Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Unazidi kujiweka kwenye mazingira magumu,... Mimi nikipiga ngumi sehem mpaka hiyo sehem ikabonyea,... still utasema Internal force ya mwili wangu haiwezi kuathiri external environment...
Wewe akili yako umegundisha GUNDI,,

Internal force haziwezi kuathiri mwendo wa hicho kitu as a whole katika mazingira ya nje.

Kumbuka tulipotokea, ulisema vitu vinashuka chini Kwa sababu ya mass yake yenyewe(yaani internal force yake)

Sasa mfano wako wa ngumi unaendana vipi na hapa?

Hoja ni kwamba mfumo wa ndani unaweza kusababisha mwendo wa hicho kitu(mfumo) as a whole?? Mpaka Sasa hujanipa mfano wa hicho kitu zaidi unatoka mfano wa jinsi external force(system 1) unavyo athiri kitu kingne(system 2)
 
Nilijua tu itakuwa ngumu kwako kunielewa!!

Majengo unayoyasema ni system tofaut na tetemeko yaani tetemeko(system 1) majengo(system 2) kwahy kitendo Cha majengo kuanguka kimesababishwa na external force(tetemeko).
Kuna sehemu nimetaja majengo??,........Ulisema internal force haiwezi kuathiri external environment,......ukataka nikupe maana ya internal force na mifano jinsi inavyoweza kuathiri external environment,...

Nimekupa mifano miwili ya internal force na jinsi hizo internal force zinavyoweza kuathiri external environment...........

Sikuelewi unabisha kitu gani hapo na nimekujibu kama ulivyotaka,..
 
Alafu nipe mifano ya internal force na jinsi inavyoathiri mazingira ya nje Kwa maana motion.
Sijui ni kitu Gani hukunielewa??👆👆

.....Ulisema internal force haiwezi kuathiri external environment,......ukataka nikupe maana ya internal force na mifano jinsi inavyoweza kuathiri external environment,...

Soma vizuri 👇👇
Nahisi ww Bado huelewi vizuri hizi terms, katika maelezo yangu nilikueleza vizuri kabisa internal force haziwezi kusababisha movement ya kitu "as a whole" Sasa kurusha ngumi kunaweza vipi kufanya umove? Au ni nn kinamove?
Nilichomaanisha internal force haziwezi kusababisha motion ya hicho kitu as a whole yaani hicho kitu kimove kutoka sehem move mpaka nyingne unless external force iwe imehusika.
 
Sijui ni kitu Gani hukunielewa??👆👆



Soma vizuri 👇👇

Nilichomaanisha internal force haziwezi kusababisha motion ya hicho kitu as a whole yaani hicho kitu kimove kutoka sehem move mpaka nyingne unless external force iwe imehusika.
Vizuri,..wewe ukiwa unatembea (move) internal force inakua imetumika haijatumika?

Yaani inayofanya u move toka point moja kwenda nyingine ni internal au external force?
 
Mimi nikipiga ngumi sehem mpaka hiyo sehem ikabonyea,... still utasema Internal force ya mwili wangu haiwezi kuathiri external environment...
Uwe unasoma vzr na kuelewa.

Hapo ni system mbili tofauti, ngumi yako(wewe) na ukuta. Mimi maana yangu ni kuwa system ya ndani iathiri external environment ya hiyo hiyo system in terms of mwendo yaani hiyo sisytem Imove
 
Vizuri,..wewe ukiwa unatembea (move) internal force inakua imetumika haijatumika?

Yaani inayofanya u move toka point moja kwenda nyingine ni internal au external force?
Vizuri kabisa, nilitarajia swali kama hili!!

Jibu ni kwamba tunapotembea, nguvu ya ndani ndiyo inaanza harakati, lakini nguvu ya nje ndiyo inatuwezesha kusonga mbele. Hebu tuchambue hatua kwa hatua:

1. Nguvu ya ndani (Internal force): Misuli yetu ndiyo inayotoa nguvu ya kwanza. Ubongo hutuma ishara kwa misuli ya miguu, na misuli hiyo hukaza (contraction) na kulegea (relaxation). Hii ndiyo nguvu ya ndani inayotokea ndani ya mwili wetu. Nguvu hii ndiyo inayosababisha miguu yetu kusogea.

Key: Locomotion and Movement

2. Nguvu ya nje (External force): Tunapokanyaga ardhi, mguu wetu hutoa nguvu kwenye ardhi. Kwa mujibu wa sheria ya tatu ya Newton ("For every action, there is an equal and opposite reaction,"), ardhi hutupatia nguvu sawa na kinyume chake. Hii nguvu kutoka ardhini ndiyo inatusukuma mbele. Hii ni nguvu ya nje kwa sababu inatoka nje ya mwili wetu.

Misuli yetu inatusaidia kuinua mguu na kuusogeza mbele (nguvu ya ndani).
Ardhi inatusukuma mbele tunapokanyaga (nguvu ya nje).

Ukitaka kuelewa zaidi angalia gari kwenye tope kwann huwa inateleza? Jibu ni friction force(nguvu ya nje). Hope unaanza kunielewa.
 
hateeb10
Kukazia!!

Fikiria mtu anayeogelea.

Mikono na miguu yake inatoa nguvu ya ndani inayomsukuma nyuma kwenye maji.
Maji humsukuma mbele (nguvu ya nje).
Bila nguvu ya maji (nguvu ya nje), mtu huyo asingeweza kusonga mbele.
 
Vizuri kabisa, nilitarajia swali kama hili!!

Jibu ni kwamba tunapotembea, nguvu ya ndani ndiyo inaanza harakati, lakini nguvu ya nje ndiyo inatuwezesha kusonga mbele. Hebu tuchambue hatua kwa hatua:

1. Nguvu ya ndani (Internal force): Misuli yetu ndiyo inayotoa nguvu ya kwanza. Ubongo hutuma ishara kwa misuli ya miguu, na misuli hiyo hukaza (contraction) na kulegea (relaxation). Hii ndiyo nguvu ya ndani inayotokea ndani ya mwili wetu. Nguvu hii ndiyo inayosababisha miguu yetu kusogea.

Key: Locomotion and Movement

2. Nguvu ya nje (External force): Tunapokanyaga ardhi, mguu wetu hutoa nguvu kwenye ardhi. Kwa mujibu wa sheria ya tatu ya Newton ("For every action, there is an equal and opposite reaction,"), ardhi hutupatia nguvu sawa na kinyume chake. Hii nguvu kutoka ardhini ndiyo inatusukuma mbele. Hii ni nguvu ya nje kwa sababu inatoka nje ya mwili wetu.

Misuli yetu inatusaidia kuinua mguu na kuusogeza mbele (nguvu ya ndani).
Ardhi inatusukuma mbele tunapokanyaga (nguvu ya nje).

Ukitaka kuelewa zaidi angalia gari kwenye tope kwann huwa inateleza? Jibu ni friction force(nguvu ya nje). Hope unaanza kunielewa.
Mmmh naona maelezo yako hayaingii akilini,.. kwamba ardhi inatusukuma mbele? hii sijawahi kusikia.

kwenye maelezo yako hii ndiyo kauli sahihi 👉 "Hii ndiyo nguvu ya ndani inayotokea ndani ya mwili wetu. Nguvu hii ndiyo inayosababisha miguu yetu kusogea."

Ni kweli Internal force ndiyo inasababisha miguu yetu kusogea,.... na sio kwamba ardhi inatusukuma mbele.
 
kwenye maelezo yako hii ndiyo kauli sahihi 👉 "Hii ndiyo nguvu ya ndani inayotokea ndani ya mwili wetu. Nguvu hii ndiyo inayosababisha miguu yetu kusogea."
👇👇😀😀😀
Key: Locomotion and Movement
Unachoweza ww ni kusogeza mguu tu sio the whole body, Ili uweze kufanya hivyo utahitaji external force which is friction force. Na ndio maana nimekupa mfano wa gari kwenye tope.

Mmmh naona maelezo yako hayaingii akilini,.. kwamba ardhi inatusukuma mbele? hii sijawahi kusikia.
👆👆 Newton third law 😀😀

Ni kweli Internal force ndiyo inasababisha miguu yetu kusogea,.... na sio kwamba ardhi inatusukuma mbele.
👇👇😀😀

Key: Locomotion and Movement
Easy tu!!!!
 
hateeb10
Mpaka Sasa napaswa nijipongeze sana, nimekuelimisha sana.😀😀

Nimekutoa kwenye upumbavu wa density uliokuwa unasema mpaka Sasa upo kwenye point ya weight na ume admit kuwa weight Ina ACT downward (hii nzuri sana).

Na umesema sababu ya weight ya kitu ku act in downward direction ni "NATURAL LAW" which is correct 💯,

ila tu unadai hiyo natural law sio FORCE, hapa sasa ndo Kunaugumu, science inakupa uwanja ww utuambie ni nini?

Einstein pia alikuja na hoja yake yenye mashiko zaidi akidai "GRAVITY is not a force" zingatia "GRAVITY is not a force"
Tofauti kidogo na madai yako unasema hakuna gravity, ila Einstein anasema gravity ipo ila sio force kama Newton alivyoelezea.

Kwann Einstein alisema GRAVITY sio Force? Nakuja kukupa elimu.

Nimeamka kudeal na vitu vidogo vidogo kwanza kabla ya kuanza kukuambia Dunia ni duara na inazunguka maana hutonielewa kama huelew vitu vidogo.
hateeb10 hatupo pamoja wapi hapa😀😀😀😀,

Au sio ww ulikuwa unasema vitu vinaanguka Kwa sababu ya density? Saivi ume upgrade unasema ni weight? Kwann weight Ina ACT downward umesema ni natural laws, upo sawa kabisa.....
 
Hujajibu swali,..........ila kama swali limekushinda sio kesi ngoja nikuongezee kazi nyingine,.........kama unasema tupo kwenye teknolojia inayoweza kutufanya tujue whether Dunia ina move/not, tuambie ni teknolojia gani hiyo kisha thibitisha kwa kutumia hiyo teknolojia.
Majibu ya haya maswali nlishakujibu kipindi kirefu kimepita, Sasa hivi lengo langu ni kukuuliza wewe maswali
Mimi nlishamaliza kila kitu, Hakuna swali lako lipya ambalo sijawahi kutolea maelezo hapa na uthibitisho wa hadi clip ambazo ulishazikataa
 
Mmmh naona maelezo yako hayaingii akilini,.. kwamba ardhi inatusukuma mbele? hii sijawahi kusikia.
Mimi nafuatilia mjadala wenu vizuri hapa nataka nikuulize swali

Kwa hayo maelezo yako au swali lako, Unaweza kumove bila kuigusa ardhi ?
 
Mmmh naona maelezo yako hayaingii akilini,.. kwamba ardhi inatusukuma mbele? hii sijawahi kusikia.

kwenye maelezo yako hii ndiyo kauli sahihi 👉 "Hii ndiyo nguvu ya ndani inayotokea ndani ya mwili wetu. Nguvu hii ndiyo inayosababisha miguu yetu kusogea."

Ni kweli Internal force ndiyo inasababisha miguu yetu kusogea,.... na sio kwamba ardhi inatusukuma mbele.

Habari zenu,

1. Kwa kujibu hoja hiyo ya kisayansi kisiasa unajidhalilisha. Na ndio maana nilikimbia majadiliano na wewe kwakuwa sikuwa na hakika kama unafahamu sayansi ama la. Sayansi tu ndio inaweza kujibu hoja msingi.

2. Kwa faida yako, ukiwa Alaska (us) ukitaka kusafiri na ndege kwenda japan kwa hypothesis yako utalazimika kuvuka bahari ya atlantic (yaani kuelekea mashariki). Lakini kwasababu dunia ni duara shortest distance kufika japani itakuwa kuelekea magharibi (across pacific).

Hapo kuelekea west mwa alaska tutakutana na ukuta wa barafu au sio, kwa ile hypothesis au sio 😁
 
👇👇😀😀😀

Unachoweza ww ni kusogeza mguu tu sio the whole body, Ili uweze kufanya hivyo utahitaji external force which is friction force. Na ndio maana nimekupa mfano wa gari kwenye tope.


👆👆 Newton third law 😀😀


👇👇😀😀


Easy tu!!!!
Movement ya Binadamu haisaidiwi na friction force,.. atleast useme movement ya Binadamu inakua supported na ground ambayo Binadamu yupo in contact with kwa kuwa ana walk over it,....


Tukirudi kwenye mada,..zipo Internal forces ambazo zinaweza kuathiri external environment,.... Miongoni mwa mifano niliyotoa ni EARTHQUAKE,...Je, Earthquake haitokani na Internal forces, Je haina athari yoyote kwa external environment?
 
hateeb10 hatupo pamoja wapi hapa😀😀😀😀,

Au sio ww ulikuwa unasema vitu vinaanguka Kwa sababu ya density? Saivi ume upgrade unasema ni weight? Kwann weight Ina ACT downward umesema ni natural laws, upo sawa kabisa.....
Sasa usichoelewa kipi hapo,.. Density sio miongoni mwa determinants za kitu ku fall/stay in the air?

Au what's wrong with density?
 
Majibu ya haya maswali nlishakujibu kipindi kirefu kimepita, Sasa hivi lengo langu ni kukuuliza wewe maswali
Mimi nlishamaliza kila kitu, Hakuna swali lako lipya ambalo sijawahi kutolea maelezo hapa na uthibitisho wa hadi clip ambazo ulishazikataa
Hakuna kitu ulichomaliza,... Haujawahi kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe 🌎 na Inazunguka,...Hata wenzako wanao support ukiwaletea hizo clip watazikataa.
 
Habari zenu,

1. Kwa kujibu hoja hiyo ya kisayansi kisiasa unajidhalilisha. Na ndio maana nilikimbia majadiliano na wewe kwakuwa sikuwa na hakika kama unafahamu sayansi ama la. Sayansi tu ndio inaweza kujibu hoja msingi.

2. Kwa faida yako, ukiwa Alaska (us) ukitaka kusafiri na ndege kwenda japan kwa hypothesis yako utalazimika kuvuka bahari ya atlantic (yaani kuelekea mashariki). Lakini kwasababu dunia ni duara shortest distance kufika japani itakuwa kuelekea magharibi (across pacific).

Hapo kuelekea west mwa alaska tutakutana na ukuta wa barafu au sio, kwa ile hypothesis au sio 😁
Tatizo uthibitisho wa kwamba Dunia ni tufe 🌎 na Inazunguka huna,..hizo ulizoweka hapo ni siasa tu,.


Thibitisha Dunia ni tufe na inazunguka.
 
Back
Top Bottom