Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

JE Dunia ina umbo gani?


  • Total voters
    710
Tatizo uthibitisho wa kwamba Dunia ni tufe ๐ŸŒŽ na Inazunguka huna,..hizo ulizoweka hapo ni siasa tu,.


Thibitisha Dunia ni tufe na inazunguka.

Sayansi pekee ndio inaweza kukupa majibu lakini hujui hiyo sayansi, utaelewaje?
 
Sayansi pekee ndio inaweza kukupa majibu lakini hujui hiyo sayansi, utaelewaje?
Wewe Sayansi unaijua,...mbona kuthibitisha kwamba Dunia ni tufe ๐ŸŒŽ na inazunguka huwezi?

Thibitisha basi kwa kutumia Sayansi,..au huwezi?
 
We jamaa ukishiba tu ๐Ÿ˜.. tuache sisi wenye njaa hatuna nguvu ya kujadili.
Siku mkiweza kuthibitisha mjadala utaishia hapo,.. Unajua ni kweli watu wengi wanakubaliana na theory kwamba Dunia ni tufe na inazunguka,.. Tatizo hakuna uthibitisho na unajua kwamba kitu kikiwa cha uongo hata kikiaminiwa na watu Billions haifanyi hicho kitu kiwe kweli.......uthibitisho ndiyo dawa ya mjadala huu.
 
Movement ya Binadamu haisaidiwi na friction force,.. atleast useme movement ya Binadamu inakua supported na ground ambayo Binadamu yupo in contact with kwa kuwa ana walk over it,....
Mpaka hapa unadhihirisha ukilaza wako, kwamba kutembea hakusaidiwi na friction force?? Sasa katembee kwenye tope tuone kama hauta slide.
Tukirudi kwenye mada,..zipo Internal forces ambazo zinaweza kuathiri external environment,.... Miongoni mwa mifano niliyotoa ni EARTHQUAKE,...Je, Earthquake haitokani na Internal forces, Je haina athari yoyote kwa external environment?
Mbona Bado huelewi? Nimekwambia nipe mfano wa internal force inavyoweza kusababisha hicho kitu(kilichozalisha internal force) kitembee au kimove chenyewe na sio internal force isababishe external environment au vitu vingne kumove.
 
Niliuliza hapa kwamba,...kama tokea uzaliwe hujawahi kuhisi unavutwa na gravity,...umejuaje kama gravity Ipo?

Mpaka sasa hakuna jibu,.

The celebrity Chosen Rich
Nimekujibu zamani sana๐Ÿ‘‡
Hakuna kitu kinachoweza kumove kutoka sehem Moja kwenda nyingne kama hakuna force(either pulling force or pushing force).
Kama huelewi haya majibu usijali nipo kwaajili yako.

Si tunakubaliana kitu chochote hakiweZi kuanza mwendo bila kuwa na external force??(Newton's first law).

Kama ndivyo basi ukichukua kitu ukaweka kwenye hewa(bila hata kukitupa) weka tu alafu achia. Lazima kitaanguka sivyo? Sasa kwann kianguke? (Kimemove), it means Kuna external force ambayo imesababisha Hilo Jambo kutokea.
 
Uthibitisho umeshapewa, ila shida yako naijua, hujui physics, yaani ww ni mweupe ndo maana nadeal naww Kwa vitu vidogo vidogo kwanza kama FORCE maana hapa ndo Kuna tatizo Kubwa. Ila usijali ntakufundisha utaelewa.
 
So., unataka ujue object ambayo mnadai ipo Miles 93 million ina move vipi?

Unazijua 93 Million miles?
hateeb10
Hahahaahahaaa the sun is local!! Halipo mbali na Dunia kama tunavyoaminishwa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ then what is this๐Ÿ‘†. 93 Million miles unazijua halafu mnasema Jua ni local na lipo karibu.

Haya tuambie hizo 93 Million umezitoa wapi kama sio NASA๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Embu wewe tuambie ndugu, tuelezee curvature vizuri, kwanini tukiwa angani hatuoni Dunia ikispin, kwanini pilots wote wanatumia flat earth map na sio globe??. Tuanzie hapa kwanza
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘† Hizi ndio akili za flat Earthers๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.

Sasa ukishasema ramani maana yake ni representation ya kitu kwenye flat sufrace. Sawa namm nikuchore unategemea utaonekana 3D? Akili zenu mnazijua wenyewe.
Refraction haifanyi kitu kipotee,..bali hupelekea kitu kubend na kuonekana ni kikubwa kuliko uhalisia wake.
Kama akili ndo hizi, sasa kama refraction inafanya kitu kionekane kikubwa sasa kwann Jua linapotea? Wakat tunatarajia tuendelee kuliona Kwa ukubwa zaidi, si unasema Jua halizami.
1. Kuhusu gravity nadhani nimekujibu kwamba kinachofanya ushindwe kuruka ni kukosa mechanism Tu ya kukufanya upae, na sio kwamba gravity inakuvuta.
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€, Aya sasa. Mara density, mara mechanism ya kupaa, mara weight, which is which??
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘† Daah, story za kisadikika๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
unarudi chini kwa kuwa huna mechanism ya kukufanya uende juu.
KASONGO YEYEEE๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘†๐Ÿ‘†

Mfano ona hapa๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡ kaelezea kabisa

Ghafla mara papa!! Hana details๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ‘‡
Eclipseโœ”๏ธ & moon phase โŒ›(Ni kweli moon phases sina details zaidi kuhusu, even though moon phases hai support by any means the idea kwamba Dunia ni Tufe.
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘† Sasa majibu ya mwanzo alitoa wapi??๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€.
 
Kama hujawahi kuhisi ukivutwa,..maana yake hakuna hicho kitu kinachokuvuta labda kama umeamua kujidanganya tu.......

kwa kuwa umefundishwa kwamba kitu hakiwezi ku move bila external force,. ndiyo ukaamua ulazimishe kwamba Lazima kuna force inayokuvuta,..Hata kama huhisi ikikuvuta?
Kama ndivyo basi ukichukua kitu ukaweka kwenye hewa(bila hata kukitupa) weka tu alafu achia. Lazima kitaanguka sivyo? Sasa kwann kianguke? (Kimemove), it means Kuna external force ambayo imesababisha Hilo Jambo kutokea.
Mtoto mwenye kg25 ukimbebesha kitu chenye Kg100,....unategemea nini kitatokea? ni force gani itafanya mtoto aanguke kama sio uzito tu wa kitu husika?

Kukariri ni ugonjwa unaosababisha upungufu wa fikra huru kichwani,...nikitulia nitarudi hapa
 
Mbona Bado huelewi? Nimekwambia nipe mfano wa internal force inavyoweza kusababisha hicho kitu(kilichozalisha internal force) kitembee au kimove chenyewe na sio internal force isababishe external environment au vitu vingne kumove.
Kwani hiyo mada ya Internal force kuathiri external environment aliileta nani kama sio wewe?............ sasa hivi umebadilisha maelezo...kijana kuwa makini
 
Lakini ukielezea gravity kama kani ya mvutano kwenye objects ambazo ni magnetic ๐Ÿงฒ .... Tunaweza tukasema ni sawa hiyo gravity tukaiita magnetism so ina exist Kwa style hiyo na sio kama inavyokua exaggerated.
hateeb10 Chosen Rich Poor Brain ๐Ÿ‘†๐Ÿ‘† Hata yeye haelewi anaelewa nn?๐Ÿ˜….
๐Ÿ‘†๐Ÿ‘† Yaani haeleweki, na yeye pia hajielewi, na haelewi kama anaelewa, sijui mnanielewa?
 
Sasa mbona hueleweki??? Jibu ni density au weight????
Umeamua tu kuwa mbishi,....nimesema density ni miongoni mwa determinants za kitu ku fall/stay in the air,... yaani kimsingi density na weight ni factors ambazo zinategemeana,.... kwani tunaposema kitu fulani ni more/less dense than the other hujui kama na weight inakua imehusika hapo?
 
kwa kuwa umefundishwa kwamba kitu hakiwezi ku move bila external force,. ndiyo ukaamua ulazimishe kwamba Lazima kuna force inayokuvuta,..Hata kama huhisi ikikuvuta?
Pinga hoja Kwa hoja, je Kuna uwezekano wa kitu kumove bila kuwa na applied external force??
Mtoto mwenye kg25 ukimbebesha kitu chenye Kg100,....unategemea nini kitatokea? ni force gani itafanya mtoto aanguke kama sio uzito tu wa kitu husika?
Still unabaki pale pale, na maswali Yale Yale, uzito(mass) una direction? Kama Hauna kwann unasema una act chini?
Kukariri ni ugonjwa unaosababisha upungufu wa fikra huru kichwani,...nikitulia nitarudi hapa
Ukifungua ubongo wako utaelewa tu,
 
hateeb10
Hahahaahahaaa the sun is local!! Halipo mbali na Dunia kama tunavyoaminishwa๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€ then what is this๐Ÿ‘†. 93 Million miles unazijua halafu mnasema Jua ni local na lipo karibu.
Unaamua kujitoa akili tu,...Mwenzako alitaka kujua kuhusu Jua linavyofanya movement,..yaani nimuelezee movements za Jua kama jinsi movement za SGR zinavyofanyika,....and thats why nikamjibu in sacarsm kwamba "Ikiwa mnadai Jua lipo 93 Million Miles away from earth,..unategemea vipi mimi nikuelezee exactly kwamba Jua lina move 1,2,3...."


Nakukumbusha kwamba miongoni mwa vitu vya msingi ulivyokubali kwenye mjadala huu ni:-
1. Hujawahi kuona wala kuhisi Dunia iki move,.. so kuthibitisha huwezi
2. Hujawahi kuona kwamba Dunia as a whole ni tufe,...so kuthibitisha huwezi.
3. Tokea uzaliwe hujawahi kuhisi kuvutwa na gravity,.. So that means hakuna hicho kitu kinachovuta watu&vitu chini.
4. Na ukasema kwamba Earthquake haitokani na internal forces,..kitu ambacho ni uongo.
 
Jamaani eeeeh kwani mbona mnapenda kuwafanya wenzenu machizi hapa eeeeeeeeh.....

Wati hadi wanachanganyikiwa sasa
 
Pinga hoja Kwa hoja, je Kuna uwezekano wa kitu kumove bila kuwa na applied external force??

Still unabaki pale pale, na maswali Yale Yale, uzito(mass) una direction? Kama Hauna kwann unasema una act chini?

Ukifungua ubongo wako utaelewa tu,
Wewe apart from uzito wa kitu,...ushaona external force gani inavuta kitu chini? unaweza kuthibitisha?

Ulisema mwenyewe kwamba tokea uzaliwe hujawahi kuhisi gravity inakuvuta,...sasa kwanini unalazimisha gravity inavuta vitu chini huoni unaonekana huna akili kulazimisha kitu ambacho ulikiri mwenyewe kwamba hakifanyi kazi ya kukuvuta?
 
Jamaani eeeeh kwani mbona mnapenda kuwafanya wenzenu machizi hapa eeeeeeeeh.....

Wati hadi wanachanganyikiwa sasa
Hahh kijana kachanganyikiwa,.. The celebrity alithibitisha kwamba tokea azaliwe hajawahi kuhisi gravity inamvuta chini,...........nikamuambia logically kama ni hivyo maana yake gravity haipo hataki kukubali anaitetea vibaya mno,...
 
Kwani hiyo mada ya Internal force kuathiri external environment aliileta nani kama sio wewe?............ sasa hivi umebadilisha maelezo...kijana kuwa makini
Kuathiri mwendo wa hiyo object, yaani hiyo object Imove katika mazingira ya nje mbona huelewi??

Mada ilianzia pale ww unapodai uzito pekee wa kitu unafanya kitu kianguke, Kwa maana ya internal forces za hicho kitu, me nikakwambia internal force haiwezi kufanya kitu hicho kimove as a whole.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ