipi.......umekumbuka sasa?
 
Unataka maelezo gani zaidi,... Umekubali kwamba technically Jua halizami wala kuchomoza,..that means hicho unachokiona is just an illusion..na sio uhalisia......nikakugusia kuhusu refraction hutaki kwenda kusoma usaidiwe vipi sasa?
😄😄 Wapi nimesema Jua halizami (sunset)? Swala la Refraction elezea Sasa namm maswali unayouliza nikikujibu kasome tutafika?? Acha janja janja wewe.
 
Unataka maelezo gani zaidi,... Umekubali kwamba technically Jua halizami wala kuchomoza,..that means hicho unachokiona is just an illusion..na sio uhalisia......nikakugusia kuhusu refraction hutaki kwenda kusoma usaidiwe vipi sasa?
hateeb10 Na swali la vitu kufall pia hulioni?? Nimeuliza hii mara ya Tano Sasa 😄😄.
 
hateeb10 Na hapa huoni??😄 Mimi najibu Kila swali lako lkn ww unajifanya ndege John NJOO hapa mpaka ujibu maswali yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…