The celebrity
JF-Expert Member
- Jul 9, 2020
- 1,972
- 559
Kwasababu hujajibu swali languUmeamua kuruka,..hujajibu swali.........nimeuliza "Unajua theory of gravity imekua proposed for the first time karne ya ngapi?
Kwanza swali lako ni la kijinga,, ni sawa useme kuwa kabla neno 'Density' halikaanza kutumika basi vitu vilikuwa havieleiππ.Je, kabla ya hiyo theory kuwa proposed,... watu hawakujua maana ya uzito?....."
Kati ya mm naww nani hamjibu mwenzake??Kwanini unaogopa kujibu?
Simple tu, jibuπKwahiyo kwa akili yako mimi sijui tofauti ya Mass na Weight?.....
Mbona Sasa hutoi majibuππ...Wewe ndiyo una reasoning ndogo unaamini kabla ya nadharia ya gravity kuwa proposed watu walikua hawajui uzito ni nini.., Sasa huoni kwamba unahitaji ukombozi wa fikra ili utoke kwenye box la kukariri?
Umeniomba picha za Dunia duara nimekupa, umeomba Dunia ikiwa unazunguka nimekupa, zichambue uoneshe ni kivipi hizo video ni katuni huku ukiweka na mfano wa katuni ya Dunia yako Ili tuone unachosema ni kweli.Ndiyo umeshindwa kuleta nilichotaka,..mimi nilitaka ulete uthibitisho kwa bahati mbaya umeleta katuni.
Leta uthibitisho, Kwan mm nikikwambia Dunia ni duara tumia akili yako hapo nakuwa nimethibitisha??Unataka uthibitisho kwamba Dunia ni flat na Stationary,.tumia akili na macho yako unachokiona ndiyo uthibitisho wenyewe,.
Hujanielewa!! Leta katuni Ili tukuamini kuwa kumbe 'hii ni katuni' Kwa sababu Kuna katuni za namna hii pia za Dunia flat, hapo utakuwa umeweka mambo sawa. Simple tu..sioni haja ya mimi kukuletea katuni maana itakua hakuna tofauti kati yangu na wewe.
Hahahaa kwahy mm nimetuma hiiππ au hiiπππNarudia hii sio uthibitisho ni katuni... ππ
Ni ipi hiyo mbona hauielezei?? Lete maana ya weight before Nadharia ya gravity, au Kuna maneno huwa hayana maana?Tulia upate Shule:-
1. Weight ninayoongelea mimi ni ile weight before nadharia ya gravity,
Sasa hapa unajichanganya, hujajibu tofaut ya Mass na Weightππ...kwa maana kwamba kadri kitu kinavyoongezeka (Mass) na uzito (Weight) wake unaongezeka,...hakuna force yoyote ya kubuni inayo determine uzito wa kitu apart from particles za object husika.
Huu sio uthibitisho, hata mm naweza kukwambia tumia akili yako, lakin akili yako haiwezi kuona umbo la dunia (as a whole) unahitaji picha iliyopigwa umbali mrefu kutoka Duniani kama ambayo nimekupa.2. Uthibitisho kwamba Dunia ipo flattened na stationary hauhitaji katuni ni vitu ambavyo hata wewe una observe kila siku,...
Kama umeshaiona Dunia(as a whole) ni tambarare basi tupia ka picha hapa tuone na sie.anaetakiwa ku prove otherwise ni yule anaesema Dunia ipo tofauti na vile tunavyoiona na kuihisi.
Kwahy ww uelewa wako umeishia hapo kuwa "object yenye uzito zaidi itaenda chini mpaka pale ambapo itakutana na object nyingine yenye uzito sawa au zaidi" kitu ambacho upo sawa lakin jibu la kwann vinaenda chini huna si ndio??3. Unarudia swali lako,...nimeshasema as a natural law object yenye uzito zaidi itaenda chini mpaka pale ambapo itakutana na object nyingine yenye uzito sawa au zaidi.,
Mfano???so movement ya kitu sio lazima iwe kuna external force
Kwahy kutaka kuanguka ndio kumove kutoka point Moja to nyingine? Hii bangi ya 2025 Kali sanaππ........kwa mfano ukiwa umekaa kwenye kiti then ghafla usingizi ukujie,.. kitakachotokea utashindwa ku control kichwa chako kiasi ambacho utaona kichwa kinataka kuanguka,.
Unaakili kisodaππ, ndo maana Kuna mahali nilikuwekea Notation: "Locomotion na movement" ulielewa hapa sidhani kama kichwa yako itakuwa ngumu tena...Sasa jiulize kwenye scenario kama hiyo kuna external force yoyote hapo iliyo influence movement ya kichwa,
Nadhani hapo juu ukisoma utanielewa.. au ni misuli tu ime relax ukiwa usingizini kiasi cha kushindwa kuhimili uzito wa kichwa?
πππFikiria vizuri zaidi,..
Soma maelezo hapo juu bwa mdogo!!4. Object zina weight,..na kila kitu chenye weight kina internal force ndani yake na hiyo internal force ndiyo ina determine magnitude of effect ya hiyo object ikianguka au kupiga sehemu,..
Unapata ugumu kuelewa,... kwahiyo mtu au kitu kikianguka maana yake hakija move from one point to another?Mfano???
Kwahy kutaka kuanguka ndio kumove kutoka point Moja to nyingine? Hii bangi ya 2025 Kali sanaππ.
Poor Brain Heri ya mwaka mpyaπππ
Unaakili kisodaππ, ndo maana Kuna mahali nilikuwekea Notation: "Locomotion na movement" ulielewa hapa sidhani kama kichwa yako itakuwa ngumu tena.
Unachoweza ni kusema tu kwamba Dunia inazunguka,..ila kuthibitisha ndiyo unatumia katuni.Heri ya mwaka mpya 2025 hateeb10, Chosen Rich, Dunia hatimae imekamilishazunguko wake kwenye Jua tangu mwaka Jana dec, ππππ
Huna akili wwππUnapata ugumu kuelewa,... kwahiyo mtu au kitu kikianguka maana yake hakija move from one point to another?
Jitahidi kufikiria kabla ya kuandika kitu,..
πKwahy kutaka kuanguka ndio kumove kutoka point Moja to nyingine?
Hahahaa, ila sabab za kuita katuni hunaππ, so funnyUnachoweza ni kusema tu kwamba Dunia inazunguka,..ila kuthibitisha ndiyo unatumia katuni.
Duh,. nimekuuliza swali kitu kikianguka hakijafanya movement toka sehemu moja kwenda nyingine?..........ungekua na akili timamu ungeweza kuelewa kwamba mfano niliokupa ulilenga kukuonyesha kwamba uzito ndiyo unapelekea vitu kuanguka chini and that's why kwenye hiyo scenario ya usingizi misuli inashindwa ku control kichwa kusimama upright,.Huna akili wwππ
π
Uzuri ni kwamba hata wewe unajua kwamba ulizoleta ni katuni sina haja ya kukupa sababu,.....kama unaamini hizo picha na videos ni real na ndiyo uthibitisho kwamba Dunia ni tufe na inazunguka basi endelea kuamini.Hahahaa, ila sabab za kuita katuni hunaππ, so funny
Vipi ndugu, Bado haujajiandaa kujibu maswali ntakayokuwa nkikuuliza ?Uzuri ni kwamba hata wewe unajua kwamba ulizoleta ni katuni sina haja ya kukupa sababu,.....kama unaamini hizo picha na videos ni real na ndiyo uthibitisho kwamba Dunia ni tufe na inazunguka basi endelea kuamini.
Kumbe ulishanijibuSawa vizuri,..kwa kuwa uthibitisho huna atleast baki 50/50 kuliko kupambana kuonyesha kwamba Dunia ni tufe na inazunguka 100% wakati ushahidi huna.
Karib uulize maswali.
Siwezi kukujibu exactly kwamba Dunia ni flat ya aina gani,....Kumbe ulishanijibu
Okay kwa kuanza na swali la kwanza
Kwa imani au nadharia yako kuhusu umbo zima la Dunia jinsi ilivyo, Ni flat ikiwa mviringo kama sahani au ni flat ikiwa na umbo la pembe nne ?
Kwahy kichwa kinaanguka??Duh,. nimekuuliza swali kitu kikianguka hakijafanya movement toka sehemu moja kwenda nyingine?..........ungekua na akili timamu ungeweza kuelewa kwamba mfano niliokupa ulilenga kukuonyesha kwamba uzito ndiyo unapelekea vitu kuanguka chini and that's why kwenye hiyo scenario ya usingizi misuli inashindwa ku control kichwa kusimama upright,.
Hahahaaa Umeishiwa hojaππ, hapa tunajibizana Kwa hoja, ukikosa hoja kubali tu bwa mdogo Kwan shingapi??Uzuri ni kwamba hata wewe unajua kwamba ulizoleta ni katuni sina haja ya kukupa sababu,.....kama unaamini hizo picha na videos ni real na ndiyo uthibitisho kwamba Dunia ni tufe na inazunguka basi endelea kuamini.
Kichwa hakianguki,..bali ukiwa usingizini na umekaa/Umesimama utashindwa ku control uzito wa kichwa chako na kufanya kichwa kushindwa kuwa upright,....najua unaelewa nini namaanisha ila umeamua kujitoa akili,. hoja ya msingi hapo ni jinsi uzito wa object(kichwa) ukiwa upo macho misuli yako inaweza ku control uzito wa kichwa chako lakini ukiwa usingizini misuli yako itashindwa ku control kichwa chako na kufanya kieleemee chini (downward) kwenye so hapo kinachotokea sio kwamba kuna force inavuta kichwa chini,..bali ni uzito wake tu,.Kwahy kichwa kinaanguka??
Nikikosa hoja ya nini? kwamba na mimi nikileta uthibitisho wa katuni ndiyo nitakua na hoja?Hahahaaa Umeishiwa hojaππ, hapa tunajibizana Kwa hoja, ukikosa hoja kubali tu bwa mdogo Kwan shingapi??
Kuna maswali hapo juu umeshindwa kujibu unabwabwaja tuuπππ
Ni kwanini ?Siwezi kukujibu exactly kwamba Dunia ni flat ya aina gani,....
Sasa huko ndio kumove as a whole? Mbona hata wewe mwenyewe huelew unaandika nn,Kichwa hakianguki,..bali ukiwa usingizini na umekaa/Umesimama utashindwa ku control uzito wa kichwa chako na kufanya kichwa kushindwa kuwa upright,....
Unarudi kulekule tu, ndo maana nikakwambia nipe mfano(mwingine) wa kitu kinachoweza kumove(as a whole) bila external force lakin umeshindwa.hoja ya msingi hapo ni jinsi uzito wa object(kichwa) ukiwa upo macho misuli yako inaweza ku control uzito wa kichwa chako lakini ukiwa usingizini misuli yako itashindwa ku control kichwa chako na kufanya kieleemee chini (downward) kwenye so hapo kinachotokea sio kwamba kuna force inavuta kichwa chini,..bali ni uzito wake tu,.