Hiyo ni katuni,....hushangai hata wenzako wa Dunia tufe hawana imani nayo?Naomba mfano wa katuni ya hivi ikionesha Dunia tambarare kama unadhani hii ni katuni. Kusema tu hii ni katuni hakuondoi uhalisia.
1. Friction force,.. haikusaidii kutembea bali itakusaidia incase of kuteleza (itakusaidia kujizuia kuteleza),.. ndiyo maana umetoa mfano wa kuteleza kwenye tope.hateeb10
Mpaka Sasa hujajibu vitu vifuatavyo!
1. Unasema kutembea friction force haihusikii nimekuuliza ukitembea kwenye tope kwann huwezi na utateleza.
2. Weight unayoongelea ww ni ipi?
3. How weight Ina exert force.
4. Hujatoa mfano wa kitu kinachoweza kumove bila external force kuwa applied mpka sasa kimya
Okay tufanye nmekubali,Masharti yangu umeyakubali lakini.....?
Nilisema hivi......"Kabla hatujafika mbali,.. Unapaswa ukubali kwamba huna uthibitisho unaoonyesha Dunia ni tufe na inazunguka,.. Lakini pia tokea uzaliwe hujawahi kuhisi unavutwa na gravity,..
Ili tuutafute ukweli inabidi kwanza tukubali kuachana na uongo,...."
Wenzangu kina nani??ππ Nimekwambia kama hii ni katuni leta katuni yako ya umbo la Dunia flat iliyowahi kutengeneza au tengeneza ww maana unaonekana mtaalam sana wa kutengeneza katuni kama hiziππ, ukishindwa maana yake hutakiwi tena kusema hii ni katuniHiyo ni katuni,....hushangai hata wenzako wa Dunia tufe hawana imani nayo?
Unaakili ndogo sana, sasa ukiteleza friction force inakusaidiaje?? Wakati mpaka unateleza maana yake friction force ni ndogo. Kama nilivyosema awali ww unashida kwenye topic ya FORCE.1. Friction force,.. haikusaidii kutembea bali itakusaidia incase of kuteleza (itakusaidia kujizuia kuteleza),.. ndiyo maana umetoa mfano wa kuteleza kwenye tope.
Mbona unajiteteaπ, Weight inayojulikana na Kila mtu ni ya mass Γg, Sasa ww nambie yako ni ipi mbona swali dogo tu bwa mdogo?2. Kwani kuna weight za aina ngapi? weight ninayoongelea mimi ipo determined na uzito wa maada bila kuhusisha imaginary force yoyote.....Narudia Layman anaweza kuelezea uzito wa kitu kuliko mtu aliyekariri formula za kubuni.
BLA BLA BLA BLA BLA BLA !!!!!!!!!!!!!!!!!!3. Unaposema external force sio lazima ujitungie force ambayo haipo bali unaweza ukatumia reasoning kujua kipi kinachafanya object fulani ifanye movement kwa kuzingatia natural laws zinavyofanya kazi,.... kwa mfano,.. Unajua kwamba (a) kila chenye uzito maana yake kina internal force ndani yake,. so uzito wa kitu ndiyo uta determine kitu hicho kitaanguka kwa magnitude effect gani (b) Natural law inavyofanya kazi,. kitu chenye uzito zaidi kitaenda chini mpaka pale ambapo kitakutana na kitu chenye uzito sawa au kuzidi kitu hicho (Nadhani hii hata wewe unaweza kutafiti na kuthibitisha through observations mbalimbali,......I stand to be corrected.
Siasaππ,Kwa kuhitimisha,..Naomba nikubaliana na kauli yako uliyosema kwamba tokea uzaliwe hujawahi kuhisi unavutwa na gravity,...so let's agree kwamba kusema kuna imaginary force inayotuvuta chini is not logical
Unaakili ndogo sana, sasa ukiteleza friction force inakusaidiaje?? Wakati mpaka unateleza maana yake friction force ni ndogo. Kama nilivyosema awali ww unashida kwenye topic ya FORCE.1. Friction force,.. haikusaidii kutembea bali itakusaidia incase of kuteleza (itakusaidia kujizuia kuteleza),.. ndiyo maana umetoa mfano wa kuteleza kwenye tope.
Mbona unajiteteaπ, Weight inayojulikana na Kila mtu ni ya mass Γg, Sasa ww nambie yako ni ipi mbona swali dogo tu bwa mdogo?2. Kwani kuna weight za aina ngapi? weight ninayoongelea mimi ipo determined na uzito wa maada bila kuhusisha imaginary force yoyote.....Narudia Layman anaweza kuelezea uzito wa kitu kuliko mtu aliyekariri formula za kubuni.
BLA BLA BLA BLA BLA BLA !!!!!!!!!!!!!!!!!!3. Unaposema external force sio lazima ujitungie force ambayo haipo bali unaweza ukatumia reasoning kujua kipi kinachafanya object fulani ifanye movement kwa kuzingatia natural laws zinavyofanya kazi,.... kwa mfano,.. Unajua kwamba (a) kila chenye uzito maana yake kina internal force ndani yake,. so uzito wa kitu ndiyo uta determine kitu hicho kitaanguka kwa magnitude effect gani (b) Natural law inavyofanya kazi,. kitu chenye uzito zaidi kitaenda chini mpaka pale ambapo kitakutana na kitu chenye uzito sawa au kuzidi kitu hicho (Nadhani hii hata wewe unaweza kutafiti na kuthibitisha through observations mbalimbali,......I stand to be corrected.
Siasaππ, jKwa kuhitimisha,..Naomba nikubaliana na kauli yako uliyosema kwamba tokea uzaliwe hujawahi kuhisi unavutwa na gravity,...so let's agree kwamba kusema kuna imaginary force inayotuvuta chini is not logical
Ila ww umeshindwaππππ...Narudia Layman anaweza kuelezea uzito wa kitu kuliko mtu aliyekariri formula za kubuni.
Kwamba hiyo formula ni universal?Unaakili ndogo sana, sasa ukiteleza friction force inakusaidiaje?? Wakati mpaka unateleza maana yake friction force ni ndogo. Kama nilivyosema awali ww unashida kwenye topic ya FORCE.
Mbona unajiteteaπ, Weight inayojulikana na Kila mtu ni ya mass Γg, Sasa ww nambie yako ni ipi mbona swali dogo tu bwa mdogo?
Au nikuulize tu, tofauti ya Mass na Weight ni nn?
BLA BLA BLA BLA BLA BLA !!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mfano wa kitu kinachoweza kumove chenyewe bila external force ndio inahitajika hapa. Maelezo mengi hayakusaidii kitu bwa mdogoππ. Chaka uliloingia hutoki
Siasaππ,
Nimeshindwa au hutaki kukubali kwamba ulichokariri sio absolute truth,...Ila ww umeshindwaππππ
Wenzako wa Dunia tufe,.....sasa kuna haja gani ya kukuletea katuni hapa na unaweza uka observe mwenyewe kwamba Dunia ipo flattened & stationary,..au huiamini akili yako?Wenzangu kina nani??ππ Nimekwambia kama hii ni katuni leta katuni yako ya umbo la Dunia flat iliyowahi kutengeneza au tengeneza ww maana unaonekana mtaalam sana wa kutengeneza katuni kama hiziππ, ukishindwa maana yake hutakiwi tena kusema hii ni katuni
Sawa vizuri,..kwa kuwa uthibitisho huna atleast baki 50/50 kuliko kupambana kuonyesha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka 100% wakati ushahidi huna.Okay tufanye nmekubali,
Sina aina ya uthibitisho unaouhitaji wewe,
Tuanze maswali ?
ππ Mbona umekomaa na formula?? We nimekwambia nambie ni weight Gani unaongelea unambwela tuπKwamba hiyo formula ni universal?
Jibu swali acha kumbwelaUnajua theory of gravity imekua proposed for the first time karne ya ngapi?
Acha kumbwela weight unayoongelea ww ni ipi??Je, kabla ya hiyo theory kuwa proposed,... watu hawakujua maana ya uzito?
Reasoning yako ni ndogo, ndo maana nikakuuliza nini tofaut kat ya Mass na WeightVitu vingine vinahitaji reasoning ndogo tu lakini unakwama kufikiria,....
Thibitisha!! Simple tu.. au ulidhani ntashindwa kuleta ulichotaka???Nimeshindwa au hutaki kukubali kwamba ulichokariri sio absolute truth,...
Wataje hapa πWenzako wa Dunia tufe
Thibitisha ni katuni, leta katuni zako pia za Dunia flat Ili tukuamini, hapa bwa mdogo hutoki.,.....sasa kuna haja gani ya kukuletea katuni hapa
Nimeshakwambia kama ww umeweza ku observe Dunia ni flat tuletee picha basi ulivyo observe maana ukisema Dunia sijui unamaanisha nn?na unaweza uka observe mwenyewe kwamba Dunia ipo flattened & stationary,..au huiamini akili yako?
Umeamua kuruka,..hujajibu swali.........nimeuliza "Unajua theory of gravity imekua proposed for the first time karne ya ngapi?ππ Mbona umekomaa na formula?? We nimekwambia nambie ni weight Gani unaongelea unambwela tuπ
Jibu swali acha kumbwela
Acha kumbwela weight unayoongelea ww ni ipi??
Reasoning yako ni ndogo, ndo maana nikakuuliza nini tofaut kat ya Mass na Weight
Kwahiyo kwa akili yako mimi sijui tofauti ya Mass na Weight?........Wewe ndiyo una reasoning ndogo unaamini kabla ya nadharia ya gravity kuwa proposed watu walikua hawajui uzito ni nini.., Sasa huoni kwamba unahitaji ukombozi wa fikra ili utoke kwenye box la kukariri?Reasoning yako ni ndogo, ndo maana nikakuuliza nini tofaut kat ya Mass na Weight
Ndiyo umeshindwa kuleta nilichotaka,..mimi nilitaka ulete uthibitisho kwa bahati mbaya umeleta katuni.Thibitisha!! Simple tu.. au ulidhani ntashindwa kuleta ulichotaka???
Tulia upate Shule:-hateeb10
Still umeshindwa kujibu maswali;
1. Weight unayoongelea ww ni ipi?
2. Tuletee katuni za flat earth kama unazodai nilizoleta ni katuniππ
3. Mfano wa kitu kinachoweza kumove chenyewe bila external force
4. How weight exerts force?