hateeb10
JF-Expert Member
- Dec 8, 2022
- 2,920
- 1,223
Hahh vizuri,...kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?Hauhisi!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahh vizuri,...kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?Hauhisi!!
Kwamba nikisema ukweli maana yake sina hoja,...hujui kama unachoamini kinatokana na uliyofundishwa?Ukiona mtu anaishia Kwa maneno haya ujue Hana hoja tena!!
NI kama tu ww unavyosema weight inafanya vitu vianguke umejuaje?Hahh vizuri,...kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?
Internal force ni force ambayo inakua generated within an object/system............. mfano Object za plastic huwa zina generate elastic force,. ambapo ukiweka kitu kwenye object ya plastic kinaweza kikarushwa kwenye direction yoyote inategemea,.Mammamamaaaa!! Ndo maana nikakuuliza ni nini maana ya internal force??? Hujajibu.
Alafu nipe mifano ya internal force na jinsi inavyoathiri mazingira ya nje Kwa maana motion.
Lkn mm ntakujibu,Hahh vizuri,...kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?
Hujajibu swali bado,... 👉 kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?NI kama tu ww unavyosema weight inafanya vitu vianguke umejuaje?
Unaona sasa!!!😀😀Internal force ni force ambayo inakua generated within an object/system............. mfano Object za plastic huwa zina generate elastic force,. ambapo ukiweka kitu kwenye object ya plastic kinaweza kikarushwa kwenye direction yoyote inategemea,.
Nimeshajib, siwez kuacha swali kama ww muogaHujajibu swali bado,... 👉 kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?
Labda umejibu swali lingine hili hujajibu,...👉 kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?Nimeshajib, siwez kuacha swali kama ww muoga
Still sioni maelezo yako yana justify vipi uwepo wa gravity.,Unaona sasa!!!😀😀
Chukua hiyo plastic weka kitu bila kuapply external force uone kama itaweza kurusha kitu.
Hahahaaaaa!! Hapa tulikuwa kwenye internal na external force twende taratibu mbona unaruka?? Jibu swali haya sio maelezo ni swali.Still sioni maelezo yako yana justify vipi uwepo wa gravity.,
Chukua hiyo plastic weka kitu bila kuapply external force uone kama itaweza kurusha kitu
👇👇Labda umejibu swali lingine hili hujajibu,...👉 kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity ikikuvuta umejuaje kama ipo na inavuta vitu?
Na Kwa sabab ww ni kichwa kigumu, ntakufafanulia.Lkn mm ntakujibu,
Hakuna kitu kinachoweza kumove kutoka sehem Moja kwenda nyingne kama hakuna force(either pulling force or pushing force)
Object yenye internal force inaweza kurusha kitu bila hata ya uwepo wa External force,....Hahahaaaaa!! Hapa tulikuwa kwenye internal na external force twende taratibu mbona unaruka?? Jibu swali haya sio maelezo ni swali.
Okay embu tuone!!😎Object yenye internal force inaweza kurusha kitu bila hata ya uwepo wa External force,....
Tetemeko la ardhi linatokana na external force, ukibisha nambie ni nini sababu za tetemeko la Ardhi?mfano:-
a. Tetemeko la ardhi, linatokana na internal force,.. lakini linaathiri external environment.
Nahisi ww Bado huelewi vizuri hizi terms, katika maelezo yangu nilikueleza vizuri kabisa internal force haziwezi kusababisha movement ya kitu "as a whole" Sasa kurusha ngumi kunaweza vipi kufanya umove? Au ni nn kinamove?b. Ngumi ya binadamu, Inatokana na internal force lakini inawezekana kuathiri external environment.
Nimemaliza.
Haya sio madini ni kujitetea,.. tulia upate shule.hateeb10
Sichoki kukupa madini!!
1. Tunaposema nguvu ya ndani tunamaanisha nguvu iliyo ndani ya system. Mfano wewe ni system, nguvu za ndani mfano ni contraction na relaxation ya misuli,
2. Kwahy unaposema nguvu ya nje assume tuwe mm nawewe maana yake hapo Kuna system mbili zofauti(Yaani Mimi na wewe).
ukinipiga ngumi(wewe) Mimi maana yake nguvu yako ya ndani ambayo kwangu mimi ni nguvu ya nje, Mimi ntasema ntasema nguvu ya nje imeniathiri. Na sio nguvu ya ndani.
Kwa lugha nyepesi athari za nguvu ya ndani zinatokana na nguvu iliyo kwenye system hiyo hiyo. Na athari za nguvu ya nje zinatokana na nguvu iliyo kwenye system nyingine.
Wewe aliyekudanganya kwamba tetemeko la ardhi linatokana na external force ni nani?............ kauli yako hii itawakatisha tamaa hata wenzako wanao ku support humu,... sasa mimi naomba ukasome vizuri kisha uje urekebishe hiyo kauli yako....Okay embu tuone!!😎
Tetemeko la ardhi linatokana na external force, ukibisha nambie ni nini sababu za tetemeko la Ardhi?
Nahisi ww Bado huelewi vizuri hizi terms, katika maelezo yangu nilikueleza vizuri kabisa internal force haziwezi kusababisha movement ya kitu "as a whole" Sasa kurusha ngumi kunaweza vipi kufanya umove? Au ni nn kinamove?
Ukitumia mfano wako wa ngumi maana yake hakutakuwa na external force tena Bali zote ni internal force kama unabisha nipe mfano wa external force then utofautishe na mfano wako wa ngumi
Nilijua tu itakuwa ngumu kwako kunielewa!!Wewe aliyekudanganya kwamba tetemeko la ardhi linatokana na external force ni nani?............ kauli yako hii itawakatisha tamaa hata wenzako wanao ku support humu,... sasa mimi naomba ukasome vizuri kisha uje urekebishe hiyo kauli yako....
Jibu hoja hapo kama najitetea😀😀Haya sio madini ni kujitetea,.. tulia upate shule.